Makini sana.. Bwana awabariki ..mmenikumbusha ule wimbo Hallelujah Kuu dkk 20 mlioimba pale kambini Arusha Central ulinibariki sana ..zidini kubarikiwa katika utume huu
Amen Beroya Mission Choir, this is a song for the angels, wonderful singing, keep on doing it for our God, I LOVE IT Mwalimu, the pianist, the smartness, the attention, I lack words From Amazing Grace Church, Siaya, Central Nyanza Conference, Kenya
Amen amen sifa kwa Mungu Beroya go the goo... Mbona mmetoa wimbo wa Mbingu kashuka?? Please rudisheni huo wimbo mmeuimba vizuri sana... Bwana awatumie kwa utukufu wa jina lake hapa duniani hatimaye milele mbinguni Sir kheri Kipara jitahidi kwenye front line kwaya ya mbinguni uwepo, mimi nikifika huko nitakutafuta
Who else came to watch the new video jana only to find that it was removed? You bless us so much with heavenly singing Beroya Mission Choir. Already looking forward to the next.
Mbrikiwe zaidi watching from Norway... niliwa fwata mara ya kwanza mkiimba kwa Hope for Africa. Tangu sikose kufwata nyimbo zenu kila asubui 30min nokienda kazini na jioni ivo ivo
Mwalimu kipara mungu aendelee kukutumia shambani mwake big up jamni alikuwa mwalimu wangu wa choir ya kanisa mafiga morogoro mungu akubariki zaidi tulibarikiwa naye na wimbo wa simba wa yuda.
Amen Beroya. We were together last year at Newlife church for Hope for Africa evangelistic campaign. Your songs blessed us so much. Mungu atukuzwe kwa uimbaji wenu
😂😂😂😂😂😂😂njiro walijichanganya kumuachia huyu Mwalimu japo huwa tunajifariji eti oh kamaliza kazi aliyotumwa na bwana kaenda kwingine àa wap chuma hicho kimekutana na vyima injili ya yesu inagongwa balabalaaa safi sana walimu woote wa kwaya hiii
Makini sana.. Bwana awabariki ..mmenikumbusha ule wimbo Hallelujah Kuu dkk 20 mlioimba pale kambini Arusha Central ulinibariki sana ..zidini kubarikiwa katika utume huu
Amen,Barikiwa sana pia
Amen Mr Manyonyi, Utukufu Kwa Mungu juu.
Mungu azidi kuwatumia kwa kazi yake wimbo mzuri
Mimi ni Mchungaji Njile. Nawapenda sana kwa uimbaji wenu Beroya. Muendelee hivyo hivyo msibadilike.
Amina pr
Asante pr ubarikiwe sana
Barikiwa sana pastor
Discipline of the highest order. God deserves the best!!
Sure
Sure
Praise the Lord. This is realy adventist music.
Amen amen
@@barakamathias8157 very true. Hata muonekano ni wa kuheshimika kweli
Maravilhoso❤❤
Muhhh,,I can not say anything,,let the song speaks to our inner mind,,,and Almighty God may bless U
Kwani hawa ni wasukuma kwel au ni vile tu wapo katoro mana wananibariki mnoo
Mbalikiwe sana amina
Amen may the name of God be glorified 👏
Haleluya bwana azidi Kuwabariki sana
Mnapatikana wapi jaman ooooooooooooh halleluja nabarikiwa mnooooooo
Katoro Geita
Tupo katoro mkoani Geita
@@BEROYAMISSIONADVENTISTCH-nw8synakuja kuimba na nyie
Ohhhh Amen❤
Ulipotimu wakati,Mungu kawapa wimbo wa ajabu.sauti,ujumbe na vyombo vikakubaliana.Mungu azidi kuwainua kwa utukufu wa jina lake.
Amen Beroya Mission Choir, this is a song for the angels, wonderful singing, keep on doing it for our God, I LOVE IT
Mwalimu, the pianist, the smartness, the attention, I lack words
From Amazing Grace Church, Siaya, Central Nyanza Conference, Kenya
Be blessed saint
This is good art of God's music. From KPCU Nairobi Kongole Beroya. Nipe contacts za mtuzi wa wimbo huu kindly. Mbarikiwe sana❤
Come on Beroya.
What an amazing item.
Do waalimu wenye ni hazina kubwa sana kwa kanisa
Amen amen sifa kwa Mungu
Beroya go the goo...
Mbona mmetoa wimbo wa Mbingu kashuka?? Please rudisheni huo wimbo mmeuimba vizuri sana...
Bwana awatumie kwa utukufu wa jina lake hapa duniani hatimaye milele mbinguni
Sir kheri Kipara jitahidi kwenye front line kwaya ya mbinguni uwepo, mimi nikifika huko nitakutafuta
Who else came to watch the new video jana only to find that it was removed?
You bless us so much with heavenly singing Beroya Mission Choir. Already looking forward to the next.
Be blessed saint
Stay blessed the God servant
Watching this beautiful choir live from Japan Tokyo. God bless you my dear Brothers and Sisters from Tanzania
Thanks for listening
Beautiful piece 🎉❤
I wish I could like more than once 😅
Mungu awabariki sana na muendelee hivyio🤗🌺
Hooo JESUS TA GRÂCE 🥰🥰🥰
Belle harmonie, bravo, gloire à Dieu 🌺
Daaaa!!! Nimebarikiwa na wimbo huuu
Good song.... Happy to see my best Editha mkacha ... May God bless you all
Blessed Assurance Truly Jesus is coming
My favorite choir since hope for Africa at Nairobi Kenya 🙏 good Adventist music to listen
So amazing
Bwana asifiwe ndugu na Dada! Kristo Akija tutaimba nyimbo tamu pamoja na Malaika watakatifu! Tuonane sote pale.
Mbarikiwe sana ndugu zangu wimbo mzuri mno
Nawapenda sana Mungu aendelee kuwainua🙏
Bwana awabariki sana wimbo mzuri❤
Amen
Kumbe muziki mtakatifu Bado upo!
Upo beroya mission 😂
@@amosmbogo7175hayaaa barikiwen
Mungu awabariki mtumike jinzi apendavyo
Aminaaaaa jamanii kweli mziki unaenda mbali hongereni waimbaji na walimu kweli mmeenda shule Jina la Bwana lihimidiwe
Amen
Mbarikiwe sana bwana azidi kuwalinda nakuwapa kipawa cha uimbaji zaidi hakika mungu atukuzwe huundio uimbaji wa kumtukuza baba
Tubarikiwe sote
Mbrikiwe zaidi watching from Norway... niliwa fwata mara ya kwanza mkiimba kwa Hope for Africa. Tangu sikose kufwata nyimbo zenu kila asubui 30min nokienda kazini na jioni ivo ivo
Barikiwa mpendwa
Mbarikiwa san manaimba vizuri mbarikiwa xan na uimbaji wenu
Mbarikiwe sana..
Amina sana songeni mbele huu ndio uimbaji wa kanisa la waadventista wasabato
Amina. Nimependa organisation and ujumbe.
Barikiwa sana
hakika Mungu anatukuzwa
Duuu nimejikuta nasikia na mziki mzuri
Amina jinalabwana litukuzwe kwawimbo mzuri sanaaa tutashinda kwaimani mbarikiweeeeee.
Amen barikiwa pia
Bwana awaongeze zaidi , nyimbo nzuri sana kuwahi kusikia
Napenda kuwaona ❤
Wana na Binti za mungu
Hakika Beroya mnatubariki sana kwa nyimbo zenu nzuri, mungu aendelee kuwainua zaidi na zaidi
Amen! Mr. Cleopa Ladslaus Barikiwa sana kwa kazi ya Mungu. Tufanye kazi ya Bwana tungali tunanguvu
Great music praise God alleluia
Nzuri sana
Good job my choir,, 🤗🤗🤗 keep it up👏👏👏👏 God bless you abundantly
Shalom shalom 💗💕🙏
Mbarikiwe sanaaaa 🙏
🙏
Beloya Adventist Mission Mungu awabariki !!!! Hii kazi imekua mbaraka saana kwangu!!!! Mungu awainue zaidi Kazini mwake !!! tuu
Barikiwa mpendwa
ujumbe makini kwa watu makini. BWANA awabariki sana
🔥🔥🔥🔥🔥Good job beroya..Ni kwa Imani tutashinda..am truly blessed 🙏🙏🙌🙌
Happy to see you!!
Thank you!!
Mwalimu kipara mungu aendelee kukutumia shambani mwake big up jamni alikuwa mwalimu wangu wa choir ya kanisa mafiga morogoro mungu akubariki zaidi tulibarikiwa naye na wimbo wa simba wa yuda.
Very melodious voices ,well balanced ❤
Wow amen my choir be blessed
🔥🔥👏
Amen mbarikiwe sana
Jamani jamani,mubarikiwe na bwana
Kaz nzuri sawa balikiwa
🙏 Amen
Nimebarikiwa sana na wimbo went Mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu.
Amina
BEROYA MISSION NI LIDUDE LIKUBWAA💥
Amen barikiwa
😂yaan ni Lidubwana Ndugu yangu hatari sana
@@Hasnspop hii ni mbele mbele yao mzee🔥🔥
Uimbaji ni mzuri wenye baraka kwa yeyote amtafutaye bwana kwa bidii
Barikiwa pia mpendwa
Amen Beroya.
We were together last year at Newlife church for Hope for Africa evangelistic campaign.
Your songs blessed us so much.
Mungu atukuzwe kwa uimbaji wenu
You are dear children of God.
Amen
Amen may God bless you saint that still hold the meaning of music in the adventism.
Mbarikiwe Beroya!
Amina,❤
Toka DRC tunafuata nyimbo za injili, Mungu awabariki wana kwaya
Amina sana
Thanks! God bless you!
Same to you!
Amen barikiwa sana na wimbo
Mwamba ten huyo,,,,,,,,,,,halely Bwana
Wonderful
Thank you
Glory be to God
That is so amaizing ,hata sijanmini kama ni Tanzania hii hii tena kanda ya ziwa jamani kumbe tunaweza Wasabato tunawezaa tusiktishwe tamaaa
heeeeeee weeee hii kwaya kwan ya kanda ya ziwa au ya dar😂😂😂😂😂
Kanda ya Ziwa Katoro Geita ndipo inapopatikana
Glory to God
Amina Sifa kwa Bwana
Amen Amen, nimebarikiwa.
Aminaa❤
I live in Germany you are best choir
My son is 1.5 years but the was he love your music we shall visit Tanzania and to be specific your church
❤
Amen welcome Kenya Nairobi again
Kwan wako nairob hawa
Kwan wako nairob hawa
Kwan wako nairob hawa
@@HasnspopWapo katoro- Geita
Hakika MUNGU ashukuriwe na awabariki Sana wimbo mzuri Sana kweli nime barikiwa Sana .
Amina
Nzur
Vzur san
Amen
Amen❤❤
Amen and Amen.
Ameeeen
Ameeennnn
🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂njiro walijichanganya kumuachia huyu Mwalimu japo huwa tunajifariji eti oh kamaliza kazi aliyotumwa na bwana kaenda kwingine àa wap chuma hicho kimekutana na vyima injili ya yesu inagongwa balabalaaa safi sana walimu woote wa kwaya hiii
mwalimu gan anawafundisha hawa jamaa mbona wana hatari sana aiseeeeeee😂😂😂😂😂😂ni huyo anayewaimbisha au yule kijana anaye penda kusolo
Mtu wa nyumbani kigoma
@@dastanmakoko521 ni nan sasa huyo mkaka anayeimbisha au yule kijana wa kusolo
@larckybinhaider6050 huyo anaye imbisha anaitwa Her R Kipara
Chumaaaa🎉🎉🎉
Wimbo mtamu sana...
🙏🧡
Amina
Good job The Beroya Mission Choir, may God keep uplifting you to higher grounds 🙏
Thank you so much
The choir has been doing nice pieces ,may God continue blessing all of you,,,can someone connect me with the trainer of the choir kindly?