Garibu mzinga wewe no mwanaume wa shoka kwa utangazaji wa mpira Mr kilwa finest uko vizuri huna majungu kwenye utangazaji Huwa unasimama katikati kutangaza uko vizuri
Moja ya mechi bora kuwai kuitazama yani narudia mala kwa mala sichoki. Nguvu morali upambanaji waliokuwa nao wachezaji wa YANGA. Daa mashabiki wanashangilia mpaka wanataka kulia. Ukimwangalia gamondi furaha aliyonayo mpaka amepitiliza. Sitakuja kuisahau huu mechi ngumu ngumu ngumu. Kimahesabu ilikuwa inakataa yanga kushinda gori 4 lakini iliwezekana. Pacome day ilipambaniwa kweli
This match caused Young African set to play with Sundown to lower their speed in quarter final,,despite that Sundown failed to defeat Young African,,ended in refusing the goal scored by Aziz Ki by referee.
Dah yang timu hakika mlifanya kaz ingawa 2lidhulumiwa gor ila mlifanya kaz naomba msimu ujao 2pambane zaid ya hapa mungu a2tie nguvu kufka club bingwa fainal amen!!
Jaman huyu azizi kweny magoli ya kupolan mpira Katikt ya maadui yupo vizur nakumbuka pia kuna vijan waliteswa wakapigwa matobo wawil pamj na kijan wa morogoro golini akala tobo chuma kweny nyavu
Unamkimbia mwanume mwenye mafanikio ya maisha,unaenda kuolewa na mtu choka mbaya.Unamuona mzanzibar mwenzio anavyofanikiwa?Mpumbavu wewe ,uliyeondoka Kwa fitina na majungu.
Ila fei bana 2likuwa 2nakupends xana yanga unaaacha nafas za waz huku ukajikibiza kwenda huko pumbavu zako!! Angalia mzanzibar mwenzako xaxa anavyong'aa
TUNAOANGALIA JUNE 2024❤
Bando langu kila siku linaishia kweny game hii😅
June
Aiseee na mm ndo narudia leo tena aisee
Yaan hatar hii yanga
Tangu naijua yanga hii ndo mechi Bora kwangu kuliko mechi zote!!!hongera sana young africans
Tuliowala simba je zile5 j
@@yohanaemanuelylazaro5109 hapana hii ilikua ni mlima mrefu saana. kwanza timu ya waarabu, pili tulikua tushakula tatu bila. haikua kazi rahisi
i@@yohanaemanuelylazaro5109ile tuliwaburuza walikua hawajiwez hii ndio bora😂
Leo 22 mey nakukubali utakaye ni like
Hiiiii mech nairudiaga dah Kiukwel uwa siamin ili tufuzu tufunge goli 4 dah hongeren Sana YaNGa 💚 mlijua kutufrahisha Sana
Sanaaaaaaaa
Nyingine ni ile ya makoloo😂😂
yaaaani mpk moyoo wangu unapoaaa kama nimekunywaaa juice ya baridiiiiiiiii😂😂😂
😂😂mm kila mwezi lazima niirudie💚💚
Alhamdullah 💚💛💛💚💛
Wanaoangalia hii 16 may gonga like
Mm aiseee
Unyama mwananchi
Tupo
Garibu mzinga wewe no mwanaume wa shoka kwa utangazaji wa mpira Mr kilwa finest uko vizuri huna majungu kwenye utangazaji Huwa unasimama katikati kutangaza uko vizuri
Hii mechi ilivo ixha zilichinjwa kuku Sana sikuiyo ndio mechi yangu bora ya msimu
Kama na wewe unaludia ludia kila mala gonga laik
Hii Mechi nitamwonesha MWANGU afanye machaguo SAHIHI ya TIMU asipate mateso ya MOYO 😂😂😂
Hv makolo wanashindwa kujifunza kitu kwenye timu yetu pendwa young African 💛💚
Yanga tam sanaaaaa
Kuna hii game na ile game ya simba na yanga....simba anakufa 5 ...hata nikiwa na stress nikichek izo game stress zote zinaish yang raha....
Sitasahau hii cku💚💛💚💛🙏🏿🤗
Hii game ilikuwa kama maajabu kushinda goals 4 ni mungu alitusaidia wananchi 🙏🙏🙏💛💚
Musonda kwenye kipindi kigumu ndio anang'aa sana. Ila mechi zingine anakosa nafasi za wazi.
Warabu wali pingwa Kama ngomaaa❤
Nimeipenda bute yanga yang❤❤❤❤❤
Hii ni Mara 9narudia kuangalia ni raha ilikuwa
Zuzuaaaa zuzuaaaaa zuzuaaaaa 😁😁😁😁😁😁
Wanao angalia may 18 gonga like
I am Yanga 4 ever ❤❤❤ waarabu mtasota
wape pole kwa mara nyimgine wanao teseka na yanga
Ninoma
Yanga n moto wa kuuwa
Hello belouzidad hello belouzdad
Umesahaukusema hello haters
Ghalibu mzinga heshima kwako brother uliwakumbusha vizuri sana
Hapo ndipo waarabu walifeli wakazani wanakuja kucheza na Simba 😭😭😭
Hii mechi kila wakati inanimalizia bado hapa Germany 🇩🇪 hhhhhhhh😮😮😮 kila wakati nangalia pira hili duuh
mitatari bira biriani
Aunishindi mm ndugu
Me too
Siyo ww 2 adi mm vp kwanza uko poa❤
FEI toto ni msenge kama walivyo wasenge wengine,hana KITU huyo kenge!!! Katuharibia mno mpaka final haikufanyika kwa utulivu mbwa HUYU 😮😮😮
Yeah, THAT'S YOUNG AFRICANO
kabisa
Yes
Hii kam sikosei ni mara ya 40 naangalia tuu
Hii siku pacone na wenzake waliitendea haki kweli kweli😂😂😂
Moja ya mechi bora kuwai kuitazama yani narudia mala kwa mala sichoki. Nguvu morali upambanaji waliokuwa nao wachezaji wa YANGA. Daa mashabiki wanashangilia mpaka wanataka kulia. Ukimwangalia gamondi furaha aliyonayo mpaka amepitiliza. Sitakuja kuisahau huu mechi ngumu ngumu ngumu. Kimahesabu ilikuwa inakataa yanga kushinda gori 4 lakini iliwezekana. Pacome day ilipambaniwa kweli
Huu n uzalendo
This match caused Young African set to play with Sundown to lower their speed in quarter final,,despite that Sundown failed to defeat Young African,,ended in refusing the goal scored by Aziz Ki by referee.
May 30 hii mechi Huwa haichoshi kuitazama😊
Nikitazama mechi hii mpaka machozi yananitoka dah
Nilieinjia tena June 07 nipo hp
Happiness to tears....I love you YOUNG AFRICANS
Kwel sisi nd yanga kizaz sanaaah wananchi
Musonda ni mchezaji wa match kubwa na match ngumu huyu jamaa anajua sana kila game ikiwa tough ndo musonda anapowaka ,,,,play him at number 9 ,,,,
Yanga raha sana
Mudathiry mungu akupe afya njema
Kabisa
Asia vip
Still watching july 14 2024
Unforgettable game of last season
Hii yanga ni hatari sanaaa😮😮😮😮
😍😍
Hatari nanusu
i had seen musonda danced danced like he waiting for that ball to came to him and final he got it
Yes
Ila nyinyi msonda ni machine nyingine hiyo
Sio poa kaka
Ni mshambuliaji hatari kwa sasa tz
Unyama sanaa
unyama mpaka wap
Mh yani yanga bhana ndomana nakupenda llove yanga
Mudaaa weeee huna akilii shangilia gani hiyooo kama unabashia
Dah yang timu hakika mlifanya kaz ingawa 2lidhulumiwa gor ila mlifanya kaz naomba msimu ujao 2pambane zaid ya hapa mungu a2tie nguvu kufka club bingwa fainal amen!!
Jaman huyu azizi kweny magoli ya kupolan mpira Katikt ya maadui yupo vizur nakumbuka pia kuna vijan waliteswa wakapigwa matobo wawil pamj na kijan wa morogoro golini akala tobo chuma kweny nyavu
apewe mauwa yake
M2 mbad
SANA@@abdillahmchia8557
Bado tunafurahia ushindi
unafurahia ukiwa wapi
Tatehe 26 leo naangalia
Leo tarehe 14/6/2024 ni mimi tena
Had. K❤
German machine Mudathir yahaya mtambo wa mabao
Hii mechi ni classic sana
Benzema
kafanya nini
Leo 31
Mwarabu huyooo😂
Ukatae ama ukubali Yanga inajuwa BOLI ukweli
.na inajua tena
Leo tarehe 6 mey 2024
Allaah Akbar
Kiba
umeongea
Yaan kuna watu wanaumia utafikili wao ni waarabu kumbe ni waswahili wenye uswahili tii
wakina nani
@@kanisaladgmi watan zetu
Hi Young African ni balaaaa
Kweli asiefaa amefaaaaaaaa
Mmmmh noma
FROM SIMBA FUNNY NA KUSEMA BEST FOOTBALL EVER , YANGA SAFI SANA
junk 16/2024 nimeangalia Mara 3 mfululizo
Njon na likes
Inauma sana
Wanachokiona 😃😃😃😃😃😃😄😄😄😄😄😄😄😄😄
We're young Africans sc
haya mambo nimeyamiss jamn😂
Daaah booonge LA mechi dadeeeq ! Hapa naludiaga zaid kumwangalia tu gamond anavyo fulahi 😂😂
Kwa kweli hii ni mechi yakukumbukwa saaana kwa wananchi
Ndoo kitakacho watokei MAMELOD hiki
🔥🔥🔥🔥🔥
Unamkimbia mwanume mwenye mafanikio ya maisha,unaenda kuolewa na mtu choka mbaya.Unamuona mzanzibar mwenzio anavyofanikiwa?Mpumbavu wewe ,uliyeondoka Kwa fitina na majungu.
nishida zao
Wananchiiii
Duuu ww jamaa unafanya mtot asononeke sana aisee
TMK WALIIMBA WAKASEMA HII NI DALADALA ANASHUKA MTU ANAPANDA MTU
😂😂😂😂😂😂
Hatari
Mission is completed
Ila fei bana 2likuwa 2nakupends xana yanga unaaacha nafas za waz huku ukajikibiza kwenda huko pumbavu zako!! Angalia mzanzibar mwenzako xaxa anavyong'aa
nishida zake
Sidhani kama nimpumbavu kama unavyosema, maslahi nijambo la muhimu zaidi kuliko sifa
Hii mechi huwa nakuja kupoza stress zangu personal
❤
❤️❤️❤️
❤️❤️
😂😂😂❤❤❤😅😅😅yanga inajua
Mm shabiki
❤
Anaumw uyoo
Anauwa na nn tena
Uhakika
kabisa
Mmmh
Waguna nn
Good
😢😢😢mdaa
umeongea
Hao Mamaloda ajipange atapata kipigo
KESHO HIYO
❤❤❤❤
😍😍
Rose mmb
Natafuta mrembo
Tunaoangalia July 2024 gonga like ya nguvu hapa
Mamelodi yanga ingekamilika wangekaaaaa.nikiiangalia mechi hii fainali ilikuwa halali yetu.
Ki master alipigaje apoo😅
Bwana wee acha tuu😅
Hiii match inanimba usingizi siwezi lala kbl sijardia hiii Moira kuangali
Mungu alitak tupite ndo mana tukashinda 4
July 12 2024 gonga likes😢😢😢😢
Namimi hii ni Mara 100 naangalia uhondo huu wa mpira wa yanga
Hahahaha
😅😅😅
✔️
Ila mtangazi unabwebwe gondozi