LIVE | UZINDUZI WA IKULU YA CHAMWINO, DODOMA - 20/05/2023
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- Fuatilia Matangazo Mbashara ya Uzinduzi wa Jengo Jipya la Ikulu ya Chamwino Dodoma, ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anaongoza shughuli hiyo.
#AzamTVUpdates #AzamNews
Hongera sana bella
Ilitakiwa picha za JPM ziwekwe kwenye kilakona ya Dodoma
Hongera watanzania
Watu wa bustani mbona wanafeli hapo panatakiwa papigwe maji pawe kijani
Mrisho Mpoto hajamueleza vizuri bali kamsema kapunje kadogo msukuumaji wa maono ya Nyerere ambaye ni Magufuli. sikutegemea kwa kweli
Nurdin umemmaliza Marehemu Marini Hassan
Kwa atakae sikia simulizi hii katikati bila kuanza mwanzoni si hasha akajiuliza ni kipindi kilichorekodiwa enzi za uhai wa marehemu (Marini)
jamaa anajuaa kunogeshaa simuliziii nimependaa
Nafikiri huku ndani pasingeoneshwa sio kila mtu ajue ikulu ikoje
AHSANTE JPM,,KAZINZURI YA HAYATI MAGUFULI, NCHIYETU INGEKUWA NA MARAISI KAMA JPM INGEFIKAMBALISANA.
Nyerere was a diplomacy, alipoamua matawi yote ya TANU kulijadiri alikuwa ana-wa-empower watanzania wote. Baadhi ya watu wanafikiri yeye binafsi ndiye aliyefanya uamuzi huo na wengi hawakumwelewa na wakiwemo baadhi ya wapinzani wapiga madebe tupu. Mwinyi, Mkapa, na Kikwete walitoa mchango wao lakini wakashindwa kufikia pale JPM aliweza kufikia na Mama anamalizia yale yalianzishwa na mwasisi wa nchi yetu. Nashukuru mama umeweza kumuenzi JPM na kuimaliza hii kazi. Dodoma ni pazuri sana, watu sasa hivi ukiwaambia warudi Dar hawapendi kabisa.
ASNTE, JPM KWA NDOTO ZAKO, MWENDO UMEUMALIZA NDOTO UMEITEKELEZA ,,
Huyu anajikutaga kama rais