Mungu nisaidie kupitia ushuhuda huu wa familia hii,ukabadilishe loho yangu nimsaidie mzazi wangu aliebakia duniani pia ukanipatie upendo kwa wanadamu wote,kwakweli Martha mungu akafungue moyo wako umkumbuke mzazi wako, kama kweli unaamini huduma unayoitoa nizawadi kutoka kwa mungu basi mkumbuke mzazi wako na ndugu zako, kumbuka kuwa biblia inatukumbusha kuwa mtu asiependa wa nyumbani mwake ujue huyo naye nimchawi kama wachawi wengine, na mzazi ni mungu wa pili hapa duniani,usije ukajikosesha ufalume wa binguni kwa ajili ya kiburi,epuka kiburi muombe mungu afungue moyo wako,hatakama kunamaagano mabaya ambayo umesha jiingiza omba mungu akutoe kwenye moto huo mtazame mungu
yani ukifumba macho usiiangalie hii video usikilize tu sauti, unaweza jua anayeongea ni Martha. mwe mwe mweee Martha umefanana na mama yako mpaka sauti❤ love you momy❤ Mungu akutie Nguvu mama kipenzi.❤❤
Martha mwaipaja,, natamani Sana kuwa na mama ,sikiza nikwambie hata kama ni mdogo ki umri soma hii,,itakusaidia sana, Ephesians 6:1-3,,kumbuka mama alikubeba 9month,akakuosha 4 /3 mpaka ukajielewa wewe ni nani,ulikuwa wala kamasi hadi mama ka kufuza kuyafuta,hivi kweli unamcha Mungu wewe,maandiko inasema kutii ni bora kuliko dhabihu, kweli unatii haya mandiko wewe,hauzi kuhesabu makosa ya mama hata kama alikufanya nini,je huyu mama angekutoa,ungetoka wapi? Je huyu Mama angekunywa dawa utoke ungetoka wapi wewe? Kwanza shukuru Mungu Sana kwa ulezi wa mama alijitahidi sana ukajulikana ulimwenguni,angetaka ufe angekuzaa na akuachie baridi ufe tuh,dada yale unayofanya mamako mzazi akiwa anateseka namna hii, sikudanganyi unafanya kazi ya bure na sijakuhukumu, Mungu wa kwanza ni aliye juu mbinguni,wa pili ni wazazi na watatu ni familia yako ,kwa hio Machozi ya mama ni makali sana,changua moja lahana ama baraka,,imeniuma sana hii pole sana mama 😭,kama wakubalia na mimi comment hpo chini na u-like.
MImi niyapitia haya,nimesomesha watoto,mmoja yuko ngambo America mwingine ana kazi tena ameoa na anaishi vizuri,wa tatu anafanya biashara kitinda mimba tu ndiye bado niko naye lakini mimi upitia mateso jamani na hakuna wakunisaidia..Nimejifunza kufanya kazi wa bidii na ninapokwama huwa naenda kwa magoti ,namliia mungu na ananisaidia..Nimelia sana na nikagundua kweli ni vizuri kumtegemea mungu tu..wazazi wengi wanateseka hapa nje na hawasemi..Ushauri wangu kwa wazazi ni ,unapolea watoto wako,ngangana ujijenge nawe pia kwa maisha yako ya uhusoni..Hiki kizazi halijali wazazi
Jamani naomba tusimuhukumu huyu mama hadi kuja hapa mtandaoni nikwasababu amechoka kashindwa afanye nini. Wewe unae muhukumu Jaribu kuvaa kiatu cha huyu mama kama umezaa ndipo utaelewa huyu mama anauchungu kiasi gani. Huo Martha ingawa yupo hai anaishi kama amekufa kwa mama yake hayupo nachoona mimi huyu Mama martha sio kwamba ahitaji misaada kwa Martha hapana anahitaji tu ukaribu na mwanae hilo tu linamtosha. Naomba Mungu amfunguwe akili Martha amurudie Mamake aache kuwathamini watu baki kuliko Mama yake. Pia aache kuimba hizo Taarabu zake anazomuimbia ndugu yake Beatrice ati Hatufanani Hatufanani kira mtu na neema yake ni kweli lakini mimi nasikia kama nyimbo zake nyingi kwasasa zimekaa kitarabu Tarabu ni nyimbo zenye malengo yakukomoa mtu fulani. Martha fanye urudi kwenye mustali uimbe kwa kusifu na kuabudu Mungu wa kweli katika roho na kweli. Ulikua umeanza Vizri. Kuna wakati wakulia wakati wakuomboleza wakati wakusema Mungu wangu mbona umeniacha.
@@AbiaWilliam-s1syaaniiiii saiz ndo najua kuwa nyimbo zingine kumbe anaimbia mtu au watu kama hiyo hatufanani. Inasikitisha nlikuwa nampendaaaa Martha mnooooo. Simchukii hata sasa ila namuonea huruma na kinachonikera anajifanya hajali kabisa hayo mapuuza yanakera. Anatoa wimbo katikati ya haya na kujifanya hana habari inakeraaaaa
Ukiona mwimbaji wa injili aliyeanza vizuri na kuwabariki watu kwa nyimbo za kuabudu, kusifu na zenye mguso wa roho wa Mungu lakini kwa sasa akawa anaimba tu hazigusi tena kama zamani jua kuna roho iliyotofauti na ya Mungu aliye hai imemuingia na hapo ndio mambo huanza kuharibika
Huyu mama mm namfaham jaman mm nmezaliwa ngamanga wakati huo ilikuwa Wilaya ya njombe na Mathar amekaa ngamanga kwa bibi ake na bibi ake alikuwa anaitwa mwilongo walikaa kwa bibi yao mathar msaidie mama yako
@@begukulemosobe9685Huyo lazima atetee wasagaji wenzie yy mbona wazazi wake kuwajengea Mlandizi yaani mtu akiwa na chembechembe za hizi ni wakuogopwa 🌈😂
❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana wazazi wote has wanawake wote wenye matumbo ya uchungu mungu awalinde kwa jina la yesu na damu ya kristu iwe nanyi daima amina 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole Mama kipenzi😢naimani Mungu amekusikia na kupitia wewe wakafanikiwe wazazi wote wanaopitia machungu Ya watoto wao Mwenyezi Mungu akasikilize kilio chenu Aamiin
Sipend mama kuhojiwa kila media matha dada yangu mpigie mama cm mwambie mama sitaki uhojiwe tena mm ni mtt nilipo kosa nisamehe tuongee mm na ww tumalize mm nina mama kuna mda hua tunapishana lakin siwez muacha nikilud nyuma amenizaa nikiumwa apati usingiz mzaz hakosei inaniuma kuhojiwa mitandaon ongea na mama
Yani hizi mila na desturi kwenye baadhi ya mikoa embu iwe huruma kidogo jamani eeh mtu ukifiwa na mumeo unafukuzwa bado ukirudi kwenu ufukuzwe hali ya kuwa una watoto jamani sasa wanategemea unaenda kuishi wapi dah nimeumia mimi😢 mila nyingine ni za kuumiza tuu wanawake pole sana mama😢
Umenenaa sawiaa mila na desturi za ki africaa, zinaumizaa saana na zinamkandamizaa mwanamke , delivarance za kufutaa hizi milaa inatakiwaa ktk baadhi ya makabilaa, wanawake wanatesekaa na kudhalilikaa saana ! Mimi ni mhangaa wa mirathi!✍️✍️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Martha .. Betty you are twins ...mleeeni mum..😢😢😢😢😢pls plssss. We have only one Mother ..mine is dead and still crying till today. .pls your parents hata Kwa kifo walee pls plsssss eeh ❤❤❤❤❤❤❤❤
Kweli kabisa ni uchungu sana kama mama ukiona mtoto wako uliomzaa akiteswa na shetani. Mungu aliye hai ameona kilio chake tumsaidie kwa maombi tunaofahamu kuwa kunazo nguvu za giza na naamini dada yetu Martha atafunguliwa kwa minyororo hiyo kwa Jina kuu la Yesu 🙏🏻
Ndio maana mm kuna waimbaji nyimbo zao sisikizi kabisa. Unless Roho Mtakatifu aniongoze maanake wengi wao....they're just displaying their beauty & nothing else. Mm sina mapato but am trying my level best to help my parents...coz sisi hatuna pesa but najitahidi
Matha mpumbavu sana wewe unamjali hausgel kuliko mama yako hata Kama Amekukosea una kwama wapi Yesu gani unamtangaza kwa watu! Wakati mama yako Ndiyo mwana maombi yako!
@@angelemmanuel7143kumbe. Basi Mungu amsaidie Martha kabla Mungu hajamchukua mama yake asijekuja kufunguka akakuta mama hayupo duniani ataliaaaaaaaaaaaaaa
Haya ni mambo ya ndani sana ya kifamilia ila hata kama Kuna sehemu waliteleza wakakukwaza dada Martha achilia wasamehe hakuna mkamilifu chini ya jua ,Tengenezeni Martha nakupenda sana na nyimbo zako zinanibariki sana
Kuna ki2 kati ya Joan Na Matha kinaendelea aiwezekani athaminiwe kuliko Mama yake Nakuita Matha Mama ni Mungu wa pili Apa Duniani Sisi Ambao hatuna Mama wameshalala tunawa wa Miss Sana Mama Zetu
@@josephmusagasammm.haya unahuo usemi unaosema baba na mama nimungu wa pili.naile amli inayosema waheshimu baba na mama.hampotosh mtu.kila mtu anaamini anavyojua yeye.na wew unaamini unavyoamini wew.mungu ndio anawajua walio wake.sio wew ukosoe wenzio kama umekamilika sana.kwan mungu amekutembelea kukwambia wew umekamilika
mamangu mzazi naye anapitia maisha haya magumu huu mwaka 2024 ee mungu ukiniinua naomba nisaidie nimkumbuke mamangu ndugu wanatutenga sana sisi tuloifiwa na baba zetu
Kwetu ni mbeya kyela ipinda kafundo, izo mila na desturi zipo ni wanyanyasaji sana ukifiwa na mumewe, hawawezi kumfariji mfiwa, au mama mjane, wanyakyusa watu wa ajabu sana na mila zao Pole sana mama.
My dear hongerah lakin mda mwingine unaweza kutana na mama akakufanyia vitimbwi ad ukajuta kuzaliwa na huyo mama .... Especially wamama wa kibena....... My dear Kuna usem like son like Dady ...... Tusimlaumu sana Martha...... Mambo n mengi wazaz pia wanajeruhi sana mioyo ya watoto wakijivunia wao n miungu ya pili....... Inahitaj hekima..... Mungu amsaidie sana Martha
Hiyo ni kweli mpendwa lkn mzazi hakosei inabidi ukubaliane na mapungufu ya mzazi wako wewe kama mtoto ujue namna ya kusolve hilo tatizo. Simu Martha tu namimi mwenyewe yashanikuta niliumia sana @@beatricekisese3272
Mimi ninachoona ni Mungu aingilie kati Martha apate ukombozi maana kuna vita ,huyu mama anawafanana sana watoto wake mpaka sauti. Sasa nashindwa kumuelewa Joan anavotaka kuvuruga familia ya watu,Mungu amponye pia Joan anatumika kusambaratisha hiyo familia,Mungu pigana na wanaopigana na hii familia
NAOMBA NIKUSIKIZISHE SOMO HAPO.Ikiwa JOAN NI YATIMA NA MATHA MWAIPAJA kapewa JUKUMU NA YESU LA KUMLEA JOAN halafu ndugu wanampiga VITA JOANA AU MATHA Mwaipaja.MATHA MWAIPAJA NI LAZIMA ATASHINDA VITA kwasababu AMEMTII MUNGU.Hilo suala mwachieni MUNGU .
@@YOSHUAMWAMPETAUnasoma maandiko vizuri kweli wewe? Mungu yupi anayesema watoto wawatelekeze wazazi wao na kulea watu wengine? Amjali mama yake kwanza ndipo akasaidie wengine
Ni ngumu sana Mungu kumfungua mtu anayejiona yeye yuko sawa na hajatekwa kivyovyote. Martha Mungu akupe kutambua uko mahali siyo sahihi. Uimbaji ni kipaji tu hata mpagani ataimba na watu wataguswa. Usipumbazike kwa kuona unakubalika na wengi na kwamba hupandishi mapepo unaweza usiwe na vyote lakini ukawa vifungoni
mlio bahatika kua na wazazi mpaka leo mjitahidi sana kuwatunza wazazi wenu tusio na wazaz tunapitia mengi magumu lakini hatuna pakukimbilia inauma sana
Sasa hapo ndo nashangaa wahubili au mtu anayehubili neno la Mungu ndiye anayafanya haya au kuna nini,,mimi stoweza kuamini hiki kinachoendelea,,ila natamani na Martha atoke hazarani naye tumsikie au,kama sio hivyo bc niamini kuwa martha unataka kutuvunja moyo sisi mashabiki wako tunaokutazama kama kioo,,Martha ongea bc tujue nawe yakwako,wimbo wa ushindi nilazima hautoshi kutuaminisha kuwa wewe huna kosa lolote,twambie Bibie martha,One love 💪💪,kheri ya Christmas 🎄🎄🎄🎁🎁
Martha anampenda sna kumsaidia mama yake lakini yupo kwenye mashart na maagano makali jamani hela sio kitu Cha mchezo unaepambana kupata kidogo Cha halali Cha mwenyezi mungu na unasaidia wazazi wako na ndugu zako mshukuru sana mungu na umuombe akuzidishie
😢😢 Martha tuna kupenda embu rudi kwenye njia ili umree mama watu tunaumia sana kuoma wazazi wetu wametangulia mbele zahke 💔🤧msamni mama Ustaa hauto kufikisha popote acha zalau ipo cku kama ni kweli haya tunayo yaskia Dunia itakufunza uzuri wewe ni mwanamke una jua uchungu😢🙏mama assnte kwa kuniweka hp duniani nakupenda Sana ❤mamaangu😢
Martha kama fedha zako ni za halali msaindie mamako uchunge sana usiimbe sisi tukaingia mbinguni ama wengine wewe ukakosa kule kumbuka chakula ya kwaza ni titi la huyu mama hata kama amefanya aje mama ni mama mama ni mama na kama umefugwa na kitu chochote naye aanze kuteseka nawe ufunguliwe in Jesus name Ameeen Ameeen
Hivi hy Martha utatueleza nini tuliokua tunazpenda nyimbo zako...unaziimba tu kibiashara kumbe rohoni mwako hakuna kitu...wapo wanaotamani kua na mama zao km mm ili maisha yetu tufurahikie alafu ww unamfanyia mama yk hivi😢
Yaaani mathar umefanya niriye kweli wewe mathar niwakumufanya mama yako ajizaririshe mtandao kweli hii niaibu kubwa sana mathar huyu nimama yako kumbuka mungu uwa haziakiwa MAM mm tu
This lady reminds me of the story of my grandma Phoebe who was born an only child and when her father died her uncles expelled her from her village together with her mom because she was a girl and therefore disinherited,but God saw her through together with her mom whose sister raised my grandma and she eventually married,became succesful and a wiman of honor in bunyore society in western ,Kenya ...and beyond.....this practice of disinherting women and girls needs to stop because women rughts are human rights....may God bless mama martha whose songs I love and may she be reconciled with her beloved daughters....pole sana mama kwa yote,imani yako ita kupa matokeo mazuri❤. Foll
which Phoebe? sounds like my sister Phoebe but our mom was the one from bunyore and when dad died we were expelled and rejected by our uncles(dad's brother's)
@@JamaliMalike haha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi sio kijana mm nimwanamke na huyu mama nimetokea kumpenda kama mama yangu mzazi maana nimrembo kama mama yangu mimi ni musna
Martha tafadhali najua una Hadith ya kuadidhia lakini kumbuka tunamhudumia mungu wa second chance,wasamehe umsaidie mama 😭😭😭 jamani nalia kwa badala yako dada
Mama nimekusikiliza sana nimekuelewa Kaa chini na watoto wako mshirikishi mungu alihai muyamalize hayo matatizo usimkaribishe shetani akutawale kwani mnajiabisha sana
Mama mzuri hivi tena anabusara sana mwenye uvumilivu na mwenye upendo mkubwa, nàfikiri kila mtu angetamani kumpata mama kama huyu... sijui kwanini baadhi ya watu wakishafanikiwa wanawasahau wazazi na kuwadharau...
daa ina umasana tuna tesekasana nawatoto kuwalea mpaka kuwakuza. nilijuwa bitris anaonge uongo. Masa mshilikishe mungu sana mama ni mungu wako wapili maana mungu Ali mwami ni mamayako mpaka ukawa ivyo
Mi nafikiri huyu mama hako hapa kutafuta musada wa pesa kutoka kwa manae japokuwa na kumusaidia ni wajibu wake kama mutoto, ila anauchungu sana kwa kumupoteza mwanae anahuzuni na mtoto wake. Inauma sana.
@ sasa unanitukana nini labda hukuelewa message yangu . Nimesema kuwa huyu mama hatafuti pesa kutoka kwa mwanae bali anauchungu na mtoto wake. Soma message vizuri. Kwani nimesema anatafuta pesa ?
Martha Be serious the way I love your songs and you sisters song,Kumbuka mama ni muhimu na isiwe ni hasira dada licha ya changamoto pengine za kifamilia ,pesa sio kila kitu wala Raha.❤.I love you my sister kumbuka nyuma dada na umwangalie mama please.
Jamani sio kilafamilia watoto wote wanaotunza wazazi wao ilawazazi walio wengi wananyamaza ,jihesabuni ninyi kwenu wote mlivyo zaliwa kwenye familia moja mnawatunza wote wazazi wenu
Huyu mama Mungu amsaidie amwombee mwanae, asimame kwa nafasi yake kama mama kuomba kwa ajili ya uzao wake na siyo kumtangaza vibaya kwa media maana haitamsaidia kabisa. Mambo ya kiroho yanashughulikiwa kiroho na siyo kimwili.
Munga mtie nguvu huyu mama mana uchungu wa mwana aujuaye ni Mama pole Sana mamangu kiukweli Sisi wenye tuna mioyo na ndoto zakutunza wazazi wetu Ndo hatuna kipato 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Nimempenda huyu mama ana kumbukumbu na anajua hesabu haya sio mapya mujini nakumbuka munalove nae alijichomoaga betri akasema mama yake amefariki lakin sasa hv anapiga nae picha😅😅😅😅 wasanii wa bongo ni wasanii tu
Huyu mama hajajianika mtandaoni, sema tu waandishi wamemfuata, kumuhoji baada ya ushuhuda wa mwanae Beatrice, kwanza huyu mama namuona yuko poa sana amemshiba Yesu, haitaji msaada wa mwanadamu kinachomuumiza ni kuukosa upendo wa ndugu hasa watoto wake😭😭
Jamani tamaa ni mbaya sana ushuhuda huu ni funzo kwet pia tusipende sifa ni hafadhali dunia akutenge kuliko mungu baba na mama ni mthingi wa duniani mithingi inapotikisika yumba ni lazima ipasuke hili ni fuzo kwetu pia tukumbuke kuwalea wazazi wetu ndio msingi wetu
martha ,martha,sina mama muzazi,sai ata sai najuiliza hi christmas nani atanipokea kama aliekuwa muzazi wangu,your mum angekuwa mukwnya ningemuwomba awe mamangu anipanguze machozi hii,navile your mum iso biutyful aki,tena anakaa roho safi tena mucha mungu,ooi mungu kumbuka huyu mama yangu ju mwaipaja alimukana,mum ilov you ata kama sina chochote chakukupea,ilove you🌹🌹🌹❤❤
Ni dhambi na aibu kubwa sana ati sasa mamako anakuja mitandaoni kuja kujieleza kuprove a point ati ni mamako..Mungu atakurahani sana Martha msaidie mamako.
Matha mungu akupe kibali cha kumtunza mama yako, hataka kama kunajambo lilikuudhi achilia sababu wewe unatuhubiria kupitia nyimbo za injili,, fanya wepesi kukaa na mama yako.
Duuuu shida kbsa yesu munamusingizia sikuyamwisho atawakanaa lav.hao wanawake wanafwata ibrisi nanyimbo zao ndio mana wanafanya maajabu hayo Kwakwer hakuna kama.mama❤
Mungu nisaidie kupitia ushuhuda huu wa familia hii,ukabadilishe loho yangu nimsaidie mzazi wangu aliebakia duniani pia ukanipatie upendo kwa wanadamu wote,kwakweli Martha mungu akafungue moyo wako umkumbuke mzazi wako, kama kweli unaamini huduma unayoitoa nizawadi kutoka kwa mungu basi mkumbuke mzazi wako na ndugu zako, kumbuka kuwa biblia inatukumbusha kuwa mtu asiependa wa nyumbani mwake ujue huyo naye nimchawi kama wachawi wengine, na mzazi ni mungu wa pili hapa duniani,usije ukajikosesha ufalume wa binguni kwa ajili ya kiburi,epuka kiburi muombe mungu afungue moyo wako,hatakama kunamaagano mabaya ambayo umesha jiingiza omba mungu akutoe kwenye moto huo mtazame mungu
yani ukifumba macho usiiangalie hii video usikilize tu sauti, unaweza jua anayeongea ni Martha. mwe mwe mweee Martha umefanana na mama yako mpaka sauti❤
love you momy❤ Mungu akutie Nguvu mama kipenzi.❤❤
Yani huyu ni mama yake kwa kweli??
Martha pesa zake za majini ndiioman hakumbuki hata mam yake mzazi
Mama ni mungu wa pili ❤❤
kilaki2 kinanafasiyake mngu anasema mwenyeez mngu nimumoja mwenyeezimngu mkusudiwa hakuzaaawala hakuzaliwa Wala hana anaefanananae hatammoja Wala hana anaeshirikiananae katka ufarmewake 😎😎
Martha mwaipaja,, natamani Sana kuwa na mama ,sikiza nikwambie hata kama ni mdogo ki umri soma hii,,itakusaidia sana, Ephesians 6:1-3,,kumbuka mama alikubeba 9month,akakuosha 4 /3 mpaka ukajielewa wewe ni nani,ulikuwa wala kamasi hadi mama ka kufuza kuyafuta,hivi kweli unamcha Mungu wewe,maandiko inasema kutii ni bora kuliko dhabihu, kweli unatii haya mandiko wewe,hauzi kuhesabu makosa ya mama hata kama alikufanya nini,je huyu mama angekutoa,ungetoka wapi? Je huyu Mama angekunywa dawa utoke ungetoka wapi wewe? Kwanza shukuru Mungu Sana kwa ulezi wa mama alijitahidi sana ukajulikana ulimwenguni,angetaka ufe angekuzaa na akuachie baridi ufe tuh,dada yale unayofanya mamako mzazi akiwa anateseka namna hii, sikudanganyi unafanya kazi ya bure na sijakuhukumu, Mungu wa kwanza ni aliye juu mbinguni,wa pili ni wazazi na watatu ni familia yako ,kwa hio Machozi ya mama ni makali sana,changua moja lahana ama baraka,,imeniuma sana hii pole sana mama 😭,kama wakubalia na mimi comment hpo chini na u-like.
😢😢
Nimekupitia nipitie pia tugrow pamoja
@@purityjames3668 asante sana puri
HALAF MBONA KUNA SURA MBILI ZINATREND MTANDAONI SASA YUPI NA MAMA MZAZI HALISI WA MARTHA
Nipitie pia @@purityjames3668
MImi niyapitia haya,nimesomesha watoto,mmoja yuko ngambo America mwingine ana kazi tena ameoa na anaishi vizuri,wa tatu anafanya biashara kitinda mimba tu ndiye bado niko naye lakini mimi upitia mateso jamani na hakuna wakunisaidia..Nimejifunza kufanya kazi wa bidii na ninapokwama huwa naenda kwa magoti ,namliia mungu na ananisaidia..Nimelia sana na nikagundua kweli ni vizuri kumtegemea mungu tu..wazazi wengi wanateseka hapa nje na hawasemi..Ushauri wangu kwa wazazi ni ,unapolea watoto wako,ngangana ujijenge nawe pia kwa maisha yako ya uhusoni..Hiki kizazi halijali wazazi
Hmmm pole Sawa
Kweli kabisa
😢 Martha please 🙏 help your mum,we really loves you here in Kenya..do not let your mum suffer and yet your Lord has done more favours upon your name
I second you on this from Kenya too
You love her not we
We really "loves" you😂 ongea tu kiswahili achana na umagharibi😢
she cant help her money are from ile taasis....... its not that easy there are rules to abide with
Very true
Daah nampenda mama yangu n asiwez kumsahau Asante mwenyezi mungu kwa kutupa wazaz♥️♥️♥️🇹🇿
Jamani naomba tusimuhukumu huyu mama hadi kuja hapa mtandaoni nikwasababu amechoka kashindwa afanye nini. Wewe unae muhukumu Jaribu kuvaa kiatu cha huyu mama kama umezaa ndipo utaelewa huyu mama anauchungu kiasi gani. Huo Martha ingawa yupo hai anaishi kama amekufa kwa mama yake hayupo nachoona mimi huyu Mama martha sio kwamba ahitaji misaada kwa Martha hapana anahitaji tu ukaribu na mwanae hilo tu linamtosha. Naomba Mungu amfunguwe akili Martha amurudie Mamake aache kuwathamini watu baki kuliko Mama yake. Pia aache kuimba hizo Taarabu zake anazomuimbia ndugu yake Beatrice ati Hatufanani Hatufanani kira mtu na neema yake ni kweli lakini mimi nasikia kama nyimbo zake nyingi kwasasa zimekaa kitarabu Tarabu ni nyimbo zenye malengo yakukomoa mtu fulani. Martha fanye urudi kwenye mustali uimbe kwa kusifu na kuabudu Mungu wa kweli katika roho na kweli. Ulikua umeanza Vizri. Kuna wakati wakulia wakati wakuomboleza wakati wakusema Mungu wangu mbona umeniacha.
Kabisa sasa hv aimbi kama zaman
@@AbiaWilliam-s1syaaniiiii saiz ndo najua kuwa nyimbo zingine kumbe anaimbia mtu au watu kama hiyo hatufanani. Inasikitisha nlikuwa nampendaaaa Martha mnooooo. Simchukii hata sasa ila namuonea huruma na kinachonikera anajifanya hajali kabisa hayo mapuuza yanakera. Anatoa wimbo katikati ya haya na kujifanya hana habari inakeraaaaa
Hata mimi nimegundua kuwa mafumbo yote anayoimba kumbe anamwimbia Mama yake na mdogo wake jamaniii Martha ni huzuni
Ukiona mwimbaji wa injili aliyeanza vizuri na kuwabariki watu kwa nyimbo za kuabudu, kusifu na zenye mguso wa roho wa Mungu lakini kwa sasa akawa anaimba tu hazigusi tena kama zamani jua kuna roho iliyotofauti na ya Mungu aliye hai imemuingia na hapo ndio mambo huanza kuharibika
Mungu mkumbushe mja wako Martha kuwa Kuna wazazi tofaut na umaalufu sad story from mather😢😢😢
Kina diamond wamewatunza mama Zao vizuri.wamepea dada zao jina aafu wakristo mtu anangara aafu mamaake anakaa hivi kweli
Usihukumu kuwa dini ndio sababu, hio ni moyo na roho ya mtu dini haihusiki.
Lakini kamkataa babake,ni kama Martha tu hawana tofauti
It's so sad, Martha should style up and take care of her mother
Hii ni pesa ya kweli au niza kishetani kwa maana za Mungu zina Baraka mbona hizi mama anamachoozi hiisi llaana jamani
Ukrsto umetoka wap xaxa apo Acha uxhmba wa dini
Huyu mama mm namfaham jaman mm nmezaliwa ngamanga wakati huo ilikuwa Wilaya ya njombe na Mathar amekaa ngamanga kwa bibi ake na bibi ake alikuwa anaitwa mwilongo walikaa kwa bibi yao mathar msaidie mama yako
@wolperstylish uje usikie maana wewe unamsaidia na kumsifia mama yako halafu unasherehekea mwenzako kwa tabia yake
Pia wanafanana useme mama mtumzima pia mazingira yanakuwa ya uzeeke mapema
@@begukulemosobe9685Huyo lazima atetee wasagaji wenzie yy mbona wazazi wake kuwajengea Mlandizi yaani mtu akiwa na chembechembe za hizi ni wakuogopwa 🌈😂
Duh jamani aisee huyu mama nilipomuona jana nilijua kuna ukweli ndani yake umekuja kuthibitisha kabisa
Jamani kwani bila kusaidiwa na marther, maisha hayawezi kuenderea. Tupunguze kulia lia, kila mmoja anafungu lake.
❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana wazazi wote has wanawake wote wenye matumbo ya uchungu mungu awalinde kwa jina la yesu na damu ya kristu iwe nanyi daima amina
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Natamani hii leo ningekuwa na wazazi wangu mm mpaka leo jamani ,Mungu mtie huyu mama nguvu jamani huyu Mather kweli kweli ni akili yake kweli .😭😭😭😭
Mama anafanana Sana na Matha mpaka sauti. Sema Tu Matha kajichubua.
Wamefanana ata na Beatrice
Hata hajajichubua ni filter Tu live ni mweusi namuona kanisani kila siku
hajajichubua ni filter tu
@@reytonie4362ni kweli mamake mzazi?
Mama ni mstarabu Sana nime mpenda bule
Wewe acha zako hapo kila mtu anampenda sana too, lakini ukiwa rafiki mzuri lazima utowe ushauri
Pole Mama kipenzi😢naimani Mungu amekusikia na kupitia wewe wakafanikiwe wazazi wote wanaopitia machungu Ya watoto wao Mwenyezi Mungu akasikilize kilio chenu Aamiin
Nimekupitia nipitie pia tugrow pamoja
Umenena vyema Mungu akafungue akili za watu woote waliofanikiwa na kuwasahau wazazi wao.. Amina.
Matha dada yangu mbona nasahau🎉ulikotoka Hadi kumfanya mama yetu kuumia kiasi hicho hakika mungu anakuona. 😂😂😂😂
Sipend mama kuhojiwa kila media matha dada yangu mpigie mama cm mwambie mama sitaki uhojiwe tena mm ni mtt nilipo kosa nisamehe tuongee mm na ww tumalize mm nina mama kuna mda hua tunapishana lakin siwez muacha nikilud nyuma amenizaa nikiumwa apati usingiz mzaz hakosei inaniuma kuhojiwa mitandaon ongea na mama
Mungu naomba unipe hekima ni watunze wazazi wangu na kuwaheshimu mbaka mwisho 🙏
Hi nipitie nimekupitia pia tugrow
Baraka tele
Ameen
❤❤❤ kabisaa
Amina🙏
Yani hizi mila na desturi kwenye baadhi ya mikoa embu iwe huruma kidogo jamani eeh mtu ukifiwa na mumeo unafukuzwa bado ukirudi kwenu ufukuzwe hali ya kuwa una watoto jamani sasa wanategemea unaenda kuishi wapi dah nimeumia mimi😢 mila nyingine ni za kuumiza tuu wanawake pole sana mama😢
Umenenaa sawiaa mila na desturi za ki africaa, zinaumizaa saana na zinamkandamizaa mwanamke , delivarance za kufutaa hizi milaa inatakiwaa ktk baadhi ya makabilaa, wanawake wanatesekaa na kudhalilikaa saana ! Mimi ni mhangaa wa mirathi!✍️✍️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Martha .. Betty you are twins ...mleeeni mum..😢😢😢😢😢pls plssss. We have only one Mother ..mine is dead and still crying till today. .pls your parents hata Kwa kifo walee pls plsssss eeh ❤❤❤❤❤❤❤❤
Uyu mama ananiliza kila saaa Kwa sisi tulo zaaa uchungu wa mwana unaumaaaaaaa pole mama huu niwakati wa MUNGU kukujibu
Kweli kabisa ni uchungu sana kama mama ukiona mtoto wako uliomzaa akiteswa na shetani. Mungu aliye hai ameona kilio chake tumsaidie kwa maombi tunaofahamu kuwa kunazo nguvu za giza na naamini dada yetu Martha atafunguliwa kwa minyororo hiyo kwa Jina kuu la Yesu 🙏🏻
Dah pole 😭😭😭
Usijali Mama, Yesu kamtumia Bite kufikisha ujumbe kwa jamii ili Martha apone
Tuma namba nitoe sadaka
Ndio maana mm kuna waimbaji nyimbo zao sisikizi kabisa.
Unless Roho Mtakatifu aniongoze maanake wengi wao....they're just displaying their beauty & nothing else.
Mm sina mapato but am trying my level best to help my parents...coz sisi hatuna pesa but najitahidi
Matha mpumbavu sana wewe unamjali hausgel kuliko mama yako hata Kama Amekukosea una kwama wapi Yesu gani unamtangaza kwa watu! Wakati mama yako Ndiyo mwana maombi yako!
Ajenti huyo dada anavuruga familia zawatu
Yani hayo ya Martha na Beatrice yalitokea kwetu na familia yangu pia ila namshukuru Mungu alimrudisha dada yangu Martha kweli anakosea
@@angelemmanuel7143kumbe. Basi Mungu amsaidie Martha kabla Mungu hajamchukua mama yake asijekuja kufunguka akakuta mama hayupo duniani ataliaaaaaaaaaaaaaa
Yaaniiiii @@angeljoseph8103
@@angelemmanuel7143abadilike kabla hajamkosa mama Mungu akimchukua ataliaaaaaa Martha atalia mnoooo
Shida si Martha,shida ni ule msichana anae control Martha but we pray for you mum.
Haya ni mambo ya ndani sana ya kifamilia ila hata kama Kuna sehemu waliteleza wakakukwaza dada Martha achilia wasamehe hakuna mkamilifu chini ya jua ,Tengenezeni Martha nakupenda sana na nyimbo zako zinanibariki sana
Mama hakosei kamwe mungu ndo anaweza mhukumu
Ukweli husemwa, Martha hayuko sawa hatakama kuna nini mama ni mama, I can feel there’s something wrong kwa Martha Mungu ahingilie Kati too.
Mama hakoseyi mama ni mama 😭😭😭😭😭
@@Bboy-ek8vnbibilia pia inatuambia kwamba wazazi wasiwachokoze watoto wao wasije wakakataa tamaa
WAGALATIA 3:21
Mamako anaweza akakukwaza NDOO umtupe usimsaidie,josa Gani au ni dhambi ipi ambayo haisamehewi,hasa Kwa mzazi,uyu Hana huduma kabisa,.
Matha matha nakupenda mno nyimbo zako zinaishi kwenye moyo wangu na pia zimenifanya kua na msimamo,nakuomba sana nenda kwa mama kamfute machozi
Kuna ki2 kati ya Joan Na Matha kinaendelea aiwezekani athaminiwe kuliko Mama yake Nakuita Matha Mama ni Mungu wa pili Apa Duniani Sisi Ambao hatuna Mama wameshalala tunawa wa Miss Sana Mama Zetu
Wana maagano yakishetani
Mungu ni mmoja tu hakuna Mungu wawili. Hivyo mama hawezi kuwa Mungu. Jiangalie sana kupotosha watu na kumbuka kila neno litatolewa hesabu. Kazi kwako.
@@josephmusagasammm.haya unahuo usemi unaosema baba na mama nimungu wa pili.naile amli inayosema waheshimu baba na mama.hampotosh mtu.kila mtu anaamini anavyojua yeye.na wew unaamini unavyoamini wew.mungu ndio anawajua walio wake.sio wew ukosoe wenzio kama umekamilika sana.kwan mungu amekutembelea kukwambia wew umekamilika
mamangu mzazi naye anapitia maisha haya magumu huu mwaka 2024 ee mungu ukiniinua naomba nisaidie nimkumbuke mamangu ndugu wanatutenga sana sisi tuloifiwa na baba zetu
Amen
Kwetu ni mbeya kyela ipinda kafundo, izo mila na desturi zipo ni wanyanyasaji sana ukifiwa na mumewe, hawawezi kumfariji mfiwa, au mama mjane, wanyakyusa watu wa ajabu sana na mila zao Pole sana mama.
Mimi kwetu makwale kateela ,huo ni uongo
Wanafanana sanaaa matha unapoteza baraka zako mludie mama yako
Kwekweli kwajisi na mupenda mamayangu eeh Mungu nakushukuru kwakunipa roho nzuli ikotofauti nawengine namupenda mamayangu nipate nikose tutacangia wote .sasa mathar kweli unaimbia Mungu kumberohoyako ikovibaya polesana
My dear hongerah lakin mda mwingine unaweza kutana na mama akakufanyia vitimbwi ad ukajuta kuzaliwa na huyo mama .... Especially wamama wa kibena....... My dear Kuna usem like son like Dady ...... Tusimlaumu sana Martha...... Mambo n mengi wazaz pia wanajeruhi sana mioyo ya watoto wakijivunia wao n miungu ya pili....... Inahitaj hekima..... Mungu amsaidie sana Martha
Hiyo ni kweli mpendwa lkn mzazi hakosei inabidi ukubaliane na mapungufu ya mzazi wako wewe kama mtoto ujue namna ya kusolve hilo tatizo. Simu Martha tu namimi mwenyewe yashanikuta niliumia sana @@beatricekisese3272
mama n mama hata akae@@beatricekisese3272
Mama n mama hata Kam akakukata mkono mama n daraj kubw sana katik hii dunia
Mimi ninachoona ni Mungu aingilie kati Martha apate ukombozi maana kuna vita ,huyu mama anawafanana sana watoto wake mpaka sauti.
Sasa nashindwa kumuelewa Joan anavotaka kuvuruga familia ya watu,Mungu amponye pia Joan anatumika kusambaratisha hiyo familia,Mungu pigana na wanaopigana na hii familia
NAOMBA NIKUSIKIZISHE SOMO HAPO.Ikiwa JOAN NI YATIMA NA MATHA MWAIPAJA kapewa JUKUMU NA YESU LA KUMLEA JOAN halafu ndugu wanampiga VITA JOANA AU MATHA Mwaipaja.MATHA MWAIPAJA NI LAZIMA ATASHINDA VITA kwasababu AMEMTII MUNGU.Hilo suala mwachieni MUNGU .
A@@YOSHUAMWAMPETAaliekwambia Joan niyatima ninan? Au hufatirii vizur intavwe.nahuyo martha alipewa kibali Cha kumlea huyo yatima joan.unamjua?
@@YOSHUAMWAMPETAUnasoma maandiko vizuri kweli wewe? Mungu yupi anayesema watoto wawatelekeze wazazi wao na kulea watu wengine? Amjali mama yake kwanza ndipo akasaidie wengine
Wewe unauwakika kama uyo ni yatima? Kwaiyo yatima ndio anatakiwa kutoa ufitin ?@@YOSHUAMWAMPETA
@@OmbeniMwalupindikwakweli sio yatima
Ni ngumu sana Mungu kumfungua mtu anayejiona yeye yuko sawa na hajatekwa kivyovyote. Martha Mungu akupe kutambua uko mahali siyo sahihi. Uimbaji ni kipaji tu hata mpagani ataimba na watu wataguswa. Usipumbazike kwa kuona unakubalika na wengi na kwamba hupandishi mapepo unaweza usiwe na vyote lakini ukawa vifungoni
Uko sahihi
This Mum is on of True Hero,s o❤❤❤❤❤❤❤❤❤
mlio bahatika kua na wazazi mpaka leo mjitahidi sana kuwatunza wazazi wenu tusio na wazaz tunapitia mengi magumu lakini hatuna pakukimbilia inauma sana
Pole dear 🙏😓
Eee mwenyez mungu nisaidie mimi ni pate zaid nimpe na mama yangu kila inapoitwa Leo kabla sijafa nimfanyie kitu Cha kumbumbuku
Hata wewe uta msahau mama yako
Sasa hapo ndo nashangaa wahubili au mtu anayehubili neno la Mungu ndiye anayafanya haya au kuna nini,,mimi stoweza kuamini hiki kinachoendelea,,ila natamani na Martha atoke hazarani naye tumsikie au,kama sio hivyo bc niamini kuwa martha unataka kutuvunja moyo sisi mashabiki wako tunaokutazama kama kioo,,Martha ongea bc tujue nawe yakwako,wimbo wa ushindi nilazima hautoshi kutuaminisha kuwa wewe huna kosa lolote,twambie Bibie martha,One love 💪💪,kheri ya Christmas 🎄🎄🎄🎁🎁
Hii Dunia satki kutamani kabisa maisha ya watu..kikubwa niwe na hela ya kula na uhakika wa kesho.. Masharti stoyaweza
Ameni
Wew nimimi kabisa
Good point
Ukweli kabisa Masharti yao hatuyawezi Daah
@@mablemadahana4758 Ushirikina mwingi
Nataman sana kuwa na mama mm 😢 jmn lakn ndio ivo mungu amemchukua 😭
polesana 😢
Mungu awe mpatanishi wa hii familia,familia zina siri nyingi sana mama mtegeme Mungu.
Martha mwaipaja kumbuka mama ni mungu wa pili ko msaidie mama yako
Jamani. Mbonamimi siamini martha huyuhuyunaemjuwamimi? ❤
Martha anampenda sna kumsaidia mama yake lakini yupo kwenye mashart na maagano makali jamani hela sio kitu Cha mchezo unaepambana kupata kidogo Cha halali Cha mwenyezi mungu na unasaidia wazazi wako na ndugu zako mshukuru sana mungu na umuombe akuzidishie
Ila media bwana kwahyo huyu ni mama wa ngapi kwa martha kama wamezingua gonga like😮
Vaa miwani umtazame vizuri
@mbengotv 😂😂😂😂😂😂😂Naona vizr mpanka nakela kwani huyu na yule yupi wa kweli
😂😂😂😂Huyu NI really mama ya martha.ata alitokea video ya mama kwa bitrace@@mbengotv
@@Vematv248huyu ni yule yule
Ina maana huon na kitambaa Cha kichwan n kile kile
😢😢 Martha tuna kupenda embu rudi kwenye njia ili umree mama watu tunaumia sana kuoma wazazi wetu wametangulia mbele zahke 💔🤧msamni mama Ustaa hauto kufikisha popote acha zalau ipo cku kama ni kweli haya tunayo yaskia Dunia itakufunza uzuri wewe ni mwanamke una jua uchungu😢🙏mama assnte kwa kuniweka hp duniani nakupenda Sana ❤mamaangu😢
Apandacho mtu ndicho atakachovuna
Martha kama fedha zako ni za halali msaindie mamako uchunge sana usiimbe sisi tukaingia mbinguni ama wengine wewe ukakosa kule kumbuka chakula ya kwaza ni titi la huyu mama hata kama amefanya aje mama ni mama mama ni mama na kama umefugwa na kitu chochote naye aanze kuteseka nawe ufunguliwe in Jesus name Ameeen Ameeen
Mama muamini mungu ipo siku itakuja kukupgia magoti kukuomba msamaha hayo maisha alio pata yanampa kiburi
Pole sana mwanamke Mungu akupiganie
Am not judging anyone bt martha atakama mama alikosea msamehe mrudiane mkae kama familia may God visit this family and give them love,unity
Yule mtoto wa Martha aliyesema Martha na Beatrice mama yao ni tofauti alikuwa anajielewa kwel
Hivi hy Martha utatueleza nini tuliokua tunazpenda nyimbo zako...unaziimba tu kibiashara kumbe rohoni mwako hakuna kitu...wapo wanaotamani kua na mama zao km mm ili maisha yetu tufurahikie alafu ww unamfanyia mama yk hivi😢
Mh kabisa kwakweri
Yaaani mathar umefanya niriye kweli wewe mathar niwakumufanya mama yako ajizaririshe mtandao kweli hii niaibu kubwa sana mathar huyu nimama yako kumbuka mungu uwa haziakiwa MAM mm tu
jamani huyu mama ni muungwana sana,anaongea kwa utaratibu na anaonekana ni mama mwema sana. na mwenye upendo.
This lady reminds me of the story of my grandma Phoebe who was born an only child and when her father died her uncles expelled her from her village together with her mom because she was a girl and therefore disinherited,but God saw her through together with her mom whose sister raised my grandma and she eventually married,became succesful and a wiman of honor in bunyore society in western ,Kenya ...and beyond.....this practice of disinherting women and girls needs to stop because women rughts are human rights....may God bless mama martha whose songs I love and may she be reconciled with her beloved daughters....pole sana mama kwa yote,imani yako ita kupa matokeo mazuri❤.
Foll
which Phoebe? sounds like my sister Phoebe but our mom was the one from bunyore and when dad died we were expelled and rejected by our uncles(dad's brother's)
Ila Martha mwaipaja useme chochote uache unafiki unaliachia litoto lidogo likuongelee ulipokuwa unazaliwa lili kuwepo😢😢😢😢😢😢😢😢
Nashangaa tena litoto lenyewe linadharau familia..😊
Sio yeye amefanywa kuwa zezeta 😢 yaan hana usemi wowote juu ya joana,joana anacontrol kila kitu
Kabisaaaaaa @@WiselightOfficial
Matha tutakuandama mpk umrudia Mungu wa kweli
Pole sana Mama,kwa hayo yote uliyoyapitia na wanao Martha na Beatrice.Mungu atakusaidia.
Huyu mama nimrembo kwerikweri kiukweli nimetokea kumpenda
Yani vijana wa ovyo utawa juwa tu
@@JamaliMalike haha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi sio kijana mm nimwanamke na huyu mama nimetokea kumpenda kama mama yangu mzazi maana nimrembo kama mama yangu mimi ni musna
Martha tafadhali najua una Hadith ya kuadidhia lakini kumbuka tunamhudumia mungu wa second chance,wasamehe umsaidie mama 😭😭😭 jamani nalia kwa badala yako dada
Mchungaji Mgogo alisema wazazi wanasahauliwa wanunua nguo za mitumba baba ananunua blauzi za kike anajua ni shati. Hii ni somo .
Matha matha mwaipaja uchungu wa Mama unaumiza sana wewe ni mwanamke
naivo ndivyo atafanyiwa namwanae,ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga
Martha msaindie mama yako yaani wewe ni msanii mkubwa na mama yako anakaa chokora hii ni maajabu ya musa
Jamaniii yan watt wanahela hvyo mama yuko hivi ee mungu nisaidie mm niwatunze wazazi wangu
madha dada yangu kipenzi nakupenda sana samehee yote yaliyojitokeza kwenye maisha yako achilia
Nimelia sana , 😢 i miss my mama i.wish she was still a life .
Mama nimekusikiliza sana nimekuelewa Kaa chini na watoto wako mshirikishi mungu alihai muyamalize hayo matatizo usimkaribishe shetani akutawale kwani mnajiabisha sana
Anajiaibisha nini?wanawake waliozaa tu ndio watamuelewa huyu mama
Mama mzuri hivi tena anabusara sana mwenye uvumilivu na mwenye upendo mkubwa, nàfikiri kila mtu angetamani kumpata mama kama huyu... sijui kwanini baadhi ya watu wakishafanikiwa wanawasahau wazazi na kuwadharau...
Tena kijana.ningeringa nae..ningemuhudumia.
Hawaoni hata wanamziki wa dunia?kina diamond, kina jux wanavyopenda wazazi wao
Mhuu naishiwa cha kuzungumza zaidi Mungu akuonekanie Mama
daa ina umasana tuna tesekasana nawatoto kuwalea mpaka kuwakuza. nilijuwa bitris anaonge uongo. Masa mshilikishe mungu sana mama ni mungu wako wapili maana mungu Ali mwami ni mamayako mpaka ukawa ivyo
Mi nafikiri huyu mama hako hapa kutafuta musada wa pesa kutoka kwa manae japokuwa na kumusaidia ni wajibu wake kama mutoto, ila anauchungu sana kwa kumupoteza mwanae anahuzuni na mtoto wake. Inauma sana.
Acha usenge Hela kitu gani
@ sasa unanitukana nini labda hukuelewa message yangu . Nimesema kuwa huyu mama hatafuti pesa kutoka kwa mwanae bali anauchungu na mtoto wake. Soma message vizuri. Kwani nimesema anatafuta pesa ?
Nimekupitia nipitie tugrow pamoja
@@purityjames3668 Thank you , nakuja 👌
Msamehe, hajakuelewa@@Christella12-g3j🤣
Jitolee zako mama nyongo popote afu kamuombe Mungu akusaidie.Stress zinaua vby sana
Martha Be serious the way I love your songs and you sisters song,Kumbuka mama ni muhimu na isiwe ni hasira dada licha ya changamoto pengine za kifamilia ,pesa sio kila kitu wala Raha.❤.I love you my sister kumbuka nyuma dada na umwangalie mama please.
Jamani sio kilafamilia watoto wote wanaotunza wazazi wao ilawazazi walio wengi wananyamaza ,jihesabuni ninyi kwenu wote mlivyo zaliwa kwenye familia moja mnawatunza wote wazazi wenu
Huyu mama Mungu amsaidie amwombee mwanae, asimame kwa nafasi yake kama mama kuomba kwa ajili ya uzao wake na siyo kumtangaza vibaya kwa media maana haitamsaidia kabisa. Mambo ya kiroho yanashughulikiwa kiroho na siyo kimwili.
Saut na sura ni mama kbs😢😢
Munga mtie nguvu huyu mama mana uchungu wa mwana aujuaye ni Mama pole Sana mamangu kiukweli Sisi wenye tuna mioyo na ndoto zakutunza wazazi wetu Ndo hatuna kipato 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Mamaangu umeniliza mno Mungu akukumbuke Martha, Martha,dadaangu mrudiye mamaako nmeumia mno maneno ya mamaako yanaumiza mno
Leo. Umeongea sawa Mungu atamrudisha mwanao
Huuuu ndo mwisho Joan Mungu anakomboa Martha na family yote
Mwaipaja Mbn wajizalilisha ona Daaaah utu wako maama mzaz analia koz ofu wew mama kwanza ao wengine wasaidie maza akiwa na aman na furaaha
Mama ni mama kweli mm siwezi mwacha mama yangu na pia siwezi waacha watoto wangu na mpenda sana mama angu nasio mama angu tu mama yeyote nampenda
Nimempenda huyu mama ana kumbukumbu na anajua hesabu haya sio mapya mujini nakumbuka munalove nae alijichomoaga betri akasema mama yake amefariki lakin sasa hv anapiga nae picha😅😅😅😅 wasanii wa bongo ni wasanii tu
😂😂kweli kabisaa alijilipua vibaya sana'sasa hivi kashajirudi kila saa yuko na mama yake
Pole mama hii imeniumiza sana Ata sikuwahi kuwaza kama dada anaeimba nyimbo za injili anaweza kufanya ivyo,mama msamehe tu Binti yako inaumiza san
Mama ni mama ni mama ni mama ❤❤❤ Matha Matha unyama gani mama yako aliyo kutendea mbaka umfanye adui yako
🥲🥲🥲🥲Pole nimefeel kama ni mamangu ...pole mum🥰🥰
Huyu mama hajajianika mtandaoni, sema tu waandishi wamemfuata, kumuhoji baada ya ushuhuda wa mwanae Beatrice, kwanza huyu mama namuona yuko poa sana amemshiba Yesu, haitaji msaada wa mwanadamu kinachomuumiza ni kuukosa upendo wa ndugu hasa watoto wake😭😭
Jamani tamaa ni mbaya sana ushuhuda huu ni funzo kwet pia tusipende sifa ni hafadhali dunia akutenge kuliko mungu baba na mama ni mthingi wa duniani mithingi inapotikisika yumba ni lazima ipasuke hili ni fuzo kwetu pia tukumbuke kuwalea wazazi wetu ndio msingi wetu
Ee mwenyezi Mungu nipe roho ya ufanisi nifanikiwe zaidi niweze kusaidia mamangu asiwai toa machozi 😢😢 juu ya shida nikiwa hai
martha ,martha,sina mama muzazi,sai ata sai najuiliza hi christmas nani atanipokea kama aliekuwa muzazi wangu,your mum angekuwa mukwnya ningemuwomba awe mamangu anipanguze machozi hii,navile your mum iso biutyful aki,tena anakaa roho safi tena mucha mungu,ooi mungu kumbuka huyu mama yangu ju mwaipaja alimukana,mum ilov you ata kama sina chochote chakukupea,ilove you🌹🌹🌹❤❤
kumbe watoto wake wamerithi sautu ya mama yao 💯💯 📌
Wanafanana
Lakini kuna mtu anakuja nakusema ohh eti sio Mama yake wakati anasikia sauti inadhihirisha kabisa
Nimekupitia nipitie tugrow pamoja
Ni dhambi na aibu kubwa sana ati sasa mamako anakuja mitandaoni kuja kujieleza kuprove a point ati ni mamako..Mungu atakurahani sana Martha msaidie mamako.
Hi nimekupitia nipitie tugrow pamoja
Pole sana mama huyo Martha si unaona machozi ya mama mludie mungu
Nimelia😢😢😢😢
Masharti yanamfunga wakuelewa ataelewa
Mother do this for the love of God. From 254 tunakupenda❤ nb tunakuombea mamaaa
Martha hatopatana amani hadi amsaidie mama😢
Nimakosa kusema mama nimungu wapeli ss waislamu tunamuheshimu mungu ni Moja tu na mama atabakia kuwa mama tu tuheshimu sana mungu
nakombea kwenye maombi ya usiku dada madha mungu akutie nguvu
Matha mungu akupe kibali cha kumtunza mama yako, hataka kama kunajambo lilikuudhi achilia sababu wewe unatuhubiria kupitia nyimbo za injili,, fanya wepesi kukaa na mama yako.
Duuuu shida kbsa yesu munamusingizia sikuyamwisho atawakanaa lav.hao wanawake wanafwata ibrisi nanyimbo zao ndio mana wanafanya maajabu hayo
Kwakwer hakuna kama.mama❤
Pole sana mama,,,ila huyo joani ni pepo tena inavyoonekana kuna kitu kamlisha martha cha kumbumbaza.
Hata Mimi ningetamani Maman arudi Hiii😢namu miss snaa Na Leo ni Happy birthday yangu.miss u Mum R.I.P
Pore dear❤❤❤❤