ALIKIBA ni MSANII wa Kuigwa, Ebu Tazama alivyowachangisha mashabiki zake ili kumsaidia PROFESSOR JAY
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- #alikiba #professorjay
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co...
Firstly napenda uvaaji wa ali ni simple secondly nice heart be blessed kiba
Ukiona hivyo ujue kipaji kapewa na MUNGU sio chakulazimisha , ndio maana Hana mavazi ya hovyo hana michoro ya ajabu mwili mwake halindwi hovyo , kiukweli MUNGU wa mbinguni aendelee kumjalia kila iitwapo leo
𝘄𝗲𝗹𝗹 𝘀𝗽𝗼𝗸𝗲𝗻
Nakupenda sana uvaaji wako natamani sana mung5akupe maisha marefu ❤❤❤
Mtu mwenye dini anaonekana kw kila ktu anachofanya na ata kw mavazi ona king alvo simple but complex gud lifestyle MashaAllah,
King all the best may Allah grant u easy in ur lfe
Respect king kiba
Tatizo wa tz huwa mnapenda wasanii wenye upendo wa nje kuliko upendo wa Nani.alikiba ni mfano mzuri kabisa maana anaeshimu sana mambo ya ndani ya inchi kuliko ya nje maana ndo kwaio.ila wasani wengine wako tayari kutoa interview kwa Media za inje kuliko ndani.big shout-out to one and only one king
King kiba ni mtu safi sana ❤❤❤
Safi sana AlliKiba Allah akulipe Inshaallah❤
Kila la kheri King Kiba ❤❤❤
MashaaAllah....May Allah bless you more for what you are doing
Mungu amulinde ali congrats
I love you Alikiba❤❤❤❤
Yuko simple sana hadi raha ❤❤❤
Msanii wa nch king musc
Huyu ndo msani wa kuingwa alikiba ana sifa zote za kuingwa ❤
Nimesoma Comment Ila Kuna Kitu Nimegundua Hapa Kama Mtu Hua Hapendwi Mwengine Aonekane Kama Anafanza Vizur Hilo Tuliache Maana Yangu Ni Hii Nilicho Gundua Kwa Ally Kiba Siyo Mtu Wakujionyesha Ili Asifiwe Bali Katumia Khekima Kubwa Sana na Piya Hashindwi Kutoa Zote Kwa Pamoja Maana Yuko Nazo Hakosi Pesa Ila Katumia Busara Na Khekima Mung Akujaliye Uwe Miongoni Mwa Watakawo Ingiya Pepo Yake Ameen
All the best brother alikiba
King kiba himself
Hogera Kwa kutoa milioni 5 king
Hiiii ndio maanaa only one King mashaallah shekhe aliy
Kioo cha jamii toka zamani mungu akuzidishie Ali
Mwanangu King anazngua tu kwenye nyimbo hii mpya
Shukrani Sana🎉
King kiba ALLAH BLESSING
Mashaallah ❤❤❤
Kiba Yuko poa sana hao wasanii wengine ambao awajaja wanazingua professor amesha toa nao Ngoma wote na zote zika hit .proff..anaga baya na mtu kabisa wangeweka hata namba ya Bank au Simu wengine pia tunaweza kuchangia kidogo tulicho nacho respect sana Kiba
Eeh!Taji Liundi,sijamuona kitambo.Nimefurahi.😊😊
Ma Shaa Allah Tabarakallah
Uvaaji wa mfalme hua unanikosha kwakwel hakuna makolokolo jmn
Nakubali xana
😂😂😂kwel kabisaa
Huyuu mtuuu
Allah akuhifadhi kiba
Nadhani yy angesema ananunua mwenyewe ila wao kwa kuwa wengi wachangie labda mara 10 yake yani ili iwe 20 plus 02 ya ali kiba
Alishatoa mil5 ilo ombi ni nyongeza
Kashatoa Hiy ni nyongeza
hapana approach aliyotumia ni sahihi.wabongo ukisema hvyo hawatoi
King❤
Where is diamond now ? They had a great song
Msanii wa kuigwa, kafanya Kwa moyo sana jana
Kuigwa kwa lipi sasa kuchangisha watu ndio useme kafanya utu sana daaah wàtanzania tunamambo ya kishabiki sana
@@faumahona5769 akifanya vizuri tusiseme?, hao watanzania wangapi?
Acha chuki na roho mbaya haipendezi
Bosss king 👑👑👑
I hope wote mlio comment hapa mumechukua namba kuchangia foundation
alikiba una upendo na unajitoa mungu kwa dhat
Nakukubali Sana kaka
Kingkiba bless
❤❤ towards the king
Kitu nilichogundua n kua King hatoi mbele za watu ili wamsifie na ndivyo dini ya kiislam inavyotaka
Mmmmh wala huyo bahili tu
Kweli bahili hatariiii 😂
Hivyo ndivyo diini yakiislam inavyo takiwa kutoa kwa siri ili ukapate thawabu kwa Allah ila sikusema kila mtu ajue
Nakubali
Hana hela bhn ndo maana anakusanya buku kwa watu 😅 hakuna mwanadamu asopenda sifa kama anacho
❤❤❤
❤❤❤mashaa llaah
👑👑
Good
Huyu tunamkubali sana miaka mingi kuliko yule mpombavu mwingine Alikiba hongera sana tupo na ww sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉
ingekua uyu mwengne wa cfa mondi angekua na body guard 😅😅
Oya si maisha yake we yanakuusu tafta ela acha makasiliko
@@kisutiemanuele1299 " low brain capacity,...🤫...
Unavaaa kiheshima ndiyo dini inavyotuamrisha
Amesema nyie endeleeni na shughuli nyingine kuna watu wanaona aibu ahsante kwa kuwajali mashabiki my wako
Mnatia aibu kwamana mnaongoza mtandaoni kuonekana ma boss mkililia upendo alafu mnatozana kama kiliyoni shame on nw😅😅
🎉❤
Ali emeshatoa 5mil ilo ni ombi jengine amepewa
Hanaga kiki Mtoto Watu kiba Me Hua Kinacho Nipendezaga Kwake Ni Uvaaji Wake Piya Jinsi Anavyo Shika Na Muonekano Wake Aisee Umejaaliwa Mung Akulinde Na Hasid hasada
😂😂😂 wasije ku tia chuma ulete tu kwenye hilo box tukabaki na bukujero😅😅😅
😂😂😂
Duuuuuu😂😂😂
Guys game 🎮 game over 📺📴
5:17
Mwamba ana body la kinyama sana ,na muonekano wa kibabeee san
Ooooh Kumbe Kiba mpaka achangishe mashabiki???
Kwa akili yako anakosa iyo ela apo ni akili boss
Alishatoa mil5 ilo ombi ni nyongeza
Hapo hawapo kwenye maonyesho wanashirikisha watu mil 2 sio hela yakumshinda
umeona mambo yanavyo fanywa kikubwa hakuna kiki wala mbwembwe
hapo alitakiwa kuendesha harambee sio kuchangia
KIBA
Tatizo waandaaji wa hili tukio ni wabinafsi na mnaendekeza bifu hao hio kampuni haiuzi tena majini, profesa ungemshirikisha msafi hapo shoo ingejaa na michango ingetoka kwawingi hao cls hawanajipyaa kakaa shuhuli imebuma hio, kama WASAFI wangesimamia hapo ingekua ndio stori ya mjini, tatizo hamtaki kukubali kuwa wasafi wanapromoshan ya kazi zaoo.
Kaka sio wasaf ndio Wana promotion hata hapa walikuwa wanaweza kuja hawaja zuiliwa kuja kumsaidia professor jay
Jifunze kufikiri weka mapenzi na utimu pembeni utaelewa shame on you
@@mbalaga259 kaka hio nishuhuli maalumu ukumbuke kunamualiko hapo kaka
Ndio maana nampenda Ali angekua yule mwengine ungeona mbwembwe n kizungu mingii 😂utadhani anamiliki dunia
❤❤❤
Mbn mnapenda san kumfananisha huyo mwingne na Ali Kiba shida nn,,hamuwez kukoment bila kumhusisha huyo mwingne
Watu hawafanani usilazimishe kila mtu awe unavopenda ww
@@mwalizijulius1687 cjataja mtu mbona una overthink?😆 ur mind though
@@Jibambeshow254k 😀😀mwenyew sijataja mtu
Hivi mnatuambiaga ali anajisikia uwa mnakuwaga mnasemea anajisikia kwenye nini mbona kweny event muhimu za na za kawaid za kusaidia watu uwa namuona
Kutoa hizo pesa za mziki nyoooko
Diamond apo km karata imekwisha
Mbona hujabeba kikapu
Waandishi nao bwana ko hapa mfano upi sasa wakuigwa?
Umeumia?
Tafuta hela uache roho mbaya
Utashangaa na ww sijui kipi kipya
Nashangaa🤣🤣
NYIE MASHABIKI WA KIBA MMEMUANGUSHA....MLITAKIWA KUMWAGIKA JUKWAANI SIO ASHUKE CHINI KUWAOMBA....TO ME NICE BUT BIG NO
Humanity
Nimeipenda show ya Yvone chaka chaka na Ali Kiba so mwa😘
bahili huyu 😂😂😂
Mbona jamni katoa milioni 5 hee binaadam
😂 mnataka aseme natoa bilion 2
Hhhh
Alishatoa mil5 ilo ombi ni nyongeza
Anaakili ya ukubwa alishapita maisha y utoto c kama yule w mm domo
Alikiba unajishusha Sasa miliomi mbili unachangisha siungetoa mwenyewe duuu kweli hujielewi na ukubwa wote huo unachangisha milioni mbili au ukubwa wa bure huna kitu ,ingekuwa simba hapo angechangia milioni hata kumi
😅😅😅😅 acha chuki fatilia kachangia shngapi , hyo alikua anafanya kama harambeee
Yani ww ndo kiladha alikiba amechangiaa milion 5 mashabiki ndo wamechangia hizo milion mbili h3bu jaribu kusikiliza vizur uache kukurupa mxiee ww unayo hata hiyo milion 1
Hyu mwamba ndowale wafata mikumbo dalasan hv hv samakiba unajua maana yake
Yupo wap huyo Simba hapo Sasa mtu kutoa sio lazima ujionyeshe lazima kiba alitoa Ila hakutaka kujionyesha
Weee umetoaaaa ngapiii
Kama mfano wakuigwa angetowa zakwake mfukoni , zake anabana anatumia za watu mbahili huyu acheni kumsifia sufia tu
Ht Diamond pia bahili wagonjwa wangp wanaenda fata msaada pale wasafi na tunachangishwa wiki mbili nzima hd itimie yy uwezo hana wakutoa M 2 au 3 aah acheni uteam jaman😂😂
Yeah upo sahihi maneno yako
Wew umetoa sh ngapi....juso lilee ... wakati kings Muzik imechangia ml 5 uache chuki zako
Wewe unajua vipi kama hajatoa zake
@@OfficialA83640Sasa mbna jibu lako ndo kama limeleta utim diamond kausika vipi hapo😅😅😅😅😅
Masha Allah❤❤❤
Huyuu mtuuu