ALIKIBA amwaga BURUDANI mbele ya PROFESSOR JAY/TAZAMA alivyofurahi AWAIMBISHA WAGENI na VIONGOZI
Вставка
- Опубліковано 9 гру 2023
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
----------------------------------------------------------------------------------- - Розваги
Ndo huwa mnaambiwa nyiye mapresenta kuwa alikiba huwa avimbi na MTU wa watu na mwenye huruma,sasa hao wenu wa kimataifa wako wapi katika shida ya mwenzao msanii tena legend kama prof Jay? Wa tz acheni unafiki
Aonyeshe yake aliyotoa,amechangisha tuu watu
@@magiehermess9949amechanga kiba ndip akachangisha
@@magiehermess9949yeye alikiba katoa ml 5
@@magiehermess9949Wee uko wapi alietoa wa kwanza hapo ni AliKiba....Alitoa millioni Tsh30 .....Tena hii fikra ya Professor Jay Foundation alikua mstari wa mbele.....So kabla hujasema kitu peleleza kwanza ujue ukweli
Waooh Ali kiba Mungu akupe heri wewe ndio mfalme wa mziki.asante kwa unyenyekevu wako kwa jamii Mungu akuweke maisha marefu wewe prof Jay
Nakupendaqa sana Ally ,Hunaqa makuu .munqu akupe maisha marefu.❤❤❤❤❤
Mashaallah Mashaallah 🎉🎉🎉🎉 upendo ndo huu mpaka peponi l nshaallah
Mungu akulinde bro.mwanadamu Ni utu.bac Huo ndio utu.
King of bongo fleva in Tz
Ila kiba bwana
Mungu azidi kukulinda kiba na ampe nguvu professor
Msanii wa kuigwa hajatoboa pua,hana matatuu wala jatoboa masikio…ni mfano wa kuigwa ni msanii anayeona kesho yake
King kama king
Hongera sanaa Ally,my self nakukubali mnoo👏👏👏
Msanii anayejitambua..sana..huyu jamaaaa..king mwenye mziki wake...ana..makuu..na ..kila kitu anacho..mziki anaujua..ela ipo..utu..upo kama nyimbo yake 🙏🙏🙏🙏🙏
Nice Ali Kiba 👌 😊
Kingkiba
Mungu ambariki sana afanyie wepes kwakila anachokitaka
Yupo vizur allikiba mwenyenzi mungu akupe maisha marefu bro uko poa na watu hauna muda wakijisikia bro bigp
Mfalme wetu
Mashallah Ally Kiba
Hingera sana king kiba je zoez bado endelea kwenye kuchangia❤❤❤❤
Ilove you ❤ nice song
King himself
The only king in Africa... Hana majigambo wala ushamba hana bodyguard wala ukwaju a naamini mungu ndio mlinzi pekeee wakumlinda yy❤🎉🎉🎉
Hongera sana king wangu❤🎉
Mtt alielewa kwa maadili na ofu ya mungu na akaleleka masha Allah na hongera kwa mamake na babake marehemu mungu amrehemu kuzimu aliko ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia
Huyu dogo nampenda sana
Alkiba we ndo kng hapa bongo ila wazaz wako washukulu sana wamekulea bloo una nizam sana naupendo bloo fanya kaz bloo unajuwaaaa
Ukiwa msanii mkubwa ndo hiv unatakiwa uwe na tabia za kikubwa kama hiv hongera Ally salehe
Huyo ndo boss wa mziki hapa bongo asante sana
Hongera Kiba hunaga kiki mungu akupe maisha marefu
Nakubal bloo kba
KING 👑 AND LEGEND NIGA JAY BLESS 👏👏👏🔥🔥🔥
Alikiba kawatoa wengi sana kimaisha uyu jamaa hapendi kumsaidia mtu akajitangaza mara nyingi waliosaidiwa na kiba ndio utangaza mfano mzuri danzer trainer
KILa laher mfike malengo , wanaume wakwel husapotiana❤
Jay kafanya collabo na mond na harmonize, lkn alikiba ndo huyo anapambana nae kwny foundation, wale wengine hawapo, Kuna kitu najitunza Kwa wasanii wa bongo
Respect to the king big up bro
Ninacho jua mm hakuna binadam asiye na mapungufu so hata km wanamsema kwa mabaya huyu mwamba mi binafsi namuona Yuko poa sana na nimfano wa kuigwa barikiwa sana Ally kiba
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Nimesikiya kaiba Kirundi awo nimesikiya vibaya ungejuwa gisi Wa rundi wanakupenda alikiba
Hapa ndo huwa anazidiwa diamond na king kiba ally ni mtu wa watu sana
Onli One King kiba.
Best artist of ALL tym
Msanii wa heshima
wasanii wa tz hawana ubunifu kabisa jambo linahusu linahusian n prof J alaf wanaimba nyimb z mapenz
Nakukubari sana mwamba
❤❤❤❤❤❤
Safi king kiba
Nimeona akichangisha wengine ila yake binafsi ametoa how much??
namkubali xana jamaa anaweza pia mtu wa wat
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ila kiba bwana
King himself