Nilikuwa ccm ila kwa utaratibu huu unaofanywa na jeshi la police kunyanyasa raia wasio na hatia akina mama kuvuliwa nguo hazarani aise kuanzaia leo hiki chama nakichukia na nikiambiwa chagua CCM na andazi unachaguwa nn aise kwa hali hii ni bora nichaguwe andazi kuliko haya mambwa ya ccm wanao nyanyasa raia bila kosa lolote na kama viongozi walikosa why waachiwe huru bila shuruti? Kama walivunja sheria why waachiwe? Hii nchi inako elekea tutayaona kama yaliyotokea kenya maana yalianza hivi hiviii afu mh yupo kimya tu inamaanisha yy anayafurahia haya yanayofanywa na jeshi la police
Aibu sabu sana hivi Samia anajionaje sasa anakurupuka kisa nn hajipendi hata yy unakua rais half mhuni muhuni kiasi hichi unaruhusu mikutano halfu wakitaka kufanya mikutano unawafnga hivi w ulizaa kwa njia yakawaida kweli sioni utu wako unapresha ani ww si unaupiga mwingi presha z nn
Nchimbi Mungu amwongezee umri wa kuishi.Ametafakari mengi kama mwanadamu akaona sii sheria mtu kuhamishwa nyumban kwake.
Hio sio Sheria ni maangizo ya mtu 4:36
AIBU KUBWA SANA KWENYE TAIFA YANI TAIFA HALIONGOZWI NA SHELIA BALI KWA MATAKWA YA MUTU HII NINI?
Polis wa Tz kama mazuzu wana2mika vibaya
Tuliosoma Cuba tunajua nini anataka kwa Jami
ukitaka kujua kama jeshi la polisi wamechemsha hakuna mtu hata mmoja aliyekamatwa aliyefunguliwa kesi na kufikishwa mahakamani
Nilikuwa ccm ila kwa utaratibu huu unaofanywa na jeshi la police kunyanyasa raia wasio na hatia akina mama kuvuliwa nguo hazarani aise kuanzaia leo hiki chama nakichukia na nikiambiwa chagua CCM na andazi unachaguwa nn aise kwa hali hii ni bora nichaguwe andazi kuliko haya mambwa ya ccm wanao nyanyasa raia bila kosa lolote na kama viongozi walikosa why waachiwe huru bila shuruti? Kama walivunja sheria why waachiwe? Hii nchi inako elekea tutayaona kama yaliyotokea kenya maana yalianza hivi hiviii afu mh yupo kimya tu inamaanisha yy anayafurahia haya yanayofanywa na jeshi la police
sasa nchimbi ana husika vipi kama sio yeye nae ana husika
Busara ten
Tuna viogozi wnaofundiswa na ccm
😂😂😂Zembwela anakwama kuosoma R moja
😂😂😂😂
Hajui kusoma kiingereza
Media zinajitukana
😂😂😂yani bola Corona kuliko ccm
Labda kwenye “4R” kuna “RESTRAIN” kwenye R moja!!!😆
Hapana kuna REWIND...😅
Mwaka kesho sipati picha.
Aibu sabu sana hivi Samia anajionaje sasa anakurupuka kisa nn hajipendi hata yy unakua rais half mhuni muhuni kiasi hichi unaruhusu mikutano halfu wakitaka kufanya mikutano unawafnga hivi w ulizaa kwa njia yakawaida kweli sioni utu wako unapresha ani ww si unaupiga mwingi presha z nn
CCM Wao Ndio Wario Toa Amri Ya Kuzuia Kongamano Ra Bavicha Waripo Ona Jumuiya Za Kimataifa Zimeraani Unyama Huo Ndio Maana Wakaangiza Tena Waachiwe
Inasikitisha sana
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉