Mungu Mweusi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 гру 2014
  • Kwa wengi Mungu hana mfano, ni mkuu wala hatagemei yeyote kwenye uamuzi wake. Wala haonekani kwa macho maangavu ila wanadamu huwasiliana naye kupitia njia ya maombi. Akawajibu wanadamu kulingana na mapenzi yake. Lakini katika kijiji kilichoko Kaunti ya Uasin Gishu, kuna mtu ambaye amejitokeza na kujitwaza hadhi ya mungu. Waumini wake humuita Jehova Wanyonyi. Kwa sasa Wanyonyi amenyemelewa na maradhi huku akiugua. Na kama anavyotujuza mwanahabari wetu Tom Wanjala, Wanyonyi ana zaidi ya wake 15 na zaidi ya watoto 300 ila alikataa kata kata kusema umri wake.

КОМЕНТАРІ • 1 тис.

  • @khalidkassim3986
    @khalidkassim3986 5 років тому +142

    Gonga like kama huyu mzee anayejiita mungu ni kenge kabisa

  • @petronilamark5177
    @petronilamark5177 Рік тому +3

    Nyie wakenya mna shida gani mnataka kutudanganya Yesu yuko kenya na Mungu yuko kenya huyo ni wenu sisi hatuwajui.Tunamfahamu Mungu mmoja tuu muumba mbingu na dunia

  • @petronilamark5177
    @petronilamark5177 Рік тому +2

    Mimi ni Bwana Mungu wenu mimi sio mwanadamu na sifananishwi na kitu chochote acheni kumdhihaki Mungu

  • @kingbrazioanticlockwise3667
    @kingbrazioanticlockwise3667 Рік тому +6

    Mungu alisema tusihukumu lakini anayeona huyu mzee anafaa kunyongwa agonge like😥😥

  • @abdullahiibrahim5609
    @abdullahiibrahim5609 5 років тому +29

    Hajui anachofanya May the almighty Lord Allah (sw) guide him.

  • @aminahmcheka9701
    @aminahmcheka9701 5 років тому +6

    Jehovah anaafya mgogoro eeee mungu tusaudie Mana maandiko yanatiaya kwamba nyakati za mwisho kutakuana dini za uongo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kinisannko1893
    @kinisannko1893 2 роки тому +1

    Mungu anaumwa, na anakufa je huyo ni Mungu gani, mwanadamu anaokoaje mwanadamu mwenzake......? Mungu ni Roho na Mungu Hali. Achene kuchanganya neno.

  • @charleskiragu5272
    @charleskiragu5272 5 років тому +7

    huyu jamaa ni genius kama anaweza convince watu yeye ni Mungu, yeye ni wazimu wale wanamfuata ni wazimu zaidi ju mpaka wanaexplanation ya venye huyu jamaa ni god

  • @drudeshub3188
    @drudeshub3188 5 років тому +11

    Oooooh kumbe bangi za jamaica zimeanza kuingia kenya subhanallah

  • @preciouspatiencefaithy1329
    @preciouspatiencefaithy1329 8 років тому +16

    My people are perishing because they lack knowledge! !!JESUS intervene. ...

    • @Bigdonfu
      @Bigdonfu 7 років тому

      Precious Patience Faithy jesus is not God either you have no differrence with these wafuasi because you 2 people believe in a human being ... jesus is human n is not God n will never be

    • @canteienterprises9869
      @canteienterprises9869 5 років тому

      they really lack knowledge...ati mimi nisujudie mwanadamu anaenda choo kama mimi..wah!!!!

    • @pacifiquendayisaba6391
      @pacifiquendayisaba6391 5 років тому

      @@Bigdonfu
      Jesus is human being 100 % and God 100%, that is spiritual , so you have only to know why He came as human being while He was with God ??
      John3 :16

  • @mushamkina2694
    @mushamkina2694 Рік тому

    wakenyaaa mna mungu,mna yesu,balaa zaidi mungu anahakikishiwa kuwa kala kaoga na bado ni mgonjwa.

  • @amosakaliche4543
    @amosakaliche4543 Рік тому +1

    Chezeni na mungu kabisa,,yesu Wala mungu hakuoa

  • @fatmahamad2156
    @fatmahamad2156 5 років тому +31

    Subhana Allah,astaghafrllah ,siku yako ipo ,ww utang'oka tuu ,muulize firauni laanatuallah km ww utakavyolaaniwa

    • @helenann2796
      @helenann2796 5 років тому

      Wewe ni mpambavu pamoja na waumin wako

    • @artisthusnatalal3099
      @artisthusnatalal3099 5 років тому +3

      @@helenann2796 Mungu akuongoze dini yako ndio inavyo kufundisha kutusi watu? Alieandika anamwandikia Jehovah wanyonyi hakuwa akikuandikia wewe sasa kwanini kujibu kwa matusi acha Jehovah amjibu sio wewe!!!!

    • @user-us9gl8jg4l
      @user-us9gl8jg4l 5 років тому +1

      @@artisthusnatalal3099 kabisa watu midomo yao haina stara

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 роки тому +1

      @@helenann2796 ,wewe ni bibi ya huyo wanyonyi?Alafu huyo uliemjibu hana waumini nakuona kurupuka hata ujui unaongea nini! Unatetea wanyonyi kwani wewe pia unaabudu mtu badala ya MUNGU?

  • @abdulsamadibrahim4784
    @abdulsamadibrahim4784 5 років тому +28

    Bangi za 1960 hizo ndo zampeleka mbio

  • @Ziro-nl9cw
    @Ziro-nl9cw Рік тому +1

    Jehovah wanyonyi wachakupotosha family yko. Mungu afananishwi na chochote babu

  • @okumujoash5284
    @okumujoash5284 Рік тому +1

    Mshindwe Kwa jina la Yesu

  • @justusnyongesa4544
    @justusnyongesa4544 5 років тому +3

    Mungu amuhukumu uyo Jehovah wanyonyi, eti aliumba wanadamu shindwe in Jesus name

  • @geofreymatekwa3339
    @geofreymatekwa3339 5 років тому +5

    Jehovah wa wanawake mpenda warembo yeye si mungu muumba mbingu na aridhi ashindwe kabisa.

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 Рік тому

    Huyu ni mjinga atakufa vibaya mnoo,, eti mimi ni Yehova Ngoja asubili hukumu na hasira Ya MUNGU wa kweli 🙆🙆😭😭

  • @user-sk1pf7rb7i
    @user-sk1pf7rb7i Рік тому +1

    Ushindwe kwa damu ya Yesu

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 5 років тому +5

    Amen Amen. Mungu adhiakiwi hata siku moja. Acha utani wewe .

  • @alfanlazaro1167
    @alfanlazaro1167 8 років тому +40

    subhana Allah.hiyo ni laana wala humujitambui.washenzi nyinyi musiokua na akili

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk Рік тому

    Mungu wa kuzimu unamuwakilisha Baba yako Shetani

  • @sirmaish9950
    @sirmaish9950 Рік тому

    Jehova wanyonyi ni mbinadamu ,mtu ambaye amezaliwa na mbinadamu hawezi kuwa mungu kamwe , Jehovah mungu aliyeumba mbingu na ardhi hapewi chakula Wala mavazi kama wewe huyo ndiye yule Mimi natambua lakini SI wewe ,Hata wewe utahukumia Kwa kupoteza watu .

  • @fariduabbas2956
    @fariduabbas2956 9 років тому +22

    uyo ni chizi sio mzima

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 4 роки тому +5

    SUBUHANALLAH, hii dunia tutajionea mengi

  • @muthonijgatia4350
    @muthonijgatia4350 Рік тому

    Wewe ulipatwa na ugojwa juu ya kumusheshea Mungu ninani alikwambia Mungu ni mwanadamu hakuna yeyote anaeza ona Mungu aishi

  • @josephrutebeza1003
    @josephrutebeza1003 Рік тому

    Eeh Mungu mwenye haki uliye juu mbinguni tu rehemu baba

  • @nicholaskafu7110
    @nicholaskafu7110 5 років тому +31

    300 children👉Mungu Fisi👈Western Kenya Ile Bangi Inapandwa uko sijui ilitoka Wapi😂😂😂

  • @ericmaina8050
    @ericmaina8050 5 років тому +9

    Ashindwe kabisa katika jina la Yesu ,Thers only one God ,the living God in heaven, creator of heaven n earth.

  • @hawekitudzelekwendamberegi7222

    Mimi sina maoni haki Kama unasoma comment kama mimi piga like yako hapa🤔🤣🤝

  • @deepsavannah9723
    @deepsavannah9723 5 років тому +2

    Uyuu na anayesema yesu nii munguu hawana tofauti...wote..

  • @collinscaren3409
    @collinscaren3409 5 років тому +8

    Ako na mapengo😂😂😂😂. Ooh God of heaven pliz save us

  • @geoffreynganga2541
    @geoffreynganga2541 5 років тому +14

    Wonders shall never end in this world

  • @ciccoann2311
    @ciccoann2311 Рік тому +1

    I'm here after another yesu from tongaren,,poor children,why mess up their destiny,may God preserve them for His own glory.

  • @allankaruh9927
    @allankaruh9927 Рік тому

    Hawa Waluhya nao wanatupima, 2023 Kuna Yesu mluhya tena

  • @davidochieng63
    @davidochieng63 Рік тому +3

    Whoever knows the wrath of God cannot joke any more. Let's repent the messiah is coming.

  • @chipiratony6625
    @chipiratony6625 8 років тому +57

    huyuu mzeee n mlevi tu wakawaidaa

  • @princemozes9923
    @princemozes9923 Рік тому

    YESU alisema wengi watakuja kwa jina langu lakini msiwafate

  • @hunkkid7508
    @hunkkid7508 Рік тому +1

    Na citizen muliingiaje umo ndani

  • @evansadongo4093
    @evansadongo4093 5 років тому +15

    What I find crazy is not him declaring himself as God, the crazy thing is that he has followers. People who believe him as God. Jeeeez!!!!!!

    • @somahmed123
      @somahmed123 5 років тому

      But u believe in white blue eyed god shit head.

    • @joabkava2471
      @joabkava2471 Рік тому

      This world 😊😊😊😊😊😊. Shuka Mungu wa Mbinguni ili watu wako wapone. We have to find out more about Bukusu people. They have Jesus and now God . What a world of confusion!!!

    • @ekales_
      @ekales_ Рік тому

      That is exactly how every religion started. Even Jesus Christ declared himself as god himself/the son of god, and now he has billions of followers.

    • @abdiazizdahir4040
      @abdiazizdahir4040 Рік тому

      @ekales9926 where in the Bible dose Jesus said he is the GOD? please unlearn.

    • @ekales_
      @ekales_ Рік тому

      @@abdiazizdahir4040 John 8:58. It doesn't come as a suprise to me that a Christian knows little about the bible.

  • @Gamba177
    @Gamba177 5 років тому +7

    Hili Shoga lishavuta bangi mpaka linasema mungu hahahahaha kweli bangi si chakula

  • @gabrielsiame5725
    @gabrielsiame5725 Рік тому

    Kweli Kenya kuna vicha mara Yesu mara Mungu miyungu watu hao

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 Рік тому

    Ameshakufa Jehova wa Nyonyi

  • @dottobussagwe5264
    @dottobussagwe5264 5 років тому +8

    Hizi bangi

  • @ednada9033
    @ednada9033 8 років тому +19

    waumwa nini nawewe nimungu.?wewe nishetani ibilisi mukumbwa utaathibiwa swa na matendo Yko na mungu wetu wambinguni-nawe mtangazaji ungemuliza Hata mm uliniumba..?

    • @zainafwenah7751
      @zainafwenah7751 5 років тому

      Edna Da wanaume ni malaika

    • @alexambrose4722
      @alexambrose4722 5 років тому

      Kweli kabisa mtangazaji naye amekosea angemuuliza juu ya uumbaji wake.....Alex from Tanzania

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Рік тому

    Kweli kutojua ukweli juu ya Mungu aliyeziumba mbingu na nchi ni hatari!{ Mungu mwenye mwili! [ wamepotezwa pasipo kujua] Naona kenya haya maroho yapo sana

  • @kenlubisia7045
    @kenlubisia7045 5 років тому +1

    Shindwe pepo nyeusi na mapengo.

  • @ulimacoxwagichohi
    @ulimacoxwagichohi 5 років тому +4

    Mbona huyu mungu ni maskin

  • @hassanalmasi1062
    @hassanalmasi1062 8 років тому +60

    mungu ako na mapengo...wah niokotwe loitoktok

  • @waswadenis4746
    @waswadenis4746 Рік тому

    We are invaded, danger on our doors, lets turn to the true Jehovah and his only son Jesus Christ for eternal life.

  • @augustinejohn1835
    @augustinejohn1835 Рік тому

    Duh, huyu mzee anawaletea laana Ndugu zangu. Kufuru kubwa sana ingekua kwetu hapa hakuna iyoo hadhisi. Anacheza na Mungu ngoja tu. Kwanza anaumwa uliangalia Uso wake

  • @nusaibahassan5842
    @nusaibahassan5842 5 років тому +57

    😂😂😂😂😂😂😂😂Pumbavuuuuuh Mshenzy Makubwa Wewee Mungu Gani Wewe Fala Mkubwa Mungu Hana Mke Wala Hakuzaliwa

    • @zainafwenah7751
      @zainafwenah7751 5 років тому

      nusaiba Hassan bibi anamungalia masilayi yake

    • @dorrymutheu6717
      @dorrymutheu6717 5 років тому +1

      Jameni!Mungu yuko mbinguni inakuaje?tuacheni kumchezea Mungu

    • @makatym6151
      @makatym6151 5 років тому

      Mimi Jehovah wanyonyi...lubbish

    • @salimmohamed694
      @salimmohamed694 5 років тому +2

      @borah tano umepotea tena kupotea kukubwa jmn kwan watu hamsomi jmn

    • @maryamabasheikh7613
      @maryamabasheikh7613 5 років тому

      nusaiba Hassan ibilisi huyo

  • @mosesnjau1619
    @mosesnjau1619 5 років тому +4

    There is a natural mystic flowing through the air. ..this could be the first trumpet might as well be the last

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 Рік тому +1

    Kwni MUNGU ni mweupe.

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed Рік тому +1

    Mungu wamchongo duh!

  • @jihudumiedotCom
    @jihudumiedotCom 9 років тому +7

    Mungu atusamehe wanadamu!

  • @johnsonnyandema8517
    @johnsonnyandema8517 6 років тому +5

    Wewe kwani uko na nguvu gani kwa binadanu......uko na uwenzo wakulea familiar yako mzeee....punguza bhangi.......wewe unatawaliwa na inzi kwa mdomo ..umejizi wewe

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Рік тому

    Alhamdulillah kwa kuzaliwa mwisilam yaa Rabbi nifishe haliyakua n mwislam. Wakristo wanasema yesu alikua n mungu kavaatu mwili w binadamu hawanao wanasema huyu n mungu kavaatu mwili w kibinadamu chaajabu anaonekan hata nguvu hana kwaukongwe, Allah asie onekana wala kufananishwa ndojibu tosha hakuna gagaziko juu y uwepo wake.

    • @pachaorg9123
      @pachaorg9123 Рік тому

      Hakika uisilam hakuna upuuzi huo
      Hata kwet tz kuna mwanamk anawasumbua

    • @ummuhafswa8980
      @ummuhafswa8980 Рік тому

      @@pachaorg9123 Duh.!! Yule dada anawalisha matangopoli kweli Allah atunusur

    • @pachaorg9123
      @pachaorg9123 Рік тому

      @@ummuhafswa8980 kumbe hata we ushaona ile laana kubwa

    • @pachaorg9123
      @pachaorg9123 Рік тому

      @@ummuhafswa8980 kwan we ni mtz

    • @ummuhafswa8980
      @ummuhafswa8980 Рік тому

      @@pachaorg9123 Na'am

  • @kipkemoiismael7098
    @kipkemoiismael7098 Рік тому

    mmekuja sana ,,,,,, hati mungu mweusi

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 5 років тому +4

    Siyo mageni haya bali wanaiga kwa wengine ambao nao ni kama hawa ‘ wanaabudu Mtu Aliyekaa tumboni miezi 9...wapo wengine wanaabudu Vinyago wanaweka mpk nyumba zao za ibada....wengine wanaabudu ng’ombe...
    Kikubwa wasubiri tu WAKAWE CHIPS...!

  • @margaritaraymond4070
    @margaritaraymond4070 Рік тому +4

    Wonder's shall never end

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Рік тому +1

    Kunabaazi yamaradhi yakili yanawatesa baaz yawakenya mala mungu wa Tungareni

  • @happinessjuma3804
    @happinessjuma3804 Рік тому

    Kwendeni hukoooo,,,,haya ndo yalitabiriwa,,sishangai kuyaona,,,

  • @meshackelphace4089
    @meshackelphace4089 5 років тому +7

    Kwahiyo huyo mtangazaji amefanikiwa kumhoji mungu na kurekodi video, duh! Me kama huyu ndo mungu bora niwe kuni tu, nitakaowachoma mjiandae make nina hasira hapa

    • @jumamasaka8700
      @jumamasaka8700 5 років тому +1

      Jamani kama mchezo chezeeni vingine na sio Mungu make mnajitafutia baraa tu, na Sikh ya mwisho mtajuta.

    • @mwariwajames1121
      @mwariwajames1121 5 років тому

      Hahaaa...funny🤣

  • @PAPAAKIZWII-zj1bp
    @PAPAAKIZWII-zj1bp Рік тому

    Mungu anaoga maji ya moto anaogopa ya baridi.

  • @paulgwaydigidatu6187
    @paulgwaydigidatu6187 Рік тому +1

    Hakika na alaaniwa MTu wa namna hii

  • @jumaadremane7756
    @jumaadremane7756 5 років тому +6

    Inna lillah wa Inna ilaih laadjunn.
    Grande kafir vc!!

  • @martinmutiso9633
    @martinmutiso9633 5 років тому +5

    Huyu ni shetani tu,akwende uko pumbavu yeye ng'ombe yeye kama anaweza aje kwangu,huyu ni mganga wa watu wajinga tu

    • @maryamabasheikh7613
      @maryamabasheikh7613 5 років тому +1

      Martin Mutiso kweli kabisa

    • @martinmutiso9633
      @martinmutiso9633 5 років тому

      @@maryamabasheikh7613 Aamen,hawa hawajui Mungu wa kweli dada,ni upotovu tu ulio ndani yao,ju Maandiko yana sema utakapo ujua ukweli,nao huo ukweli utakuweka huru.

    • @mimimanirakiza6478
      @mimimanirakiza6478 5 років тому

      hahaa kwakweli Ndundu zangu ipo siku msishangae mana yote yame andikwa Kwenye bibiliya siku za mwisho..............

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic1964 5 років тому

    Duuuuh ha ha ha wakenya mmetisha mna mna Munguh

  • @V24hrs
    @V24hrs Рік тому

    Haya maelezo hayana tofauti na uungu wa yesu

  • @jeromendetaulwa3466
    @jeromendetaulwa3466 5 років тому +11

    Mshindwe kwa uwezo wa damu ya Yesu

  • @lailahaillallah3399
    @lailahaillallah3399 Рік тому +11

    All praises to the Creator,
    The Creator is one,
    The Creation family is one,
    The Mankind family is one,
    All hearts prayer & effort are also one
    "TRUTH,BEAUTY, JUSTICE & PEACE" for each life
    Of the whole creation family.....

  • @michaelmaina5744
    @michaelmaina5744 2 роки тому

    Chenzi sanaa,religion is opium of mind.ile kiboko mtagongwa mtatawanyika kaa mavi ya nyani

  • @abumusahassan.3665
    @abumusahassan.3665 2 роки тому

    Jahillin.Oh Allah guide those igronance t.o the right path

  • @princema772
    @princema772 5 років тому +3

    akili ni nywele uyu yake ni kamasi.....ako na shida ya akili uyu

  • @seifhassan7652
    @seifhassan7652 5 років тому +4

    watu wajinga kweli...kama ye mungu nani kamuumba??acheni ulemavu wa akili!

  • @vickmakau5126
    @vickmakau5126 Рік тому

    Shindwe Pepo baya.mwanadamu kweli amepotea.sasa mungu ana uvimbe wa mwili ata haoni

  • @mayumatanzaniya6951
    @mayumatanzaniya6951 Рік тому

    Laanatuwallah alaaniwe duniani na ahera

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 5 років тому +3

    Haaahaaaa jaman uwiii mbavu zangu mie mpelekeni hospital akili imeyumba hivi watu naakili zenu mnakubali ujinga huu jaman bora ukose pesa akili iwenayo😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆

  • @jfineisaac6219
    @jfineisaac6219 5 років тому +3

    Wakenya wajeuri sana mungu wa mbinguni hamumtaki mnataka mkenya mapengo ndo mungu wenu 🤣😥

  • @omarijawadu4047
    @omarijawadu4047 Рік тому

    Mungu anakidonda yaan kapotea saan asilimu

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Рік тому

    Acha utan na mungu aliyehai we mungu atakuangamiza Bure

  • @likumba
    @likumba 9 років тому +11

    The dudes liver is no good.

  • @transforminggraceministries
    @transforminggraceministries Рік тому +3

    Bungoma never dissapoints

  • @omarsimai6315
    @omarsimai6315 Рік тому

    Suburi mauti yakufuke utajuwa kama ulikuwa ni mungu au mwanadamu

  • @muhamadismail-my1do
    @muhamadismail-my1do Рік тому

    Mhhhhh mungu mwenyewe anaumw

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis8556 5 років тому +4

    Siku za mwisho zikifika ukisikia parapanda basi naamuru alie ndani abaki ndani na alie nje abaki nje kwa maana watakuja mitume na manabii wa uongo nao watajinasifu ni manabii wa Baba alie mbinguni kwa maana wafanya miujiza isoyompendeza Mungu, kwa upande wangu huu ni muujiza kupita yote iliyowahi kufanyika na wanao jiita manabii wa duniani, Ngoja nijiandae marehemu mimi mtarajiwa kwa maana siijui kesho yangu.

  • @aliabdallah2220
    @aliabdallah2220 5 років тому +12

    Astaghafirullaah
    Yaa Rabby tusamehe waja wako na utuongoze katika njia iliyonyooka na kwa hakika huyo alojiita mungu adhabu yake inamsubiri

  • @kakawanjenature2093
    @kakawanjenature2093 Рік тому

    Tuchunge tusimfanye Mungu akasirikie hii nchi

  • @daudithuo6260
    @daudithuo6260 Рік тому

    I thank God Muranga sijaona mambo kama haya

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 5 років тому +3

    Eti jehova wa nyunyu kenya mnafeli wapi nyie huyu Mzee mbona km mlevi hivi na hao malaika wa kiume sura chuchuu😂😂mnazingua nyie mamaee na nyie wake zake roho eti wake

  • @shakilajeddah7323
    @shakilajeddah7323 8 років тому +12

    kweli wakiristo mutapewa athabu kubwa siku za mwisho Mungu ni mmoja wala sio wanyonyi

    • @Quilant749
      @Quilant749 8 років тому +1

      eti wakristo kila mmoja na roha yake....jehovah wanyonyi aende ahare huko....eti muumba bingu na Dunia ww una njaa upewe nyama na kuku

    • @thevineyard7149
      @thevineyard7149 6 років тому

      Huna la kusema wewe.

  • @johnjuma8223
    @johnjuma8223 Рік тому

    Hyo kimtu kilikufa na kilienda kabxa mungu gani shetani ashindwe

  • @mariamadhiambo4989
    @mariamadhiambo4989 Рік тому

    Pepo nyeusi shindwe in Jesus name huku kupepo kulitoka Kwa lusifa .

  • @eunicenjeri4597
    @eunicenjeri4597 5 років тому +4

    God have Mercy .😂😂😂😂😂

  • @beautifulbtunlucky
    @beautifulbtunlucky 9 років тому +12

    inzi anafanya nini kwa sura ya "mungu "hahahah

  • @skmwenyewe07
    @skmwenyewe07 Рік тому

    Huyu anafaa kuuawa anapotosha watu wa mungu

  • @aloycemwakatala2796
    @aloycemwakatala2796 Рік тому

    Pumbavu zenu mavi ya mbwa hakuna takataka ya kumfananisha na yehova acheni mara moja

  • @alainchaka1isthetimeofchak666
    @alainchaka1isthetimeofchak666 5 років тому +6

    Ohh Africa!!!! You still have long way to go......!!😞😞😞😞😞😞