Mungu Mweusi
Вставка
- Опубліковано 19 гру 2014
- Kwa wengi Mungu hana mfano, ni mkuu wala hatagemei yeyote kwenye uamuzi wake. Wala haonekani kwa macho maangavu ila wanadamu huwasiliana naye kupitia njia ya maombi. Akawajibu wanadamu kulingana na mapenzi yake. Lakini katika kijiji kilichoko Kaunti ya Uasin Gishu, kuna mtu ambaye amejitokeza na kujitwaza hadhi ya mungu. Waumini wake humuita Jehova Wanyonyi. Kwa sasa Wanyonyi amenyemelewa na maradhi huku akiugua. Na kama anavyotujuza mwanahabari wetu Tom Wanjala, Wanyonyi ana zaidi ya wake 15 na zaidi ya watoto 300 ila alikataa kata kata kusema umri wake.
Gonga like kama huyu mzee anayejiita mungu ni kenge kabisa
Nyie wakenya mna shida gani mnataka kutudanganya Yesu yuko kenya na Mungu yuko kenya huyo ni wenu sisi hatuwajui.Tunamfahamu Mungu mmoja tuu muumba mbingu na dunia
Mimi ni Bwana Mungu wenu mimi sio mwanadamu na sifananishwi na kitu chochote acheni kumdhihaki Mungu
Mungu alisema tusihukumu lakini anayeona huyu mzee anafaa kunyongwa agonge like😥😥
Hajui anachofanya May the almighty Lord Allah (sw) guide him.
Wakenya mjitambue acheni ujinga
Jehovah anaafya mgogoro eeee mungu tusaudie Mana maandiko yanatiaya kwamba nyakati za mwisho kutakuana dini za uongo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
😀😀😀 jehova amegonjeka
Mungu anaumwa, na anakufa je huyo ni Mungu gani, mwanadamu anaokoaje mwanadamu mwenzake......? Mungu ni Roho na Mungu Hali. Achene kuchanganya neno.
huyu jamaa ni genius kama anaweza convince watu yeye ni Mungu, yeye ni wazimu wale wanamfuata ni wazimu zaidi ju mpaka wanaexplanation ya venye huyu jamaa ni god
Oooooh kumbe bangi za jamaica zimeanza kuingia kenya subhanallah
🤣🤣🤣🤣🤣
My people are perishing because they lack knowledge! !!JESUS intervene. ...
Precious Patience Faithy jesus is not God either you have no differrence with these wafuasi because you 2 people believe in a human being ... jesus is human n is not God n will never be
they really lack knowledge...ati mimi nisujudie mwanadamu anaenda choo kama mimi..wah!!!!
@@Bigdonfu
Jesus is human being 100 % and God 100%, that is spiritual , so you have only to know why He came as human being while He was with God ??
John3 :16
wakenyaaa mna mungu,mna yesu,balaa zaidi mungu anahakikishiwa kuwa kala kaoga na bado ni mgonjwa.
Chezeni na mungu kabisa,,yesu Wala mungu hakuoa
Subhana Allah,astaghafrllah ,siku yako ipo ,ww utang'oka tuu ,muulize firauni laanatuallah km ww utakavyolaaniwa
Wewe ni mpambavu pamoja na waumin wako
@@helenann2796 Mungu akuongoze dini yako ndio inavyo kufundisha kutusi watu? Alieandika anamwandikia Jehovah wanyonyi hakuwa akikuandikia wewe sasa kwanini kujibu kwa matusi acha Jehovah amjibu sio wewe!!!!
@@artisthusnatalal3099 kabisa watu midomo yao haina stara
@@helenann2796 ,wewe ni bibi ya huyo wanyonyi?Alafu huyo uliemjibu hana waumini nakuona kurupuka hata ujui unaongea nini! Unatetea wanyonyi kwani wewe pia unaabudu mtu badala ya MUNGU?
Bangi za 1960 hizo ndo zampeleka mbio
Kkkkkkkkkkkkkkkkkkķ
Kweli Tena
@@abdulsamadibrahim4784 your right
Jehovah wanyonyi wachakupotosha family yko. Mungu afananishwi na chochote babu
Mshindwe Kwa jina la Yesu
Mungu amuhukumu uyo Jehovah wanyonyi, eti aliumba wanadamu shindwe in Jesus name
Jehovah wa wanawake mpenda warembo yeye si mungu muumba mbingu na aridhi ashindwe kabisa.
Huyu ni mjinga atakufa vibaya mnoo,, eti mimi ni Yehova Ngoja asubili hukumu na hasira Ya MUNGU wa kweli 🙆🙆😭😭
Ushindwe kwa damu ya Yesu
Amen Amen. Mungu adhiakiwi hata siku moja. Acha utani wewe .
subhana Allah.hiyo ni laana wala humujitambui.washenzi nyinyi musiokua na akili
Hatari sana
Mungu wa kuzimu unamuwakilisha Baba yako Shetani
Jehova wanyonyi ni mbinadamu ,mtu ambaye amezaliwa na mbinadamu hawezi kuwa mungu kamwe , Jehovah mungu aliyeumba mbingu na ardhi hapewi chakula Wala mavazi kama wewe huyo ndiye yule Mimi natambua lakini SI wewe ,Hata wewe utahukumia Kwa kupoteza watu .
uyo ni chizi sio mzima
Ramia abbas kabisa
SUBUHANALLAH, hii dunia tutajionea mengi
Wewe ulipatwa na ugojwa juu ya kumusheshea Mungu ninani alikwambia Mungu ni mwanadamu hakuna yeyote anaeza ona Mungu aishi
Eeh Mungu mwenye haki uliye juu mbinguni tu rehemu baba
300 children👉Mungu Fisi👈Western Kenya Ile Bangi Inapandwa uko sijui ilitoka Wapi😂😂😂
lets think pana, inatokea wapi hki
Mbegu yake haiwezi patikana KARI😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tarifa wa reo
Myb frm Mexico
Ashindwe kabisa katika jina la Yesu ,Thers only one God ,the living God in heaven, creator of heaven n earth.
Mimi sina maoni haki Kama unasoma comment kama mimi piga like yako hapa🤔🤣🤝
Uyuu na anayesema yesu nii munguu hawana tofauti...wote..
You're confused my friend
Good
Huna tafauti na wanyonyi
Ako na mapengo😂😂😂😂. Ooh God of heaven pliz save us
Wonders shall never end in this world
particularly kenya
@@amirishauur5795 🤣🤣🤣
I'm here after another yesu from tongaren,,poor children,why mess up their destiny,may God preserve them for His own glory.
Hawa Waluhya nao wanatupima, 2023 Kuna Yesu mluhya tena
Whoever knows the wrath of God cannot joke any more. Let's repent the messiah is coming.
huyuu mzeee n mlevi tu wakawaidaa
chipira tony MLEVI WA TAIFA
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
YESU alisema wengi watakuja kwa jina langu lakini msiwafate
Na citizen muliingiaje umo ndani
What I find crazy is not him declaring himself as God, the crazy thing is that he has followers. People who believe him as God. Jeeeez!!!!!!
But u believe in white blue eyed god shit head.
This world 😊😊😊😊😊😊. Shuka Mungu wa Mbinguni ili watu wako wapone. We have to find out more about Bukusu people. They have Jesus and now God . What a world of confusion!!!
That is exactly how every religion started. Even Jesus Christ declared himself as god himself/the son of god, and now he has billions of followers.
@ekales9926 where in the Bible dose Jesus said he is the GOD? please unlearn.
@@abdiazizdahir4040 John 8:58. It doesn't come as a suprise to me that a Christian knows little about the bible.
Hili Shoga lishavuta bangi mpaka linasema mungu hahahahaha kweli bangi si chakula
Kweli Kenya kuna vicha mara Yesu mara Mungu miyungu watu hao
Ameshakufa Jehova wa Nyonyi
Hizi bangi
waumwa nini nawewe nimungu.?wewe nishetani ibilisi mukumbwa utaathibiwa swa na matendo Yko na mungu wetu wambinguni-nawe mtangazaji ungemuliza Hata mm uliniumba..?
Edna Da wanaume ni malaika
Kweli kabisa mtangazaji naye amekosea angemuuliza juu ya uumbaji wake.....Alex from Tanzania
Kweli kutojua ukweli juu ya Mungu aliyeziumba mbingu na nchi ni hatari!{ Mungu mwenye mwili! [ wamepotezwa pasipo kujua] Naona kenya haya maroho yapo sana
Shindwe pepo nyeusi na mapengo.
Mbona huyu mungu ni maskin
mungu ako na mapengo...wah niokotwe loitoktok
Hassan Almasi 😂😂😂😁😁😁😁😁😁
😂😂😂
😂😂😂
Waaa hata alikufa
Gideon Ndung'u 🤣🤣🤣
We are invaded, danger on our doors, lets turn to the true Jehovah and his only son Jesus Christ for eternal life.
Duh, huyu mzee anawaletea laana Ndugu zangu. Kufuru kubwa sana ingekua kwetu hapa hakuna iyoo hadhisi. Anacheza na Mungu ngoja tu. Kwanza anaumwa uliangalia Uso wake
😂😂😂😂😂😂😂😂Pumbavuuuuuh Mshenzy Makubwa Wewee Mungu Gani Wewe Fala Mkubwa Mungu Hana Mke Wala Hakuzaliwa
nusaiba Hassan bibi anamungalia masilayi yake
Jameni!Mungu yuko mbinguni inakuaje?tuacheni kumchezea Mungu
Mimi Jehovah wanyonyi...lubbish
@borah tano umepotea tena kupotea kukubwa jmn kwan watu hamsomi jmn
nusaiba Hassan ibilisi huyo
There is a natural mystic flowing through the air. ..this could be the first trumpet might as well be the last
Toa bangi hapa
Kwni MUNGU ni mweupe.
Mungu wamchongo duh!
Mungu atusamehe wanadamu!
aki
yani watu wamekosa adabu 😊
Wewe kwani uko na nguvu gani kwa binadanu......uko na uwenzo wakulea familiar yako mzeee....punguza bhangi.......wewe unatawaliwa na inzi kwa mdomo ..umejizi wewe
Alhamdulillah kwa kuzaliwa mwisilam yaa Rabbi nifishe haliyakua n mwislam. Wakristo wanasema yesu alikua n mungu kavaatu mwili w binadamu hawanao wanasema huyu n mungu kavaatu mwili w kibinadamu chaajabu anaonekan hata nguvu hana kwaukongwe, Allah asie onekana wala kufananishwa ndojibu tosha hakuna gagaziko juu y uwepo wake.
Hakika uisilam hakuna upuuzi huo
Hata kwet tz kuna mwanamk anawasumbua
@@pachaorg9123 Duh.!! Yule dada anawalisha matangopoli kweli Allah atunusur
@@ummuhafswa8980 kumbe hata we ushaona ile laana kubwa
@@ummuhafswa8980 kwan we ni mtz
@@pachaorg9123 Na'am
mmekuja sana ,,,,,, hati mungu mweusi
Siyo mageni haya bali wanaiga kwa wengine ambao nao ni kama hawa ‘ wanaabudu Mtu Aliyekaa tumboni miezi 9...wapo wengine wanaabudu Vinyago wanaweka mpk nyumba zao za ibada....wengine wanaabudu ng’ombe...
Kikubwa wasubiri tu WAKAWE CHIPS...!
nyinyi,,,sisemi kitu,,,ati wee Dio uliuba
Ile moto ya jahanam inawangoja
Wonder's shall never end
Kunabaazi yamaradhi yakili yanawatesa baaz yawakenya mala mungu wa Tungareni
Kwendeni hukoooo,,,,haya ndo yalitabiriwa,,sishangai kuyaona,,,
Kwahiyo huyo mtangazaji amefanikiwa kumhoji mungu na kurekodi video, duh! Me kama huyu ndo mungu bora niwe kuni tu, nitakaowachoma mjiandae make nina hasira hapa
Jamani kama mchezo chezeeni vingine na sio Mungu make mnajitafutia baraa tu, na Sikh ya mwisho mtajuta.
Hahaaa...funny🤣
Mungu anaoga maji ya moto anaogopa ya baridi.
Hakika na alaaniwa MTu wa namna hii
Inna lillah wa Inna ilaih laadjunn.
Grande kafir vc!!
Huyu ni shetani tu,akwende uko pumbavu yeye ng'ombe yeye kama anaweza aje kwangu,huyu ni mganga wa watu wajinga tu
Martin Mutiso kweli kabisa
@@maryamabasheikh7613 Aamen,hawa hawajui Mungu wa kweli dada,ni upotovu tu ulio ndani yao,ju Maandiko yana sema utakapo ujua ukweli,nao huo ukweli utakuweka huru.
hahaa kwakweli Ndundu zangu ipo siku msishangae mana yote yame andikwa Kwenye bibiliya siku za mwisho..............
Duuuuh ha ha ha wakenya mmetisha mna mna Munguh
Haya maelezo hayana tofauti na uungu wa yesu
Mshindwe kwa uwezo wa damu ya Yesu
Mungu gani ana sura mbaya namna hii. Maajabu mengine ya waafrika
Waafrika nani alituroga😁😁😁🙊🙊🙊
Eti Mungu ameogs🤔🤔🤔🤔
All praises to the Creator,
The Creator is one,
The Creation family is one,
The Mankind family is one,
All hearts prayer & effort are also one
"TRUTH,BEAUTY, JUSTICE & PEACE" for each life
Of the whole creation family.....
Alhamdulilah
Chenzi sanaa,religion is opium of mind.ile kiboko mtagongwa mtatawanyika kaa mavi ya nyani
Jahillin.Oh Allah guide those igronance t.o the right path
akili ni nywele uyu yake ni kamasi.....ako na shida ya akili uyu
watu wajinga kweli...kama ye mungu nani kamuumba??acheni ulemavu wa akili!
Shindwe Pepo baya.mwanadamu kweli amepotea.sasa mungu ana uvimbe wa mwili ata haoni
Laanatuwallah alaaniwe duniani na ahera
Haaahaaaa jaman uwiii mbavu zangu mie mpelekeni hospital akili imeyumba hivi watu naakili zenu mnakubali ujinga huu jaman bora ukose pesa akili iwenayo😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆
Wakenya wajeuri sana mungu wa mbinguni hamumtaki mnataka mkenya mapengo ndo mungu wenu 🤣😥
😂😂😂😂😂 wajinga kweli
Mungu anakidonda yaan kapotea saan asilimu
Acha utan na mungu aliyehai we mungu atakuangamiza Bure
The dudes liver is no good.
Havi yeye nanii???
Bungoma never dissapoints
Suburi mauti yakufuke utajuwa kama ulikuwa ni mungu au mwanadamu
Mhhhhh mungu mwenyewe anaumw
Siku za mwisho zikifika ukisikia parapanda basi naamuru alie ndani abaki ndani na alie nje abaki nje kwa maana watakuja mitume na manabii wa uongo nao watajinasifu ni manabii wa Baba alie mbinguni kwa maana wafanya miujiza isoyompendeza Mungu, kwa upande wangu huu ni muujiza kupita yote iliyowahi kufanyika na wanao jiita manabii wa duniani, Ngoja nijiandae marehemu mimi mtarajiwa kwa maana siijui kesho yangu.
Waumini wajinga
Astaghafirullaah
Yaa Rabby tusamehe waja wako na utuongoze katika njia iliyonyooka na kwa hakika huyo alojiita mungu adhabu yake inamsubiri
Tuchunge tusimfanye Mungu akasirikie hii nchi
I thank God Muranga sijaona mambo kama haya
Eti jehova wa nyunyu kenya mnafeli wapi nyie huyu Mzee mbona km mlevi hivi na hao malaika wa kiume sura chuchuu😂😂mnazingua nyie mamaee na nyie wake zake roho eti wake
kweli wakiristo mutapewa athabu kubwa siku za mwisho Mungu ni mmoja wala sio wanyonyi
eti wakristo kila mmoja na roha yake....jehovah wanyonyi aende ahare huko....eti muumba bingu na Dunia ww una njaa upewe nyama na kuku
Huna la kusema wewe.
Hyo kimtu kilikufa na kilienda kabxa mungu gani shetani ashindwe
Pepo nyeusi shindwe in Jesus name huku kupepo kulitoka Kwa lusifa .
God have Mercy .😂😂😂😂😂
inzi anafanya nini kwa sura ya "mungu "hahahah
Hji
aty inzi wacha kuninyc walai
Mary Syombua inzi shetani iyo
23 Years Old of Gold 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Huyu anafaa kuuawa anapotosha watu wa mungu
Pumbavu zenu mavi ya mbwa hakuna takataka ya kumfananisha na yehova acheni mara moja
Ohh Africa!!!! You still have long way to go......!!😞😞😞😞😞😞