DRC: Aliyetaka kumpindua TSHISEKEDI Jumapili AUAWA, mwanae AKAMATWA, alirusha tukio LIVE Facebook

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 вер 2024
  • Fringe DRC Politician Killed in Thwarted Coup Attempt; Son and US Business Partner Arrested
    • Fringe DRC Politician ...

КОМЕНТАРІ • 176

  • @baranyikwamohammed628
    @baranyikwamohammed628 3 місяці тому +40

    Waache ujinga hao vibaraaka wa marekani,kazi nzuri kwa askari wa drc .zaire ilikufa na mobutu na haitafufuka tena

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n 3 місяці тому +9

    I love nchi yangu Tanzania 🇹🇿 Ee mungu tujalie amani idumu vizazi had vizazi

  • @JackMan-bc5pb
    @JackMan-bc5pb 3 місяці тому +31

    Imeniuma sana walivyo yafanya mambo yao kitoto sana

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 3 місяці тому

      Utoto muwingi sanaaa😂

    • @alexandrafrancisco9848
      @alexandrafrancisco9848 3 місяці тому

      Talvez nao... tens q pensar q ha coisas q nao estao visiveis... provavelvente, algo correu mal... pode sim, ter havido traiçao... ❤

  • @alibinali_
    @alibinali_ 3 місяці тому +17

    Free DRC 🇨🇩 Congo

  • @habarugiraRodrigue
    @habarugiraRodrigue 3 місяці тому +41

    Bangi sionzuri

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 3 місяці тому +4

    Jamani tuifanye Africa kuwa salama na yenye usitawi mzuri kwa ajiii yetu and the future generation
    #heal the world #

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 3 місяці тому +3

    Mission Impossible.....

  • @praymwalu
    @praymwalu 3 місяці тому +4

    From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 apa

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 місяці тому +1

    Shukran kwa wote walimuuwa huy bwege wafrica tunahitaj Aman hasa kwa ndugu zetu wa Congo hlf bwege mmoja anatak kuchafua shenzi kabisa

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 3 місяці тому +13

    Ni mshenzi sana huyu jamaa wakongo tunataka mabadiko ila uyu jamaa ni zaidi ya kibaraka ata lipanga na wazungu uchwara cjuwi kawatoa wapi😅😅

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 місяці тому +8

    Congo ulinz bado uko chin

  • @user-cb2us2nu2m
    @user-cb2us2nu2m 3 місяці тому +10

    UNAENDAJE KUMPINDUWA RAIS NA MKE WAKO KWENYE MSAFARAA? UKISIKIA NYEGE UNAHACHA VITA KWANZA UNAMKUMBATIYA MKE WAKO DUH IYI MOJA KALIII

  • @officialcandleboy6923
    @officialcandleboy6923 3 місяці тому +9

    Hawa mbwa wana shindwa kutimia hiyo nguvu kuwa huwa m23 wana tuuliya wazalendo wa nchi yetu Congo, serekali yaki mangumangu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 3 місяці тому +7

    HONGERENI SANA ASKARI WOTE WA DRC

  • @abdulymaeda2697
    @abdulymaeda2697 3 місяці тому

    Congo big up tshsekedi🔥🔥🔥 from🇹🇿

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 3 місяці тому +4

    Mhhhh niko congo apa mbona atujasikia laia wakisema

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 3 місяці тому

    Hongereni sana! Walinci mmenifurahisha sn yaani ji2 jina linamuunganisha mtoto kwenye upumbavu,kufia yukio.

  • @alexandrafrancisco9848
    @alexandrafrancisco9848 3 місяці тому

    II faut voir au-delà des apparences...quelque chose ne va pas... Y a-t-il eu une trahison?!❤

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 3 місяці тому +15

    Bora sisi TZ 🇹🇿tunao andamana mitandaoni 😆😆😆....kiherehere sio kizuri...mwenye nguvu apishwe jamani.....

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 місяці тому +1

    Kafa kishenzi bora angeungana na waasi wengine wangepindua nchi

  • @zablonOmoke
    @zablonOmoke 3 місяці тому

    The job needed well planners for it to yield the fruits and also some top military in the Congo govt

    • @alexandrafrancisco9848
      @alexandrafrancisco9848 3 місяці тому

      Se calhar houve traicao... algo correu mal... foram abandonados...❤

  • @alexandrafrancisco9848
    @alexandrafrancisco9848 3 місяці тому

    Quelque chose n'a pas fonctionné... Y a-t-il eu une trahison?!

  • @SugarIgaUfe1
    @SugarIgaUfe1 3 місяці тому

    Wanzinga sana kwa nini hawakuweza chukua mbone inge kua raha kwa sisi amba tuna sumbuliwa na vita uku este ya Congo 🇨🇩

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer День тому

    Mmmm. Uko pande zipi

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus5558 2 місяці тому

    hizi bangi hizi nyie acheni tuuuu....
    hapo palace napo ulinzi wake unawalakini

  • @KatoJackson-ol3mp
    @KatoJackson-ol3mp 3 місяці тому

    Mungu ailinde inchi yetu!

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 3 місяці тому

    I love my country Tanzania, amani idum milele

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 місяці тому

    Watu wakishiba viporo vyao wanashida yan han mbinu za kivita hawana, kelel nyingi zinazoashiria ni wawoga cz waliok train hap zingetembea guns tu...Japo ni taa nyekend kwa tshiseked uimalish ulinz

  • @rwakakagaramajohnjacob6295
    @rwakakagaramajohnjacob6295 3 місяці тому

    Maneno exchange, sensitive, partners, story, description, sometimes, live n.k. hayana mbadala wake katika lugha unayoisema ?
    Kwanini mwana habari wa Kiswahili, ulimi adhimu, unaoenea sana Duniani sasa, baada ya kukuzwa, kuendelezwa, na kuenezwa kutoka huko (Tanzania), sasa baadhi yenu mnauchafua na kuudunisha ulimi huu unaopendeka sana jameni?

  • @luendosabah2047
    @luendosabah2047 3 місяці тому

    Wawachape kabisa,shida tuna izo T shiit za Zaire kumbe hatutazivaa

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 3 місяці тому

    Dj smaa emezea kwa ufafanuzi mapinduzi ya kongo imekaaja juu ya wahusika wakuu

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer День тому

    😢😢daaaaaa

  • @gidionlemanya6077
    @gidionlemanya6077 3 місяці тому +4

    😮😮😮 congo Wana jeshi dhaifu sanA

    • @joyjilien
      @joyjilien 3 місяці тому

      Dhaifu? Kivipi sasa

    • @Soon815
      @Soon815 3 місяці тому +1

      @@joyjilien Sasa unadhan kunajeshi pale??Wamewa-out-number M23 plus silaha nzito lakni wanakula kipigo tangu enz na enz

    • @ce-08
      @ce-08 3 місяці тому

      ​@@Soon815 Congo wanavikwazo vya silaha

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 3 місяці тому

      ​@@ce-08Na hii ndo shida, ila nadhani wangewekeza utengenezaji wa silaha japo watakumbana na vikwazo vingne pia.

  • @petersanagaya2916
    @petersanagaya2916 3 місяці тому +1

    Mwl Nyerere 1776 aliwahi kusema, African naona matatizo matupu mbeleni kama tusipo jikomboa kifikra kutoka kwenye mikono ya mabeberu kwa ajili ya uchu wa madaraka na sio uchungu wa wananchi

    • @RabihuHussein
      @RabihuHussein 3 місяці тому

      🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe alkua kashazaliwa kisha akazaliwa tena

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 3 місяці тому

    kile kichapo nimekiona ila waliwagusa tu😊...ao walitakiwa kutafutiwa eneo maalum..kufundishwa nidhamu

  • @BukuruKevin-bn1tl
    @BukuruKevin-bn1tl 3 місяці тому

    Ongo

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 3 місяці тому

    Hao Wengine Watombwe Mpaka Wafe Nchi Gani Inaongozwa Ivo Ikawa Sawa

  • @bobkikaya69
    @bobkikaya69 3 місяці тому +8

    Siyo makazi ya Rais, ni ofisi tu.

  • @issajuma9043
    @issajuma9043 3 місяці тому

    Jamaa mjinga sana huyo,
    Unataka kupindua Inchi na mgambo 20,
    Kwahiyo makamu wa Rais angkuwa mkeo,
    Mkuu wa majeshi angekuwa mtoto wako,?

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv 3 місяці тому

    Zarau sio kitu kizuri

  • @kingmediatechonline
    @kingmediatechonline 3 місяці тому

    Duh 🙄 ni hatari sanaa

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 3 місяці тому

    Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh? Hawa jamaa walitegemea sapot kubwa ya wana nchi ,lakini matokeo yake wananchi hawakutoka nje ,ndio ikala kwao

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 3 місяці тому +1

    Mapinduzi siyo lelema,huyu Malanga amelipwa alichokuwa akitafuta😉😉

  • @morama3935
    @morama3935 3 місяці тому

    adui wa africa nimuafrika mwenyewe tuandae majeshi yetu selikali zetu inabidi zichukue watoto miaka saba wapewe elimu mafunzo uzalendo selikali iwe baba na ndo mama nasisi africa tutengeneze majasusi wakasome ulaya izimambo zitaisha ukizingua tunayonga

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 3 місяці тому

    Ndio Mana Wakishikwa Laiya Halamu Wengi Ho Kwanini Halamu Ndio Kama Awa Mambo Yao

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 3 місяці тому

    Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh?

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz 3 місяці тому +1

    Inamaana walivuta bangi kwanza?

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 місяці тому

    Nomaaa

  • @user-xl9oi3cl9c
    @user-xl9oi3cl9c 3 місяці тому +2

    Siyo ki lingala ni Lingala

    • @cricwambali1352
      @cricwambali1352 3 місяці тому +2

      Kizungu kiarabu kilingara ki bembe kifalansa luga yetu ina fungua seme na funga seme nadhani uta kua ume elewa

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 3 місяці тому

      ​@@Hassan_Mengiumeweza😂😂

  • @PalomaMshana
    @PalomaMshana 3 місяці тому

    Vichaaa hawa😢 plan ilikuwa mbovuv

  • @user-ff5jt4rp9n
    @user-ff5jt4rp9n 3 місяці тому

    Ni aibu

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 3 місяці тому

    Ila wakongo, kwa upuuzi huo Vita haiji kuisha

  • @ms123ru
    @ms123ru 3 місяці тому +3

    😂😂😂😂 mjasiri amalii wa bangi

  • @JupeKiame
    @JupeKiame 3 місяці тому

    Jp

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 3 місяці тому

    Waafrika tunataka nini kuvuruga usalama wa taifa na Afrika yetu,,?. Wangemua Rais jamani bila kosa. Walaniwe milele yote wanadamu hao.. Amen.

  • @mwaimuchengo1814
    @mwaimuchengo1814 3 місяці тому

    Huyu jamaa mzembe sana boraa angeshirikisha wataaalan wa haya mambo unataka kupinduaa nchi hujashikilia kiwanja Cha ndege ,redio na tv ya taifa ,huna hata kambi Moja ya jeshi inayokusapoti huyu ni utoto aliofanya kafa akiwa na umri mdogo sanaa miaka 41 inawezekana angeisaidia sana Congo ila ndio hivyoo

    • @alexandrafrancisco9848
      @alexandrafrancisco9848 3 місяці тому

      Por isso, deves reflectir... sera assim mesm?! Algo correu mal?! Houve traicao!?❤

  • @MbomaMukenge-uo7mx
    @MbomaMukenge-uo7mx 3 місяці тому +2

    SNS niongo sana iyo nisiasa ya kisekedi

  • @sylvanosalumu5840
    @sylvanosalumu5840 3 місяці тому

    Awakuwa serious na jambo lao.

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn 3 місяці тому +2

    Bangi na madawa vinahela hatari sema tu nipo bongo mbwa mimi😅😅😅😅

  • @Afroking2001
    @Afroking2001 3 місяці тому

    Eza ya solo te

  • @philiplugalia3724
    @philiplugalia3724 3 місяці тому

    Kibaraka cha marekani

  • @majombo-g4j
    @majombo-g4j 3 місяці тому

    Akufe uyo mjinga

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 3 місяці тому

    Heeeeeeee inchiii yetu

  • @mathewmutuku7342
    @mathewmutuku7342 3 місяці тому

    He is being send by American's

  • @EliaoleshengEa-pv8fu
    @EliaoleshengEa-pv8fu 3 місяці тому

    Hi

  • @aziza9093
    @aziza9093 3 місяці тому +1

    Hawado wanaomaliza dugu zetu

  • @sulemanmadahatv1691
    @sulemanmadahatv1691 3 місяці тому

    Afrika mashariki Jeshi ni JWTZ tu, watu ishirini wameingia hadi Ikulu Ofisi ya Rais

  • @benson23823
    @benson23823 3 місяці тому +1

    Wange weza ivi ningependa sana basi tunateseka sana Vrm huku Congo

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 3 місяці тому

      Huna akili angalia libiya

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 3 місяці тому

      Kumbe akili zako ziko likizo 😂😂😂

    • @Ryannkae
      @Ryannkae 3 місяці тому

      ⁠@@MashaMbwanaukiona watu wanaandika hivyo juwa wamechoka

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 3 місяці тому

    Tafadhali, musipotoshe watu, Huu jamaa hakuja kupinduwa Tchisekedi, ni deal na politicians wa hapa congo 🇨🇩 na President anajuwa, ila amesalitiwa. Walipoingia walienda nyumbani kwa Vital Kamerhe makamu waziri wa kwanza Mustafa, ambaye anaandaluwa kusimamia bunge, ila hakuwa nyumbanikwake. Baadaye walienda kwenye ofisi ya rahisi Sunday asubui na 5am, na waliingia bila hata lisasi moja kupigwa. Sijuwi kama huko TZ raïsi anatumika Sunday asubui na 5am?! Hii njo Congo 🇨🇩

  • @marrykigabimk
    @marrykigabimk 3 місяці тому

    Nihatari Kweli

  • @Afroking2001
    @Afroking2001 3 місяці тому

    Ni uwogo mtupu tu akuna ukweli wowote ni mambo ya kisiasa mapinduzi gani watu wanaedelea kufanya mambo yao kama kawaida

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 3 місяці тому +1

    Anavamia kishambashamba hivyooo kweli.... Eti mapinduz na watu 20

    • @Cristianoo-m7d
      @Cristianoo-m7d 3 місяці тому

      Hapo ndio panachekesha 😂, mapinduzi ya watu 20, halafu anaruka live 😂

    • @Ryannkae
      @Ryannkae 3 місяці тому

      @@Cristianoo-m7dniwengi bro nasio ao tu nivikundi yani uk, ufarasa usa canada ila usa wapo vikundi 25 apo awalikuwa wanakwenda kujaribu niwengi mno nawanachagana na watu weusi aliyo pima DN wakapatikana niwacongomani nao wapo humo yeye ajitaindi kurusu wana jeshi kupingana rwanda kama sio hivyo ato maliza mwaka mana wacongo wengi wamezinduka

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 3 місяці тому

      Alitegemea angeungwa mkono na baadhi ya wakuu wa kijeshi.

  • @upgo6112
    @upgo6112 3 місяці тому

    Bangi

  • @shukurumsebaloli
    @shukurumsebaloli 3 місяці тому +2

    Awowatu niwajinga nakiongozi wawo

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 3 місяці тому

      Umeonae

    • @shukurumsebaloli
      @shukurumsebaloli 3 місяці тому

      @@magretangel5242 Naapo wangemukuta raisi wangemuuwa naujinga waoo wanazani wa congomani wanaitaji ilo jina wacongomani wanaitaji amani nandicho anacho kifanya kisekedi

  • @lullebolle808
    @lullebolle808 3 місяці тому

    Faking deal

  • @MugishoBaguma
    @MugishoBaguma 3 місяці тому

    Walijidanganya.

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 3 місяці тому

    Sas ukiruka live si unaonekana aina ya silaha ulizonazo na adui anajipanga zaidi yako

  • @MohamedSalumu-rg3up
    @MohamedSalumu-rg3up 3 місяці тому

    W

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 3 місяці тому

    uyo jamaana kadanganywa na mganga wake wa kienyeji,

  • @zachariamwita3926
    @zachariamwita3926 3 місяці тому +1

    Ufaransa Hawana Lao Hapa Africa This Time Hakianani😂

  • @Jgjgjggjaieifhfv
    @Jgjgjggjaieifhfv 3 місяці тому +2

    😂😂😂 uyu jama ni mushenzi sana tena mijinga kuliko wote na hâta wanaowo mu unga mukono imagine mtu atoke usa muna zani mabadiloko gani ata l'ETA ingekuwa ana toka kongo hapo inge eleweka kidogo Ila uyu hamuna kitu

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 3 місяці тому

      Huyo ni kibaraka wawazu gu pia bangi zilionyesha ata kuwa rais

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 3 місяці тому

    Kweli bangi mbaya😂😂😂

  • @user-zz9js7te8e
    @user-zz9js7te8e 3 місяці тому

    Huyo dogo Kinega 😅😅😅

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 3 місяці тому

    Shida yetu ni tamaa

  • @aziza9093
    @aziza9093 3 місяці тому

    Bangi zizr wamuuliza amunaiz zinakibiliy kwanye makaliyo makumw

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 3 місяці тому

    Waliwezajeingia ikulu

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 3 місяці тому

    Mobutu alikuwa dictator tu,,, Rais wa kweli alikuwa Patrice Lumumba,,,wapigwe hawa mbwaaa wanaharibu Africa

    • @jacknoa5793
      @jacknoa5793 3 місяці тому

      Patrice lumumba alikuwa wadhiri mkuu akuwa raisi

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 3 місяці тому

      @@jacknoa5793 ndo muasisi wa kweli faliyewapa uhuru wakongo wakamsaliti,,, pia bila kuawaa ndo angekuwa first president,,,utake usitake,,,,,achana na Mobutu kuku wakusabanga,,,

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 3 місяці тому

      @@jacknoa5793 viongozi wengi Africa walianza kama mawaziri wakuu kipindi Cha ukombozi kwasababu uhuru wao ulikuwa haujakamilika Moja Kwa Moja ,,ona Tanganyika,, Zimbabwe,,hata hapo Kongo ,kwasababu watawala governors waliendelea kuweka mambo sawia kabla ya kuondoka mazima,,,,,

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 місяці тому

    👊✌👍.

  • @razackndeze-pv5bm
    @razackndeze-pv5bm 3 місяці тому

    Bangi nyingi na kiherehere, kaitafutia familia yake matatizo, hizo bakora za jeshi la Congo, wote watakuwa ni maiti kwenye masaa kadha ajayo.

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 3 місяці тому

    Nchii hii kila cku kugomban cjui kwann

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 місяці тому

    Ni jaribio dogo but kuna uzembe mkubwa wa kiulinzi...Ajiangalie vyema

  • @benjagaspar5304
    @benjagaspar5304 3 місяці тому

    Wakat unawaza wap kuna mishe au michongo kuna watu waashaamua maamuz magumu dahh

  • @Mbaley
    @Mbaley 3 місяці тому

    Afanye haraka maana kunamateso ya muno hapa🇨🇩

  • @mamaabduly
    @mamaabduly 3 місяці тому

    JAMAAA ALIKUWA ANATAKA UMAARUFU HAKUWA NA NIA YA. KUPINDUAA..

  • @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
    @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad 3 місяці тому

    Madara yanawazingua

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 3 місяці тому +3

    Maombi yangu uyu jama ageliweza kweli wa congomani tugemushika Mukono uyu jama ...Felix. mboso.lukwembo.bember.kamerhe .wote watakufa karibuni sky ..gonja atasikiha tu karibuni .hawa watu dio wachawi wa congo Felix die boss wa M23

  • @omarali7
    @omarali7 3 місяці тому

    Wakasome kwanza,mapinduzi sio kujirekodi na kuweka tiktok 😂😂

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 3 місяці тому

    Tunaishi kwa muda tu lakini daaah tunaptia mambo mengi thanaaa😂

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o 3 місяці тому

    Ni channel gani mkuu

  • @amanhumphrey.6777
    @amanhumphrey.6777 3 місяці тому

    Mjasiliamali wa bangi 😅😅😅😅😅 kawaponza wwnzie huyoo