Watu wakishiba viporo vyao wanashida yan han mbinu za kivita hawana, kelel nyingi zinazoashiria ni wawoga cz waliok train hap zingetembea guns tu...Japo ni taa nyekend kwa tshiseked uimalish ulinz
Maneno exchange, sensitive, partners, story, description, sometimes, live n.k. hayana mbadala wake katika lugha unayoisema ? Kwanini mwana habari wa Kiswahili, ulimi adhimu, unaoenea sana Duniani sasa, baada ya kukuzwa, kuendelezwa, na kuenezwa kutoka huko (Tanzania), sasa baadhi yenu mnauchafua na kuudunisha ulimi huu unaopendeka sana jameni?
Mwl Nyerere 1776 aliwahi kusema, African naona matatizo matupu mbeleni kama tusipo jikomboa kifikra kutoka kwenye mikono ya mabeberu kwa ajili ya uchu wa madaraka na sio uchungu wa wananchi
Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh? Hawa jamaa walitegemea sapot kubwa ya wana nchi ,lakini matokeo yake wananchi hawakutoka nje ,ndio ikala kwao
adui wa africa nimuafrika mwenyewe tuandae majeshi yetu selikali zetu inabidi zichukue watoto miaka saba wapewe elimu mafunzo uzalendo selikali iwe baba na ndo mama nasisi africa tutengeneze majasusi wakasome ulaya izimambo zitaisha ukizingua tunayonga
Huyu jamaa mzembe sana boraa angeshirikisha wataaalan wa haya mambo unataka kupinduaa nchi hujashikilia kiwanja Cha ndege ,redio na tv ya taifa ,huna hata kambi Moja ya jeshi inayokusapoti huyu ni utoto aliofanya kafa akiwa na umri mdogo sanaa miaka 41 inawezekana angeisaidia sana Congo ila ndio hivyoo
Tafadhali, musipotoshe watu, Huu jamaa hakuja kupinduwa Tchisekedi, ni deal na politicians wa hapa congo 🇨🇩 na President anajuwa, ila amesalitiwa. Walipoingia walienda nyumbani kwa Vital Kamerhe makamu waziri wa kwanza Mustafa, ambaye anaandaluwa kusimamia bunge, ila hakuwa nyumbanikwake. Baadaye walienda kwenye ofisi ya rahisi Sunday asubui na 5am, na waliingia bila hata lisasi moja kupigwa. Sijuwi kama huko TZ raïsi anatumika Sunday asubui na 5am?! Hii njo Congo 🇨🇩
@@Cristianoo-m7dniwengi bro nasio ao tu nivikundi yani uk, ufarasa usa canada ila usa wapo vikundi 25 apo awalikuwa wanakwenda kujaribu niwengi mno nawanachagana na watu weusi aliyo pima DN wakapatikana niwacongomani nao wapo humo yeye ajitaindi kurusu wana jeshi kupingana rwanda kama sio hivyo ato maliza mwaka mana wacongo wengi wamezinduka
😂😂😂 uyu jama ni mushenzi sana tena mijinga kuliko wote na hâta wanaowo mu unga mukono imagine mtu atoke usa muna zani mabadiloko gani ata l'ETA ingekuwa ana toka kongo hapo inge eleweka kidogo Ila uyu hamuna kitu
@@jacknoa5793 ndo muasisi wa kweli faliyewapa uhuru wakongo wakamsaliti,,, pia bila kuawaa ndo angekuwa first president,,,utake usitake,,,,,achana na Mobutu kuku wakusabanga,,,
@@jacknoa5793 viongozi wengi Africa walianza kama mawaziri wakuu kipindi Cha ukombozi kwasababu uhuru wao ulikuwa haujakamilika Moja Kwa Moja ,,ona Tanganyika,, Zimbabwe,,hata hapo Kongo ,kwasababu watawala governors waliendelea kuweka mambo sawia kabla ya kuondoka mazima,,,,,
Maombi yangu uyu jama ageliweza kweli wa congomani tugemushika Mukono uyu jama ...Felix. mboso.lukwembo.bember.kamerhe .wote watakufa karibuni sky ..gonja atasikiha tu karibuni .hawa watu dio wachawi wa congo Felix die boss wa M23
Waache ujinga hao vibaraaka wa marekani,kazi nzuri kwa askari wa drc .zaire ilikufa na mobutu na haitafufuka tena
Marekani kila baya lake 😂
I love nchi yangu Tanzania 🇹🇿 Ee mungu tujalie amani idumu vizazi had vizazi
Imeniuma sana walivyo yafanya mambo yao kitoto sana
Utoto muwingi sanaaa😂
Talvez nao... tens q pensar q ha coisas q nao estao visiveis... provavelvente, algo correu mal... pode sim, ter havido traiçao... ❤
Free DRC 🇨🇩 Congo
Xxxxv
Bangi sionzuri
😂😂
Kbsaaaaaa
Kweli
Jamani tuifanye Africa kuwa salama na yenye usitawi mzuri kwa ajiii yetu and the future generation
#heal the world #
Mission Impossible.....
From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 apa
Shukran kwa wote walimuuwa huy bwege wafrica tunahitaj Aman hasa kwa ndugu zetu wa Congo hlf bwege mmoja anatak kuchafua shenzi kabisa
Inocencia...❤
Ni mshenzi sana huyu jamaa wakongo tunataka mabadiko ila uyu jamaa ni zaidi ya kibaraka ata lipanga na wazungu uchwara cjuwi kawatoa wapi😅😅
Congo ulinz bado uko chin
UNAENDAJE KUMPINDUWA RAIS NA MKE WAKO KWENYE MSAFARAA? UKISIKIA NYEGE UNAHACHA VITA KWANZA UNAMKUMBATIYA MKE WAKO DUH IYI MOJA KALIII
Hawa mbwa wana shindwa kutimia hiyo nguvu kuwa huwa m23 wana tuuliya wazalendo wa nchi yetu Congo, serekali yaki mangumangu
HONGERENI SANA ASKARI WOTE WA DRC
Congo big up tshsekedi🔥🔥🔥 from🇹🇿
Mhhhh niko congo apa mbona atujasikia laia wakisema
Pengine ni uzushi mitandaoni
Nikweli labda weye uko congo nyingine
Wakongo wana Chelewa kupata habari
Hongereni sana! Walinci mmenifurahisha sn yaani ji2 jina linamuunganisha mtoto kwenye upumbavu,kufia yukio.
II faut voir au-delà des apparences...quelque chose ne va pas... Y a-t-il eu une trahison?!❤
Bora sisi TZ 🇹🇿tunao andamana mitandaoni 😆😆😆....kiherehere sio kizuri...mwenye nguvu apishwe jamani.....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Helooooo😂
Kafa kishenzi bora angeungana na waasi wengine wangepindua nchi
The job needed well planners for it to yield the fruits and also some top military in the Congo govt
Se calhar houve traicao... algo correu mal... foram abandonados...❤
Quelque chose n'a pas fonctionné... Y a-t-il eu une trahison?!
Wanzinga sana kwa nini hawakuweza chukua mbone inge kua raha kwa sisi amba tuna sumbuliwa na vita uku este ya Congo 🇨🇩
Mmmm. Uko pande zipi
hizi bangi hizi nyie acheni tuuuu....
hapo palace napo ulinzi wake unawalakini
Mungu ailinde inchi yetu!
I love my country Tanzania, amani idum milele
Watu wakishiba viporo vyao wanashida yan han mbinu za kivita hawana, kelel nyingi zinazoashiria ni wawoga cz waliok train hap zingetembea guns tu...Japo ni taa nyekend kwa tshiseked uimalish ulinz
Maneno exchange, sensitive, partners, story, description, sometimes, live n.k. hayana mbadala wake katika lugha unayoisema ?
Kwanini mwana habari wa Kiswahili, ulimi adhimu, unaoenea sana Duniani sasa, baada ya kukuzwa, kuendelezwa, na kuenezwa kutoka huko (Tanzania), sasa baadhi yenu mnauchafua na kuudunisha ulimi huu unaopendeka sana jameni?
Wawachape kabisa,shida tuna izo T shiit za Zaire kumbe hatutazivaa
Dj smaa emezea kwa ufafanuzi mapinduzi ya kongo imekaaja juu ya wahusika wakuu
😢😢daaaaaa
😮😮😮 congo Wana jeshi dhaifu sanA
Dhaifu? Kivipi sasa
@@joyjilien Sasa unadhan kunajeshi pale??Wamewa-out-number M23 plus silaha nzito lakni wanakula kipigo tangu enz na enz
@@Soon815 Congo wanavikwazo vya silaha
@@ce-08Na hii ndo shida, ila nadhani wangewekeza utengenezaji wa silaha japo watakumbana na vikwazo vingne pia.
Mwl Nyerere 1776 aliwahi kusema, African naona matatizo matupu mbeleni kama tusipo jikomboa kifikra kutoka kwenye mikono ya mabeberu kwa ajili ya uchu wa madaraka na sio uchungu wa wananchi
🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe alkua kashazaliwa kisha akazaliwa tena
kile kichapo nimekiona ila waliwagusa tu😊...ao walitakiwa kutafutiwa eneo maalum..kufundishwa nidhamu
Ongo
Hao Wengine Watombwe Mpaka Wafe Nchi Gani Inaongozwa Ivo Ikawa Sawa
Siyo makazi ya Rais, ni ofisi tu.
Rsrsrsr❤❤ foi enganado...
Jamaa mjinga sana huyo,
Unataka kupindua Inchi na mgambo 20,
Kwahiyo makamu wa Rais angkuwa mkeo,
Mkuu wa majeshi angekuwa mtoto wako,?
Zarau sio kitu kizuri
Duh 🙄 ni hatari sanaa
Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh? Hawa jamaa walitegemea sapot kubwa ya wana nchi ,lakini matokeo yake wananchi hawakutoka nje ,ndio ikala kwao
Mapinduzi siyo lelema,huyu Malanga amelipwa alichokuwa akitafuta😉😉
adui wa africa nimuafrika mwenyewe tuandae majeshi yetu selikali zetu inabidi zichukue watoto miaka saba wapewe elimu mafunzo uzalendo selikali iwe baba na ndo mama nasisi africa tutengeneze majasusi wakasome ulaya izimambo zitaisha ukizingua tunayonga
Ndio Mana Wakishikwa Laiya Halamu Wengi Ho Kwanini Halamu Ndio Kama Awa Mambo Yao
Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh?
Inamaana walivuta bangi kwanza?
Nomaaa
Siyo ki lingala ni Lingala
Kizungu kiarabu kilingara ki bembe kifalansa luga yetu ina fungua seme na funga seme nadhani uta kua ume elewa
@@Hassan_Mengiumeweza😂😂
Vichaaa hawa😢 plan ilikuwa mbovuv
Ni aibu
Ila wakongo, kwa upuuzi huo Vita haiji kuisha
😂😂😂😂 mjasiri amalii wa bangi
Jp
Waafrika tunataka nini kuvuruga usalama wa taifa na Afrika yetu,,?. Wangemua Rais jamani bila kosa. Walaniwe milele yote wanadamu hao.. Amen.
Huyu jamaa mzembe sana boraa angeshirikisha wataaalan wa haya mambo unataka kupinduaa nchi hujashikilia kiwanja Cha ndege ,redio na tv ya taifa ,huna hata kambi Moja ya jeshi inayokusapoti huyu ni utoto aliofanya kafa akiwa na umri mdogo sanaa miaka 41 inawezekana angeisaidia sana Congo ila ndio hivyoo
Por isso, deves reflectir... sera assim mesm?! Algo correu mal?! Houve traicao!?❤
SNS niongo sana iyo nisiasa ya kisekedi
Awakuwa serious na jambo lao.
Bangi na madawa vinahela hatari sema tu nipo bongo mbwa mimi😅😅😅😅
Eza ya solo te
Kibaraka cha marekani
Akufe uyo mjinga
Heeeeeeee inchiii yetu
He is being send by American's
Hi
Hawado wanaomaliza dugu zetu
Afrika mashariki Jeshi ni JWTZ tu, watu ishirini wameingia hadi Ikulu Ofisi ya Rais
Wange weza ivi ningependa sana basi tunateseka sana Vrm huku Congo
Huna akili angalia libiya
Kumbe akili zako ziko likizo 😂😂😂
@@MashaMbwanaukiona watu wanaandika hivyo juwa wamechoka
Tafadhali, musipotoshe watu, Huu jamaa hakuja kupinduwa Tchisekedi, ni deal na politicians wa hapa congo 🇨🇩 na President anajuwa, ila amesalitiwa. Walipoingia walienda nyumbani kwa Vital Kamerhe makamu waziri wa kwanza Mustafa, ambaye anaandaluwa kusimamia bunge, ila hakuwa nyumbanikwake. Baadaye walienda kwenye ofisi ya rahisi Sunday asubui na 5am, na waliingia bila hata lisasi moja kupigwa. Sijuwi kama huko TZ raïsi anatumika Sunday asubui na 5am?! Hii njo Congo 🇨🇩
Nihatari Kweli
Ni uwogo mtupu tu akuna ukweli wowote ni mambo ya kisiasa mapinduzi gani watu wanaedelea kufanya mambo yao kama kawaida
Anavamia kishambashamba hivyooo kweli.... Eti mapinduz na watu 20
Hapo ndio panachekesha 😂, mapinduzi ya watu 20, halafu anaruka live 😂
@@Cristianoo-m7dniwengi bro nasio ao tu nivikundi yani uk, ufarasa usa canada ila usa wapo vikundi 25 apo awalikuwa wanakwenda kujaribu niwengi mno nawanachagana na watu weusi aliyo pima DN wakapatikana niwacongomani nao wapo humo yeye ajitaindi kurusu wana jeshi kupingana rwanda kama sio hivyo ato maliza mwaka mana wacongo wengi wamezinduka
Alitegemea angeungwa mkono na baadhi ya wakuu wa kijeshi.
Bangi
Awowatu niwajinga nakiongozi wawo
Umeonae
@@magretangel5242 Naapo wangemukuta raisi wangemuuwa naujinga waoo wanazani wa congomani wanaitaji ilo jina wacongomani wanaitaji amani nandicho anacho kifanya kisekedi
Faking deal
Walijidanganya.
Sas ukiruka live si unaonekana aina ya silaha ulizonazo na adui anajipanga zaidi yako
W
uyo jamaana kadanganywa na mganga wake wa kienyeji,
😂😂😂
Ufaransa Hawana Lao Hapa Africa This Time Hakianani😂
😂😂😂 uyu jama ni mushenzi sana tena mijinga kuliko wote na hâta wanaowo mu unga mukono imagine mtu atoke usa muna zani mabadiloko gani ata l'ETA ingekuwa ana toka kongo hapo inge eleweka kidogo Ila uyu hamuna kitu
Huyo ni kibaraka wawazu gu pia bangi zilionyesha ata kuwa rais
Kweli bangi mbaya😂😂😂
Huyo dogo Kinega 😅😅😅
Shida yetu ni tamaa
Bangi zizr wamuuliza amunaiz zinakibiliy kwanye makaliyo makumw
Waliwezajeingia ikulu
Mobutu alikuwa dictator tu,,, Rais wa kweli alikuwa Patrice Lumumba,,,wapigwe hawa mbwaaa wanaharibu Africa
Patrice lumumba alikuwa wadhiri mkuu akuwa raisi
@@jacknoa5793 ndo muasisi wa kweli faliyewapa uhuru wakongo wakamsaliti,,, pia bila kuawaa ndo angekuwa first president,,,utake usitake,,,,,achana na Mobutu kuku wakusabanga,,,
@@jacknoa5793 viongozi wengi Africa walianza kama mawaziri wakuu kipindi Cha ukombozi kwasababu uhuru wao ulikuwa haujakamilika Moja Kwa Moja ,,ona Tanganyika,, Zimbabwe,,hata hapo Kongo ,kwasababu watawala governors waliendelea kuweka mambo sawia kabla ya kuondoka mazima,,,,,
👊✌👍.
Bangi nyingi na kiherehere, kaitafutia familia yake matatizo, hizo bakora za jeshi la Congo, wote watakuwa ni maiti kwenye masaa kadha ajayo.
Nchii hii kila cku kugomban cjui kwann
madini ndugu congo Tajiri
Ni jaribio dogo but kuna uzembe mkubwa wa kiulinzi...Ajiangalie vyema
Wakat unawaza wap kuna mishe au michongo kuna watu waashaamua maamuz magumu dahh
Afanye haraka maana kunamateso ya muno hapa🇨🇩
Wewe ni wale wale wapinzani tu
JAMAAA ALIKUWA ANATAKA UMAARUFU HAKUWA NA NIA YA. KUPINDUAA..
Madara yanawazingua
Maombi yangu uyu jama ageliweza kweli wa congomani tugemushika Mukono uyu jama ...Felix. mboso.lukwembo.bember.kamerhe .wote watakufa karibuni sky ..gonja atasikiha tu karibuni .hawa watu dio wachawi wa congo Felix die boss wa M23
Mshamba sn hujui kitu
Hujui UN ndio M23?
Unakicha ndugu au ndio wale wale
Wakasome kwanza,mapinduzi sio kujirekodi na kuweka tiktok 😂😂
Tunaishi kwa muda tu lakini daaah tunaptia mambo mengi thanaaa😂
Ni channel gani mkuu
Mjasiliamali wa bangi 😅😅😅😅😅 kawaponza wwnzie huyoo