KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 вер 2017
  • Jifunze manufaa ya kilimo cha umwagiliaji kutoka kwa mtaalamu wa umwagiliaji wa AGRIBUSINESS, kwa vifaa na utaalamu wa umwagiliaji wasiliana na kwa namba hii
    +255 715 044 777
    au tembelea ukura wao wa instagram
    / agribusinestz

КОМЕНТАРІ • 28

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c 5 років тому +2

    hongera Ahsante sana kwa elimu hii

  • @aminamndolwa4150
    @aminamndolwa4150 5 років тому +2

    Nice subject..nimekua inspired soon I will be like you congrats broh

  • @tahiachande3898
    @tahiachande3898 6 років тому +1

    Okay.... Class taken Mr. Entrepreneur...

  • @evaamerika9939
    @evaamerika9939 6 років тому +2

    Hongera kaka mungu akubariki

  • @mussahokororo485
    @mussahokororo485 6 років тому +3

    Thanks alot Mr George Shango for the lesson
    I have gain alot from you

    • @briargrey7515
      @briargrey7515 2 роки тому

      i know Im randomly asking but does anybody know of a trick to log back into an Instagram account??
      I was stupid lost the login password. I would love any help you can offer me!

  • @emmykharifa1450
    @emmykharifa1450 Рік тому

    kilima Cha mahindi

  • @godfreygramsen5910
    @godfreygramsen5910 3 роки тому

    Naitaji Sana pampu ya uwezo wa kumwagilia ekari 2

  • @sethmsangwa1413
    @sethmsangwa1413 6 років тому

    nakuelewa sana mkuu

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction4360 4 роки тому

    Thanks

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 років тому

    Asante kaka

  • @camilanjau2429
    @camilanjau2429 2 роки тому

    Where are you located

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 4 роки тому

    Nimependa Sana kilimo cha umwagiliaji, ila nawaza gharama ya kutengeneza iyo nyumb sijui n kias gani?

  • @godfreygramsen5910
    @godfreygramsen5910 3 роки тому

    Vifaa vinapatikana kwenye ofisi zenu

  • @barakayohanasanga3005
    @barakayohanasanga3005 3 роки тому

    Vifaa vyavkuanzishia kilimo ja drip ilihation vinapatikana wapi?

  • @dullaali5920
    @dullaali5920 6 років тому

    Naomba ushaur.mmepnda mazao mchanyiko takriban aina kumi za miti.juwa linaniathir zaid midimu ndmu znapukutika kwa juwa.ss namba ushaur nn nifnya kuokoa hasara io.

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  6 років тому +1

      Nadhani ushauri ulikua ndani ya kipindi hiki, tumia matandaza kama inavyoonekana humu kuzuia ukali wa jua, pia pumba za mchele, nyasi au majani ya mti kuzuia upotevu wa maji na ukavu wa udongo

  • @MISHIONARYSHUKURU
    @MISHIONARYSHUKURU 5 років тому

    Hizo drip ni special?

  • @danyngenda4714
    @danyngenda4714 6 років тому

    MM NILIZAN mtu onyesha njisi ya kuconect drip line ,fitter ,main line, tank

  • @mwachambigeorge7728
    @mwachambigeorge7728 6 років тому

    Je nikusema kuwa mtu hawezi fanya ukulima wa kunyunyuzia kwa sehemu yenye mlima?

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 6 років тому

    nina heka mbil pale ruvu, natafuta nyingine moja, hizo mbil nimenunua lakin sijawai lima bado, pale ruvu kunaniumiza kichwa nn nilime kibiashara?