KILIMO CHA UMWAGILIAJI
Вставка
- Опубліковано 24 вер 2017
- Jifunze manufaa ya kilimo cha umwagiliaji kutoka kwa mtaalamu wa umwagiliaji wa AGRIBUSINESS, kwa vifaa na utaalamu wa umwagiliaji wasiliana na kwa namba hii
+255 715 044 777
au tembelea ukura wao wa instagram
/ agribusinestz
hongera Ahsante sana kwa elimu hii
Nice subject..nimekua inspired soon I will be like you congrats broh
Okay.... Class taken Mr. Entrepreneur...
Hongera kaka mungu akubariki
Thanks alot Mr George Shango for the lesson
I have gain alot from you
i know Im randomly asking but does anybody know of a trick to log back into an Instagram account??
I was stupid lost the login password. I would love any help you can offer me!
kilima Cha mahindi
Naitaji Sana pampu ya uwezo wa kumwagilia ekari 2
nakuelewa sana mkuu
Thanks
Asante kaka
Where are you located
Nimependa Sana kilimo cha umwagiliaji, ila nawaza gharama ya kutengeneza iyo nyumb sijui n kias gani?
Vifaa vinapatikana kwenye ofisi zenu
Vifaa vyavkuanzishia kilimo ja drip ilihation vinapatikana wapi?
Naomba ushaur.mmepnda mazao mchanyiko takriban aina kumi za miti.juwa linaniathir zaid midimu ndmu znapukutika kwa juwa.ss namba ushaur nn nifnya kuokoa hasara io.
Nadhani ushauri ulikua ndani ya kipindi hiki, tumia matandaza kama inavyoonekana humu kuzuia ukali wa jua, pia pumba za mchele, nyasi au majani ya mti kuzuia upotevu wa maji na ukavu wa udongo
Hizo drip ni special?
MM NILIZAN mtu onyesha njisi ya kuconect drip line ,fitter ,main line, tank
Tumia mtaalamu akusaidie hilo suala
Hata mm pia
Je nikusema kuwa mtu hawezi fanya ukulima wa kunyunyuzia kwa sehemu yenye mlima?
Unaweza kufanya, Kuna namna ya kufunga hata kama sehemu ina mwinuko. Japo usiwe mkali sana
nina heka mbil pale ruvu, natafuta nyingine moja, hizo mbil nimenunua lakin sijawai lima bado, pale ruvu kunaniumiza kichwa nn nilime kibiashara?
Lima mpunga
Lima muhogo jombaa
@@emmanuelchiza7733 Muhogo nilipanda mwaka jana, nilipata ya kula na kuuza, mwaka huu ukame