Je Vanilla inauzwa Milioni 1 kwa kilo? WAZIRI BASHE afichua ukweli wote, ataja kilimo cha Whatsapp
Вставка
- Опубліковано 2 вер 2023
- ..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook - Розваги
Hawa waandishi wa habari wapotoshaji mbona hawachukuliwi hatua za kinidhamu? Wanatupotosha sana.
Mbaya sana na ni mambo yanasikitisha, yaani unakuta Mtangazaji anahubiri mambo yasiyokuwepo na kuawatia umaskini Wananchi wengi kwa kuwaingiza kwenye utapeli alafu anaachwa tu na hicho chombo cha habari kinaachwa tu bila kuchukuliwa hatua.
Jaribu kufikilia watu wametiwa umaskini kiasi gani kwa kutapeliwa na uwekezeji wa kitapeli kwenye vannila? Na sasa ivi wameibuka na Utapeli mwingine wa kitu inaitwa sijuwi BRAZUKA, eti watu wanatafuta vipaji lakini wanataka kiingilio cha elfu 10 kwamba watafika Wilaya zote, lini Taasisi itafute vipaji alafu kuwe na kiingilio? Wahusika wanakaa kimya juunya utapeli huu alafu baadaye wanajitokeza baada ya watu kuumizwa kuwa ulikuwa ni utapeli.
Mimi naomba mbegu ili nizalishe na mm nipo kiteto manyara Tanzania 🇹🇿
Sasa kumbe mambo yanajilikana lakini mbona yule tapeli hachukuliwi hatua yule jamaa wa vinalla village
Kuna kampuni inaitwa vanilla international ltd bila shaka watanzania 2natapeliwa wazidi tunaomb utusaidie uyo saimon mkondiya mbona anatuamisha kuwa bei ni milion1 na kwanini asichukuliwe atuwa 9:13
Nmewahi kuwahoji wanasema laki na nusu😊
Serikali ipo kutupotosha vanilla bei ya hali ya juu kwenye mataifa ya njee ulaya
Serikal inahongwa pesa na mataifa ya njee ili wawabane wakulima kwenye bei ya chini au hao hao viongozi ndio wanawabana wakulima ili wao wa take over chance za kwenda kuuza uko njee yanii ni
Kwa vile ni serikali tuiaminie tuu sio kweli vanilla duniani ndio inatengenezea pafyumu na vitu vingi vya marashi lazima iwe gali sana
The higher the demand the hi the price
Hii imekaa kijanja sana ila ni iweje duniani iwe finyu then duniani wanataka pafyumu alafu Vanila iwe bei rahisi
Yani ni kama madini ya gold bei
Vanilla ni commodity maana linahitajika duniani sana
Fanya reseach embu usibishe tuu bisha kwa hoja
Waziri wetu bashe tunakukubali sana nauko makini sana ombi kwako mazao ya Kilimo bei elekezi zitolewe mapema
Genius
Kuwapa ardhi wawekezaji kunaongeza umasikini kwa mtz WA Sasa na bdy,nisawa viwanda vilivyouzwa tukidhani tutapata maendeleo badala yake matatizo ya ajira,ni hatari kwa maendeleo na uhuru WA nchi kutegemea wawekezaji kwamba mtaongeza mapato hao wapo kibiashara sio kuendeleza nchi,state capitalism ndio njia ya uchumi pekee ya kututoa sio wawekezaji(private capitalism).
jamani sirikari tafta soko ravanira
Mimi lwangu huyu waziri haeleweki anazungukazunguka tu, hatoi mwongozo nini kifanyike kwa wakulima wa Tanzania walio wakubwa na wadogo
MAJIBU YA MH.WAZIRI KUHUSU BEI YAKE HAJALIWEKA WAZI NA HAIELEWEKI INASTAAJABISHA WAKULIMA WAZIRI WA KILIMO KUTOKUWA NA BEI ELEKEZI INASHANGAZA NA KUSTAAJABISHA SANA. WATANZANIA WAKULIMA WA VANILLA JAMANI JAMANI..... MWENYE UFAHAMU NA AELEWE
Akhsante waziri wa kilimo
Sasa bei kamiri ya vanilla ni sh ngapi mbona husemi bei
Mfugaji wapewe eneo ya kufuga wanyama. Wanainchi wapate kulima. Zambia wafugaji kila moja Ana ranch ya kufuga wanyama na ikingia barabara I au shamba la mwananchi inataifishwa au fine. Je sisi wabongo tumekwama wapi au fikra hizo hatuna?
sema behi kamiri ya vanita
You deserve to be where you are brother
Wakamateni hao watu wa media, wenye kampuni feki za vanilla pia radio,tv,zinarusha matangazo wakati mwingine hata zbc na tbc
Hunger bashe
Bora umewafungua masikio watu wanapaparika namauongo kwenye vyombo vya habari.
Bashi ni kiongoz
Hapo umehama bila kusema vanira ni bei gani?
Huwo ndio ukweli
Hivi kiongozi kama waziri anashindwaje kujiamini kuwa ana elimu ya kutosha! Unasimama unasema jonalist,hujui kuwa kiswahili chake mwanndishi wa habari. Tupunguze ulimbukeni jmn!
Huna hoja kaa kimya "Jounerist" ni pana na kubwa kuliko Mwandishi wa habari.
Mara utasikia huyu amehamishiwa Wizara ya Afya! Mipango yake yote inakufa na mpya à naanza na yake mapya. Huyu pengine ndiye Waziri pekee aliyesomea anachokifanya. Tatizo la rais kuamua atakacho hata usingizini, ndio linalokwamisha maendeleo. Angalia mkuu wa Mkoa wa Dar wa zamani. Aliwachukua wafanyakazi hadi Rwanda kwa lengo la kuwafanya waje walete mbinu zile zile za usafi wa Kigali. Waliporudi tu kabla ya ku implement mipango yake, rais amhamisha kwenda Mwanza sijui wapi huko. Mipango yake ikafa!
Briefly speaking: Tanzania ina tatizo kubwa la uongozi. Hadi uongozi wenye weledi, nidhamu na kujitambua, maendeleo ya kweli Tanzania itakuwa ndoto.
Na sasa ni mwenezi 😅😅
Kuna kampuni inaitwa vanilla international ltd bila shaka watanzania 2natapeliwa wazidi tunaomb utusaidie uyo saimon mkondiya mbona anatuamisha kuwa bei ni milion1 na kwanini asichukuliwe atuwa
Haaaa aise
Kwanza huyo Saymon Mkondya anaye amasisha kiwa vanila ni tsh Ml1 na zaidi we unaona huyo mtu akiri yake iko timamu??!! Sio naona ata review zake ana upongufu wa akri
Aya ndio tuseme ni Ml1
Sia gekuwa bilionea mkubwa
Angaliaga ata mwonekano wa mtu anaye kuhamasishwa k2
Zaid ni katika jitiada za kuvutia akutapeli
Kwanini msiwakamate
Sasa inakuaje tunapigwa na wewe unaona huu Zaid ya mwaka wa pili
Sasa bashe huyo mtu anafahamika anaitwa saimoni mkondya na anatumia radio wapo mission kwani wasichukuliwe hatua? Nahuyo saimoni nitapeli
Yes hyu jmaa akamatwe
Kaka uyo jamaa ametupiga mm mmoja wapo
Kuna kampuni inaitwa vanilla international ltd bila shaka watanzania 2natapeliwa wazidi tunaomb utusaidie uyo saimon mkondiya mbona anatuamisha kuwa bei ni milion1 na kwanini asichukuliwe atuwa 9:13
Kuna kampuni inaitwa vanilla international ltd bila shaka watanzania 2natapeliwa wazidi tunaomb utusaidie uyo saimon mkondiya mbona anatuamisha kuwa bei ni milion1 na kwanini asichukuliwe atuwa
😂😂😂😂😂 haaaaah wee jmn hata mimi nilikuwa Nisha amasika