COY MZUNGU amchana BABA LEVO kukosoa TUZO za COMEDY "Yeye kama NANI kwneye COMEDY?"/AMUITA mpumbavu.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

КОМЕНТАРІ • 6

  • @richardsuleiman1676
    @richardsuleiman1676 23 дні тому

    mwamba anaongea points sanaaaaa 🎉🎉

  • @shabanihababuu7332
    @shabanihababuu7332 23 дні тому

    Hababaiki na kamela huyo kazizoeya Kilasiku Akiojiwa Anaongea ponti Coy Muhaya Lakini kama sio muhaya mtupoa Sana

  • @ZachariaIsack-e5g
    @ZachariaIsack-e5g 22 дні тому

    Kwani serikali ikiweka mkono ndo inamaanisha ni kitu cha maana? Kwani vingapi vimeanzishwa na serikali nani vya hovyo. Binafsi nimekuelewa lakini heshimu mawazo ya baga levo haijalishi wewe umeanzisha comedy au la

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 22 дні тому

      Kiswahili kinakusumbua au? Usikii anakuambia basata inakaribisha maoni baada ya tuzo km kuna sehemu zimelosewa basi zibadilishwe , pia Tuzo ikiwa chini ya serikali ni bora kuliko ukisikia wasafi au yeyote yule ndio kaanzisha,, sababu upendeleo kwa watu wao lazima utakuwepo,,, na hapa inazungumziwa comedy sio jambo jingine ambalo serikali imewahi kosea,,, Sababu ni mara ya kwanza kuandaliwa Tuzo za comedy it's obvious mapungigu lazima yawepo,, na ndio kujifunza huko

    • @Raymondladislaus-c5q
      @Raymondladislaus-c5q 20 днів тому

      Kwanza kabsa jifunze kuandka😂😅baga levo😅😂

    • @Raymondladislaus-c5q
      @Raymondladislaus-c5q 20 днів тому

      Pili acha makasilik0 then uwe na akil ya kufikil asa mapua kaongea nn pale cha maana😂bwenyenye wew