HARMONIZE Atangaza KUMUOA ABBY CHAMS MWAKA huu/Baada ya Ndoa ya JUX/KAJALA na POSH QEEN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

КОМЕНТАРІ • 37

  • @daisykokwenda
    @daisykokwenda 18 годин тому +3

    The lady mtangazaji yupo vizuri, Big up!

  • @jamilajamila9682
    @jamilajamila9682 8 годин тому +1

    Anasauti nzuri ktk uwongeaji wako yako maskini sana mashallah

  • @DSKSN
    @DSKSN 19 годин тому +4

    blessings to anyone who likes this comment with faith 🙏

  • @RichardEmanuel-o1y
    @RichardEmanuel-o1y 19 годин тому +7

    Bado sana kufikia level za Grammy kwa sababu diamond mwenyewe hajashinda wewe utaweza kweli hata hawakujui

    • @GEOFREYGEORGE-k9g
      @GEOFREYGEORGE-k9g 19 годин тому +2

      Diamond ndio nan

    • @McAdamsChiry
      @McAdamsChiry 16 годин тому +3

      Kwani mpk diamond aanze ndo wengine waende... mtu wowote anaweza kuwakilisha kikubwa kazi yake ikubalike wenzetu hawaangalii umaarufu..., hushangai South Africa kachukua Tyla na hana miaka mingi kwy gemu

    • @12345678938129
      @12345678938129 16 годин тому +2

      Kwenye maisha jineneye mema. Yeye ana ndoto zake na Diamond ana ndoto zake. Kua na ndoto kubwa ni sawa

    • @VainqueurMarko
      @VainqueurMarko 9 годин тому +1

      Wa Nigeria wanao shinda kwani wanamfikiya devido ???

    • @MohamedMwakaramu
      @MohamedMwakaramu 57 хвилин тому

      Ndo nan uyo ili apate yeye

  • @tiggerbwoy3706
    @tiggerbwoy3706 20 годин тому +2

    😂😂😂😂harmo unaoa mwaka uuu umetisha😂😂😂

  • @Johnsonchristopher-uc5er
    @Johnsonchristopher-uc5er 5 годин тому

    Naamini kipaji cha uyu mtu tangu ayola kwa tz alishamaliza mpka single again duniani ajawahi kuniangusha nadhani ndo safari nyingine ya international imeanzia apo 🎉🎉🎉

  • @jeanalikiba3178
    @jeanalikiba3178 20 годин тому +2

    Wa kwanza😅

  • @BekaJoo
    @BekaJoo 6 годин тому

    🦣yao yao🔥🔥🔥🔥

  • @ChristianKalunga-s4w
    @ChristianKalunga-s4w 19 годин тому +2

    MTV ata hajashinda

  • @BontownDaJustina
    @BontownDaJustina 12 годин тому +1

    Tuna subili dowa

  • @AllySaid-z1g
    @AllySaid-z1g 19 годин тому +3

    Huyu jamaa yupo smart 🧠 sana ase anajua kujielezea hakika Grammy ipo mikono salama🎉

    • @YoungDuliy-h3x
      @YoungDuliy-h3x 19 годин тому

      Kwn Grammy inachukuliwa kw kuongea uzr😂😂😂

    • @McAdamsChiry
      @McAdamsChiry 16 годин тому

      ​@@YoungDuliy-h3xgrammy inachukuliwa kwa kazi nzuri hata km huna mda mref kwy gemu... mfano Tyla wa South Africs

    • @FatumaMfaki
      @FatumaMfaki 3 години тому

      ​@@McAdamsChirysasa unamlinganiaha tyla na harmonize 😂😂😂

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 18 годин тому

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 7 годин тому

    Tuacheni tuna harusi kwanza JP2025

  • @RoseLekule-j3t
    @RoseLekule-j3t 6 годин тому

    Ila harmo😂😂😂hataree😂😂😂

  • @selemanimkwichu782
    @selemanimkwichu782 10 годин тому

    Kaka angu harmonize huyu el mando tafuta namna ya kumfanya yan anatuharibia vibe kabsa

    • @Alexsheezo
      @Alexsheezo 7 годин тому

      Elmando Yuko sahihi mda wote sema ukweli unauma

  • @huguettelutumika7125
    @huguettelutumika7125 19 годин тому

    Ndakushabikia mpak

  • @estersamweli1429
    @estersamweli1429 20 годин тому +1

    Wa pili

  • @KassimMakame-dq6nq
    @KassimMakame-dq6nq 19 годин тому

    😂😂😂harmonize wee nikomeedy leo nkupa siri

  • @MuhajiriAbdurahman
    @MuhajiriAbdurahman Годину тому

    Uyo diamond wako anaimba au anafanya matusi nakukatika kiuno

  • @KhalfanSalim-v1x
    @KhalfanSalim-v1x 11 годин тому

    angefika mbali sema hu ushamba ndo ulie mzuzua wa mapenzi shabiki wake mie sema ana boa siku hizi

    • @Alexsheezo
      @Alexsheezo 7 годин тому

      Kabsaa yaani hasahasa muonekano wake kama muuza baa

  • @Charlotteiyungu
    @Charlotteiyungu 19 годин тому

    Harmonize bado nandamakombora 🦣🦣🦣🦣🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @GeorgetteMalenga
    @GeorgetteMalenga 18 годин тому

    Tulishe baba nbwabwa sisi mashabini tunasubiri harusi

  • @ericnzabonimpa765
    @ericnzabonimpa765 15 хвилин тому

    😂 hahaha muonekano Kama vampire

  • @joselynesango4430
    @joselynesango4430 20 годин тому +1

    😂😂😂😂

  • @mohafadhili4464
    @mohafadhili4464 18 годин тому +1

    Bonge la mshamba

  • @witnessJoseph-b5l
    @witnessJoseph-b5l 7 годин тому

    Mwamba anamafua