HARMONIZE Atangaza KUMUOA ABBY CHAMS MWAKA huu/Baada ya Ndoa ya JUX/KAJALA na POSH QEEN
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
The lady mtangazaji yupo vizuri, Big up!
Anasauti nzuri ktk uwongeaji wako yako maskini sana mashallah
blessings to anyone who likes this comment with faith 🙏
Bado sana kufikia level za Grammy kwa sababu diamond mwenyewe hajashinda wewe utaweza kweli hata hawakujui
Diamond ndio nan
Kwani mpk diamond aanze ndo wengine waende... mtu wowote anaweza kuwakilisha kikubwa kazi yake ikubalike wenzetu hawaangalii umaarufu..., hushangai South Africa kachukua Tyla na hana miaka mingi kwy gemu
Kwenye maisha jineneye mema. Yeye ana ndoto zake na Diamond ana ndoto zake. Kua na ndoto kubwa ni sawa
Wa Nigeria wanao shinda kwani wanamfikiya devido ???
Ndo nan uyo ili apate yeye
😂😂😂😂harmo unaoa mwaka uuu umetisha😂😂😂
Naamini kipaji cha uyu mtu tangu ayola kwa tz alishamaliza mpka single again duniani ajawahi kuniangusha nadhani ndo safari nyingine ya international imeanzia apo 🎉🎉🎉
Wa kwanza😅
🦣yao yao🔥🔥🔥🔥
MTV ata hajashinda
Tuna subili dowa
Huyu jamaa yupo smart 🧠 sana ase anajua kujielezea hakika Grammy ipo mikono salama🎉
Kwn Grammy inachukuliwa kw kuongea uzr😂😂😂
@@YoungDuliy-h3xgrammy inachukuliwa kwa kazi nzuri hata km huna mda mref kwy gemu... mfano Tyla wa South Africs
@@McAdamsChirysasa unamlinganiaha tyla na harmonize 😂😂😂
❤
Tuacheni tuna harusi kwanza JP2025
Ila harmo😂😂😂hataree😂😂😂
Kaka angu harmonize huyu el mando tafuta namna ya kumfanya yan anatuharibia vibe kabsa
Elmando Yuko sahihi mda wote sema ukweli unauma
Ndakushabikia mpak
Wa pili
😂😂😂harmonize wee nikomeedy leo nkupa siri
Uyo diamond wako anaimba au anafanya matusi nakukatika kiuno
angefika mbali sema hu ushamba ndo ulie mzuzua wa mapenzi shabiki wake mie sema ana boa siku hizi
Kabsaa yaani hasahasa muonekano wake kama muuza baa
Harmonize bado nandamakombora 🦣🦣🦣🦣🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tulishe baba nbwabwa sisi mashabini tunasubiri harusi
😂 hahaha muonekano Kama vampire
😂😂😂😂
Bonge la mshamba
Mwamba anamafua