CARRYMASTORY "HARMONIZE, RAYVANNY wameshuka kisa kuondoka WCB/MBOSSO atapotea vibaya"
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Huyu dada anaongea point ukimsikiliza kwamakini, mond hatari sana
Umeongea ukweli Carrymastor ❤
Carry mastery she is beautiful mashallah ❤️
Ila Carry Jamaniii🙌🙌
Kabisa atajuta sana kuna vitu vingi atavi poteza sana maana kunawasani wengi wenye vibaji na wana fanya vizuri ila hawatobowi
Car kaongea plenti sana
Muone vile Sura yake vile inakaa,sasa huyu munamuuliza ni kama ni family jamani!!
Carry kaongea ukweli kabisa sa wahusika wajitathimini tu...
Muwe mnatafuta watu wanaojua mziki ndo muwaulize mambo ya muziki jamani 🙂!
HARMONISE KAINUKA 💯💯💯💯
Kwa mara ya kwanza nimemuelewa Carry kuhusu ukubwa wa WCB
van yup swa
Amesema ukweli kbsa😂😂😂😂
Hamonize haja drop ila mapenz ndu Yana mdropsha konde Asha Toka uko
Mwe uyu dada wame mtoa wp kwan mbona ana ongea utopolo
Uyu malaya nini harmonize kadrop 😂 wcb fans
Acheni umbea nyie mtakuja kuwa mashoga, fanyeni mambo yenu😂😂😂😂😂
Harmonize haja drop acheni ujinga
Nyooooooooooooooo
Ana waburuza kabisa hawamuzi jeshiiiii
Kadrop sana tu, kabaki kwa mashabiki wake ndiyo hawajaukubali ukweli. His fanatics are on denial big time.
🤣🤣
We chiiiziii unamjua harmonize??? Harmonize hajapotea
Umemuelewa au unaropoka tuuu kaa Kwa kutulia umuelewee
Harmo kadrop huyu n pumbu ety😂
Kasema ukweli mnakataa sasa harmo yupo kama alivokuwepo hashitui jamaa Kasikilize Jeshi harafu uje useme kama kweli hajashuka 😅