WILSON ORUMA AFUNGUKA MAZITO ISHU YA FEI TOTO, WAYDAD WAWEKA MEZANI BILIONI 1.5, AZAM WANAOGOPA
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- WILSON ORUMA AFUNGUKA MAZITO ISHU YA FEI TOTO, WAYDAD WAWEKA MEZANI BILIONI 1.5, AZAM WANAOGOPA
#yanga #yangasc #yangatv #yangaleo #yangalive #caf #cafcl #azamfc #jkupdates #simbasc #simba #simbaleo #simbalive #simbaliveleo #simbatanzania #simbatanzania #nguvumoja #daimambelenyumamwiko
Mchezaji bora mzawa hata ukichukia tupende vya kwetu
Feisali mpumbavu sanaaa kwakweli kwanza alikataaga ofa zamani wakati yupo yanga Leo na hii akikataa atakuwa mjinga wa mwisho
Watu hawaangalii hivyo azam amewekeza Kwa Feisal kuanzia pesa kazi Kwa ndugu zake nyumba magari mzee sio poa azam kiufupi kaibeba familia ya Feisal Haya ungekua wewe ungeenda uku ndugu zako waludi mtaani
Usiite watu wajinga we shanga shangazi
Na kwann mmeweka picha ya hivo
Nyie ni waongo
Hao wangine hizo Timu mbona kama Mnazisingizia Tuu
SIMBA NDIO TIMU AMBAYO HAIBANII WACHEZAJI KWENDA NJE
Upo sahih
Acha ukuma mbona kibu mmembania acha unafiki kamahujuwi kaa kimya acha ukoro wako
Hawa bhana kwa kumpaisha mtu wala huoni kiwango alichonacho.
Chuki
Uongo tuu! Mshahara wa milioni 50 kwa mwaka wa Waydad, mbona hauna tofauti kubwa na mshahara wa milioni 4 kwa mwezi wa Yanga?
Nani kakwambia 50m ni kwamwaka weumeona wapi zinaandikwa Kwa mwaka
Hakuna lolote wewe.... Lengo lako eti Feisal awe anazungumzika sawa na Azizi Ki.
FEISAL HANA QUALITY YA KUCHEZA TIMU ZA NAMNA HIYO NJE YA NCHI. YEYE AENDELEE KUCHEZA AZAM HUKU AKISUBIRI NENO UZALENDO LIMPE TUZO...
DUH!! WE NOMA FAISAL LEO HANA QUALITY?!
@@rayisadesigns2646Quality anayo but sio kama inavyosemwa hiyo, ni sawa na Beligham kutajwa na media za England kuwa bora zaidi ya Vini, ndo kinachoendelea hapo kwenye media ya walevi hawa