Hii tamthiliya ni nzuri mno jaman wadau tumalize mwaka na hii Dunia ina mengi sana... Kama wew uko kama jordan ulidhan kitonga kumbe ngoma ngumu. gonga like
Another banga,kali sana nimepèn̈da kìlio cha mudi adi ĺimenitoka chozi,uhalisia wengi wetu wana ndoa hatùzingatii upendo wa dhati ndiposa mwishowe twalaghaiwa na vitu kidogo na kusaliti ndoa zetu na kuingiza lana,napenda sana series ya DUNIA🎉🎉🎉🎉kama umeipenda comment yangu like na unicommentie chchote #ChingaKenboy
❤❤❤ nitazidi kukaa macho hadi pale dunia hitakapohisha Manyanya mtu maana kabisa Mudy ongera sana somo kwa wale ambao na tambia yakutaka kunyanyasa wapiga chupa
Aiseee Toka nmeanza kuiangalia hii Toka kipande .Cha kwanza mpk hki Cha Leo hii scene ya muddy Cha pombe na Jordan kdogo nimwage chozi dah 😢muddy kaongea kwa hsia sana 👏👏👏👏
✨🎀KAZI NZURISANA NDUGUYANGU #ESMAFILMS BIGUP🙏😊📽🌍🎋🕊
Leo nimekuwa wa 60,kwa comment please naomba Comment za kuwapa nguvu team Dunia hili ni bonge la Series🎉🎉🎉🎉❤❤❤ em like ziwe nyingi ❤❤
Mwish watu mtajifunz kitu ❤❤
Nakoja Mr money jamani
@@NthenyaNgei tayar
Kp tuletee mambo chap chap bongo movie hits better❤️❤️❤️❤️
Kp vip zebuu wako
Kazi nzuri sana, binafsi ninaipenda kazi yenu
Leo huyu mlevi ameongeya kitu cha kueleweka kabisa wewe tajiri na malizako mlevi na mkewe mapenzi yao mazuri sana ❤❤❤
Mudi 🎉🎉 umeongea mpaka nimeumia binafsi
Yn kaongea kwa hisia sana 😊
Mmh watu mnajitahd kushinda mtandaoni duh like moj bs hat km nimechelewa
Hii tamthiliya ni nzuri mno jaman wadau tumalize mwaka na hii Dunia ina mengi sana...
Kama wew uko kama jordan ulidhan kitonga kumbe ngoma ngumu. gonga like
Nakubali madam vaileth pamoja na manyanya kwa kazi nzuri 🎉 mnayoifanya big up all them
Manyanya hutafka mbari my dear brother unajua na unajua tena
Mna mafunzo kweli, nawapenda bure kutoka hapa 🇰🇪 , majirani hooooooyeeeeeeeeee❤❤
Namuona mbali sana mtaalamu MANYANYA ❤ king of script
Tunaomba Dakika ziongezwe angalau ziwe 23
Angalau 29😂
😢😢huyo matildaa ndiyo najiona mimi kabisa siku zijazo😢
Mungu akunusuru mamy😢😢
@@hanifahkhamiss8485 allahuma ammin dear mapenzi yanatesa na mwisho wa yote Imani inatoka na chuki inatawala
Ila Manyanya bwana, broo unajua kaka hongera, et mbn mboga ipo maharage na mchicha,hahahah
Dah Funzo Kubwa Broo Achana Na Mke Wangu Harafu Muddy Yupo Serious Leo
Walio wayi Ku kumente bila kumaliziya kwanza moovie njo APA tujuwane kwa like zako 😂😂😂😂😂
Move nzuri sana jaribuni kuongeza dakika hata 25 hivi
Manyanya una kitu Nakuona mbali sana Beo Mungu mwema akuepushe na husda za Ulimwenguni.....🎉🎉🎉🎉 Mudy daaah 😂 Nmeipenda hio
Matilida uko makini sana,, manyanya pia 100 mnoo,, mudi nae kaamua kuzungumza Leo fact sana .. like hapo..
Wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 naombeni like zangu nawapenda sana
Mbona mnaweka dakika ndogo jamani 😢
Leo chapombe kaongea point jaman uwiiii, good job next pleaz
Wa kwanza Leo ❤❤❤
😂😅
Mati umeona ukajilalie tu mwaya hutaki zahma za roho😂😂😂
Umenifundisha sana toka mwanzo❤️❤️❤️❤️❤️
I hope sjachelewaaa ivyoooo😂😂,,,,,kaz mzur Manyanya tuko pamoj❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
Namupenda sana uyo mulevi sijui jina lake samahani
Yani manyanya maneno yako Yananitunza sana big up.brother
Mko vizur sana kazi nzuriii
Mungu awabqriki sana wote mashabiki wa hii movie
Mati umejua kunikosha kipenzi 😍😍😘👏👏👏
Kaz nzuri ila mnachelewesha sana
Manyanya ongera yako❤❤❤❤❤❤❤❤unatufunza sisi Wana ndoa mungu akubariki ufoke mbali
Nimekua wamwisho burundi nawapenda sana
mh mbona mi nmekukuta😢
Mudi nakukubali unamulilia mke wako😂😅
Hakuna kumpa hela uyo bro
Iyi ni bonge la serie inafundisha Sana kwetu sisi ambao atujakuwa kwenye ndoa❤❤❤
Manyanya huyu chepe dawa wako atakuuua
Jamani mrembo tifah yupo wapi
Jamani maua kwa manyanya na mke wa chapombe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤mko vizuri sana nawapenda❤❤❤❤
Yaan mzee wa kisaikoloji inajenga akil na spirit daah bonge la muvi Safi kazi nzuri
Movie nzuri dakika chache ,
Daaah ila mud hii picha kauwa sanaa mlev kaongea kwa hisia sanàaa dadeq 😅
Ongezeni dakika jamani daah MUDDY anafanya vizuri sana
Nakama tunzo basi apewe
DUNIA my favorite movie 🎥 🔥🔥🔥
Uyo mlevi amecheza part yake fty,,,😍😂😂,,episode next ikam buana.
Ameicheza poa sana yan bro. Nmependa pia
Another banga,kali sana nimepèn̈da kìlio cha mudi adi ĺimenitoka chozi,uhalisia wengi wetu wana ndoa hatùzingatii upendo wa dhati ndiposa mwishowe twalaghaiwa na vitu kidogo na kusaliti ndoa zetu na kuingiza lana,napenda sana series ya DUNIA🎉🎉🎉🎉kama umeipenda comment yangu like na unicommentie chchote #ChingaKenboy
🎉🎉🎉
Mudii shika maua yako🎉🎉🎉❤❤❤❤ na mkeo huwa mnanifanya nipende kufuatilia kipindi hiki❤❤
Mlevi leo kaongea point tupu had mbakaj mwenyew kajckia vby
Wa kwanza kutoka Kenya
Mambo fire from Burundi isi iragoye shaaaaaaa
Hiii tamthilia nizuri sana muongeze masaaa jamani
safisana Nawakubali aloo yule bro mwembamba Yuko sirious sana safi Sana 🎉🎉🎉
Nawafatilia kutoka Msumbiji we Manyanya noma saana.
Mbona muda mdg sna
Movie 🍿🎥 kalii mnajua sana
Mudi kazi zuri sana
Pamoja sana genius director huboi mzee
Naipenda sana hii move nataman iwe kila cku
Unajuwa sana manyanya 😄
Manyanya huyooo bigpu sana
Manyanya unajua nn unafanya bro nipenda sanaa msimamo wako
Duhhhh mudi amenitya hurum mpk nimetokwa namachoz ❤❤❤
Kazi safi sana
😂😂😂😂maneno ya mlevi yazingatiwe🙌🙌🙌
Mwanaume anafanyaje mazoezi na nguo ya baridi jamani kwenye tukio la joto.... Ila hongeren sana hii movie naipenda sana🇫🇷🇫🇷🇫🇷
Kazi nzuri sanaa hongereni kazi imekaaa katika mpangilio mzuri sanaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wa kwanza hapa
Mimi hapa wa Mia tatu kwa comments 😂 kutoka Kenya 🇰🇪
❤❤❤ nitazidi kukaa macho hadi pale dunia hitakapohisha Manyanya mtu maana kabisa Mudy ongera sana somo kwa wale ambao na tambia yakutaka kunyanyasa wapiga chupa
MUME WA VAYLET NI MTU NA NUSU ANAJUWA MPK ANAJUWA TENA🎉🎉, ILA AKAZINGATIE ENGO😂
Jamani movie tamu sana❤❤
mudi unajua san mwamba 🔥🔥
Mlevi Leo ameongea maneno ya mhimu kabisa
Mzuri ila mnatudhulumu dakika chache sana jamani
WAKWANZA LEO JAMANI NAOMBENI LIKE ZENU FROM 🇱🇷
Tumejifunza mengi❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂mudy kwenye dunia yenu siyoooo🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤
😢mati jamani mi nakupenda njoo kwangu sito kuumiza❤❤❤
Muddy Leo kaongea point 🎉🎉
Hii kazi nzur san manyanya yuko vizur san jamaa anajua san na nimwamba maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kweliii huwapendi wanaume na unawachukia hahaha mpk mlango umekomea jmn 😅😅😅 bahat
Manyanya 🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
nzuri sema fupi
Baadae Sindula atapata mume bora🎉🎉sijui kwa nn wanakula alafu wanasepa🎉🎉😂mm ningestill forever
Mwenye uzoef na timiza tuongee
Aiseee Toka nmeanza kuiangalia hii Toka kipande .Cha kwanza mpk hki Cha Leo hii scene ya muddy Cha pombe na Jordan kdogo nimwage chozi dah 😢muddy kaongea kwa hsia sana 👏👏👏👏
Jitahidini kuongeza dk jamani mnatunyima raha
Mmeanza kuzingua mbona yaleo story sio Kali San ule mfumo wakwanza ulikuwa poa stor inatakiwa iwe strong San
Good job. Hamkawii hata kidogo
Manyanya nakukumbali San kk MUNGU azidi kuwapa nguvu San ndo Dunia iyi niatari.
😂usituchukie mrembo njoo mintaishi nawewe nakuona kabisa
Dakika dakika dakika dakika kuweni makin jaman dakika dakika
Hongera sanaa katika series yenu nawapenda sanaaa🎉
Pole matrida unapitia mateso mudi umeongea point japo mlevi 😂😂
Hii story itapelekea subscribeers 1M
Pigeni kazi
Wakwanza Leo Guys 💥💥💥
mudy unapenda mke wako 😢😢 🎉🎉🎉❤❤
Mlevi mpumbavu huyu kanitowa machozi😅😢
Jaman dakika tunaomba tuongezewe dakika nindogo sana
Movie nzur,jarbu kuongeza dakika,angalau dk 30
mapemaa sana leo kutoka mbalizi..
Kam unaikubali ginga like