wasanii wetu mkikalia sana mambo ya mapenz kuliko kazi.mkatrend sanaa na kiki hizo.mziki mtauuwa atabakia tembo na king kiba na kina Abdu kiba.tunataka kazi haya mambo ya madem madem sio yaliyo watambulisha.mziki ndio uliwatambulisha madem ndio wakafata.tunataka kazi nzuri tuacheni mambo hizo.tunataka mpige kazi mpepereshe bendera yatanzania huko duniani.hizo mambo zeni tumesha zichoka.
Juma analeta mihemko kwenye kipind yaan juma akimchukia mtu anakuwa mkali sijui kwa nn ana chuku za waz waz looho yaan harmo na fayma anawachukia mpaka anatokaga kwa kipindi jua kutofautisha kaz na chuk zako juma looho 😢
Mnataka Kajala achukue mseme anataka ex wa mwanae yaani Kajala Hakuna kitu atafanya walimwengu mkamuona Kajala ni Mama I love them tho Kajala/Paula ❤ alafu mkumbuke Paula c mtoto tena anahaki ya kuishi vyovyote atakavyo
Dida muulizen juma uyo ryvanny alijuaje Kuna kitu chaedelea uko bagamoyo mpka akaenda...c alipigiwa Simu wee utaendaje mahali bila appointment....Paula aache wivu Bado yuampenda chui
Ata kama Paula alipiga Cm Rayvann kilichompeleka mpaka Bagamoyo Babu weeee ndio Rayvann ndio kashatumika 😂😂😂 au mnataka kusema wame muedit huyo short fat guy.A.K.A Redbull 😂😂😂
Afu waafrika muna nichekesha sana! Paula amekuwa! Kwanini kila anacho fanya munamutiya mama yake! Plus kwa nini munapangiya watu how to leave? And uyo faima kwanini aende kumu chamba mwana muke mwezie na ana ishi na uyo mumewe? And uyo mume mwenyewe wanavyo gusana , wana forcing? Jamani muwe munatulia nakufikiri! Ivi ukiwa na mutoto wa miaka kama paula afu anaamuwa kufanya anachotaka what can you do about it?
Paula kajala ravnnyn anamupenda mapezsi imenoga ❤❤😅
Asante dida kajala hajielewu mama anathamanisha hela kuliko utu wa mtoto wake
Paula kajala ravnnyn anamupenda zana Paula kajala mapezsi imenoga zana ravnnyn ♥️🙏
Raivanny msenzi sana 😂😂kilichompeleka bagamoyo usiku huo ni nani😂😂fayma jipange mwayaa😂😂
wasanii wetu mkikalia sana mambo ya mapenz kuliko kazi.mkatrend sanaa na kiki hizo.mziki mtauuwa atabakia tembo na king kiba na kina Abdu kiba.tunataka kazi haya mambo ya madem madem sio yaliyo watambulisha.mziki ndio uliwatambulisha madem ndio wakafata.tunataka kazi nzuri tuacheni mambo hizo.tunataka mpige kazi mpepereshe bendera yatanzania huko duniani.hizo mambo zeni tumesha zichoka.
Khaaa juma nyiee mungu anakuona
Ata uyo mwanamme hajielew kwnn ana mke ilikuwaje aende ht km ameitwa kuna ulazima gn wa kwnd
Juma mwogooooo😅
Ndo namin akili ninywele mama kilasik nywele kajala Hana akili azitoe wapi akilizakumkanya mtoto😢
Juma msenge san ana mpenda paula kuliko fahyma juma .kasusa 😂😂
Mungu tusaidiee SS wakina mama mbna konde hawakumpelekaaa
Kabsaaaa kama hawajitak hahahaha wangepostiwa kitambo
Alipigiwa aliipata vip location 😅kajala wakati mwengine jipe mapumziko kwenye midomo yàwatu😏😏😏
Juma analeta mihemko kwenye kipind yaan juma akimchukia mtu anakuwa mkali sijui kwa nn ana chuku za waz waz looho yaan harmo na fayma anawachukia mpaka anatokaga kwa kipindi jua kutofautisha kaz na chuk zako juma looho 😢
Harmonize alisema kwenyenyimbo jamani wanapley gems iliwapatekipato hatakajala alirudi kwa harmonize ili apate vyakuongelea kwenye vipindivyao
Dida Wewe Umeolewa mara ngapi Acha maisha yaendelee
Umeona ee duda malaya wa siri kila siku ndowa anajifanya mtakatifu ajipange tu kwa hilo
Ila huja muona mutoto wake akifanya vitu vya kijinga kama paula wenu nyoooo
Ukiangalia Reality Show za Kenya na Kina Kajala hapa bongo ndio utagundua wakenya wametuacha mbali sana
Mnataka Kajala achukue mseme anataka ex wa mwanae yaani Kajala Hakuna kitu atafanya walimwengu mkamuona Kajala ni Mama I love them tho Kajala/Paula ❤ alafu mkumbuke Paula c mtoto tena anahaki ya kuishi vyovyote atakavyo
Hakupigiwa alijuaje kam wapo hapo location???bagamoyo ni kubwa, juma anaharibu kipindi anatanguliza ushkaji wa alionao na wahusika
Oy bro mond punguza wafany kz hewaa juma angebaki 2 mfagizi 2
Kwanini huyo rayvan asingekataa kama anampenda mkewe na anamuheshimu
Juma unajikomba na kina kajala
ala
Juma 😅😅😅😅
Fahma anakiherehere sana na mishavu yake kaanza mdomo fyuuuu
Sasa fayma amefanya nn🤔 kwani nyny mnafuraia kuona.msichana akiaribia mwenzenu furaha yake 😢na si malipo n apa apa duniani tu
Uyu fayma angenyamaza tu😂😂😂
Mlifanya kumuumizaa mke wakee nyiee watuu dada dida nakupendaa
Juma Bogasi sanaa anashadadia upuuzi mtupu
Angokata kwanini ametoka akaenda wusiku uyo
Mwenye kisa mwanaumeee alitokaje dar mpk bagamoyo,
Upumbavu
Itoshe kusema kajala anamuuza mwanae ambae patna wake anaeshea nae wanaume. Na wametafuta juma ili aendelee kutetea upumbavu wanaofanya
Sielewi kwa nini Juma anaonekana hampendi Fayma??
Wote wanamakosa vany na paula
Dida muulizen juma uyo ryvanny alijuaje Kuna kitu chaedelea uko bagamoyo mpka akaenda...c alipigiwa Simu wee utaendaje mahali bila appointment....Paula aache wivu Bado yuampenda chui
Uyousiku wamanani ametoka akamwambiya anaendawapi sasa fayma uyo bwanawako nimaraya sasa ubunguze mudomo
Ata kama Paula alipiga Cm Rayvann kilichompeleka mpaka Bagamoyo Babu weeee ndio Rayvann ndio kashatumika 😂😂😂 au mnataka kusema wame muedit huyo short fat guy.A.K.A Redbull 😂😂😂
Kweli alipgiwa cm nmeelewa sasa
Juma muongo muomgo🤣🤣🤣🤣
Vuweni miwani nyie mashoga kama diamond
Afu waafrika muna nichekesha sana! Paula amekuwa! Kwanini kila anacho fanya munamutiya mama yake! Plus kwa nini munapangiya watu how to leave? And uyo faima kwanini aende kumu chamba mwana muke mwezie na ana ishi na uyo mumewe? And uyo mume mwenyewe wanavyo gusana , wana forcing? Jamani muwe munatulia nakufikiri! Ivi ukiwa na mutoto wa miaka kama paula afu anaamuwa kufanya anachotaka what can you do about it?
Yani p fank atakua anaumia Sana huyu nimama wa ajabu sana huyu mwanamke mwenzetu nichizi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Reality shoo ya upumbavu😅 0 brain tu
Ujinga ujinga tu