RECAP: RAY VANNY na vita vya maneno na PAULA, nani alimpenda zaidi mwenzie? FAHYMA amedhalilishwa?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

КОМЕНТАРІ • 185

  • @stevenckanumba7
    @stevenckanumba7 Рік тому +11

    Sns tunawapenda sana munajuwa sana afu sauti zenu zote fire 🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu awabariki mufanye mengi mazuri 🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤❤❤❤100%

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ Рік тому +27

    Rayvanny mwanaume mpumbavu sana yaani ogopa sana mwanaume asiyekuwa na msimamo,anaeza sababisha muuwane mkiwa hamjielewi kutokana na upuuzi wa mwanaume

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 Рік тому +1

      kwanini mahusiano yaje mtandaoni kwann yasiwe kimy kimy kwann wakifany mapenz yao awatuonesh wakiachan na story kibao n ujinga tuh akun upend apo n el tuh nd zinafatwa alaf Paul anaend na upep wa msanii kweny game

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ Рік тому +16

    Nashindwa kuelewa why fahyma anazidi kumng'ang'ania Rayvanny wakati jamaa hamheshimu

  • @Lina4285baby
    @Lina4285baby Рік тому +7

    Fayma is back up in rayvanne is life believe me 🤦🏾‍♀️ I like them together but sometimes you need to move on

  • @olivemauwa2877
    @olivemauwa2877 Рік тому +5

    Jama wa kofia nyeupe uko right sanaaaa

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Рік тому +3

    Nami napenda Raivanny akiwa na Faivanny yule mwanamke materiel❤❤

  • @nazzmalicha1836
    @nazzmalicha1836 Рік тому +1

    You guys are talking facts

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Рік тому +13

    Fahima anatumiwa tu maana mwanamme kama anakupenda hawezi kufanya yote hayo

  • @anicyaedward6257
    @anicyaedward6257 Рік тому +15

    Mimi tu niseme apart from your works 💪 guys this utube chanel its growing mpaka nafurahi kiukweli. Keep it up SNS

  • @JudithKigalu-ue3in
    @JudithKigalu-ue3in Рік тому +10

    Paula wewe ni super star. Unatikisa tanzania. Wache wakuseme kupitia masemi yao njoo mungu atakubari wache wakuchambe ginsi wanapenda. Na bila kuzarauliwa mungu awezi kukuinua. Baraka yako iko njiani. You are the best ❤❤❤❤

    • @Chrishenryson-beats
      @Chrishenryson-beats Рік тому +3

      Supastar wa nyoko😂😂😂Yani we unajifunza kwa paula nini?😂

    • @JudithKigalu-ue3in
      @JudithKigalu-ue3in Рік тому +1

      @@Chrishenryson-beats kukuwa superstar sio tabia ni kujulikana...mitandaoni sio fasi ya kujifunzia...

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Рік тому

      Ahahaaa halooooo

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Рік тому +12

    Paula kajuwa kumchamba rayvanny kweli kweli khaaaa 😂😂😂❤

  • @eliakejijoseph1422
    @eliakejijoseph1422 Рік тому +8

    That’s why I love u guys 😊😊

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 Рік тому +9

    Paula anajiona sukari ..atachezew tu kama wema Sepetu

  • @user-yd8sp4es9n
    @user-yd8sp4es9n Рік тому +1

    Ravnyn Chuiii kasha kuja faihiyma ❤

  • @massejobbs4284
    @massejobbs4284 Рік тому +41

    Rayvany anampenda paula kuliko fahyma. Lakini Paula anamuumiza kichwa. Fahyma wife materiel… rayvany anapenda watoto wadogo, ariziki. Mimi nampenda fahyma, anaakili sana.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Рік тому +2

      Hiyo ndo shida ya wanaume wetu, Kwa nini aliachana na Paula kama bado anampenda? Ok hata hivyo ya nini kuchambana kwenye mitandao?

    • @massejobbs4284
      @massejobbs4284 Рік тому +1

      @@MsAggie5 ameachana na Paula sababu ni ametembea na kaka yake wamuziki. Iyo niishara ya kudanga.

    • @michellekiilu621
      @michellekiilu621 Рік тому +1

      @@massejobbs4284 bona Ray alitebea na dada wa kazi ??

    • @massejobbs4284
      @massejobbs4284 Рік тому +1

      @@michellekiilu621 Ndio Rayvany ariziki… ana tamaa yangono . Ficheni vitoto vyenu 🤣🤣🤣

    • @amanimapenzi571
      @amanimapenzi571 Рік тому

      Kweli kabisa

  • @michellekiilu621
    @michellekiilu621 Рік тому +12

    Nakubaliana na mweye kofia , Ray anampenda paula ,juu y Ray kama alirundi kwa faima alienda kwa show ya kina paula kufaya nn ??. . Faima kuzaa na mwanaume sio kumanisha anakupenda .

  • @fannyfarrah
    @fannyfarrah Рік тому +7

    Nilikua nasubiri sana hii recap 🙌

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar Рік тому

    Brother Sky umeniumiza mbavu zangu..pilolilo 🤣🤣🤣

  • @ZuenaAbdallah-ne6zt
    @ZuenaAbdallah-ne6zt Рік тому +4

    They love each another

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Рік тому +10

    Kuna mtu mmoja alisema kuzaa na mwanaume haimaanishi atakupenda daima, kuna wakat ni lzm kukubali matokeo Ray bado anampenda paula.

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Рік тому

      Kabisa mm nimemzalia mapacha nabado hanioni

    • @maryamconstantine2232
      @maryamconstantine2232 Рік тому

      @@vickydan2869 pole mwaya mahusiano ni kumtanguliza sana Mungu

  • @kevinishailiza
    @kevinishailiza Рік тому +3

    Rey hajielewi ni mwehu from 254.

  • @emanuelkitojo-mp1ks
    @emanuelkitojo-mp1ks Рік тому +1

    True faymah n back

  • @lucymtuka6393
    @lucymtuka6393 Рік тому +3

    Rayvanny si mwaminifu hpo fayma ajiandae

  • @alinebakome
    @alinebakome Рік тому +1

    Cruiz unaakili sanaaa rayvany hamtaki fahyma wanalea mutoto tu ,ila Mungu amjalie paula apate mume

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Рік тому +7

    Creez is right esco wacha zako Rayvanny doesn't respect fayma Rayvanny anaposti posti Fay kumuumiza Paula tu ila bado anampenda Paula sana.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Рік тому +3

    Kwakweli naungana na criz juu ya Mario awe makini ❤

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Рік тому +2

    Tusojua kuongea Ila kuandika tupo vizuri' tujuane hapa kwa like👇

  • @hi-fx1er
    @hi-fx1er Рік тому +2

    Chris ni fire 🔥

  • @bama9271
    @bama9271 Рік тому +5

    Rayvanny alitakiwa kukaa kimya tu na wala asingemjibu chochote kile na mwishowe Paula angekaa kimya!!! Na hii pia inampa Marioo nafasi ya kujitasmini na kujua huko na mtu gani katika mausiano maana Kama kwa Rayvanny yametokea haya,ajuwe hata kwake pia inaweza kutokea!!!!!!

  • @hakizimanamoosa1157
    @hakizimanamoosa1157 Рік тому +12

    Paula anampenda sana chui iyo aina ubishi

  • @bullsjoy254
    @bullsjoy254 Рік тому

    Rayvanny anampenda sana paula fayma ni backup umeongea ukwel kabisa chriee❤❤❤❤

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Рік тому +11

    Paula hapo kusema alikuwa bikra
    Ni kujizaririsha mwenyewe
    Paula atulize akilii

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Рік тому

    Kapata umarufu wa kubadilisha wanaume na ku share wanaume na mamake

  • @barankenyereyejosh8410
    @barankenyereyejosh8410 Рік тому +1

    You are great researchers. No information goes unnoticed for you ...I love you guys and then you form a magic trio. Baby sky nani tena😂😂😂 mke wa sky worker? Eti nini??muuzaduka ni kisuuuu ni pisi kali😂😂

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ Рік тому +11

    Ila Paula kajua kumsuza Rayvanny 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @millymack1370
    @millymack1370 Рік тому +2

    Ray hakua na nia ya Kumjibu Paula lakini Fayma ndio alimpush Ray aseme jambo ili aonekane ako upande wa Fayma(baby mama).

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Рік тому

    Sijui kwa nini watu wengi wanaangalia ukali wa shape na uzuri. They are other important things to make a woman good

  • @willsalsina220
    @willsalsina220 Рік тому +1

    Daah naomba sikumoja nije nihojiwe nanyie ....maana iyi u tube channel inaoitwa sns inanifurahisha saana Sky na chris munakiwasha kweri keep it up guys we love what u did

  • @xingho3990
    @xingho3990 Рік тому

    Kapole kale...lakini kanafirwaa!

  • @Zinbo-pc9uu
    @Zinbo-pc9uu Рік тому +6

    Rayvanny anampenda paula sema fahyama hajiamini

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Рік тому

    Nikweli chriss

  • @emilymula645
    @emilymula645 Рік тому +2

    I also have a feeling Fayma is just used used as a standby generator.
    Chui knows she'll more often than not b there anytime anyhow..🤔🤔

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 Рік тому +1

    Napenda hii segment sana 😂😂😂😂😂❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Рік тому

    Appendix marioo

  • @KayagoAziza
    @KayagoAziza Рік тому +1

    Kwenye picha kwa kweli ray anampenda Paula kuliko fayma ye mwenyewe kasibitisha amerudi kwa sababu paula katembeya na diamond ila bila Ivo asingerudi mazima

  • @massejobbs4284
    @massejobbs4284 Рік тому +4

    Cris anaongea ukweli.

  • @suzan4200
    @suzan4200 Рік тому +4

    Ni kwel kabisa marioo anapotezewa muda apo na anaharibiwa uvulana wake tu hahahahaha unaona kabisa hata wakiwa out the girl hayuko happy kabisa like anaforce kuwa happy kwenye hayo mahusiano

  • @uwinezajohara8362
    @uwinezajohara8362 Рік тому +2

    Wote walipendana

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Рік тому +2

    Leo mimi wakwaza like zangu nipeni❤❤❤

  • @mkamajames2786
    @mkamajames2786 Рік тому

    Mngeangalia interview ya wasafi Mario alivyo muongelea mboso na mboso na akajibu kwenye inter view ya the switch sns fatilieni iyo afu miweke recap

  • @JescaTapule-ln9qu
    @JescaTapule-ln9qu Рік тому +1

    Paula Hana mpango wa kurudiana na rayvany ndy maan amejiachia kwa kumchamba..
    Mkumbuke fahyma alivotunza heshima ya rayvany alikua anaweka matumain na uhuru wa rayvany kurudi kwake...
    So Paula amemove on..
    Kikawaida

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Рік тому

      Unaakili ww sisi wanawake tunajijua kama mtu tunamhitaji tunamchia madhaifu ila pau ni wazi hamtaki fat guy na ikitokea wamerudiana bac fat guy atakua ametumia nguvu nyng sana na pesa

    • @nahimagingo1289
      @nahimagingo1289 Рік тому

      @@vickydan2869 kweli kabisa💯💯

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Рік тому

    Sio kweli hampelnde nakutoa Ainu kwawote

  • @meedahasger2715
    @meedahasger2715 Рік тому

    Dahhh i love you guys 👌

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ Рік тому +7

    Rayvanny aende gym apate pumzi ya kitandani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila Paula

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Рік тому +1

    😂😂😂 leo mmenichekesha sana dah

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ Рік тому +5

    Ray kilichompeleka bagamoyo ni nini??

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Рік тому

    Mie naona Marioo pia ni smart enough kujitoa kwenye ukimya na ku play on his comfort zone na kuingia mtaani kwa kuzungumzwa kila kukicha, he needed that nayeye anajua hivo. Atajenga fan base yake na atagain viewers and subscribers anohitaji at this point. Na achangamke kidogo, kwani watu wa wcb ndio iliowajenga. Marioo anaingia kwenye ulimwengu wama stars sasa 😊 atajufunza tu 😂😂😂😂

  • @rosejoely4518
    @rosejoely4518 Рік тому +1

    Yani haina tochi chui anampenda sana paula

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Рік тому

    Hawapendi wote ana play tu!
    Paula ni vile kijana wanaume hawatosheki bora a move on aachane na huu upuuzi, Fayvan ni material jamaa anahangaika lakini aki compare anaona hamna future anarudi kwa Rayvan

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Рік тому +4

    Kwa Sasa Mario ashapoteza mashabiki ,,,,,mm sitamfatilia tena😁😁😁

  • @classicwaisala6677
    @classicwaisala6677 Рік тому

    Kalisa achafuwa Ali ya ewaa sns..... # fahima kama faima rooh inapiga kwa kasii...

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 Рік тому

    Nakubaliana na Creez 100💯✔ Ray anamdhalilisha sana Fahyma. Uvumilivu wa Fahyma ni wa Kijingaaa. Kwanini Uzalilishwe kama vile Mwanaume ni Mmoja tu Duniani?
    Fahyma amka!!!!

  • @Masokabya08
    @Masokabya08 Рік тому

    Creez ume ongeya point kama kweli ana mpenda asinge muhonesha baby mama wake zaruu zile!!

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Рік тому +1

    Mimi apa naona rayvanny n paula bado wanapenda na sana ila ndo ivyo n mda wote wote wakasema warudiane watarudiana na fahyma kumuacha Ray ni ngumu yaan atabki kuwa side chick 2😂😂is

  • @maryamsaid3297
    @maryamsaid3297 Рік тому +1

    Napia marioo kutembea napaula kashajengachuki kwa chui na harmonize kwasababu yamama namtoto

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Рік тому

    Kama mimi ningekuwa Fayvanny ningeachana na huyo mwanaume maana ningewaza alishawahi kuniacha sababu ya demu mwingine na ataniacha tena yaani ni kama vile mwanaume akikupiga siku ya kwanza atarudia kukupiga tena Fahyma ni mrembo sana angeweza kupata mwanaume aliyetulia ambaye atampenda yeye kama yeye sio kuwa na tamaa na wanawake wengine

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Рік тому

    Chris unampnda Paula uyo Fahim kwann alikuja kuuliza kwann asimuulize uyo rayvany achenii izo

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Рік тому +1

    Nakutambua sana Chuiii ravnnyn kwakweli rayvanny wanapedana fahiyma♥️😃

  • @chainbre275
    @chainbre275 Рік тому +1

    Escko Bana eti global boy

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Рік тому

    Ajiue tu

  • @angyadongo3534
    @angyadongo3534 Рік тому +1

    Faima ndio back up

  • @ZuenaAbdallah-ne6zt
    @ZuenaAbdallah-ne6zt Рік тому +1

    Jamani si mume wake

  • @olivemauwa2877
    @olivemauwa2877 Рік тому

    Chris u are very vry right 🤜🤜🤜

  • @zinthaahmed5751
    @zinthaahmed5751 Рік тому +1

    Lakini kwa kuchamba juma lokole kakubali mwenyewe yy alimsaidia kuchamba

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Рік тому

    Alafu trip za Zanzibar na Dubai kwa Paula Simonides tena

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Рік тому

    kweli Fayma anauwezo wakumuasha.

  • @NoorAli-gk8bj
    @NoorAli-gk8bj Рік тому

    Uyo reivani kama anampenda mzazi mwenzie kwann asimuowe namtu kabadilisha adi dini anaupendo wadhati kuwa chezea wanawake tu mwanaume asojielewa nimtihani mtupu uyo awapendi anawatamani tu

  • @ayubundossi8903
    @ayubundossi8903 Рік тому

    Save my comment fyma yupo kwenye maumivu flani hivi makali sana ila kuna dude analiandaa Rayvan atapigwa na kitu kizitoo sanaaa

  • @popiya2368
    @popiya2368 Рік тому

    Chris hivi hujijui wanamme mlivyo nyie, Fayhima siyo backup Hilo hapana jamaa wa katikati ana point sana

  • @millymack1370
    @millymack1370 Рік тому

    Chris ako sahihi kwa hilo la Ray hampendi Fayma...ni vile tu kazaa naye na anajua Fayma atamkubali siku zote hata afanye mangapi.

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 Рік тому

    Paula she’s not a kid she’s 22 years she knows men way back before sio rayvanny alimtoboa anyways blame the mother 🇰🇪🇨🇭

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Рік тому

    Samaki ukishamvua humpi chambo Fayma vs Rayvani!😊

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Рік тому +7

    Paula anaumia san na penzi la rayvnny😂

  • @mkamajames2786
    @mkamajames2786 Рік тому

    Na ata juma lokole alisema kuwa alikua na Paula alivyo kua anamjibu vanny msikilize masham sham then mtengenez recap ingine

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 9 місяців тому

    Paula anampenda Chui na Chui anampenda paula

  • @dieudonneniyotwizeye5955
    @dieudonneniyotwizeye5955 Рік тому

    Hakuna kitu kinaumiza mwanaume sana, kama akijuwa mwenye ameowa au mwenye yupo naye mahusiyano akiwa ametolewa ubikila tayali. Najuwa hii Mario ilimukata sana...lakini ni showbiz anavumiliya

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Рік тому

    Ray sngekuw ansmpnd Fahim swezii kumuonesha ushenzi

  • @pendojeremiah1023
    @pendojeremiah1023 Рік тому

    IPO siku fahma atamchamba rayvany kuliko Paula maana 100% rayvany Hana true love na fahma

  • @loicebaraza
    @loicebaraza Рік тому +2

    Mwanaume anaweza kuwa nawe na hakupendi,Ray alipokuwa na Paula,hakuruhusu mtu amuongee vibaya Fayma,atazurura kote arudi nyumbani

  • @uwinezajohara8362
    @uwinezajohara8362 Рік тому +2

    Mwenye kosa ni Rey sababu fay ana Luhusa ya kusema eti Rey wamtowe kwenye kipindi Chao na wajuwi yenye yako nyuma ya pazia

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Рік тому +2

    Mama anaejitambua hawezi kusaport umalaya wa mwanae kubadilisha wanaume eti kila achotaka amfanye tu nimchekee kajala ni mtu mzima kisoda na mtoto ana sauti kuliko mama

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp Рік тому

      Ni kwelii

    • @pendo8082
      @pendo8082 Рік тому

      Kweli

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 Рік тому +1

      Wanaumme wangapi amebadilisha ?ukiwa na mtoto msichana na unaongea vibaya kwa mtoto wa mtu wako atakufunga mdomo

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp Рік тому

      @@agwalubifaridah7079 😅😅😅😅 Hangalia ww sio mtoto wa m2
      Lazma tukosoe

    • @salmaathuman9156
      @salmaathuman9156 Рік тому

      @@agwalubifaridah7079 mie kama mzazi siwezi kulea huo ujinga mtoto umleavyo ndivyo akuavyo acha kusapot ujinga

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Рік тому

    Paul huko kwa Mario kwa sababu ya kutaka pesa yeye na mamake wanategemea pesa za wanaume. Mother and daughter are users

  • @مونيكمونيك-ع1غ
    @مونيكمونيك-ع1غ Рік тому +3

    Ni kweli mondi kamla Paula tena kwa nyumba yao wakati mamake alihamia kwa harmo

    • @freelancer6368
      @freelancer6368 Рік тому

      Tupe picha wewe mmbea..Mondi Kwanini aende kwa nyumba ya kajala wakati ana nyumba yake statehouse mbezi hata hamjui kutunga uongo... Mwingine alisema alimla kwenye gari so which is which hebu mkubaliane mtuambie uongo official ni upi

    • @pendojeremiah1023
      @pendojeremiah1023 Рік тому +1

      Mitandao itawapoteza mnahukumu sana

  • @josephinerclemence7804
    @josephinerclemence7804 Рік тому +2

    Paula hampendi marioo anafosi love tu ili kumuumiza reyvany Paula anampenda Rey naamini hilo

  • @bovickpascal6554
    @bovickpascal6554 Рік тому

    Utafiti unasema kana wa toto hote wanao lelewa na mama zao huwa hawana heshima kwa hiyo m,we makini ninyi wa toto wa mama

  • @mkamajames2786
    @mkamajames2786 Рік тому

    Najuma ndio alisema kua alikua anamuandikia Paula so sio Paula alikua anaandika japo alikua ana simulia juma ndo anaandika muangalie masham sham then mfanye recap ingine

  • @sharongatwiri175
    @sharongatwiri175 Рік тому

    Kama unakumbuka Ile tym Paula alisema ameolewa nani anakumbuka wimbo yenye rayvanny aliimba😂😂😂one day yes

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Рік тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.

  • @anicyaedward6257
    @anicyaedward6257 Рік тому +1

    Mange kimangi aliadress issue ya mond kudate na Paula before kwiki tatu zilizopita na kwann urafik wa zuchu nq paula ulikufa kisa ni hicho

    • @freelancer6368
      @freelancer6368 Рік тому

      Urafiki ulikufa baada ya kajala na mtoto wake kurudi kwa Kondeboy na yeye alikuwa mtu wa karibu wa Diamond so she cut ties..Yaani kila Zuchu akipunguza ukaribu na mtu basi diamond kammega.I understand those blogs without that name diamond hakuna mtu atafuatilia habari zao especially mange without diamond is just useless .That name alone brings enough traffic to bloggers. Now issue ya Diamond inatrend kuliko drama yenyewe.... No pictures No videos not even hearsays kwani walidate in which world?

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 Рік тому +1

    Chris 😂😂😂😂ww