RECAP: RAY VANNY na vita vya maneno na PAULA, nani alimpenda zaidi mwenzie? FAHYMA amedhalilishwa?
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Sns tunawapenda sana munajuwa sana afu sauti zenu zote fire 🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu awabariki mufanye mengi mazuri 🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤❤❤❤100%
Rayvanny mwanaume mpumbavu sana yaani ogopa sana mwanaume asiyekuwa na msimamo,anaeza sababisha muuwane mkiwa hamjielewi kutokana na upuuzi wa mwanaume
kwanini mahusiano yaje mtandaoni kwann yasiwe kimy kimy kwann wakifany mapenz yao awatuonesh wakiachan na story kibao n ujinga tuh akun upend apo n el tuh nd zinafatwa alaf Paul anaend na upep wa msanii kweny game
Nashindwa kuelewa why fahyma anazidi kumng'ang'ania Rayvanny wakati jamaa hamheshimu
Fayma is back up in rayvanne is life believe me 🤦🏾♀️ I like them together but sometimes you need to move on
Jama wa kofia nyeupe uko right sanaaaa
Nami napenda Raivanny akiwa na Faivanny yule mwanamke materiel❤❤
You guys are talking facts
Fahima anatumiwa tu maana mwanamme kama anakupenda hawezi kufanya yote hayo
Mimi tu niseme apart from your works 💪 guys this utube chanel its growing mpaka nafurahi kiukweli. Keep it up SNS
Asante sana
@Simulizi Na Sauti nawafatiria sana hunambii kitu kuhusu SNS ...😊and am so proud of you
True they are the best
Paula wewe ni super star. Unatikisa tanzania. Wache wakuseme kupitia masemi yao njoo mungu atakubari wache wakuchambe ginsi wanapenda. Na bila kuzarauliwa mungu awezi kukuinua. Baraka yako iko njiani. You are the best ❤❤❤❤
Supastar wa nyoko😂😂😂Yani we unajifunza kwa paula nini?😂
@@Chrishenryson-beats kukuwa superstar sio tabia ni kujulikana...mitandaoni sio fasi ya kujifunzia...
Ahahaaa halooooo
Paula kajuwa kumchamba rayvanny kweli kweli khaaaa 😂😂😂❤
That’s why I love u guys 😊😊
Paula anajiona sukari ..atachezew tu kama wema Sepetu
Ravnyn Chuiii kasha kuja faihiyma ❤
Rayvany anampenda paula kuliko fahyma. Lakini Paula anamuumiza kichwa. Fahyma wife materiel… rayvany anapenda watoto wadogo, ariziki. Mimi nampenda fahyma, anaakili sana.
Hiyo ndo shida ya wanaume wetu, Kwa nini aliachana na Paula kama bado anampenda? Ok hata hivyo ya nini kuchambana kwenye mitandao?
@@MsAggie5 ameachana na Paula sababu ni ametembea na kaka yake wamuziki. Iyo niishara ya kudanga.
@@massejobbs4284 bona Ray alitebea na dada wa kazi ??
@@michellekiilu621 Ndio Rayvany ariziki… ana tamaa yangono . Ficheni vitoto vyenu 🤣🤣🤣
Kweli kabisa
Nakubaliana na mweye kofia , Ray anampenda paula ,juu y Ray kama alirundi kwa faima alienda kwa show ya kina paula kufaya nn ??. . Faima kuzaa na mwanaume sio kumanisha anakupenda .
Mwambieni
Nilikua nasubiri sana hii recap 🙌
Brother Sky umeniumiza mbavu zangu..pilolilo 🤣🤣🤣
They love each another
Kuna mtu mmoja alisema kuzaa na mwanaume haimaanishi atakupenda daima, kuna wakat ni lzm kukubali matokeo Ray bado anampenda paula.
Kabisa mm nimemzalia mapacha nabado hanioni
@@vickydan2869 pole mwaya mahusiano ni kumtanguliza sana Mungu
Rey hajielewi ni mwehu from 254.
True faymah n back
Rayvanny si mwaminifu hpo fayma ajiandae
Cruiz unaakili sanaaa rayvany hamtaki fahyma wanalea mutoto tu ,ila Mungu amjalie paula apate mume
Creez is right esco wacha zako Rayvanny doesn't respect fayma Rayvanny anaposti posti Fay kumuumiza Paula tu ila bado anampenda Paula sana.
Kwakweli naungana na criz juu ya Mario awe makini ❤
Tusojua kuongea Ila kuandika tupo vizuri' tujuane hapa kwa like👇
Chris ni fire 🔥
Rayvanny alitakiwa kukaa kimya tu na wala asingemjibu chochote kile na mwishowe Paula angekaa kimya!!! Na hii pia inampa Marioo nafasi ya kujitasmini na kujua huko na mtu gani katika mausiano maana Kama kwa Rayvanny yametokea haya,ajuwe hata kwake pia inaweza kutokea!!!!!!
Paula anampenda sana chui iyo aina ubishi
Rayvanny anampenda sana paula fayma ni backup umeongea ukwel kabisa chriee❤❤❤❤
Paula hapo kusema alikuwa bikra
Ni kujizaririsha mwenyewe
Paula atulize akilii
😂😂
😂😂 Rayvanny kamjibu Juma Lokole Bikra hiyo nyoko
@@mwanahamisrashid7787 Hana bikira yule🤣🤣
Kapata umarufu wa kubadilisha wanaume na ku share wanaume na mamake
You are great researchers. No information goes unnoticed for you ...I love you guys and then you form a magic trio. Baby sky nani tena😂😂😂 mke wa sky worker? Eti nini??muuzaduka ni kisuuuu ni pisi kali😂😂
Ila Paula kajua kumsuza Rayvanny 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hana lolote
Ray hakua na nia ya Kumjibu Paula lakini Fayma ndio alimpush Ray aseme jambo ili aonekane ako upande wa Fayma(baby mama).
Sijui kwa nini watu wengi wanaangalia ukali wa shape na uzuri. They are other important things to make a woman good
Daah naomba sikumoja nije nihojiwe nanyie ....maana iyi u tube channel inaoitwa sns inanifurahisha saana Sky na chris munakiwasha kweri keep it up guys we love what u did
Kapole kale...lakini kanafirwaa!
Rayvanny anampenda paula sema fahyama hajiamini
Nikweli chriss
I also have a feeling Fayma is just used used as a standby generator.
Chui knows she'll more often than not b there anytime anyhow..🤔🤔
Napenda hii segment sana 😂😂😂😂😂❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Appendix marioo
Kwenye picha kwa kweli ray anampenda Paula kuliko fayma ye mwenyewe kasibitisha amerudi kwa sababu paula katembeya na diamond ila bila Ivo asingerudi mazima
Cris anaongea ukweli.
Ni kwel kabisa marioo anapotezewa muda apo na anaharibiwa uvulana wake tu hahahahaha unaona kabisa hata wakiwa out the girl hayuko happy kabisa like anaforce kuwa happy kwenye hayo mahusiano
Wote walipendana
Leo mimi wakwaza like zangu nipeni❤❤❤
Mngeangalia interview ya wasafi Mario alivyo muongelea mboso na mboso na akajibu kwenye inter view ya the switch sns fatilieni iyo afu miweke recap
Paula Hana mpango wa kurudiana na rayvany ndy maan amejiachia kwa kumchamba..
Mkumbuke fahyma alivotunza heshima ya rayvany alikua anaweka matumain na uhuru wa rayvany kurudi kwake...
So Paula amemove on..
Kikawaida
Unaakili ww sisi wanawake tunajijua kama mtu tunamhitaji tunamchia madhaifu ila pau ni wazi hamtaki fat guy na ikitokea wamerudiana bac fat guy atakua ametumia nguvu nyng sana na pesa
@@vickydan2869 kweli kabisa💯💯
Sio kweli hampelnde nakutoa Ainu kwawote
Dahhh i love you guys 👌
Rayvanny aende gym apate pumzi ya kitandani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila Paula
😂😂 Pumzi kidogo 😃🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂 leo mmenichekesha sana dah
Ray kilichompeleka bagamoyo ni nini??
Mie naona Marioo pia ni smart enough kujitoa kwenye ukimya na ku play on his comfort zone na kuingia mtaani kwa kuzungumzwa kila kukicha, he needed that nayeye anajua hivo. Atajenga fan base yake na atagain viewers and subscribers anohitaji at this point. Na achangamke kidogo, kwani watu wa wcb ndio iliowajenga. Marioo anaingia kwenye ulimwengu wama stars sasa 😊 atajufunza tu 😂😂😂😂
Yani haina tochi chui anampenda sana paula
Hawapendi wote ana play tu!
Paula ni vile kijana wanaume hawatosheki bora a move on aachane na huu upuuzi, Fayvan ni material jamaa anahangaika lakini aki compare anaona hamna future anarudi kwa Rayvan
Kwa Sasa Mario ashapoteza mashabiki ,,,,,mm sitamfatilia tena😁😁😁
Ukiunfollow wengine tunamfollow
Ukwel ni kwamba nilikuwa namkubal Ray but now hamna kt
@@maryamconstantine2232 hata me siko kwa rayvany kabisa
Kalisa achafuwa Ali ya ewaa sns..... # fahima kama faima rooh inapiga kwa kasii...
Nakubaliana na Creez 100💯✔ Ray anamdhalilisha sana Fahyma. Uvumilivu wa Fahyma ni wa Kijingaaa. Kwanini Uzalilishwe kama vile Mwanaume ni Mmoja tu Duniani?
Fahyma amka!!!!
Creez ume ongeya point kama kweli ana mpenda asinge muhonesha baby mama wake zaruu zile!!
Mimi apa naona rayvanny n paula bado wanapenda na sana ila ndo ivyo n mda wote wote wakasema warudiane watarudiana na fahyma kumuacha Ray ni ngumu yaan atabki kuwa side chick 2😂😂is
Napia marioo kutembea napaula kashajengachuki kwa chui na harmonize kwasababu yamama namtoto
Kama mimi ningekuwa Fayvanny ningeachana na huyo mwanaume maana ningewaza alishawahi kuniacha sababu ya demu mwingine na ataniacha tena yaani ni kama vile mwanaume akikupiga siku ya kwanza atarudia kukupiga tena Fahyma ni mrembo sana angeweza kupata mwanaume aliyetulia ambaye atampenda yeye kama yeye sio kuwa na tamaa na wanawake wengine
Chris unampnda Paula uyo Fahim kwann alikuja kuuliza kwann asimuulize uyo rayvany achenii izo
Nakutambua sana Chuiii ravnnyn kwakweli rayvanny wanapedana fahiyma♥️😃
Escko Bana eti global boy
Ajiue tu
Faima ndio back up
Jamani si mume wake
Chris u are very vry right 🤜🤜🤜
Lakini kwa kuchamba juma lokole kakubali mwenyewe yy alimsaidia kuchamba
Alafu trip za Zanzibar na Dubai kwa Paula Simonides tena
kweli Fayma anauwezo wakumuasha.
Uyo reivani kama anampenda mzazi mwenzie kwann asimuowe namtu kabadilisha adi dini anaupendo wadhati kuwa chezea wanawake tu mwanaume asojielewa nimtihani mtupu uyo awapendi anawatamani tu
Save my comment fyma yupo kwenye maumivu flani hivi makali sana ila kuna dude analiandaa Rayvan atapigwa na kitu kizitoo sanaaa
Chris hivi hujijui wanamme mlivyo nyie, Fayhima siyo backup Hilo hapana jamaa wa katikati ana point sana
Chris ako sahihi kwa hilo la Ray hampendi Fayma...ni vile tu kazaa naye na anajua Fayma atamkubali siku zote hata afanye mangapi.
Paula she’s not a kid she’s 22 years she knows men way back before sio rayvanny alimtoboa anyways blame the mother 🇰🇪🇨🇭
Exactly my point
Samaki ukishamvua humpi chambo Fayma vs Rayvani!😊
Paula anaumia san na penzi la rayvnny😂
Na ata juma lokole alisema kuwa alikua na Paula alivyo kua anamjibu vanny msikilize masham sham then mtengenez recap ingine
Paula anampenda Chui na Chui anampenda paula
Hakuna kitu kinaumiza mwanaume sana, kama akijuwa mwenye ameowa au mwenye yupo naye mahusiyano akiwa ametolewa ubikila tayali. Najuwa hii Mario ilimukata sana...lakini ni showbiz anavumiliya
Ray sngekuw ansmpnd Fahim swezii kumuonesha ushenzi
IPO siku fahma atamchamba rayvany kuliko Paula maana 100% rayvany Hana true love na fahma
Mwanaume anaweza kuwa nawe na hakupendi,Ray alipokuwa na Paula,hakuruhusu mtu amuongee vibaya Fayma,atazurura kote arudi nyumbani
Mwenye kosa ni Rey sababu fay ana Luhusa ya kusema eti Rey wamtowe kwenye kipindi Chao na wajuwi yenye yako nyuma ya pazia
Fatiria vzr
Paula ndio tatzo
Mama anaejitambua hawezi kusaport umalaya wa mwanae kubadilisha wanaume eti kila achotaka amfanye tu nimchekee kajala ni mtu mzima kisoda na mtoto ana sauti kuliko mama
Ni kwelii
Kweli
Wanaumme wangapi amebadilisha ?ukiwa na mtoto msichana na unaongea vibaya kwa mtoto wa mtu wako atakufunga mdomo
@@agwalubifaridah7079 😅😅😅😅 Hangalia ww sio mtoto wa m2
Lazma tukosoe
@@agwalubifaridah7079 mie kama mzazi siwezi kulea huo ujinga mtoto umleavyo ndivyo akuavyo acha kusapot ujinga
Paul huko kwa Mario kwa sababu ya kutaka pesa yeye na mamake wanategemea pesa za wanaume. Mother and daughter are users
Ni kweli mondi kamla Paula tena kwa nyumba yao wakati mamake alihamia kwa harmo
Tupe picha wewe mmbea..Mondi Kwanini aende kwa nyumba ya kajala wakati ana nyumba yake statehouse mbezi hata hamjui kutunga uongo... Mwingine alisema alimla kwenye gari so which is which hebu mkubaliane mtuambie uongo official ni upi
Mitandao itawapoteza mnahukumu sana
Paula hampendi marioo anafosi love tu ili kumuumiza reyvany Paula anampenda Rey naamini hilo
Utafiti unasema kana wa toto hote wanao lelewa na mama zao huwa hawana heshima kwa hiyo m,we makini ninyi wa toto wa mama
Najuma ndio alisema kua alikua anamuandikia Paula so sio Paula alikua anaandika japo alikua ana simulia juma ndo anaandika muangalie masham sham then mfanye recap ingine
Kama unakumbuka Ile tym Paula alisema ameolewa nani anakumbuka wimbo yenye rayvanny aliimba😂😂😂one day yes
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.
Mange kimangi aliadress issue ya mond kudate na Paula before kwiki tatu zilizopita na kwann urafik wa zuchu nq paula ulikufa kisa ni hicho
Urafiki ulikufa baada ya kajala na mtoto wake kurudi kwa Kondeboy na yeye alikuwa mtu wa karibu wa Diamond so she cut ties..Yaani kila Zuchu akipunguza ukaribu na mtu basi diamond kammega.I understand those blogs without that name diamond hakuna mtu atafuatilia habari zao especially mange without diamond is just useless .That name alone brings enough traffic to bloggers. Now issue ya Diamond inatrend kuliko drama yenyewe.... No pictures No videos not even hearsays kwani walidate in which world?
Chris 😂😂😂😂ww