Kwahiyo walipokuwa wakiandamana vurugu zikatokea na uharifu pia. Polisi kwa kusingizia duh! Posho si mshahara, tutawaona magetini mkilinda majumba ili kujazia pensheni. Changamoto mnapewa, zitumieni ili kuongezewa mishahara na si viposho. Tumieni hao mliowakamata kuwasaidia kudai mishahara. Wanasiasa wanapita na madau makubwa wanakuacheni mkiwa walinzi wa mageti ya matajiri. JK alisema za kuambiwa...Yahu awape hekima😂😂😂😂
Hujitambui wewe mzeee vaa viatu vya watu walio poteza ndugu zao maandamano ni ya Amani kbsa nan alyekuwa na silaa barabaran Zaid ya ww na vjana wako mnatumia Kodi za wananch kufanya maandamano ya polisi tokea Jana huo ni uonevu mtupu mngeacha muone uouvunjifu unatokea wap mzee unafamilia Leo furahia haya kesho utalia ww na roho Yako mbaya
MATAMKO GANI WEWE MR. MULIRO TOA MFANO WA TAMKO MOJA TU... WAONGO SANA POLISI MNAFANYA SIASA. MATAMKO MATAMKO MATAMKO YEPI MWONGO WEWE? TOA MFANO... MNACHOFANYA HAPO NI KUWA MAKADA WA CCM HAMFANYI KAZI ZA CCM YANA MWISHO HAYA!
Samia na polisi wako hamna haki kwa watanzania. Haki ya kudai ndugu zetu waliopotea Na kuuawa Tz nani anatetea? Mtuambie Ally Kibao nani kamkamata . Kwa nini hamtusaidii watu wanaopotea ndiyo mnatusaidia na kutuweka ndani. Kwa nini mnatusaidia kuwakamata napaaxa sauti toka ujerumani waachieni watu wanaotetea amani ya watanzania wanyonge hatuna mtetezi. Ninyi jeshi mmelala usingizi polisi rais na Bunge lake. Mungu anene na hao polisi wanaotuonea na mkuu wa jeshi la polisi jwa kutokuwaacha wanachi kudai famu za damu za ndugu zao. Mbowe, Lisu na Lema na wote mliokamatwa Mungu akawatete km shedraki, abdiel manase Daniel etc.
Mungu gani atakae ibaliki inchi yako juu ya dam zisizo nahatia.hapo mnatetea amani ya ccem naumafia na ula lushwa na ufisadi nawizi ili vizazi vyenu viendelee kufaidi matunda ya ichi
HAKUNA KAZI YAKIHUNI YENYE WATU WAHUNI TZ KAMA POLISI. AISE HII KAZI HAIFAYI KABISA INALAANA. NDOMAANA WAKISHASTAAFU NAVYEO VYAO VIKUBWA WANAKWENDA KUSHIKA JEMBE WANADHALILIKA INAKUFA MASKINI.😮
Kwahiyo wewe unaona kutekwa watu ni jambo jema? Police watapigaje marufuku maandamano wakati watu wanauwawa? Ole wenu kuna siku mungu ataleta ukombozi tuwe tumekufa au tupo hai😢
Tunaombea amani ya nchi, ila kumlinda muuaji na mtekaji Kwa mgongo wa Sheria sio saw. "Mungu asimame pamoja na watanzania wote kwenye jambo hili" all in all, we need peace in our country.
@@bahatimellita6619. Na nd,o sababu Wengi wanamua kuhamia tena C.C.M kwa sababu ya hayo matezo wa C.C.M na makada wa C.C.M ambao badala walinde raia wanatetea masilahi yao kwa kuegemea upande mmoja wa C.C.M. kwa hivyo kwa namna hii kumbe Polisi nao ni makada wa C.C.M. Na wala hawapo kwa sababu ya raia bali wako kwa sababu ya C.C.M au kwa sababu ya chama cha mapinduzi.
Kenge nyie! mjue dunia inawaona . Hamna hata aibu. Kwendeni uko na utawala wenu wakutishiana bunduki . Mungu yupo upande wetu na anasikia kilio chetu.😢
Tuwapongeze nyinyi kamajeshi kwa juhudo za kuwatia mikononi wahalifu hao ombilangu fanyenijitiada pia yakuwatafuta watekaji Nadhani Mungu atakua upandewenu
Mambo Sasa watanzania wanataka majibu ya utekaji ni akinanani acheni ubabaishaji kukamata akina mbowe toeni majibu Kwa watanzania Iko siku utasimama mbele za mungu kujibu haya yanaotekea
Jeshi la ccm, mmeshindwa kukamata watekaji kazi ni kuitetea ccm
Kwahiyo walipokuwa wakiandamana vurugu zikatokea na uharifu pia. Polisi kwa kusingizia duh! Posho si mshahara, tutawaona magetini mkilinda majumba ili kujazia pensheni. Changamoto mnapewa, zitumieni ili kuongezewa mishahara na si viposho. Tumieni hao mliowakamata kuwasaidia kudai mishahara. Wanasiasa wanapita na madau makubwa wanakuacheni mkiwa walinzi wa mageti ya matajiri. JK alisema za kuambiwa...Yahu awape hekima😂😂😂😂
Nyie polisi mungu anawaona mjue
Sheria Duniani lakini haki kwa Mungu.
Vp upelelezi wa kupigwa risasi tundu lisu pale Dodoma
Siyo ishara njema sana majuto mjukuu
Ila watekaji hamjawahi kuwakamata
Sasa watajikamata ?
@@richardnganya2311hao watekaji muulizeni mbowe
wakamatane wenyewe ama
Ahhh kumbe hawajatekwa vipi kuhusu waliotekwa na bado hawaonekani na kuhusu uchunguzi pia hongereni kwa mbinu lakini
Ivi we polic inajielewa aloo siku ukifa tutakuja kukuzika na mawe ww
Hujitambui wewe mzeee vaa viatu vya watu walio poteza ndugu zao maandamano ni ya Amani kbsa nan alyekuwa na silaa barabaran Zaid ya ww na vjana wako mnatumia Kodi za wananch kufanya maandamano ya polisi tokea Jana huo ni uonevu mtupu mngeacha muone uouvunjifu unatokea wap mzee unafamilia Leo furahia haya kesho utalia ww na roho Yako mbaya
Freedom is coming.... 😢😢
MATAMKO GANI WEWE MR. MULIRO TOA MFANO WA TAMKO MOJA TU... WAONGO SANA POLISI MNAFANYA SIASA. MATAMKO MATAMKO MATAMKO YEPI MWONGO WEWE? TOA MFANO... MNACHOFANYA HAPO NI KUWA MAKADA WA CCM HAMFANYI KAZI ZA CCM YANA MWISHO HAYA!
Yesu njoo unene nao. Polisi mmebeba bunduki wao hawana silaa yoyote. Ole wenu muwaue hao mliowakamata, na ngoja muwaumize
Huo ni ujinga, tulifikiri mmewapata watekaji, viongozi wetu wapo kutuongoza tujue waliotekwa.
UNAWEZA kututhibitishia na kwanini usinukuu hayo matamko Mungu atusaidie tuwe na Nchi yenye Polisi wenye weledi na kuheshimu katiba
Samia na polisi wako hamna haki kwa watanzania. Haki ya kudai ndugu zetu waliopotea Na kuuawa Tz nani anatetea? Mtuambie Ally Kibao nani kamkamata . Kwa nini hamtusaidii watu wanaopotea ndiyo mnatusaidia na kutuweka ndani. Kwa nini mnatusaidia kuwakamata napaaxa sauti toka ujerumani waachieni watu wanaotetea amani ya watanzania wanyonge hatuna mtetezi. Ninyi jeshi mmelala usingizi polisi rais na Bunge lake. Mungu anene na hao polisi wanaotuonea na mkuu wa jeshi la polisi jwa kutokuwaacha wanachi kudai famu za damu za ndugu zao. Mbowe, Lisu na Lema na wote mliokamatwa Mungu akawatete km shedraki, abdiel manase Daniel etc.
Kumbuka utastafu utarudi uraiani pia
Tena wanachakaa hawa
Mungu siyo polis ataonekana kwawakati wake hata kwenye familiya zenu
Amen
upo sahihi
"in the LAND OF THE BLIND a ONE EYED MAN is KING"...it will end!✊🏽
Tumewaajiri sis bado mnasmbua raia😂😂
😂😂 mfukuze kazi
Hii ni NCHI yenye UONGOZI,Sheria na misingi yake na siyo kikundi Cha unyago...Waonyesheni kilichompata professor limpumba enzi zile za mwamba Mkapa💪💪
Kanawe baada ya kunya
Hujitambui Boya wewe
Mungu atatenda jambo juu yanchi hii
Afande mulilo uko vizuri
Vibaraka nyie, ila siku ipo
Siku gani😂😂😂acha kuongelea choooni ingia barabaran kama kweli unataka kudai haki, nyie wabongo midomo tu
Mungu mapenzi yako yatimizwe.
Kifungu kipi cha sheria kinaruhusu jeshi la polisi kuzuia maandamano
Mungu wambinguni iko siku watawanyamazisha
Mungu atatenda jambo juu yahawa waonefu wanao onea watanganyika Na viongozi wanao tetea Tanganyika na watanzania
Mi nawazaga jins Police mnavyowatesa chadema siku wakiingia madarakani itakuaje😂😂😂 acha tuombe mungu tuone 😂😂
Mwaka Gani sasa
watafukuzwa kazi wote😂
Ndoto 😂😂
Hiyo ni ndoto ya kwenye sofa
@@jumaseifally6337ipo siku miungu itaanguka tu
Amani gani mnalinda kwa kuwakamata watu
Amani ya Taifa letu ilindwe kwa NGUVU ZOTE , .Mungu Ibariki TZ .
Mungu gani atakae ibaliki inchi yako juu ya dam zisizo nahatia.hapo mnatetea amani ya ccem naumafia na ula lushwa na ufisadi nawizi ili vizazi vyenu viendelee kufaidi matunda ya ichi
K Amani ni kuuwa?
Amani ni nani tena huyo
@@roberttarimo4956 kwakweli ninani tena?huyo amani?taifa lenu wewe na wa hujumu uchumi ipocku yatawageuka
Wacha siasa wecommernde
Yaani Li sura la mzungumzaji linasema huku wazi kabisa huku li tahayari,
rudi shule ukajifunze kuandika
@@samwelsimon7392 sawa chawa ni nunulie uniforms
Acha ujinga mnatumika vibaya ipo sku yenu hakika nawambieni mungu hataliacha hili
Tanzania ipo pabawa
Mtatumaliza
Ipo siku na wewe utakunya mavi ya moto sura lako baya kama mavi yako.
Muliro sema akina soko na wenzake wako wapi acheni ubabaishaji wakuwakamata akina mbowe hangaikeni na watekaji na wauji
Kukamata tu kufanya kazi za haki aah mfyuuuuuuuuuuuuiuuuu😏
Khaaah kwahiyo kudai democrasia na haki Yao ni watuhumiwa 😭😭😭
Asee mnaonea watu sana
HAKUNA KAZI YAKIHUNI YENYE WATU WAHUNI TZ KAMA POLISI. AISE HII KAZI HAIFAYI KABISA INALAANA. NDOMAANA WAKISHASTAAFU NAVYEO VYAO VIKUBWA WANAKWENDA KUSHIKA JEMBE WANADHALILIKA INAKUFA MASKINI.😮
Aibu
Hata mimi najua mmewateka inakuwaje lisu akamatiwe nyumbani kwake
Well done jeshi letu
Kwahiyo wewe unaona kutekwa watu ni jambo jema? Police watapigaje marufuku maandamano wakati watu wanauwawa? Ole wenu kuna siku mungu ataleta ukombozi tuwe tumekufa au tupo hai😢
Hii ninaiona kesho Itakayokuwa na hofu Sana tusijue wapi pakupeleka kero zetu
Jesho la polisinlimewakamata nalo jeshi litakamatwa nMungu
Kwa nguvu zote nitakataza kijana wangu yoyote kufanya kazi ya upolisi MUNGU naomba unisaidie
Kisha upate faida ganii
mwanangu hawezi kua polisi Bora ukulima au mwwalim Kama mimi
@@njaunestory761 lkn mwalimu na police ndio iyo iyo serikali moja ;
Kwaio ni sawa na kukataa wali mweupe kisha ukala pilau lkn mchele ni mmoja
Kazi ya rahana mungu aepushe mbali
@@issahassan8361wewe akili hizi hizi ndio unatumiaga kuvukia barabara au kuna nyingine
Ukiona wanakukadria kuwa una akir ndogo kama yaserikal ujue ni shida
WANANCHI HAWAJAKACHA ANYONE,,, WANANCHI WANAHOFIA WATEKAJI NA VITISHO VYENU WYA KUVUNJA KATIBA
Hayo yanayotokea mbona hamchunguzi na hamtulizi?
Watekaji mmeshindwa kuwqkamata ila hawa mbwembweeee
Safi sana.tunataka.amani tanzania
Viongoz wa serikal ni vinyes kabsa
Ndugu mm nakuomba kama hujui athari ya mandamano,njoo Kenya ujue madhara yake
Ipo siku Mungu atashughulikia haw polis na viongoz haw wasio wap watu haki zao badal yake kutengenez tu hila za uongo
Ndio mmepiga chura take
Jeshi la polisi linatumika vibaya Sana kwa sababu ni haki yao kuandamana na kufikisha ujumbe kwa njia ya maandamano
Fala kabisa
Kuna kiongozi wa Kenya aliwahi kusema
"Watanzania ni kama maiti"
Hata iweje hawawezi kuamka kudai haki zao.
Waambie hao wajijue
Je ingekuwa siku sote munatumia ngvu kubwa kama hii situngekuwa tunaisha kama peponi
Tafuteni amani kwa watu wote hii nguvu kubwa mtumiayo mitutu cjui nn ndo mngeitumia kuokoa watu wanaotekwa mwee😢Mungu wangu
😊jeshi lako limeshindwa kuwakamata watekaji munawaonea wanasiasa dhaifu je ni sawa hiyo, au mipango ya utekaji munaifanya wenyewe?
Tunaombea amani ya nchi, ila kumlinda muuaji na mtekaji Kwa mgongo wa Sheria sio saw. "Mungu asimame pamoja na watanzania wote kwenye jambo hili" all in all, we need peace in our country.
Wapumbavu tafuteni watekaji
Hiiii Tanzania hiii ukiwa mpinzanii dhambiii my country 😢😢😢😢
@@bahatimellita6619. Na nd,o sababu Wengi wanamua kuhamia tena C.C.M kwa sababu ya hayo matezo wa C.C.M na makada wa C.C.M ambao badala walinde raia wanatetea masilahi yao kwa kuegemea upande mmoja wa C.C.M. kwa hivyo kwa namna hii kumbe Polisi nao ni makada wa C.C.M. Na wala hawapo kwa sababu ya raia bali wako kwa sababu ya C.C.M au kwa sababu ya chama cha mapinduzi.
Aliyewaloga ni nani wale waliotamka kuwa wanafanyaa mauaji wameshanyongwa?
ASKARI JEUSI
Nchi ya Wagalatia ......
Ilo sio jeshi lapolisi nijeshi la ccm mafisadi wakubwa
Jeshi la polisi siku hizi wanafanya siasa badala ya ulinzi watu na Mali zao
Mungu yupo!
Kenge nyie! mjue dunia inawaona . Hamna hata aibu. Kwendeni uko na utawala wenu wakutishiana bunduki . Mungu yupo upande wetu na anasikia kilio chetu.😢
CCM mmekosa Sana mnanyima uhuru wetu kwa ujumla
Big up Police endeleeni kuweka Amani Tanzania
Mhuuuu mungu anawaona
Garika la mungu laja
KWANI POLISI TAFSIRI YA AMANI NI NNI JAMAN MBONA SIELEWI
Tanzanie siyotena inchi ya amani🇨🇩
Duuuuu
Upo vizuri kamanda mungu akulinde nihakika watu wema wanataka ulinzi mpk mlangon
Tuwapongeze nyinyi kamajeshi kwa juhudo za kuwatia mikononi wahalifu hao ombilangu fanyenijitiada pia yakuwatafuta watekaji Nadhani Mungu atakua upandewenu
Polisi wakamateni watekaji na wauaji wa acheni siasa
"Power and Politics: Use people to get political power and use them to sustain it." Ni Mpumbavu tu ndiye hukubali kutumika.
Mungu anawaona malipo ni hapa hapa tu
Merci beaucoup Police 🚓
Polici si vizuri kumbuka kuwa Mungu yupi atasimama nyie si mnalinda ccm.
Yetu ni mashtaka kwa Mungu wetu ili yeye achukue hatua stahiki, walio potezwa warudishwe!!!
Mungu wa Watanzania Atajibu tu, Laana Yenye sababu Lazima ziwapate
Yani hawaoni aibu hata akili hawana utasema hawafi mama samia muogope mungu huto ishi milele
Ulinzi kwa watekaji ujanja hamuna ila kwa kina lisu poleni saana
Wauweni kama yule mzee 😂😂😂😂😂😂
MUNGU na hangamize Tanzania 2025 wote wafe muka mkamate MUNGU mbinguni😢
Mambo Sasa watanzania wanataka majibu ya utekaji ni akinanani acheni ubabaishaji kukamata akina mbowe toeni majibu Kwa watanzania Iko siku utasimama mbele za mungu kujibu haya yanaotekea
Nyinyi hampo kwajili ya watanzania bali mnabuluzwa tu na watu unacho ongea hata hueleweki
unacho panda utavuna jehanamu ya milele kama bosi wenu anavyo talajia kuvuna yule mwenda zake mnajifanya au alifanya Mungu wa raia
Mnawakamata wa nn baada ya kwenda kukamata wasijulikana na watekaji mnawakamata watu wasiokuwa na atia hiyo nguvu mtumie kukamata waalifu
Eee Mungu tunakuomba utunusuru watanzania.
Majibu mazuri ya jeshi letu la polisi tuna imani na ninyi na Amani itawale
Kwan hayo maandamano yanashida gani mbn Amani haipo kabraa hamjawakata , Amani gani unasema ww, wakati watu wamepoteaa na mko kimy tuuh
IPO siku Yote hayo Yataisha Mungu awatie nguvu wote mliokamatwa
Wapelekwe Mahakamani tukaone shtaka ni nini ,na mfute vyama vya upinzani maana viongozi wa Tanzania hampo tayari kuwa na demokrasia katika hii nchi