Polisi Waeleza Rasmi Kumkamata Mbowe, Lissu na Lema Juu ya Maandamano

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 327

  • @pauloisso5815
    @pauloisso5815 4 години тому +16

    Jeshi la ccm, mmeshindwa kukamata watekaji kazi ni kuitetea ccm

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 2 години тому +8

    Kwahiyo walipokuwa wakiandamana vurugu zikatokea na uharifu pia. Polisi kwa kusingizia duh! Posho si mshahara, tutawaona magetini mkilinda majumba ili kujazia pensheni. Changamoto mnapewa, zitumieni ili kuongezewa mishahara na si viposho. Tumieni hao mliowakamata kuwasaidia kudai mishahara. Wanasiasa wanapita na madau makubwa wanakuacheni mkiwa walinzi wa mageti ya matajiri. JK alisema za kuambiwa...Yahu awape hekima😂😂😂😂

  • @StevenMgaya-h9l
    @StevenMgaya-h9l 4 години тому +8

    Nyie polisi mungu anawaona mjue

  • @PeterSaramba
    @PeterSaramba 5 годин тому +17

    Sheria Duniani lakini haki kwa Mungu.

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 4 години тому +7

    Vp upelelezi wa kupigwa risasi tundu lisu pale Dodoma

  • @heripaulo1008
    @heripaulo1008 5 годин тому +17

    Siyo ishara njema sana majuto mjukuu

  • @philemonnestory4239
    @philemonnestory4239 5 годин тому +28

    Ila watekaji hamjawahi kuwakamata

  • @danielkanso
    @danielkanso 5 годин тому +12

    Ahhh kumbe hawajatekwa vipi kuhusu waliotekwa na bado hawaonekani na kuhusu uchunguzi pia hongereni kwa mbinu lakini

  • @andrewmushi8274
    @andrewmushi8274 5 годин тому +17

    Hujitambui wewe mzeee vaa viatu vya watu walio poteza ndugu zao maandamano ni ya Amani kbsa nan alyekuwa na silaa barabaran Zaid ya ww na vjana wako mnatumia Kodi za wananch kufanya maandamano ya polisi tokea Jana huo ni uonevu mtupu mngeacha muone uouvunjifu unatokea wap mzee unafamilia Leo furahia haya kesho utalia ww na roho Yako mbaya

  • @albertmichael4014
    @albertmichael4014 2 години тому +4

    Freedom is coming.... 😢😢

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 5 годин тому +29

    MATAMKO GANI WEWE MR. MULIRO TOA MFANO WA TAMKO MOJA TU... WAONGO SANA POLISI MNAFANYA SIASA. MATAMKO MATAMKO MATAMKO YEPI MWONGO WEWE? TOA MFANO... MNACHOFANYA HAPO NI KUWA MAKADA WA CCM HAMFANYI KAZI ZA CCM YANA MWISHO HAYA!

  • @clememallya4257
    @clememallya4257 5 годин тому +12

    Yesu njoo unene nao. Polisi mmebeba bunduki wao hawana silaa yoyote. Ole wenu muwaue hao mliowakamata, na ngoja muwaumize

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 4 години тому +4

    Huo ni ujinga, tulifikiri mmewapata watekaji, viongozi wetu wapo kutuongoza tujue waliotekwa.

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 4 години тому +12

    UNAWEZA kututhibitishia na kwanini usinukuu hayo matamko Mungu atusaidie tuwe na Nchi yenye Polisi wenye weledi na kuheshimu katiba

  • @clememallya4257
    @clememallya4257 5 годин тому +4

    Samia na polisi wako hamna haki kwa watanzania. Haki ya kudai ndugu zetu waliopotea Na kuuawa Tz nani anatetea? Mtuambie Ally Kibao nani kamkamata . Kwa nini hamtusaidii watu wanaopotea ndiyo mnatusaidia na kutuweka ndani. Kwa nini mnatusaidia kuwakamata napaaxa sauti toka ujerumani waachieni watu wanaotetea amani ya watanzania wanyonge hatuna mtetezi. Ninyi jeshi mmelala usingizi polisi rais na Bunge lake. Mungu anene na hao polisi wanaotuonea na mkuu wa jeshi la polisi jwa kutokuwaacha wanachi kudai famu za damu za ndugu zao. Mbowe, Lisu na Lema na wote mliokamatwa Mungu akawatete km shedraki, abdiel manase Daniel etc.

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 5 годин тому +10

    Kumbuka utastafu utarudi uraiani pia

  • @AgnessJohn-i4h
    @AgnessJohn-i4h 4 години тому +7

    Mungu siyo polis ataonekana kwawakati wake hata kwenye familiya zenu

  • @erickjastine1439
    @erickjastine1439 2 години тому +1

    "in the LAND OF THE BLIND a ONE EYED MAN is KING"...it will end!✊🏽

  • @delvinakullaya6275
    @delvinakullaya6275 4 години тому +11

    Tumewaajiri sis bado mnasmbua raia😂😂

    • @ce-08
      @ce-08 2 години тому

      😂😂 mfukuze kazi

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 4 години тому +6

    Hii ni NCHI yenye UONGOZI,Sheria na misingi yake na siyo kikundi Cha unyago...Waonyesheni kilichompata professor limpumba enzi zile za mwamba Mkapa💪💪

  • @AgnessJohn-i4h
    @AgnessJohn-i4h 4 години тому +3

    Mungu atatenda jambo juu yanchi hii

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 36 хвилин тому +2

    Afande mulilo uko vizuri

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 5 годин тому +14

    Vibaraka nyie, ila siku ipo

    • @GerrardLaizzer
      @GerrardLaizzer 5 годин тому +2

      Siku gani😂😂😂acha kuongelea choooni ingia barabaran kama kweli unataka kudai haki, nyie wabongo midomo tu

  • @AnnaMwitega
    @AnnaMwitega 4 години тому +2

    Mungu mapenzi yako yatimizwe.

  • @OphoroMinjaMinja
    @OphoroMinjaMinja 2 години тому +2

    Kifungu kipi cha sheria kinaruhusu jeshi la polisi kuzuia maandamano

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 5 годин тому +8

    Mungu wambinguni iko siku watawanyamazisha

  • @MungayaLaitayok-mr1gs
    @MungayaLaitayok-mr1gs 4 години тому +2

    Mungu atatenda jambo juu yahawa waonefu wanao onea watanganyika Na viongozi wanao tetea Tanganyika na watanzania

  • @evancetarimo1310
    @evancetarimo1310 4 години тому +15

    Mi nawazaga jins Police mnavyowatesa chadema siku wakiingia madarakani itakuaje😂😂😂 acha tuombe mungu tuone 😂😂

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 4 години тому +2

    Amani gani mnalinda kwa kuwakamata watu

  • @KheriKhatibu
    @KheriKhatibu 4 години тому +12

    Amani ya Taifa letu ilindwe kwa NGUVU ZOTE , .Mungu Ibariki TZ .

    • @julianamwamgogwa
      @julianamwamgogwa 3 години тому +1

      Mungu gani atakae ibaliki inchi yako juu ya dam zisizo nahatia.hapo mnatetea amani ya ccem naumafia na ula lushwa na ufisadi nawizi ili vizazi vyenu viendelee kufaidi matunda ya ichi

    • @sadickissa1600
      @sadickissa1600 2 години тому

      K Amani ni kuuwa?

    • @roberttarimo4956
      @roberttarimo4956 Годину тому

      Amani ni nani tena huyo

    • @julianamwamgogwa
      @julianamwamgogwa 19 хвилин тому

      @@roberttarimo4956 kwakweli ninani tena?huyo amani?taifa lenu wewe na wa hujumu uchumi ipocku yatawageuka

  • @sjdbxjdhsudjxjhd615
    @sjdbxjdhsudjxjhd615 4 години тому +4

    Wacha siasa wecommernde

  • @edwardkishiwa3296
    @edwardkishiwa3296 4 години тому +5

    Yaani Li sura la mzungumzaji linasema huku wazi kabisa huku li tahayari,

  • @SholeBigsaund
    @SholeBigsaund 4 години тому +2

    Acha ujinga mnatumika vibaya ipo sku yenu hakika nawambieni mungu hataliacha hili

  • @MitchKen-j7y
    @MitchKen-j7y 4 години тому +3

    Tanzania ipo pabawa

  • @possianokigwinya9988
    @possianokigwinya9988 2 години тому +1

    Mtatumaliza

  • @Gamba177
    @Gamba177 4 години тому +3

    Ipo siku na wewe utakunya mavi ya moto sura lako baya kama mavi yako.

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw 3 години тому +2

    Muliro sema akina soko na wenzake wako wapi acheni ubabaishaji wakuwakamata akina mbowe hangaikeni na watekaji na wauji

  • @devothaalfredy3803
    @devothaalfredy3803 4 години тому +2

    Kukamata tu kufanya kazi za haki aah mfyuuuuuuuuuuuuiuuuu😏

  • @EmmanuelAmmy
    @EmmanuelAmmy 4 години тому +1

    Khaaah kwahiyo kudai democrasia na haki Yao ni watuhumiwa 😭😭😭

  • @PeterDaudi-z2z
    @PeterDaudi-z2z 4 години тому +2

    Asee mnaonea watu sana

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o 3 години тому +1

    HAKUNA KAZI YAKIHUNI YENYE WATU WAHUNI TZ KAMA POLISI. AISE HII KAZI HAIFAYI KABISA INALAANA. NDOMAANA WAKISHASTAAFU NAVYEO VYAO VIKUBWA WANAKWENDA KUSHIKA JEMBE WANADHALILIKA INAKUFA MASKINI.😮

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 4 години тому +2

    Aibu

  • @MunaAlbalushi-pt7je
    @MunaAlbalushi-pt7je 3 години тому +1

    Hata mimi najua mmewateka inakuwaje lisu akamatiwe nyumbani kwake

  • @sistymsigwa2738
    @sistymsigwa2738 31 хвилина тому +1

    Well done jeshi letu

  • @maikamadewa931
    @maikamadewa931 4 години тому +1

    Kwahiyo wewe unaona kutekwa watu ni jambo jema? Police watapigaje marufuku maandamano wakati watu wanauwawa? Ole wenu kuna siku mungu ataleta ukombozi tuwe tumekufa au tupo hai😢

  • @ezramhanje1283
    @ezramhanje1283 4 години тому +2

    Hii ninaiona kesho Itakayokuwa na hofu Sana tusijue wapi pakupeleka kero zetu

  • @allynassoro8448
    @allynassoro8448 3 години тому +1

    Jesho la polisinlimewakamata nalo jeshi litakamatwa nMungu

  • @georgesteven5185
    @georgesteven5185 4 години тому +14

    Kwa nguvu zote nitakataza kijana wangu yoyote kufanya kazi ya upolisi MUNGU naomba unisaidie

    • @issahassan8361
      @issahassan8361 3 години тому

      Kisha upate faida ganii

    • @njaunestory761
      @njaunestory761 3 години тому

      mwanangu hawezi kua polisi Bora ukulima au mwwalim Kama mimi

    • @issahassan8361
      @issahassan8361 3 години тому

      @@njaunestory761 lkn mwalimu na police ndio iyo iyo serikali moja ;
      Kwaio ni sawa na kukataa wali mweupe kisha ukala pilau lkn mchele ni mmoja

    • @MagdalenaPius-g1q
      @MagdalenaPius-g1q 3 години тому

      Kazi ya rahana mungu aepushe mbali

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 3 години тому

      ​@@issahassan8361wewe akili hizi hizi ndio unatumiaga kuvukia barabara au kuna nyingine

  • @Samuelmanga-r7z
    @Samuelmanga-r7z 5 годин тому +3

    Ukiona wanakukadria kuwa una akir ndogo kama yaserikal ujue ni shida

    • @ThobiasMarandu
      @ThobiasMarandu 5 годин тому

      WANANCHI HAWAJAKACHA ANYONE,,, WANANCHI WANAHOFIA WATEKAJI NA VITISHO VYENU WYA KUVUNJA KATIBA

  • @clememallya4257
    @clememallya4257 5 годин тому +2

    Hayo yanayotokea mbona hamchunguzi na hamtulizi?

  • @JosephineKabuka
    @JosephineKabuka 3 години тому +1

    Watekaji mmeshindwa kuwqkamata ila hawa mbwembweeee

  • @musaahmed6810
    @musaahmed6810 33 хвилини тому

    Safi sana.tunataka.amani tanzania

  • @Samuelmanga-r7z
    @Samuelmanga-r7z 5 годин тому +4

    Viongoz wa serikal ni vinyes kabsa

    • @stephenmsanzu9850
      @stephenmsanzu9850 5 годин тому

      Ndugu mm nakuomba kama hujui athari ya mandamano,njoo Kenya ujue madhara yake

    • @Christianslukumay
      @Christianslukumay 4 години тому +1

      Ipo siku Mungu atashughulikia haw polis na viongoz haw wasio wap watu haki zao badal yake kutengenez tu hila za uongo

  • @MedardLutelemba
    @MedardLutelemba 5 годин тому +6

    Ndio mmepiga chura take

  • @HassaniUlenge-j5j
    @HassaniUlenge-j5j Годину тому

    Jeshi la polisi linatumika vibaya Sana kwa sababu ni haki yao kuandamana na kufikisha ujumbe kwa njia ya maandamano

  • @josiahjosiah-MPs
    @josiahjosiah-MPs 48 хвилин тому +1

    Fala kabisa

  • @youtubeyangahjcom
    @youtubeyangahjcom Годину тому

    Kuna kiongozi wa Kenya aliwahi kusema
    "Watanzania ni kama maiti"
    Hata iweje hawawezi kuamka kudai haki zao.

  • @duasaidi6676
    @duasaidi6676 5 годин тому +1

    Waambie hao wajijue

  • @SamwelMasai-e9d
    @SamwelMasai-e9d 4 години тому +1

    Je ingekuwa siku sote munatumia ngvu kubwa kama hii situngekuwa tunaisha kama peponi

  • @felisterjohn493
    @felisterjohn493 2 години тому

    Tafuteni amani kwa watu wote hii nguvu kubwa mtumiayo mitutu cjui nn ndo mngeitumia kuokoa watu wanaotekwa mwee😢Mungu wangu

  • @ismailchiwitike
    @ismailchiwitike Годину тому +1

    😊jeshi lako limeshindwa kuwakamata watekaji munawaonea wanasiasa dhaifu je ni sawa hiyo, au mipango ya utekaji munaifanya wenyewe?

  • @BoniphaceGabriel-c8z
    @BoniphaceGabriel-c8z 2 години тому

    Tunaombea amani ya nchi, ila kumlinda muuaji na mtekaji Kwa mgongo wa Sheria sio saw. "Mungu asimame pamoja na watanzania wote kwenye jambo hili" all in all, we need peace in our country.

  • @josiahjosiah-MPs
    @josiahjosiah-MPs 48 хвилин тому +1

    Wapumbavu tafuteni watekaji

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita6619 4 години тому +6

    Hiiii Tanzania hiii ukiwa mpinzanii dhambiii my country 😢😢😢😢

    • @PeterSaramba
      @PeterSaramba 4 години тому

      @@bahatimellita6619. Na nd,o sababu Wengi wanamua kuhamia tena C.C.M kwa sababu ya hayo matezo wa C.C.M na makada wa C.C.M ambao badala walinde raia wanatetea masilahi yao kwa kuegemea upande mmoja wa C.C.M. kwa hivyo kwa namna hii kumbe Polisi nao ni makada wa C.C.M. Na wala hawapo kwa sababu ya raia bali wako kwa sababu ya C.C.M au kwa sababu ya chama cha mapinduzi.

  • @RichardMgweno
    @RichardMgweno 4 години тому +1

    Aliyewaloga ni nani wale waliotamka kuwa wanafanyaa mauaji wameshanyongwa?

  • @SHERANasibu
    @SHERANasibu 4 години тому +1

    ASKARI JEUSI

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 4 години тому +1

    Nchi ya Wagalatia ......

  • @enockgogy5458
    @enockgogy5458 Годину тому +1

    Ilo sio jeshi lapolisi nijeshi la ccm mafisadi wakubwa

  • @StephenMasawe
    @StephenMasawe 2 години тому

    Jeshi la polisi siku hizi wanafanya siasa badala ya ulinzi watu na Mali zao

  • @FloraSumuni-jm1mx
    @FloraSumuni-jm1mx 11 хвилин тому

    Mungu yupo!

  • @dianaleo6067
    @dianaleo6067 29 хвилин тому

    Kenge nyie! mjue dunia inawaona . Hamna hata aibu. Kwendeni uko na utawala wenu wakutishiana bunduki . Mungu yupo upande wetu na anasikia kilio chetu.😢

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 10 хвилин тому

    CCM mmekosa Sana mnanyima uhuru wetu kwa ujumla

  • @ArkamBakar
    @ArkamBakar 4 години тому

    Big up Police endeleeni kuweka Amani Tanzania

  • @RebecaKayasama
    @RebecaKayasama 16 хвилин тому

    Mhuuuu mungu anawaona

  • @Raphaelbundara-x4c
    @Raphaelbundara-x4c 42 хвилини тому

    Garika la mungu laja

  • @njaunestory761
    @njaunestory761 3 години тому

    KWANI POLISI TAFSIRI YA AMANI NI NNI JAMAN MBONA SIELEWI

  • @BienvenueBisimwa-rn9rn
    @BienvenueBisimwa-rn9rn 2 години тому

    Tanzanie siyotena inchi ya amani🇨🇩

  • @maselemaziku4875
    @maselemaziku4875 4 години тому +1

    Duuuuu

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 3 години тому +2

    Upo vizuri kamanda mungu akulinde nihakika watu wema wanataka ulinzi mpk mlangon

  • @joshuakaaya6865
    @joshuakaaya6865 4 години тому

    Tuwapongeze nyinyi kamajeshi kwa juhudo za kuwatia mikononi wahalifu hao ombilangu fanyenijitiada pia yakuwatafuta watekaji Nadhani Mungu atakua upandewenu

  • @sisterlbloodofjesus4084
    @sisterlbloodofjesus4084 29 хвилин тому

    Polisi wakamateni watekaji na wauaji wa acheni siasa

  • @amp1952
    @amp1952 2 години тому

    "Power and Politics: Use people to get political power and use them to sustain it." Ni Mpumbavu tu ndiye hukubali kutumika.

  • @Sanura-w8t
    @Sanura-w8t Годину тому

    Mungu anawaona malipo ni hapa hapa tu

  • @mollelyally5213
    @mollelyally5213 2 години тому

    Merci beaucoup Police 🚓

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 4 години тому +3

    Polici si vizuri kumbuka kuwa Mungu yupi atasimama nyie si mnalinda ccm.

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 Годину тому

    Yetu ni mashtaka kwa Mungu wetu ili yeye achukue hatua stahiki, walio potezwa warudishwe!!!

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi9838 2 години тому

    Mungu wa Watanzania Atajibu tu, Laana Yenye sababu Lazima ziwapate

  • @Najim-j6k
    @Najim-j6k 42 хвилини тому

    Yani hawaoni aibu hata akili hawana utasema hawafi mama samia muogope mungu huto ishi milele

  • @ShukuTete-wb1fp
    @ShukuTete-wb1fp 36 хвилин тому

    Ulinzi kwa watekaji ujanja hamuna ila kwa kina lisu poleni saana

  • @FrankAthuman-cw4gr
    @FrankAthuman-cw4gr 4 години тому +2

    Wauweni kama yule mzee 😂😂😂😂😂😂

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 21 хвилина тому

    MUNGU na hangamize Tanzania 2025 wote wafe muka mkamate MUNGU mbinguni😢

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw 3 години тому

    Mambo Sasa watanzania wanataka majibu ya utekaji ni akinanani acheni ubabaishaji kukamata akina mbowe toeni majibu Kwa watanzania Iko siku utasimama mbele za mungu kujibu haya yanaotekea

  • @AlfredGeorge-n2o
    @AlfredGeorge-n2o 2 години тому

    Nyinyi hampo kwajili ya watanzania bali mnabuluzwa tu na watu unacho ongea hata hueleweki

  • @EzekieliMwakalinga
    @EzekieliMwakalinga Годину тому

    unacho panda utavuna jehanamu ya milele kama bosi wenu anavyo talajia kuvuna yule mwenda zake mnajifanya au alifanya Mungu wa raia

  • @neykombe8831
    @neykombe8831 2 години тому

    Mnawakamata wa nn baada ya kwenda kukamata wasijulikana na watekaji mnawakamata watu wasiokuwa na atia hiyo nguvu mtumie kukamata waalifu

  • @LomituIpanga
    @LomituIpanga 4 години тому

    Eee Mungu tunakuomba utunusuru watanzania.

  • @hakimameir1766
    @hakimameir1766 3 години тому

    Majibu mazuri ya jeshi letu la polisi tuna imani na ninyi na Amani itawale

  • @kokushubirabijana4483
    @kokushubirabijana4483 13 хвилин тому

    Kwan hayo maandamano yanashida gani mbn Amani haipo kabraa hamjawakata , Amani gani unasema ww, wakati watu wamepoteaa na mko kimy tuuh

  • @janemwaipopo
    @janemwaipopo 54 хвилини тому

    IPO siku Yote hayo Yataisha Mungu awatie nguvu wote mliokamatwa

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 4 години тому

    Wapelekwe Mahakamani tukaone shtaka ni nini ,na mfute vyama vya upinzani maana viongozi wa Tanzania hampo tayari kuwa na demokrasia katika hii nchi