Pastor Tony Kapola : NGUVU YA MSAMAHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • Life Chapel International Church, Morogoro, Tanzania.
    Preaching the Word of Life through Our Man Of God Pastor Tony Kapola.
    Unaweza kunifutalia kwenye mitandao yangu mingine kwa kubonyeza links hapa chini:-
    Facebook: / pastortonykapola
    Instagram: / pastortonykapola
    Subscribe My UA-cam: / @pastortonykapola
    Kwa mawasiliano zaidi: +255 659 085 731 au +255 713 702 187
    NAMBA YA SADAKA : +255 762 153 539 (NEEMA MASENGA)

КОМЕНТАРІ • 141

  • @jenjuma6255
    @jenjuma6255 5 місяців тому +4

    Mungu nisamehe mm kil nikigombana na mme wang huw natamka kuachana na yeye nisamehe siwezi kumpoteza mwanaume mema kweny maisha yangu ni hasira tu 😢😢😢😢

  • @dorcusmollel
    @dorcusmollel 5 місяців тому +1

    Ee Mwenyezi Mungu ulinipa msaidizi kwenye maisha yangu ambae ni Roho Mtakatifu, nami naomba Roho.wako mtakatifu akanisaidie kusamehe niliumia kwa vitu nilivyofanyiwa lakini baada ya somo hili hili nmejifunza kuwa natakiwa kusamehe.
    Naachilia uchungu wote uliokuwa moyoni mwangu baada ya kuumizwa na ninasamehe wote niliowakosea kwa msaada wa Roho wako Mtakatifu. Na katika wale niliowakosea naomba ukaachilie amani ndani ya mioyo yao ukawagange na ukawawezeshe kuachilia msamaha ndani ya o

  • @anngithaiga2814
    @anngithaiga2814 Рік тому +4

    Watch from Kenya I have been going through a very difficulty time ya kusengenywa,na haya yote yalitoka kanisani ninakohudumu ,,,,,ohhh my God had no forgiveness in me bt from now hence forth I have forgive them all who participated....may the holly spirit help me in Jesus name

  • @millieholmst6628
    @millieholmst6628 Рік тому +6

    Father i forgive my siblings.
    I forgive my parents,i forgive sister in laws.
    I forgive my former boss
    I forgive myself in Jesus mighty name.
    God help me.

  • @aadd8969
    @aadd8969 2 роки тому +7

    Mungu nisaidie roho mtakatifu aniwezeshe kusamehe na kiwachilia wote walio nikwaza,nkapate kuishi kulingana na mapenzi yako

  • @irenemushi1340
    @irenemushi1340 Рік тому +2

    Ninawasamehe wote walio nikosea ninao wakumbuka na nisio wakumbuka ila moyoni niliwafunga katika Jina la Yesu Amen

  • @OliverBatista-h1q
    @OliverBatista-h1q Місяць тому

    Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏

  • @dorrie-b8q
    @dorrie-b8q Місяць тому

    Mungu nifundishe kusamehe🙏

  • @peterwaqatardoha8776
    @peterwaqatardoha8776 Рік тому +2

    Watching from Qatar Doha 🇶🇦🇶🇦🇶🇦 Shalom Shalom 🙏

  • @rhabrhab1797
    @rhabrhab1797 6 місяців тому +1

    Ameen mungu naomba unipe rohowako ili niwe mwepisi wa musamehe maana Nina roho ngumu ya kusamehe eemungu unisaidie

  • @gasperurassa6440
    @gasperurassa6440 2 місяці тому

    Ninapokea nguvu ya kusamehe kwa jina la YESU Kristo Amen

  • @olgerahendera9807
    @olgerahendera9807 2 роки тому +15

    Watching from Saudi, thank you for empowering me .....nmekumbuka jinsi mamangu mzazi na dada wangu walivyo nisaliti it was hard times but I managed to forgive without their acknowledgement☺️☺️

    • @susanwaithera2888
      @susanwaithera2888 2 роки тому +1

      Same experience but working on it.

    • @cittaboy
      @cittaboy Рік тому

      Me too am in Riyadh

    • @hdhdhdhdhdh3264
      @hdhdhdhdhdh3264 Рік тому

      Hata mimi My Mother alinipitishia mengi hii dunia,,,nilipata mtoto bahati mbaya 2010 bt my mother hakuni samehe alinitesa kama Mtoto wakambo,,,,nliishi nkilia machozi since 2010 hadi 2016,,,,,na pia aka nilaani nitatumiwa na wanaume wakiniacha kwa kweli hii dunia kila mwanaume alikuwa akinitimia ananiwacha bila sababu,,,,,hadi nkaamua nitokr kenya nikuje uku Lebanon,;,,,,,,,La kwa kweli Mama aliwacha kidonda kikubwa kwa Moyo wangu najaribu nisahau bt wakati nakumbuka uwa nalia sana😭😭😭😭😭😭

    • @pamelamdemu7126
      @pamelamdemu7126 Рік тому +2

      @@hdhdhdhdhdh3264 pole Sana mpendwa mungu akusaidie uachilie kama unavyosamehewa na mungu ukikosea

    • @olivermfinanga9387
      @olivermfinanga9387 Рік тому +1

      @@hdhdhdhdhdh3264 pole sana mpendwa Mungu akuponye nakuombea uweze kupona na kusahau usisahau kujitenga na hyo laana mwaka huu ukawe watofaut kwako ktk Kila idara comments yko imeniumiza coz nliwai kupitia the same thing through my mom ila nlisamehe 😭😭😭tusamehe dear neena ya Mungu ipo juu yetu our future is so bright

  • @gasperurassa6440
    @gasperurassa6440 2 місяці тому

    Amen Amen Amen Amen I receive the power of forgiveness to all people who doing wrong to me and who doing wrong to me .ooh holy spirit come to me and give me the power of forgiveness to my family,children and marriage in Jesus might Name Amen .

  • @FloraMinja-hw6bo
    @FloraMinja-hw6bo 6 місяців тому

    Hallelujah nimebarikiwa na u jumbe wa msamaha ingawa nimeusikiliza siku nyingine.

  • @franciscogervas3149
    @franciscogervas3149 Рік тому +1

    Hallelujah katika nguvu ya mungu pekee na kwauweza wake yeye nimesamehe wote walio nikosea na kunitendea mabaya mungu awabaliki na awape amani katik yeye aamen

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 6 місяців тому

    Ee Mungu nimewasamehe wote walionikosea naomba Mungu unisamehe na mimi niliyokukosea amina

  • @MissgloryPrince
    @MissgloryPrince 6 місяців тому

    I forgive myself
    I forgive my siblings
    I forgive my parents
    I forgive my friends and others heavily father forgive us🙏🙏🙏

  • @SelestinaKipingu-wc9bx
    @SelestinaKipingu-wc9bx Рік тому

    kwa jina la yesu,naachilia msamaha kwa wote niliowakosea kwa namna yoyote,na kama kuna mtu nilimkosea kwa kujua au kutokujua Mungu awaponye na awame aman tena

  • @haikaagustino1715
    @haikaagustino1715 Рік тому +1

    Amen. Roho mtakatifu msaidizi wangu nisaidie mahali hapa.

  • @veronicamgwabati9572
    @veronicamgwabati9572 10 місяців тому

    I nawasamehe wote walionikesea kwa jina la yesu kristo na Mungu awabaliki

  • @user-bl1kb5id6c
    @user-bl1kb5id6c 5 місяців тому +1

    🙏🙏🙏barikiwa mtumishi

  • @helgerthadeus1139
    @helgerthadeus1139 2 роки тому +5

    All the glory be God, hallelujah🙌🏾🙌🏾

  • @aminanzadze6930
    @aminanzadze6930 Рік тому

    Asante sana kwa neno hili limenitia nguvu kweli neno hili limenilenga mm kabisa

  • @emmanuelpele8528
    @emmanuelpele8528 11 місяців тому

    Mungu atukuzwe milele. Pastor Asante kwa mahubiri ya msamaha. Mungu akubariki.

  • @Mariamduttu
    @Mariamduttu Рік тому

    Amen Nabarikiwaa sana,,,, MWENYEZI MUNGU AKUPE LOLOTE JEMAAA mbele zake

  • @samsonwillium7369
    @samsonwillium7369 2 роки тому +1

    Nami nimemsamehe mke wako kupitia roho wa Mungu

  • @EmilyMedison
    @EmilyMedison 5 місяців тому

    Aiseee nimepata kitu kipya....Mungu Asante Kwa kunipa akili ya kujua❤

  • @faithashley1536
    @faithashley1536 2 роки тому +2

    I noticed you Man of God at the right time your sermons/teachings speak to me directly.Thank you be blessed pastor.

  • @upendongole5538
    @upendongole5538 2 роки тому +2

    Vinauma kwa kweli mungu aingilie kati

  • @user-bl1kb5id6c
    @user-bl1kb5id6c 5 місяців тому

    Mtumishi nimekuskiliza kwa umakin nimegundua vingi binadam tunaish kwa unafki sana mungu aturehem

  • @user-gd5sk2vs5p
    @user-gd5sk2vs5p 11 місяців тому

    Since i started watching and following the sermons I'm growing spiritual i feel that the spirit of God in my soul 🙏 you are such a blessing to me ...Mungu aizindishe neema mtumishi wa Mungu 💚

  • @user-yr7dl8xi8n
    @user-yr7dl8xi8n 4 місяці тому

    Watching From Kenya.kiukweli mimi nilikuwa napitia mambo mengi nikafikia hatua ya kukataa tamaa ya kimaisha ila kupitia mafundisho yako mazuri,nimepata nguvu mpya

  • @tracychesoli2900
    @tracychesoli2900 Рік тому +3

    I watch this when I needed the most,it was had for me but now I find peace and the way to forgive and forget

    • @hdhdhdhdhdh3264
      @hdhdhdhdhdh3264 Рік тому

      How did you forgive & forget????for me to forget it's had for me

  • @agnesmbone231
    @agnesmbone231 Рік тому

    So powerful sermon ,nimejifunza mengi sana,barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @antonymutisya2011
    @antonymutisya2011 2 роки тому +3

    Am blessed from Kenya.Healing word

  • @priscillamutave892
    @priscillamutave892 Рік тому

    Nimepona. Mungu nipe roho wako niweze kusamehe ili nawe unisamehe.

  • @abbyongonga8803
    @abbyongonga8803 Рік тому

    This is true without Jesus u can't..,.

  • @marywangai4166
    @marywangai4166 2 роки тому +3

    watched from UAE, it was so timely thank you Holy Spirit. I cried as i was releasing people from my heart.

    • @epray6031
      @epray6031 2 роки тому

      Ameen Asante kwa neno nimebarikiwa

  • @lucyemichael7814
    @lucyemichael7814 Рік тому

    Mungu nime neema yakusamehe...thank you pastor 🙏🏻

  • @sharonshali5945
    @sharonshali5945 Рік тому +2

    So powerful,God bless you man of God

  • @JenipherKangu-ik9zm
    @JenipherKangu-ik9zm Рік тому

    Roho mtakatifu nipe nguvu na unijaze roho ya msamaha ndani yangu

  • @user-gk9xn4td1f
    @user-gk9xn4td1f Рік тому

    Hata Nami mutumishi nimemusameh mume wangu kwamakosa aliyo nifanyiya ikasaba bisha natoko iche yandoa Nami pia naomba mungu anisameh

  • @rogersnyangaga6275
    @rogersnyangaga6275 2 роки тому +1

    Thank you man of God may God continue blessing you as you bless us with His word.....all the way from Kenya Shalom.......

  • @mariamsajiloo3080
    @mariamsajiloo3080 Рік тому

    Pia na samehe ote walio nikosea kwanamna tofauti tofauti ikiwa na mbele za mungu

  • @abcded362
    @abcded362 2 роки тому +1

    Asante mtumish wa mungu .....

  • @sammymagucha9861
    @sammymagucha9861 2 роки тому

    Kutokana ma mahubiri yako mtumishi nabarikiwa sana kwa kweli

  • @witnesskihiyo5208
    @witnesskihiyo5208 2 роки тому +1

    Wow! Just wow! Sir, you're a treasure in clay pot!!

  • @mwidnjawani7220
    @mwidnjawani7220 2 роки тому +2

    Hallelujah , Iam blessed by the word of God .

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому

    Napokea tiba ya milele,,,ya kusamehe kwa jina la YESU KRISTO

  • @loyceyahya2622
    @loyceyahya2622 9 місяців тому

    Am healed thank you Man of God 🙏🏾

  • @gracekasambala4712
    @gracekasambala4712 2 роки тому

    Asante Mungu kwa ujumbe muhimu. Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.

  • @queenamenmushi8360
    @queenamenmushi8360 2 роки тому +1

    Pastor Mungu akubariki umemitoa mahali

  • @PriscaPaschal-lv5kv
    @PriscaPaschal-lv5kv 6 місяців тому

    Asante Sana nmebalikiwa kwa neno la leo

  • @fredlugwisha7923
    @fredlugwisha7923 2 роки тому

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananibariki

  • @josephemanuel6910
    @josephemanuel6910 Рік тому

    My favorite pastor all the time all the would ❤

  • @majed8488
    @majed8488 Рік тому

    Amen nimewasamehe wadeni wangu walio wakosea

  • @Fabiolandunguru
    @Fabiolandunguru 10 місяців тому

    Mungu akuzidishie maarifA

  • @agnestweve7218
    @agnestweve7218 Рік тому

    Asante mtumishi Leo nimefunguliwa

  • @alphoncekaiza4134
    @alphoncekaiza4134 2 роки тому

    Asante baba wa kiroho nakukubar kira sana

  • @philomenanaserian1210
    @philomenanaserian1210 4 місяці тому

    May i be able to forgive with the help of His holy spirit

  • @wilemkalagale2764
    @wilemkalagale2764 2 роки тому +2

    Power powerful

  • @pinkpaper9359
    @pinkpaper9359 2 роки тому +1

    Amen.Barikiwa sana Mchungaji 🙏

  • @chalonguni3424
    @chalonguni3424 4 місяці тому

    Amen thank God

  • @marthamuhoya5777
    @marthamuhoya5777 2 роки тому

    Great follower from Kenya man of God we are grateful for you.

  • @jeromeshirima2053
    @jeromeshirima2053 2 роки тому

    Somo kubwa sana na limegusa sana maisha yangu roho mtakatifu anisaidie kusamehe walionitenda ubaya

  • @mariamsajiloo3080
    @mariamsajiloo3080 Рік тому

    Sarafina mndeme namsamehe kwalilaki2 alichonifanyia kwenye maisha yang

  • @maryjudethadeusmboya1630
    @maryjudethadeusmboya1630 2 роки тому +1

    Aminaa Sana Mtumishi

  • @marthanadeiti7061
    @marthanadeiti7061 Рік тому

    Bless you Pastor. I'm healed.

  • @Mama-A
    @Mama-A 2 роки тому

    From tictok to here....from Kenya.much love

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Рік тому +1

    Nimewasamehe wote walionikosea kwa Jina la Yesu

  • @estherrimoy3402
    @estherrimoy3402 Рік тому

    Ubarikiwe na MUNGU. Amina 🙏

  • @user-ck2wh2ee5l
    @user-ck2wh2ee5l 7 місяців тому

    Power of GOD 🙏🙏

  • @mloweapple8678
    @mloweapple8678 10 місяців тому

    Amina pastor

  • @Kuwait-kb7qe
    @Kuwait-kb7qe 2 роки тому

    Mtumish wamungu nasameh wario niandam wote

  • @veronicakalondji2375
    @veronicakalondji2375 2 роки тому +1

    Amen 🙏🏽

  • @user-zu8ew8ov1b
    @user-zu8ew8ov1b 10 місяців тому

    Asante Kwa neno zuri

  • @gasperurassa6440
    @gasperurassa6440 2 місяці тому

    Mathew6:10-14

  • @emmanuelpele8528
    @emmanuelpele8528 11 місяців тому

    Nimeamini kwa Jina la jesus christ ukiniombeya nitafunguliwa, kwani yote ni ayo tenda haindeki kabisa. Mungu atukuzwe milele.

  • @happychacky8050
    @happychacky8050 2 роки тому

    Amen mtumishi wa Mungu

  • @paradisedaycare8190
    @paradisedaycare8190 Рік тому

    Asante yesu

  • @majed8488
    @majed8488 Рік тому

    Amen naomba nipate ufahamu

  • @edithdaniel208
    @edithdaniel208 2 роки тому

    Mungu nisaidie

  • @francisjohanes6895
    @francisjohanes6895 Рік тому

    its hard to swallow but it heal

  • @magekakanga8488
    @magekakanga8488 2 роки тому +1

    Amen

  • @mwatimeabdallah3523
    @mwatimeabdallah3523 2 роки тому

    Kwa uwezo wa Mungu tu inawezekana na si yesu

  • @gladysimbuhila7951
    @gladysimbuhila7951 2 роки тому

    All Glory be to God Amen

  • @magrethedward4207
    @magrethedward4207 2 роки тому

    .......our God can forgive 💪

  • @backleydastan
    @backleydastan 6 місяців тому

    HALELUYAAAAAA

  • @uwaserachel5105
    @uwaserachel5105 2 роки тому

    Nakupenda sana from Rwanda

  • @sabinajoseph6304
    @sabinajoseph6304 2 роки тому +1

    Dah nimepon san

  • @oliviaambrose2907
    @oliviaambrose2907 2 роки тому

    asante YESU nimepona

  • @happygibson6592
    @happygibson6592 2 роки тому

    So powerful 🙏

  • @Vivituma
    @Vivituma 2 роки тому

    Amen 🙏

  • @jacquelinekisanga7558
    @jacquelinekisanga7558 2 роки тому +1

    🙏AMEN

  • @eruaadam4693
    @eruaadam4693 2 роки тому

    Mtumishi ubarikiwe

  • @johnongechomollo6112
    @johnongechomollo6112 Рік тому

    amen

  • @epray6031
    @epray6031 2 роки тому

    Ameen

  • @philbertkitingati4808
    @philbertkitingati4808 2 роки тому

    Amina

  • @edithdaniel208
    @edithdaniel208 2 роки тому

    Ubarikiwe

  • @rehemamalumbi4118
    @rehemamalumbi4118 2 роки тому +1

    🙏🏼🙏🏼