SOMO LA MSAMAHA NA KUACHILIA, DOMIKA YA 24 MWAKA A WA KANISA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Karibu ufatilie Mafundisho ya Msamaha na kuachilia kutoka kwa Padre Rogasian Msafiri Mlezi wa Agape Centre, katika adhimisho la Dominika ya 24 ya Mwaka "A" wa Kanisa.

КОМЕНТАРІ • 11

  • @happinessjohn4581
    @happinessjohn4581 3 роки тому +1

    Father ubarikiwe Sana naona roho wa msamaha ndani yangu na nimesamehe wote nami wanisamehe

  • @yovithakijuu6852
    @yovithakijuu6852 3 роки тому

    Mungu wetu atupe moyo kusamehe ili Mungu wa mbinguni naye atusamehe japo kibinadamu ni ngumu ila kwa rehema na neema zake. inawezekana.Barikiwa sana. Fr.

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 Рік тому

    Baba naomba naminikuone nashida bb

  • @pascalleopard7614
    @pascalleopard7614 4 роки тому +1

    Barikiwa sana father

  • @RamazaniTamasha
    @RamazaniTamasha 11 місяців тому

    Mungu wetu atupe moyo wa kusamee n'a Mungu azidishe vipaje byako baba padri. Nakufatiliya kutokeya République Démocratique du Congo précisément à Bukavu

  • @kosoelmbu1096
    @kosoelmbu1096 3 роки тому

    Padri Mungu akubariki sana .na jamani niombeeni mawasiliano ao number ya padri

  • @theresiajoseph6381
    @theresiajoseph6381 3 роки тому +1

    Msamaha ni maua

  • @maksedessanga8815
    @maksedessanga8815 4 роки тому

    Fadha msasafiri penda sana

  • @anasianamgani6751
    @anasianamgani6751 4 роки тому +1

    Jamani ninaomba namba ya simu ya huyu father amenigusa Sana.