DISEMBA 30, 2024 DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG PASCHAL AMBROSE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 16

  • @nashonjoel20
    @nashonjoel20 Місяць тому +4

    Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Місяць тому +9

    Gnga LIKE kwa Hayati JPM

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Місяць тому +1

    Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Місяць тому +1

    Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena

  • @worldtechlab
    @worldtechlab Місяць тому +1

    Wow beautiful 😻

  • @African511
    @African511 Місяць тому

    Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 Місяць тому +5

    Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?

    • @prosperidinya5864
      @prosperidinya5864 Місяць тому

      Eeeeh, kumbe ni magugu! Basi Mimi nikawa nakuuliza, kwanini hizo pile cap zijengewe kwenye maji badala ya kujenga kwenye ardhi hiyo yenye mimea. Asante

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 20 днів тому

    Mimi nachukia mpaka sasa miaka 6 harijaisha

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 20 днів тому

    Magufuri agekuwepo ligeisha siku nyingi tutoleeni utopolo wenu tumewachoka

  • @EmanuelWebiro
    @EmanuelWebiro 27 днів тому

    Leo jpm angekuwepo tz ingekuwa na stage gani?

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Місяць тому +1

    Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 20 днів тому

    Mnatuchosha tunataka barabara liishe tunachukia manenotu acheni hata kutangaza

  • @ZeProDJay
    @ZeProDJay Місяць тому

    Hili daraja halijaishaga tu duuh

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 Місяць тому

      Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Місяць тому

    Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi