Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.
Eeeeh, kumbe ni magugu! Basi Mimi nikawa nakuuliza, kwanini hizo pile cap zijengewe kwenye maji badala ya kujenga kwenye ardhi hiyo yenye mimea. Asante
Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.
Gnga LIKE kwa Hayati JPM
Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu
Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena
Wow beautiful 😻
Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm
Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?
Eeeeh, kumbe ni magugu! Basi Mimi nikawa nakuuliza, kwanini hizo pile cap zijengewe kwenye maji badala ya kujenga kwenye ardhi hiyo yenye mimea. Asante
Mimi nachukia mpaka sasa miaka 6 harijaisha
Magufuri agekuwepo ligeisha siku nyingi tutoleeni utopolo wenu tumewachoka
Leo jpm angekuwepo tz ingekuwa na stage gani?
Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji
Mnatuchosha tunataka barabara liishe tunachukia manenotu acheni hata kutangaza
Hili daraja halijaishaga tu duuh
Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.
Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi