VIDEO CLIP HII YAMPONZA DEREVA WA basi LA SUPERFEO ,AINGIA KWENYE 18 ZA POLISI,AJUTA...
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- #OFFTRACKTV #offtracktv #superfeo #KITONGA
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/c...
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/channel/0029VaDFvPE9RZAg9slXGy0e
Safi sana jeshi letu la polisi zindisheni kua makini na hawa madereva wazembe barabarani muokoe maisha ya watanzania!
Daaa!! Kumbe ni Jofu Master 😂😂😂😂, huyu mwamba anamwaga Moto kinoma
Ndio kishaumana kwa jamaa yako
Na wenzao neoforce ovyo kabisa. Ukipanda basi kama ABC wanajielewa sana ila kampuzi zing8ne hovyo sana
Safi sana kwa kufanya kazi vizuri wanauwa watu kizembe
Salute kamanda
Hongeren kwa hilo ila pia asubuhi mabasi yanaporuhusiwa stend kuu Dodoma yanapotoka kuelekea mjin nikimaanisha yanayoenda Mwanza, Arusha, Mbeya, Singida, Iringa wanakua na mwendo wa ajabu na hata wakiona mwendesha pikipiki hua hawajali nihatari kupita maelezo tunaomba msaada wenu.
Hilo kampuni linaajili madereva vichaa tupu ndomana ni kampuni linaloongoza kwa ajali
Uyo jamaa anaendesha gali lafu sana
Unoko
Kitonga ya Kibabe sana Kuna sehemu Zingine Mbele huoni unaweza jua kuko fresh, Ukitokeza tuu Uko ubavuni kwa gari jingine mara Paap ghafla umeibuka mlori Umebeba mbao 😂😂😂
Yaani ukipanda.basi roho mkononi wanakimbia hawawatu kuovateki kila sehemu.😢
Wajinga sana hawa
Kazi nzuri sana
ILA UTARATIBU WA PALE KITONGA HATA MIMI HUWA PANANIUDHI , SERIKALI IPANUE BARABARA WATU TUWE TUNAOVATEKI. MADEREVA WOTE WA MABASI WAKO SAWA WANAJIONA WANAMILIKI NJIA
Afungiwe.Muwekeni benchi madreva washenzi hana sababu yote ni ujeuri tu.Fungia leseni yake.
SIO SUPERFEO TU UZEMBE AU UBABE WA AINA HIYO NI MWINGI SANA KANDA YA KATI. MAMLAKA IKIWEKA UTARATIBU MZURI WATANASWA WENGI TU.
Ni kweli ila angalieni na nyie barabara zenu muhimu inatakiwa ziwe double sio single road
Saf sana
Nimeipenda hii me sijaakiki bado ila ntafika kituo chochote kile karbu japo nilikua nje ya nchi
Mwendo wa bas kwa video za mtandaon zinafatiliwa na hukumu zinatolewa lakn video za mapolisi wanaodhalilisha jeshi mnasema zimeeditiwa na hamsemi mnawachukilia sheria gan
Bongo kwenye v2 ivyo wanajifanya. Shelia ifuaatiliwee lakin kwenyew vitu vyengine watu wanaujumu uchumu. Na wamekaa tu. Yeye amesema kabisa dereva mwenzie ameenda kuangalia mbelee na kuona inawezekana. Sema ndoivyo tu bahat yake mbayaa. Wamshike mwanaume sauli
Jifunze kuandia kwanza ni sheria sio shelia .Lakin ingepata ajali na mama angekua ndani ya hilo gari usinge andika utopolo wako huu
Kaka upo sahih kabisa ukickiliza vizur mahojiano utagundua kitu,, mabas ya masafa Marefu yanakuwa na Madereva wawil ,, police wameongea ukwel lkn Dereva mwenzie kamkana na ndye aliyemuita lkn kwa tamaa kamfanyia mwenzie Ili gar achukue yeye co poa kabisa
Tunaomba hizo fedha za fine mutengeneze balabala. Balabala zetu bado haziendani na wakati.
Ingekua V8 zenu hapo msinge sema jambo, ila nawaomba msifanye Kaz kinafiki
Shida hata wakiona gari ndogo mbele huwa wanawapigia honi kama wenzao hawana haki ya barabara.Wanatakiwa kubadilika
Latra? latra, when and whats latra?
Watu😂 wanateseka sana uku mitaani tofaut sanaa mnavyojua.
Kwa maana iyo hana kosa kwakua alielezwa na dereva mwenzie.
1. Milima yote na sehem yeyote ni hatari kama usipo zingatia sheria,
2. Kma hamna trafki kwa muda huo, kuna watu wa ziada angalau wa au mtu angeweza kuendesha iyo hali kwa muda..
Kuna majani yanawekwa barabarani gari ikiharibika ila iyo hali ni tofauti na binadamu,
Labda tuseme au tu assume:
Wote wapaki nyuma ya lile lori na amn 6:07 a trafki, nini kingetokea baada ya masaa 3, 6 au 12?
Atakamatwa leo kesho tutamuona tena barabarani anayapita magari mengine bila tahadhali.SHIKAMOO RUSHWA
Hawa maderva wa mabasi makubwa baadhi yao hawajali kabisa
Priority for bus
mnatukomalia kuhusu vyeti afande! je na mikataba Kwa mabosi mtatukomalia kama hivi mkuu🤔🤔Ili iwe sawa
Mtangazaji acha fitina ktk kazi za mwenzio
Hivi nyote vinavyofanyika kitonga Kwa madvive wa mabasi Trafick wa kitonga wanajuwa na wanawaona wajifanya hizo overteck na hawachukulii hatuwa kiasi nilishawai kumuliza polisi mmoja hapo kitonga mbona .mabasi yanapita magari mengine akanijibu wao wanawai stendi ww unawai wp
Hao madereva wa mabasi wanayapita magari mengine Kwa mazowea ila pita ww wa Lori au gari ndogo uwone kama ujandikiwa faini ila mabasi safiii tu
huyo dereva ahukumiwe kosa kubwa
Fungen camera maeneo yote hatarish
Kipind hiki wenye magar ndio wakat wao wa kutoa kafara wanamikataba na mashetani
Tena Mume wangu kwa ajili ya ajali hizo magari yanakwenda mbio sanaaaa
safari ya mwanza utatembea Kama umebeba Bibi harusi lazima meno yafe gaz mwanza uingie Kwa wakati
Tanzania mna mabasi mazuri lakini hamna madereva warudisheni wasome tena ama mtawamaliza wasafiri
Kabisa
Waende Arusha Technical
Hakuna kuji tetea funga bweha uyo anatuchafulia madeleva
Anaefanya KAZI nchi za nje na anayo leseni ya Tanzania anahakikiwa na Nani ubarozi wake au
MIUNDO MBINU YENYEWE INAVUNJA SHERIA, SIO KILA SIKU MADEREVA TU. hizo leseni zinatoka wapi!! mpaka zirudi tena kuhakikiwa!! na hao waliozitoa hizo leseni wamechukuliwa hatua gan? au kila siku ndio kuwawajibisha madereva tu tena hadharani😢
Madereva wamabas hasa makubwa
Hamnalolote mmeshindwa kusimamia maslahi ya madereva eti Kwa manufaa yenu
Kwani alikua na haraka gani
Ukute ile Chuma ya Dar Mbambabay hahahahah jamaaa wanatembea kama wanaenda South Africa 😂😂😂
Kapewa adhabu gani sasa
Ni kweĺi lakini pia kuhakiki leseni imekua usumbufu sana, mimi nimewasilisha nyaraka zangu mara mbili , nikienda kufatilia majibu, hayaonekani
Tanuweni hiyo bara bara acheni mikwala
Huyu apokonywe leseni na afungiwe millennium mbwa huyu
Muonyeni ila mkifuta lesseni ni sawa na kumnyang'anya jembe mkulima
Angalieni na umri zambia awaajali umri kama uwo
acheni hizo wekeni utaratibu wa malori kusafiri usiku
Mimi nidereva ila ase madereva wa basi ase
Madereva wa mabasi wote ndivyo walivyo
Huyo anakubali hapo tu akiachiwa moto kama kawaida yani utashangaa pale kitonga mabasi yanapiga over teck za kijinga kbs ile sehemu sio ya kuamini hasa gali zinazoshuka ikifel break tu lazima uso kwa uso matokeo yake kwenda chini kuleee tunatoa maiti tu madeleva jalibuni Ndugu zetu kuwa na subila hasa mbele kukiwa na malori
huyu bdereva apokonywe leseni kwakuhatarisha maisha ya abiria
Mabasi wamezidi sana kwa kweli..hawajali hata wakiona gari ndogo mbele yake anakuufuta utazani yeye hana moyo
Asamehewe kitonga ukifuata Sheria malori yata kugonga tu
Serekali ipanue barabara ya kitonga, kama haina fedha basi wapeni wachina watauchimba na watatoa barabara hata sita the kila atakayepita atalipa kiasi fulani, haya yataisha.
Babu dere umeyatimba kwakweli kazi unayo