Tanroads Dar es salaam kuna shimo kubwa sana kwenye bump ya ukiwa unafika stand ya kimara baruti kama unatoka mbezi. Tafadhali litazamwe na lifukiwe maana tunavunja na kuharibu magari tukioita pale hata usiku
Tatizo lipo kwenu mnafanya mambo kinyemera kwa kuvizia amna alama yoyote ya kuwatambua mkifika amraki kusikiliza tatizo nyie ni kugombabtu utazan barabara mnatengeneza kwa pesa zenu 😊
Hata jiji ni mitaa za kariakoo wapo,wanashirikiana na baadhi ya wamachinga waliopo mitaani wanawapigia simu na kuja kuzikamata magari yanayoshusha mizigo na za wale wateja wanaokuja kununua bidha
Safi sana viongozi I swear to God hata mm walinikamata wakaleta ujinga wao ila wali enjoy maana walikutananacho cha moto
Tanroads Dar es salaam kuna shimo kubwa sana kwenye bump ya ukiwa unafika stand ya kimara baruti kama unatoka mbezi. Tafadhali litazamwe na lifukiwe maana tunavunja na kuharibu magari tukioita pale hata usiku
toeni namba zenu tanlord hayo maeneo
Wapuuzi tu hao wangapi wesha wadhulumu hao madereva kwakweli hawaogopi hata mungu wao na dini zao daaah
Hao ni wengi sana Mimi nimeshachukiliwa Hela mara 2 kibamba na tegeta
hata hapa Kibamba hospital wapo pia wanasumbua sana
Polisi wako bize na Chadema hii nchi ni ngumu sana.
Polisi wameingiaje hapo sasa
Hayo ni ya kweli au mnatupanga mbona preti namba hamtuonyeshi
Hao jamaa wanasumbua sana aisee
Safisana wanatuonea sana
Duuuh hii kali bongo bhanaa
"BONGOLAND" 💪💪
Hao watu washasumbua sana wamekula sana hela
Tatizo lipo kwenu mnafanya mambo kinyemera kwa kuvizia amna alama yoyote ya kuwatambua mkifika amraki kusikiliza tatizo nyie ni kugombabtu utazan barabara mnatengeneza kwa pesa zenu 😊
Sio uyo tu ata mimi nirisha chukuliwa laki na nusu icho icho kigari cheusi
Duuuuh hapa tanroad mmefanya mambo mema sana hawa jamaa ni wasumbufu sana hongereni sana serekali yetu
Wanapewa kitu wale machinga na jamaa wanaojiita ni ktk hzlmashauri
Usitumie maneno ya kufunika funika, anika tu ukweli
Hongereni kwa umakini nawaamini sana Tanroad
Bongo loose balls nyingi sana
Ni Bahati yako Kwa kweli, Ina maana wengine wameshatapeliwa sana.
Safi sana
wamekiambiaje ssa mbona haiingii akilini
Hawa wanajuana vizuri sana Apa wanatuzuga tyu
Hawa watu wameanza siku nyingi, lakini cha ajabu wanawaacha tuu waendelee kuwaumiza madereva.Inasikitisha saana.
Njaa kali
Watu wazijie sheria za nchi ...hakuna msaada mwingine kwa mwananchi
Hata jiji ni mitaa za kariakoo wapo,wanashirikiana na baadhi ya wamachinga waliopo mitaani wanawapigia simu na kuja kuzikamata magari yanayoshusha mizigo na za wale wateja wanaokuja kununua bidha
Hawa na zaidi ya wezi wanaodokoa, ni kuwakabidhi kwa vyombo vya dola na kuwaripoti pia takukuru wasimamie kesi
Hao wanaosumbua mabarabarani hakuna haja ya uchunguzi, nikuwahukumu Sababu niwahujumu uchumi, matapeli, Lazima Tanroads muwe makini nao.
Njaa kali bongo
Wawachunguze watu wa huko halmashauri pia
Hao Mimi nilishawaletea moto ni wezi sana
Hako ka toyota porte ni kakaliiìi
😂😂😂
Hawa wapuuzi wanasumbua sana kwakwel
Kwakweli wapo wengi sana matapeli kama haho
Yani mm maeneo Ayo hata mkaa sishushi
Wapigwe spana hao
Watowe namba zao tuwe tunapiga na mimi uyo jamaa labda asitoke nisikutane naye atatowa tu ela yangu kigari icho icho
Za mwizi arobaini
🫡