Instagram Ya Bishop Gwajima Yaleta Maswali, Why Askofu Kakobe,Mwingira,Gamanywa na Maboya?
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Watumishi Wa Mungu Askofu Gwajima,Mtume Mwingira,Askofu Kakobe,Askofu Gamanywa Na Askofu Maboya Wakutana Nyumbani Kwa Mtume Mwingira. Kukutana Kwao Kulikua Kufurahi Kula Chakula Cha Pamoja Nakutiana Moyo Kama Watumishi Wa Mungu.
#ChomozaTV #Hatunajambodogo #Askofu Gwajima
mimi ni miongoni mwa watu ambao nimeipenda hii , kwani watumishi wengi kwa sasa wanapigana mishale wao kwa wao . ningeomba kipindi chako ili kipate ladha nzuri ya ma generals hawa wa yesu , umtafute mmoja mmoja uwatwange maswali chokozi kama haya uliyo muuliza mtumishi wa bwana maboya .... mimi ni wa EFATHA MINISTRY.. kwa maana nyingine baba yangu wa kiroho ni apostle mwingira ..... napenda kusikia toka kwake pia ...... ila usiache kuwakutanisha one day , kipindi kitakuwa kizuri na kitaleta umoja wa kitaifa kupitia sisi walokole ....... barikiwa sana mtumishi .
Asante kwa maoni yako Kaka david kihiga. Tuta yafanyia kazi barikiwa
Watu wakuu wa Mungu
I love this General of God
Nimefurahi! Tuliombewa umoja na Yesu Kristo. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika
Nawapenda sana wachunganji hawa, wanampenda MUNGU tuu sana.
Mungu mbinguni anafurahi
Hongereni kwa maombi yenu tutakuwa taifa Bora sana.
Nmependa Sana hii,, hatuangalii watumishi sasa wanavyohubiri ila tunajaribu kuangalia tutakapoondoka Injili itakuaje
Mmefanya vizuri watumishi
Amen Bishop
Safi Amen 🙏🏼...
Nimewapenda sana "wounded soldier's" Wabarikiwe sana
Umemjibu kwa hekima sana Mtumishi wa Mungu. Mzidi kutuombea sana
Tumefurahi sana kweli nyinyi niwatumishi wamungu
Mbarikiwe watumishi wa Mungu aliye hai
safi sana,mbalikiwe,yesu alituachia upendo
Amen wapakwa mafuta kutoka nchi jirani Tanzania nawaheshimu
imenibariki sana maana mbingu ni ya watakatifu na utakatifu hutafutwa kwa amani .
Amen Amen Amen bwana yesu asfiwe
Gwajima pls be very careful. We love u pa keep safe
What to be careful wakutanapo wawili watatu mimi nipo kati yao
Amen baba
Hii ni nzuri saaana Mungu akubariki
Mungu anapenda ushirika hivyo isiwe mwisho kwani huleta nguvu ya kuubomoa ufalme wa shetani na kuujenga ufalme wa Mungu
Powerful
Power full💘🙏 isiwe mwisho wenu.kukutana kunywa chai MUNGU AZIDI WAPA NEHEMA MKUTANE KILA WAKATI TAIFA LILO KUA NA WAUMINI KAMA NYINYI LIKO KATIKA MISINGI IMARA DAIMA 🙏
Jackobo Mwilenga, Nee ya Mungu izidi kutawala. watumishi was Mungu mmebari ki wengi kwa tendo hilo,
Given Emmanuel kweli kabisa
Mmmh
SAFI MNO. BWANA YESU AZIDI KUWAUNGANISHA VIONGOZI WETU. TUNAWAPENDA.
Kila kitu nawakati wake God make a way for.
mungu azidi kuwapigania, kazi ya bwana haina upinzani
Jambo la kupendeza.watumishi wa Mungu wanapo kutana
good binafs numeipenda hiii,kumuona baba yangu Bishop Gamanywa hahahaaahaaaaa safiiiii
Loh hata Mimi nimefurahi kuona watumishi wanaoheshimika kwa maandiko na mafundisho. Ebu unganeni kuhakikisha idadi ya watu wananaokwenda mbinguni Na Mimi mmojawapo Ni baba yangu wa kiroho ila wote kwangu👍👍👍👍👍
Wacheni kuropoka nyie msie mjua mungu magoti yenu yatainama na midomo kunena kwamba yesu ni bwana hao wameitwa na bwana yesu nyinyi mnafanya nini kusaidia wenzenu mungu atabadilisha maisha yenu katika jina LA yesu kristo alie hai
I give god all the glory for what is happening in Tanzania i pray in Jesus name that this will continue in the body of christ put the enemy to shame and confusion he is a liar and deceiver
🙏
Mungu awabariki watumish wamungu
Upendo daima jamani!
Amen amen amen
Raha sana jamani. laiti ingekuwa hivi daily
Wow wow wow lini hiyo jamani??
Something kimejificha according Kwa maelezo yake.
yaani kuna maswali magumu sana kwake....hii inanipa wakati mgumu kuelewa
mmmmh nani ameona mtumishi ana kwepa maswali
Jamani Jimmy maswali hayo uwiii
Masikofu Tanzania munataka kupotea njia sabu badaa ya kupatanisha viingozi ichn munasema nyinyi munakula batar ikulu hongera zenu ila mungejua mungejua kumukumbuka kaini naabeli musnge ipenda haliyatiafa lenu kwann mukweli amegeuka niadui
Atushe Atushe kuandika kwenyewe hujui
naona kama hapo nyumbani kwa mwingira
Jimy 🤣🤣
Lwakatale mbona simuoni?
yule mama aliye tupikia chakula
niweze kumtaja.😂😂.
Neema Sanga mungu awabariki sana wachungaji
MM00XX Hiyo eh.
eti kakobe ayumbishwi mbona anaubishwa na siasa
Hapo kuna siri jkk hao
Nyinyi nyotee mataperi waiman hakuna jambo mmenenepa waumini wenu wamekonda
For sure
Labda umekonda wewe kwa laana ya kuwasema vibaya watumishi wa Mungu,,,
Mjinga wewe ndo umekonda sisi Yesu yuko juu yetu hatuwezi konda
Kiza Selepa hizo no chuki binafsi.tubu
Hakuna jambo hao ww amini ivo ahahahaha mm nimewakata mafreee