Hehehe daah yule kiboko, yan kuna maswali ya EBM alikua anaulizwa kwamba atabadilika akifika marekani akawa anakataa ila for suerer yule hana mwaka marekani atabadilika sn. Yule mashauz mengi
Nawasalimia wote wa fans wa EBM namimi najua kwamba uyumwaka nitafanya interview na EBM kwa ajili nitakua mushindi mimi namitoto wangu kwamara yetu ya 5 natokea Rwanda naamini mungu atatupa Green card mwayii mwaka wa 2023
Huyu dada Mungu ambariki sana kikweli alinigusa pale alivyosema Wabongo wengi hawataki kusema wao walifikaje Ughaibuni...ni wachache sana watakupa hints That was spot on....dadaaaa
Hongera sana sister pia Hongera kaka EBM kwa good interview 🙏 dada ametoa ushirikiano sana kwakweli mungu amtangulie na kumbariki sana..kaka nasubir nishinde t interview lazima
Kaka EBM unafanya kazi nzuri sana mungu akubariki sana. Mimi naomba ujitajidi kututumia link maombi ya lottery kila yakitoka. I wish to apply but to get a link to me is a problem.
What are the minimum educational requirement for dv winners in Tz? For example in kenya you must have a high school certificate with a minimum of a D-(minus).
Wenda nikawa nimekata tamaa kumbe wakati unafika...maybe by tomorrow ill be your visitor to US after de visa come out...i like you broo you got lot of experience that you have tried to share with a FOX as to knoledge the ppl who follow up your exited video day and day
EBM --- Hao ndio wale ambao wewe huwaitaga " kamati ya roho mbaya " Mimi nikupongeze sana kwahayo unayo yafanya --- unawasaidia watu,wewe ni " kamati ya rpho nzuri "
Never in my mind kuishi America just for travelling lakin kuishi kabisa never ever haijawahi kuwa lottery just a damn thing in my opinion but sio mby wanaaomba
Hongera dada p...😍 Tuna furaha kwa ajil yako..by the way..kaka Ebm hili swali n la kwako..." Ukitoka hapa na ukaenda canada kwa visa ya visitor visa ...unaweza kubadili visa yako ukiwa canada, kutoka visitor kwenda Nyengne ... Ahsnte
EBM please kaka naomba nisaidie kihusu izi visa za canada kama Visitor visa nilkuwa naomba unisaidie ni miaka miwili sasa je kunauwezekano wakutoka kweli..ama basi tena maana kila nikiingia inbox kwenye email wananiambia nitume detail kama majina kamili paspot no date of birth na file no kwa experience yako kama wewe apo imekaaje ni miaka miwili sasa toka nafatilia
By now utakua umeshajua inahusu Nini ni lottery inayokua held kila mwezi wa kumi una apply majibu huwa n mwezi wa tano hii nnkwaajili ya kupata visa ya kuishi marekani. Mind you n mchezo wa kubahatisha and hauna garama kuapply n bure labda ukienda stationary ndo utatoa gharama ya picha
Wewe ndiye mjinga hapa pesa wanazopata Marekani inaunua Tanzania kulipia ndugu zake Karo, kununua mashamba , kulipia bill za hospitali na zaidi kuinua uchumi ya Tanzania.
Hiyo ni fursa kama fursa zingine, ndugu wewe kama umeridhika na maisha ya bongo tulia......acha wanaotaka vitu extra wapambanie fursa. Hakuna anaehama nchi, nje Kuna fursa zaidi. Wewe kama umeridhika na hapa basi usiwaonee wivu wengine.
Nimependa jinsi anavyojielezea huyu dada yupo so humble
hawa ndio watu wa kufanya nao interview, sio yule dada alietangulia yaani anaboa kishenzi…big up kwako sister kwa majibu mazuri
Hehehe daah yule kiboko, yan kuna maswali ya EBM alikua anaulizwa kwamba atabadilika akifika marekani akawa anakataa ila for suerer yule hana mwaka marekani atabadilika sn. Yule mashauz mengi
Yani sikuangalia hta robo ya interview aliniboa
@@maryamrashid862 kuna watu wanajua kukera ujue
🤣🤣🤣we jamaa😂😂😂
Yule ana Mashauzi balaaa aisee
Nawasalimia wote wa fans wa EBM namimi najua kwamba uyumwaka nitafanya interview na EBM kwa ajili nitakua mushindi mimi namitoto wangu kwamara yetu ya 5 natokea Rwanda naamini mungu atatupa Green card mwayii mwaka wa 2023
Huyu dada Mungu ambariki sana kikweli alinigusa pale alivyosema Wabongo wengi hawataki kusema wao walifikaje Ughaibuni...ni wachache sana watakupa hints
That was spot on....dadaaaa
I like her personality she is so charming, hajisikii hana majivuno ana cheka had raha wengine wakishinda wanaongea kama wamelazimishwa interview
Wajina uko Safi kabisa
Thanx ebm karibu arusha.pia
Asante sana kaka.
May mighty God bless you abundantly in His mighty name of Jesus Christ
Asante sana EBM kwa mahojiano na mshindi DV lottery namaswala mazuri sana EBM ubarikiwe sana unanijaza sana nakunipa moyo wakushinda DV lottery
God bless you EBM, she is so humble. Nice interview
Hongera sana sister pia Hongera kaka EBM kwa good interview 🙏 dada ametoa ushirikiano sana kwakweli mungu amtangulie na kumbariki sana..kaka nasubir nishinde t interview lazima
Thanks EBM for this wonderful interview, and my sister have a safe flight 🙏
Hongera sana Dada P stori ako inahamasisha wengi kuomba green card
Mungu aendelee kumbariki EBM. Kwa kweli mimi binafsi nimejifunza vitu vingi sana kupitia EBM. Hongera kwa huyo dada kupata green card.
Asante kaka! Nikipata nitakutafuta
Mwenyezi mungu akutangulie kwa interview yako na upate Visa,,, na tunaosubir may tupate
Tunaamini mungu kwamba uyu mwaka nashi tutashinda green card lottery This our year 2023
Asante sana kwa hii interview
EBM kaka hongera sana kwa kumfanyiya interview dada yetu mshindi wa DV lottery tumesoma elimu kubwa sana kwako EBM Asante na mungu akubariki .
Hongera dada nanda ukabarikiwe zaidi na uwe balozi wa kutushauri wengine
Asante Dada P na Mr EBM nyie ndo ndugu zetu njee uko
Ehh mungu tusaidie tushinde mwaka huu
Hongera kwake
Na wewe kwa kutia moyo
Hongera Dada
Thanks we need more interviews
Kaka EBM unafanya kazi nzuri sana mungu akubariki sana. Mimi naomba ujitajidi kututumia link maombi ya lottery kila yakitoka. I wish to apply but to get a link to me is a problem.
woyoooooooooooooooooooooo hongera sanaaa madammmmmmm
👏🏿👏🏿👏🏿
.
🇹🇿
Hi❤❤❤🇧🇮👌👌👌
Mr EBM uko vzr daaaaah
What are the minimum educational requirement for dv winners in Tz? For example in kenya you must have a high school certificate with a minimum of a D-(minus).
Nili coment t nlipoanza kuangalia ila imenilazim ni coment tena baada ya kumaliza video yote kaka barikiwa sana umenitia moyo sana 🙏
Dah Anaenda duniani
Umenifulaisha sana
😂😂😂😂huku ni hell, Akheraa kuzimu😂😂
Asant sana
Wenda nikawa nimekata tamaa kumbe wakati unafika...maybe by tomorrow ill be your visitor to US after de visa come out...i like you broo you got lot of experience that you have tried to share with a FOX as to knoledge the ppl who follow up your exited video day and day
Good interview ever
Wewe EBM unaishi Tanzania?
Hapana, naishi USA. Ila nilikuwa Tanzania kipindi huyo dada anafanya interview mwezi February
Habar mim naitwa Mussa maulid Milonge, nimeomba green card lotary tareh tareh 03, november 2022, majibu yanategemea kutok lini?
Between May -----september 2023
Kwanzia tareh 6 May uwe tayari ni saa sita mchana mda wa marekani kwa TZ itakua saa mbili au tatu usiku
EBM --- Hao ndio wale ambao wewe huwaitaga " kamati ya roho mbaya " Mimi nikupongeze sana kwahayo unayo yafanya --- unawasaidia watu,wewe ni " kamati ya rpho nzuri "
Mi nilipata Green card lottery mwaka 2014, tena nili apply kawaida tuu, hii kitu ni kweli, watanzania endeleeni ku apply..mtafanikiwa tuu.
🙏
Never in my mind kuishi America just for travelling lakin kuishi kabisa never ever haijawahi kuwa lottery just a damn thing in my opinion but sio mby wanaaomba
kweli kabisa watz wwengi hawapendi kutuonesha njia wanaziba
God bless EBM🙏
Namuona Mbali sana huyu binti ongea yake tu ya hekima
Ivi ukiwa umeishia form 4 ukawa na certificate na hauna work experience ikitokea umeshinda green card utaweza kwenda us au ndio umefeli
I’ve won the dv lottery too for fiscal year 2023 but still I have no idea what to do
Your case number is low or high? Interviews are ongoing for Dv2023.
Dada anajua kuongea vzr hana nyodo kwakweli,nimesikia vby inatakiwa ukifika uko uwe na dolla elfu kumi??hapo sijaelewa,nalazima uwe napakufikia kumbe???
Dah Leo kaka ebm umenigusa ndipo
Hongera dada p...😍 Tuna furaha kwa ajil yako..by the way..kaka Ebm hili swali n la kwako..." Ukitoka hapa na ukaenda canada kwa visa ya visitor visa ...unaweza kubadili visa yako ukiwa canada, kutoka visitor kwenda Nyengne ... Ahsnte
Fatilia video zingne gadem
Angalia video za huyu dada Joyce k Canada utapata majibu mazuri
Yeah inawezekana kubadili especially kama utaibadili kwenda student visa/study permit
@@manhoricko ooh Asante..na je? Hv visa ya Canada ikoje? Ya visitor....nayo n mwaka mmja kama ya us..au?
@@missnamwambemomentstv7753 Get green card first and then you can move to Canada it is easy that way.
💯💥
EBM please kaka naomba nisaidie kihusu izi visa za canada kama Visitor visa nilkuwa naomba unisaidie ni miaka miwili sasa je kunauwezekano wakutoka kweli..ama basi tena maana kila nikiingia inbox kwenye email wananiambia nitume detail kama majina kamili paspot no date of birth na file no kwa experience yako kama wewe apo imekaaje ni miaka miwili sasa toka nafatilia
Hiyo NJIA unayotumia sio,,,
Dawa ya visa😁😁😁😁😁😁
Kaka emb nilimuona mmoja kashinda dv Lakini hajui lugha inakuwaje apo
Fatilia video zingn gademn
Yupo poa huyu dada sio yule ana majivuno
Eti Dawa Ya VISA 😂😂😂😂
Anataka mchumba huyo Dada??
Ahahahah
Naomba mwongozo nitapataje.
Aga aga watu ni thing of the past! watakublock.
DV lotary inahusu nini
By now utakua umeshajua inahusu Nini ni lottery inayokua held kila mwezi wa kumi una apply majibu huwa n mwezi wa tano hii nnkwaajili ya kupata visa ya kuishi marekani. Mind you n mchezo wa kubahatisha and hauna garama kuapply n bure labda ukienda stationary ndo utatoa gharama ya picha
@@Simulizinalilly wow
I will do that
Muda ukifika niende marekani
I need green card lottery ila sijui nitapataje
1. Kwa kuapply green card lottery
2. Kuoa au kuolewa na American citizen
3. Kupata H1B visa
4. Kwa kupata hadhi ya ukimbizi
Apply mwezi wa kumi mwaka huu
Je !makaazi wanakupa wao sehem ya kukaa ?
Wanakupaje sasa jamani🙄 unajigharamia kila kitu. Make sure unaanza kutafuta mtu wa kukuhost
Datilia vizur video zingne gademn
Ukiwa na ndugu ndo uta enjoy, ila ukienda mwenyewe mwenyewe, imekula kwako
@@miriammollel8146 sitaki kuamini nimekubamba na huku we bi dada
Hata ebm mwenyewe alisema anaweza kukusaidia pa kuanzia mpk ukae sawa au akakuombea kwa watz wengine
EBM et mtu akijiunga US military anaruhusiwa kufany kazi zngne za kawaida mda ambao sio wa kazi
Fatilia video zingn gademn
Mzee inawezekana kuna mbongo yupo 🇺🇸 na anafanya kaz kawaida search bongo young star uone anavo fanya
kenyans who are floating with Kiswahili i am sorry mliharibu Kiswahili sasa content itawapita
Nani ana float kaka...
Watu wanafurai kuhama nchi yao hatari sana ise
Wewe ndiye mjinga hapa pesa wanazopata Marekani inaunua Tanzania kulipia ndugu zake Karo, kununua mashamba , kulipia bill za hospitali na zaidi kuinua uchumi ya Tanzania.
@@lucksonomari4999 ndio hapo watu hawaelewi
Hiyo ni fursa kama fursa zingine, ndugu wewe kama umeridhika na maisha ya bongo tulia......acha wanaotaka vitu extra wapambanie fursa. Hakuna anaehama nchi, nje Kuna fursa zaidi. Wewe kama umeridhika na hapa basi usiwaonee wivu wengine.
@@jocelyneedward fursa kwenda marekani au
Kwa nin isiwe fursa kwenda shamba hizi fikra ndizo zimewafanya wa Ethiopia kuzamia kila siku wakiamin ukienda nchi hizo unakuta ela za kuokota