NAMNA YA KUSIKIA, KUTAMBUA NA KUIPAMBANUA SAUTI YA MUNGU (1) - Mchungaji Carlos Kirimbai
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Semina ya Neno la MUNGU, iliyofanyika Kilongoni, wilaya ya Mkuranga mkoani pwani, tarehe 21/1/2019 hadi 3/2/2019
Ili kupokea mafundisho kama haya unakaribishwa kushiriki ibada kanisa la MANNA TABERNACLE BIBLE CHURCH (MTBC). Kanisa linakutanika Posta mpya mtaa wa kisutu jijini Dar es salaam, Ukumbi wa shule ya msingi Kisutu. Tunakutana kila jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Tunashawishika kukutangazia Maisha yako hayatabaki kama yalivyokuwa.
Mungu akubariki sana! Kwa kweli Yesu ni mzuri natamani kufikia viwango vya kuisikia sauti ya Mungu na kuitambua
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen
AMEN
Amen
Praise God. That is the wisdom of God
Amen amen!!
Ameni mtumish
Nimebalikiwa sana
Ameeeeen
Mungu aendelee kukutumia mtumishi ili utufunfishe jinsi ya kuenenda na wokovu
Amen sanaaaa
Glory be to God of Israel
Barikiwa kwa masomo mazuri
You all probably dont give a damn but does someone know a trick to log back into an instagram account..?
I stupidly lost the account password. I love any assistance you can offer me
Ubarikiwe baba Utunzwe na MUNGU