Kulink card unatakiwa uwe na card ya Master card au Visa kama hauna card ya benk hizi card zinatolewa na mitando ya simu unatakiwa kuwa na namba za card, security code (CVV) na expiredate ya card utajaza hivyo ukibonyeza link itakubali
Account yako inauwezo wa kutuma na kupokea na kutuma pesa kama una balamce kwenye paypapal account yako huna haja ya kutumia card kama hauna uatalink card yako kama ya benki au credit card zile zinazotolewa na mitandao ya simu airtel mpesa na tigo kwenye kutoa hii paypal imeunganisha na XOMM direct hutohitaji kutumia XOOM website na bure Kutoa kwa XOOM
How to link card
Kulink card unatakiwa uwe na card ya Master card au Visa kama hauna card ya benk hizi card zinatolewa na mitando ya simu unatakiwa kuwa na namba za card, security code (CVV) na expiredate ya card utajaza hivyo ukibonyeza link itakubali
@@mwisongotech ingekuwa poa ungekuja na darasa la kuilink hata visa moja
Huwezi kutum n kupokea kam huna link bank card,visa American press au Amazon
Account yako inauwezo wa kutuma na kupokea na kutuma pesa kama una balamce kwenye paypapal account yako huna haja ya kutumia card kama hauna uatalink card yako kama ya benki au credit card zile zinazotolewa na mitandao ya simu airtel mpesa na tigo kwenye kutoa hii paypal imeunganisha na XOMM direct hutohitaji kutumia XOOM website na bure Kutoa kwa XOOM
Vp mkuu wakti wakuitumia nabdi niwashe VPN au haina hay na je nivitu gni nikivifanya wataiban
Hauwashi vpn hawazi kugundua kwa sababu mtu unaweza kutumia account yako nchi yoyote uliopo
@@mwisongotech umetisha kiongozi
Thanks