Poleni sana, na Mungu akawe faraja kubwa kwenu kwa kipindi hiki kigumu cha majonzi cha kuondokewa na rafiki yenu mpendwa na mtumishi wa Mungu, Marco Joseph, apumzike kwa amani
Mtu huyu ktk kwaya hiyo kati ya Wacha Mungu alikuwa yeye ila nawatia moyo endeleeni kukagua maisha yenu msiimbe tu kuwafuraisha watu katika uimbaji wenu wapendwa
Farijikeni sana ndugu zangu katika kristo ,tumeitwa kujifunza kunyenyekea na kutafuta utakatifu kila dakika hakuna aliye na kesho yake iko kwa Mungu tu
Aaah....huyu mtu kweli amezindikishwa ki UMungu kabisa...alimpenda Mungu na binadamu.....God rest him in perpetual light....from Kenya watching with alot of sadness.
Mwenyezi Mungu ndio anawezakujaza pengo hili ..May the Lord comfort en strengthen all af us as Eastafrica ...pia nasi tujitahidi kutengeneza yale yaliyosalia ikiwa unyakuo umepiga hodi saana😢😢
Ni ngumu kuamini Roho unauma Sana najikaza nashindwa najikuta namwaga machozi hasa nikiangalia familia yake jmn unauma Sana pole mama mtoto wake mungu akutie nguvu dada
Daah wimbo mkari unachoma sana tafakari yake inataka kufanana na ya ambasada ile ya Ajari kisha wakasema kwanini umeruhusu EE Bwana Mungu awapeni moyo mkuu wapendwa
Wakati umefiliwa then uwe ukiambiwa mtu wenu ameenda mbinguni hajafa unaskia tu Mungu arudi the same min muende nyote au dunia ipasuke muingie nyote maana uchungu ni mwingi😢😢😢😢lkn kila mtu duniani Mungu amempangia siku yake,Rip Mark
Poleni sana, na Mungu akawe faraja kubwa kwenu kwa kipindi hiki kigumu cha majonzi cha kuondokewa na rafiki yenu mpendwa na mtumishi wa Mungu, Marco Joseph, apumzike kwa amani
Mtu huyu ktk kwaya hiyo kati ya Wacha Mungu alikuwa yeye ila nawatia moyo endeleeni kukagua maisha yenu msiimbe tu kuwafuraisha watu katika uimbaji wenu wapendwa
Isaiah 43 mungu awafariji wanazabron from kenya
Poleni Wana singers mungu awatie nguvu amaliza Kazi Yale Duniani nyimulio Baki mko nakazi muiendeleze huduma yamungu Duniani Sisi tuapitaji
Farijikeni sana ndugu zangu katika kristo ,tumeitwa kujifunza kunyenyekea na kutafuta utakatifu kila dakika hakuna aliye na kesho yake iko kwa Mungu tu
Poleni zablon singers we love you so much from Kenya😢😢😢
Aaah....huyu mtu kweli amezindikishwa ki UMungu kabisa...alimpenda Mungu na binadamu.....God rest him in perpetual light....from Kenya watching with alot of sadness.
Mwenyezi Mungu ndio anawezakujaza pengo hili ..May the Lord comfort en strengthen all af us as Eastafrica ...pia nasi tujitahidi kutengeneza yale yaliyosalia ikiwa unyakuo umepiga hodi saana😢😢
Poleni sana, watumishi wa Mungu, Mungu awatie Nguvu, Apumzike kwa Amani.
Kifo cha huyo kaka kimeniumiza sana...ila hakuna namna tumshukuru Mungu kwa kila jambo ni yeye Mungu ameruhusu😭
Nimejaribu kukivaaa kiatu kimebana Mungu awatie nguvu😭😭😭😭😭
Kwa kwel ni ngumu jamn dah 😭😭😭 ila mungu ni mfariji
Poleni sana ndugu zetu kwa kuondokewa na mpendwa wenu
Mungu Awabariki Awafariji Wana Zabron
Mungu na awafarinji na awape nguvu
Pole kwa wote walioguswa na msiba huu
Poleni sana mungu hawafariji zabron singers
Jaman polen Sana Mungu awe faraja yenu jaman hili limetuliza Sana wote
MUNGU PEKEE AWAPE FARAJA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Msiba mzito ila Mungu awatie nguvu kwa huu wkt mgumu
Poleni sana mandugu wetu tz family marafiki mungu awafariji wakati huu
Ni kweli tunakili KAZI ya mungu Haina makosa,mungu awape faraja itokayo mbinguni,pia endeleeni kufanya KAZI ya Mungu wetu
Mungu azidi kuwa faraja kwenu
Poleni sana,Mungu awaited nguvu.
Mungu akawe faraja kwenu
Condolences to the family
Mungu awatie nguvu familia jamn nimeumia name polen sana mungu awe nanyi
Mungu awatie nguvu mpya.
Poleni sana mungu azidi kuwatia nguvu
May God intervene and console you
Pumzika mtumishi wa mungu
Polen sana mung awaite nguvu tupo pamoja kuomboleza maico
Mungu awwpe. Faraja zablon singers from kenya
Mungu awe faraja kwenu inauma sana pale watu mkiwa kwenye kikundi kimoja mkifanya huduma na ghafla mwenzenu akaanguka 😢😢poleni sana wana zabron.
Joel Mungu akubariki kwa Upendo
Poleni sana😢😢
Mwenyez mung awajalieee mwoyo wa faraja
Poleni sana mungu awatie nguvu
Ni ngumu kuamini Roho unauma Sana najikaza nashindwa najikuta namwaga machozi hasa nikiangalia familia yake jmn unauma Sana pole mama mtoto wake mungu akutie nguvu dada
Mwenyezi Mungu awafariji na kuwatia nguvu.
0hh😢 moyo wangu umeumia nimejawa nabalidi jamani Mungu tupe faraja 😢😢😢
Wakenya tuko pamoja nanyi ndungu zetu wana Zablo singers mungu wa amani awafariji wakati huu mgumu
Poleni wapendwa mungu awe faraja yenu
Poleni sana wanakahama kwani msiba huu umetugusa wengi
Poleni sana.May his soul rest in eternal peace
Oh!God this is soon painful.Marco rest in peace😭😭😭😭
poleñi sana wapendwa kwa kipindi hiki kigumu
Polen sana mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu kwengu
Poleni sna Mungu awatie nguvu so painful😭😭😭
Polee sana ndungu
Poleni sana ndugu zetu
Poleni sana zabron singers
Poleni sana zabron kwa msiba mzito
1 wathesalonike 4:13-18, Mungu wa mbinguni akawape faraja watumish wa Mungu
May you all be comforted of the Lord. May His grace be sufficient for the family.
Kifo😢😢😢 💔😩😞😭 ehhh nt ndio njia yakila mmoja
I cant control my tears
Nawaombea.
Mungu awe faraja kwenu
Daah wimbo mkari unachoma sana tafakari yake inataka kufanana na ya ambasada ile ya Ajari kisha wakasema kwanini umeruhusu EE Bwana Mungu awapeni moyo mkuu wapendwa
😢😢😢😢dh Ee Mungu kwa nini umetupiga pigo zito hivi🙏🏿🙏🏿
Wakati umefiliwa then uwe ukiambiwa mtu wenu ameenda mbinguni hajafa unaskia tu Mungu arudi the same min muende nyote au dunia ipasuke muingie nyote maana uchungu ni mwingi😢😢😢😢lkn kila mtu duniani Mungu amempangia siku yake,Rip Mark
kweli kabisa aki😢😢
Poleni sana zablon singers kwa kumpoteza mwenzenu mungu awatie nguvu pamoja n familia
Condolences to the family 👏
Poleni sana mungu awafarij
Poleni sana
Kweli inauma sana hakika.
Pole wanazablon choir
Kwa kwel nimeumia sana😭😭😭
Polen sana nampata sana
😭😭😭Tufariji Bwana🙏
Huyu Japhet ni MTU na ni MTU tena hapa Bongo
Poleni sana familia ya zabron
Mngu awatangulie kwakila hatua mnayo ipitia
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢jmn mungu tusaidie kwa kweli
Oooh My God 😭😭😭😭😭poleni sana
Condolences to the family of zabron singers
Rip Marco, what did not go well
Jamani 😭😭😭😭😭
😂 poren Sana mungu awatie nguvu
Poleni sana asee😢😢😢
Mungu ampokee malco da😂😂😂 so sad
Poleni sana 😭
God may comfort them😢😢😢😢
Cameraman jaribu tena
Hili limeniumiza sana hakika
Very painfully
Rip
Polen sana wote tume guswa
Mungu awatie nguvu wapendwa 12:53
😢😢😢😢 ei poleni ...
Inauma sana ak 😭😭😭
Poleni Sana ndugu wote mliopatwa na msiba huu
Mungu awepe nguvu
Jamani inatia huruma jamani
Wimbo wenu unagusa sana
May God Comfort everyone😭😭😭😭it's so painful😭😭😭😭
😢😢😢😢 mungu awape nguvu ktk kipindi hiki cha. Nguvu
😭😭😭😭
12:53
Isaya 41:10 wapendwa wangu
😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭