MUFT AMTUNZA MADOLA QARY ANKO IDD KTK KONGAMANO LA QURAN NA HADITHI UKUMBI WA MW/ NYERERE DAR 2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 98

  • @AthumanGwimo-h7j
    @AthumanGwimo-h7j 2 дні тому

    Thank you.زادك الله علماً إن شاء الله.

  • @ZainabuShomary
    @ZainabuShomary 5 місяців тому +1

    Mashaallah Allah akulipe kher nyingi pamoja na wazaz wako

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 6 місяців тому +1

    Kaka angu kondoa1allah akuhifadhi🎉❤

  • @hatibumsaki5446
    @hatibumsaki5446 9 місяців тому +4

    Ma shaa Allah.....ila msiwaalike tena hao mashia ni maadui wa maswahaba na ni maadui zetu pia

    • @khalidhassan9845
      @khalidhassan9845 9 місяців тому

      Njaaa mbaya ndugu yangu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому +1

      Haha mawahabi hamna ishu mmechanganyikiwa wala hamjui mfatacho.Yani maswahaba waliuwana na kutukunana ndiyo waliokuwa wanapendana? Yani nyinyi hata sijui mnasoma elimu gani

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      ​@@khalidhassan9845Hivi kuna watu wana njaa zaidi ya mawahabi? Mawahabi wanatunga hadithi na kanuni k8nyume na Quran ili kuunga mkono mdhalimu wa mabwana zao

    • @arafawilliam2142
      @arafawilliam2142 5 місяців тому

      Sasa wasipowaalika Nuru ya dini wataipatia wapi? Mwenyezi MUNGU mwenyewe angetaka angewauwa ila kawaacha wachague haki na baatwil kwa kuwapa neema ya akili

  • @mohammedi8850
    @mohammedi8850 8 місяців тому

    MASHAALLAH ALLAH AZIDI KUKUHIFADHI

  • @IssaHamisi-z2v
    @IssaHamisi-z2v 9 місяців тому +2

    ماشاء الله تبارك الله فيك.

  • @AkidaIbunjumaa
    @AkidaIbunjumaa 5 місяців тому

    Mashaallah 🌹

  • @OmaryFaki-v5k
    @OmaryFaki-v5k 9 місяців тому +2

    Mashallah ❤

  • @AllyMustapha-kq8fs
    @AllyMustapha-kq8fs 9 місяців тому +1

    Allah akujaalie kila la kheri

  • @khalidhassan9845
    @khalidhassan9845 9 місяців тому +1

    Wallahi njaaa mbaya sana Allah atuepushe na njaaa ndugu zangu waislam,

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      Haha mawahabi hamna ishu zaidi ya chuki tu.

    • @KaitaKatema
      @KaitaKatema 9 місяців тому

      wakaimbe bongo flava

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      @@KaitaKatema Hata mimi naunga mkono mawahabi wakaimbe bongo Flava maana hawana wajuacho

  • @KarimSeleman-r4y
    @KarimSeleman-r4y 9 місяців тому

    Mashallah best shekhe Quran

  • @rajabuchambuko581
    @rajabuchambuko581 9 місяців тому

    Maashaallah Maashaallah mtume katuachia Quran na kizaz chake Maashaallah

  • @RehemamakukuMakuku
    @RehemamakukuMakuku 7 місяців тому

    Mashallah mashallah mashallah

  • @ShkeSule
    @ShkeSule 9 місяців тому +2

    Mashallah kakahujawahi kufeli ❤

  • @AkramuBilali
    @AkramuBilali 9 місяців тому +1

    Mashaalah tabaraqallah mjomba idy

  • @Yazidaa-c9y
    @Yazidaa-c9y 9 місяців тому +1

    Masha Allah

  • @AbdulrahmIbrahim-y5g
    @AbdulrahmIbrahim-y5g 5 місяців тому

    mashaallah soma midamu nia ipo mahala pake tu kakaaa

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 9 місяців тому

    ماشا ءالله تبارك الله

  • @mohamediddi5126
    @mohamediddi5126 9 місяців тому +1

    Ma Sha Allah

  • @maulidimkumba3255
    @maulidimkumba3255 9 місяців тому

    Manshaalllah

  • @ExcitedAtv-qx5pt
    @ExcitedAtv-qx5pt 4 місяці тому

    mashallah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 9 місяців тому

    Allahu akbar mashallah

  • @ManswabuShabani
    @ManswabuShabani 9 місяців тому

    Subhaanallah maashallah

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 6 місяців тому +1

    Kuna watu hata dini yenyewe hawajui vizuri wanakurupuka tyu huwezi kumuhukumu binaadam na wewe mwenyewe hujakamilika una maovu kibao

  • @AsiaAa-s1d
    @AsiaAa-s1d 9 місяців тому +3

    Tusiishabikie qur'aan kama tunavoushabikia mpira jaman makelele ya nini na ikiwa tumeamrishwa na allah tabaaraka wa taala pindi inaposomwa tunyamae ili tupate mazingatio kwanin tunakua hivi jaman twautafuta moto kwa nguvu?

  • @HawaMohammed-c2k
    @HawaMohammed-c2k 4 місяці тому

    ❤❤❤

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 9 місяців тому

    Maa shaa allah

  • @swahibu1202
    @swahibu1202 9 місяців тому

    Mashaallh❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @bakwiringashe4371
    @bakwiringashe4371 9 місяців тому

    Mashaallah

  • @ramiamisanya9873
    @ramiamisanya9873 9 місяців тому +1

    Takbiriiiii

  • @AbuuAyubu-q3l
    @AbuuAyubu-q3l 9 місяців тому +1

    Mashia masufi ndio wahuni wa uislamu hivi leo

  • @ShamanhashimKhushtar
    @ShamanhashimKhushtar 9 місяців тому

    Mashallah

  • @AbubakaliShabani
    @AbubakaliShabani 9 місяців тому

    mashallahu

  • @AbdurahmanAbdallah-yl6um
    @AbdurahmanAbdallah-yl6um 9 місяців тому

    Duuuuuh sifa izoooo

  • @AbuuAyubu-q3l
    @AbuuAyubu-q3l 9 місяців тому +1

    Wahuni watupu

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 9 місяців тому +1

    Hao mashia wa nini sasa?

  • @MohammediKingazi
    @MohammediKingazi 9 місяців тому

    Mwarab wa kondoa huyu mashaallah

  • @RamadhaniSiraji-gr8ed
    @RamadhaniSiraji-gr8ed 9 місяців тому

    Kwan mashia wamefanyaje

  • @JumaBinAbdallah
    @JumaBinAbdallah 9 місяців тому +1

    Nilazima kuka namashia

  • @abdillahomary-e2p
    @abdillahomary-e2p 9 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 9 місяців тому

    Kama wslikosea huko nyuma badass tuwafanyeje

  • @safarsafari68
    @safarsafari68 9 місяців тому +2

    Naona mashia wamejazana hapo

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 9 місяців тому +1

      Umekosekana wewe tu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      Ukiangalia vita vya Gaza utajua mashia ndiyo wanaofata Quran na sunna kikweli.Huwezi kuwa mtu wa sunna alafu ukawa moga kama kuku aliye nyeshewa na mvua

  • @MahafudhiKishama
    @MahafudhiKishama 9 місяців тому

    Ulitaka washirikiane n ww ,,alafu ww unatoa hukum au wajua je kuwa wwe upo sahii n unayoyaamin kuwa n kweli tumuuachie Allah maana yye ndo mwenye kumjua mbora kwake

  • @khamissmohd
    @khamissmohd 9 місяців тому

    Nyie mnaopinga mashia na ni krk qaumu ya wanafiki, mmelaaniwa hamtaki umoja, uislam ni shahada tu.

    • @malkiahsalimu2652
      @malkiahsalimu2652 9 місяців тому

      Hivi walani watu wote jamani....tahadhari na onyo la mtume swalallahu alaiy wasalam...wajua kwann wanawake wengi wanaenda motoni?? Mulize sheikh wako akupe jbu kulingana na Hadith ya mtume swalallahu alaiy wasalam

    • @saidsalum523
      @saidsalum523 9 місяців тому +1

      Kwa iyo ukileta shahada hakuna tatizo kuwatukana masahaba au sio?

    • @shmohd11
      @shmohd11 9 місяців тому

      Nani Kwa kwambia Uislamu ni Shahada Tu? Maimamu ABUU Hanifa (ambaye Mashia walifukua kaburi lake na kuzika mbwa), Shaafi, Ahmad, Malik hawakujua hilo? Mnajiita Mashafi lakini hamuujui Ushafii

    • @saidsalum523
      @saidsalum523 9 місяців тому

      @@shmohd11 mtihani mkubwa sana tulionao,,watu wanajiweka pamoja na mashia labda hawajui ukweli kuhusu ushia na ndio maana wanawatetea

    • @AbuuAyubu-q3l
      @AbuuAyubu-q3l 9 місяців тому

      Mnacheka cheka tu hapo pumbavu nyie kwani mnaona mko ngomani hapo? mijitu inashida hii sijapata kuona

  • @OthmaniSelemani-tj3lv
    @OthmaniSelemani-tj3lv 9 місяців тому

    Hiyo ni hatua ya kwanza hatua ya pili uifanyie KAZI sasa

  • @AbdurahmanAbdallah-yl6um
    @AbdurahmanAbdallah-yl6um 9 місяців тому +2

    Utatokwa na udhu shaban ww ivi mtume alisom iv na maswahab je?? Ila pesa ban fanyeni mtakavyo pia hao kun jalala makafir hapo wanafanyaje Allah awalaan hao .mashia

    • @RashidMuhunzi-pr5xj
      @RashidMuhunzi-pr5xj 4 місяці тому

      "USIWATUKANE WATU, QUR-AN HAINA SHARTI KATIKA USOMAJI WAKE MURADI TUU USIKOSEE HUKMU ZAKE NA HERUFI AMA MATAMSHI SAHIHI TUU BAAS,HIVYO MPONGEZE HUYO KIJANA USIM-BEZE WALA USIMCHUKIE SIO VYEMA, KUMBUKA KUWA MUISLAM ALOTAMKA KALIMA TUKUFU LA (LAA ilaaha illa LLAH) BAS JUA KUWA HUYO NI TAYARI MUISLAM MWENZAKO,HIVYO KUHUSU MAPUNGUFU HAYO YAPO KWA WANAADAM WOTE NA SIO WEWE TUU NDO UNAYEPATIA......

  • @BarakatiYahyaa
    @BarakatiYahyaa 9 місяців тому +3

    Tatizo mnashirikiana namashia sjapenda hicho kitu

  • @wazirikipanga325
    @wazirikipanga325 9 місяців тому

    Huyu ni mtanzania ama??

  • @jamalAlly-p2y
    @jamalAlly-p2y 9 місяців тому

    Tofauti ya shia na sunni ni fitna tu ila wote wanatamka shahada 1 na wanaswali kufunga zakkatlmal na kuhiji vp wewe uwabague

    • @saidsalum523
      @saidsalum523 9 місяців тому

      Ndugu yangu soma utajua UBAYA wa mashia

  • @AliSaid-c1f
    @AliSaid-c1f 9 місяців тому

    Maburuk

  • @ShkeSule
    @ShkeSule 9 місяців тому

    Kwakweli ww niwakiduniya

  • @abdullahmkunga6863
    @abdullahmkunga6863 9 місяців тому

    Mashaallah

  • @binsaid8618
    @binsaid8618 9 місяців тому

    ما شاء الله

  • @MwambaKiluwa
    @MwambaKiluwa 5 місяців тому

  • @ShabaniNgangul-qr9jv
    @ShabaniNgangul-qr9jv 2 місяці тому

    mashaallah

  • @tabujuma9046
    @tabujuma9046 6 місяців тому

    Maasha Allah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 9 місяців тому

    Mashallah

  • @jumamwete1600
    @jumamwete1600 4 місяці тому

    Mashaa Allah