MUFT AMTUNZA MADOLA QARY ANKO IDD KTK KONGAMANO LA QURAN NA HADITHI UKUMBI WA MW/ NYERERE DAR 2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 кві 2024
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

КОМЕНТАРІ • 83

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 Місяць тому

    MASHAALLAH ALLAH AZIDI KUKUHIFADHI

  • @user-uk1fg6ki7o
    @user-uk1fg6ki7o 15 днів тому

    Mashallah mashallah mashallah

  • @user-mr1sl6dd7g
    @user-mr1sl6dd7g 2 місяці тому +2

    ماشاء الله تبارك الله فيك.

  • @user-hf3gj2fx2k
    @user-hf3gj2fx2k 2 місяці тому +2

    Mashallah ❤

  • @user-kp8mx2rn6t
    @user-kp8mx2rn6t 2 місяці тому +2

    Mashallah kakahujawahi kufeli ❤

  • @AbdurahmanAbdallah-yl6um
    @AbdurahmanAbdallah-yl6um 2 місяці тому +2

    Utatokwa na udhu shaban ww ivi mtume alisom iv na maswahab je?? Ila pesa ban fanyeni mtakavyo pia hao kun jalala makafir hapo wanafanyaje Allah awalaan hao .mashia

  • @AllyMustapha-kq8fs
    @AllyMustapha-kq8fs 2 місяці тому +1

    Allah akujaalie kila la kheri

  • @user-ss2dx7qs9b
    @user-ss2dx7qs9b 2 місяці тому +1

    Mashaalah tabaraqallah mjomba idy

  • @rajabuchambuko581
    @rajabuchambuko581 2 місяці тому

    Maashaallah Maashaallah mtume katuachia Quran na kizaz chake Maashaallah

  • @user-zv7dq5kw1w
    @user-zv7dq5kw1w 2 місяці тому +1

    Masha Allah

  • @user-hb6sg1sh1z
    @user-hb6sg1sh1z 2 місяці тому

    Mashallah best shekhe Quran

  • @mohamediddi5126
    @mohamediddi5126 2 місяці тому +1

    Ma Sha Allah

  • @hatibumsaki5446
    @hatibumsaki5446 2 місяці тому +3

    Ma shaa Allah.....ila msiwaalike tena hao mashia ni maadui wa maswahaba na ni maadui zetu pia

    • @khalidhassan9845
      @khalidhassan9845 2 місяці тому

      Njaaa mbaya ndugu yangu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 місяці тому +1

      Haha mawahabi hamna ishu mmechanganyikiwa wala hamjui mfatacho.Yani maswahaba waliuwana na kutukunana ndiyo waliokuwa wanapendana? Yani nyinyi hata sijui mnasoma elimu gani

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 місяці тому

      ​@@khalidhassan9845Hivi kuna watu wana njaa zaidi ya mawahabi? Mawahabi wanatunga hadithi na kanuni k8nyume na Quran ili kuunga mkono mdhalimu wa mabwana zao

  • @user-jc6zt3mu4i
    @user-jc6zt3mu4i 2 місяці тому +3

    Tusiishabikie qur'aan kama tunavoushabikia mpira jaman makelele ya nini na ikiwa tumeamrishwa na allah tabaaraka wa taala pindi inaposomwa tunyamae ili tupate mazingatio kwanin tunakua hivi jaman twautafuta moto kwa nguvu?

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 місяці тому

    ماشا ءالله تبارك الله

  • @ManswabuShabani
    @ManswabuShabani 2 місяці тому

    Subhaanallah maashallah

  • @abdullahmkunga6863
    @abdullahmkunga6863 2 місяці тому

    Mashaallah

  • @khalidhassan9845
    @khalidhassan9845 2 місяці тому +1

    Wallahi njaaa mbaya sana Allah atuepushe na njaaa ndugu zangu waislam,

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 місяці тому

      Haha mawahabi hamna ishu zaidi ya chuki tu.

    • @KaitaKatema
      @KaitaKatema 2 місяці тому

      wakaimbe bongo flava

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 місяці тому

      @@KaitaKatema Hata mimi naunga mkono mawahabi wakaimbe bongo Flava maana hawana wajuacho

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 2 місяці тому

    Maa shaa allah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 місяці тому

    Mashallah

  • @swahibu1202
    @swahibu1202 2 місяці тому

    Mashaallh❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @binsaid8618
    @binsaid8618 2 місяці тому

    ما شاء الله

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 місяці тому

    Allahu akbar mashallah

  • @user-jx2nq7ob6t
    @user-jx2nq7ob6t 2 місяці тому

    mashallahu

  • @user-kf6wy8gs1s
    @user-kf6wy8gs1s 2 місяці тому +1

    Mashia masufi ndio wahuni wa uislamu hivi leo

  • @ramiamisanya9873
    @ramiamisanya9873 2 місяці тому

    Takbiriiiii

  • @user-et6tb6pf3j
    @user-et6tb6pf3j 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ox1md2jx9o
    @user-ox1md2jx9o 2 місяці тому +1

    Nilazima kuka namashia

  • @MahafudhiKishama
    @MahafudhiKishama 2 місяці тому

    Ulitaka washirikiane n ww ,,alafu ww unatoa hukum au wajua je kuwa wwe upo sahii n unayoyaamin kuwa n kweli tumuuachie Allah maana yye ndo mwenye kumjua mbora kwake

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 2 місяці тому +1

    Hao mashia wa nini sasa?

  • @user-ri9kz2ej5j
    @user-ri9kz2ej5j 2 місяці тому

    Mwarab wa kondoa huyu mashaallah

  • @user-kf6wy8gs1s
    @user-kf6wy8gs1s 2 місяці тому +1

    Wahuni watupu

  • @RamadhaniSiraji-gr8ed
    @RamadhaniSiraji-gr8ed 2 місяці тому

    Kwan mashia wamefanyaje

  • @AbdurahmanAbdallah-yl6um
    @AbdurahmanAbdallah-yl6um 2 місяці тому

    Duuuuuh sifa izoooo

  • @OthmaniSelemani-tj3lv
    @OthmaniSelemani-tj3lv 2 місяці тому

    Hiyo ni hatua ya kwanza hatua ya pili uifanyie KAZI sasa

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 2 місяці тому

    Kama wslikosea huko nyuma badass tuwafanyeje

  • @safarsafari68
    @safarsafari68 2 місяці тому +2

    Naona mashia wamejazana hapo

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 2 місяці тому +1

      Umekosekana wewe tu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 місяці тому

      Ukiangalia vita vya Gaza utajua mashia ndiyo wanaofata Quran na sunna kikweli.Huwezi kuwa mtu wa sunna alafu ukawa moga kama kuku aliye nyeshewa na mvua

  • @khamissmohd
    @khamissmohd 2 місяці тому

    Nyie mnaopinga mashia na ni krk qaumu ya wanafiki, mmelaaniwa hamtaki umoja, uislam ni shahada tu.

    • @malkiahsalimu2652
      @malkiahsalimu2652 2 місяці тому

      Hivi walani watu wote jamani....tahadhari na onyo la mtume swalallahu alaiy wasalam...wajua kwann wanawake wengi wanaenda motoni?? Mulize sheikh wako akupe jbu kulingana na Hadith ya mtume swalallahu alaiy wasalam

    • @saidsalum523
      @saidsalum523 2 місяці тому +1

      Kwa iyo ukileta shahada hakuna tatizo kuwatukana masahaba au sio?

    • @shmohd11
      @shmohd11 2 місяці тому

      Nani Kwa kwambia Uislamu ni Shahada Tu? Maimamu ABUU Hanifa (ambaye Mashia walifukua kaburi lake na kuzika mbwa), Shaafi, Ahmad, Malik hawakujua hilo? Mnajiita Mashafi lakini hamuujui Ushafii

    • @saidsalum523
      @saidsalum523 2 місяці тому

      @@shmohd11 mtihani mkubwa sana tulionao,,watu wanajiweka pamoja na mashia labda hawajui ukweli kuhusu ushia na ndio maana wanawatetea

    • @user-kf6wy8gs1s
      @user-kf6wy8gs1s 2 місяці тому

      Mnacheka cheka tu hapo pumbavu nyie kwani mnaona mko ngomani hapo? mijitu inashida hii sijapata kuona

  • @user-ki4ou5nc8x
    @user-ki4ou5nc8x 2 місяці тому

    Maburuk

  • @wazirikipanga325
    @wazirikipanga325 2 місяці тому

    Huyu ni mtanzania ama??

  • @user-do1pq2uu1c
    @user-do1pq2uu1c 2 місяці тому

    Tofauti ya shia na sunni ni fitna tu ila wote wanatamka shahada 1 na wanaswali kufunga zakkatlmal na kuhiji vp wewe uwabague

    • @saidsalum523
      @saidsalum523 2 місяці тому

      Ndugu yangu soma utajua UBAYA wa mashia

  • @BarakatiYahyaa
    @BarakatiYahyaa 2 місяці тому +3

    Tatizo mnashirikiana namashia sjapenda hicho kitu

  • @user-kp8mx2rn6t
    @user-kp8mx2rn6t 2 місяці тому

    Kwakweli ww niwakiduniya

  • @maulidimkumba3255
    @maulidimkumba3255 2 місяці тому

    Manshaalllah

  • @bakwiringashe4371
    @bakwiringashe4371 2 місяці тому

    Mashaallah

  • @ShamanhashimKhushtar
    @ShamanhashimKhushtar 2 місяці тому

    Mashallah