MUFT AMTUNZA MADOLA QARY ANKO IDD KTK KONGAMANO LA QURAN NA HADITHI UKUMBI WA MW/ NYERERE DAR 2024
Вставка
- Опубліковано 28 кві 2024
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
MASHAALLAH ALLAH AZIDI KUKUHIFADHI
Mashallah mashallah mashallah
ماشاء الله تبارك الله فيك.
Mashallah ❤
Mashallah kakahujawahi kufeli ❤
Utatokwa na udhu shaban ww ivi mtume alisom iv na maswahab je?? Ila pesa ban fanyeni mtakavyo pia hao kun jalala makafir hapo wanafanyaje Allah awalaan hao .mashia
Allah akujaalie kila la kheri
Mashaalah tabaraqallah mjomba idy
Maashaallah Maashaallah mtume katuachia Quran na kizaz chake Maashaallah
Masha Allah
Mashallah best shekhe Quran
Ma Sha Allah
Ma shaa Allah.....ila msiwaalike tena hao mashia ni maadui wa maswahaba na ni maadui zetu pia
Njaaa mbaya ndugu yangu
Haha mawahabi hamna ishu mmechanganyikiwa wala hamjui mfatacho.Yani maswahaba waliuwana na kutukunana ndiyo waliokuwa wanapendana? Yani nyinyi hata sijui mnasoma elimu gani
@@khalidhassan9845Hivi kuna watu wana njaa zaidi ya mawahabi? Mawahabi wanatunga hadithi na kanuni k8nyume na Quran ili kuunga mkono mdhalimu wa mabwana zao
Tusiishabikie qur'aan kama tunavoushabikia mpira jaman makelele ya nini na ikiwa tumeamrishwa na allah tabaaraka wa taala pindi inaposomwa tunyamae ili tupate mazingatio kwanin tunakua hivi jaman twautafuta moto kwa nguvu?
ماشا ءالله تبارك الله
Subhaanallah maashallah
Mashaallah
Wallahi njaaa mbaya sana Allah atuepushe na njaaa ndugu zangu waislam,
Haha mawahabi hamna ishu zaidi ya chuki tu.
wakaimbe bongo flava
@@KaitaKatema Hata mimi naunga mkono mawahabi wakaimbe bongo Flava maana hawana wajuacho
Maa shaa allah
Mashallah
Mashaallh❤❤❤❤❤❤❤❤
ما شاء الله
Allahu akbar mashallah
mashallahu
Mashia masufi ndio wahuni wa uislamu hivi leo
Takbiriiiii
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nilazima kuka namashia
Ulitaka washirikiane n ww ,,alafu ww unatoa hukum au wajua je kuwa wwe upo sahii n unayoyaamin kuwa n kweli tumuuachie Allah maana yye ndo mwenye kumjua mbora kwake
Hao mashia wa nini sasa?
Mwarab wa kondoa huyu mashaallah
Wahuni watupu
Kwan mashia wamefanyaje
Duuuuuh sifa izoooo
Hiyo ni hatua ya kwanza hatua ya pili uifanyie KAZI sasa
Kama wslikosea huko nyuma badass tuwafanyeje
Naona mashia wamejazana hapo
Umekosekana wewe tu
Ukiangalia vita vya Gaza utajua mashia ndiyo wanaofata Quran na sunna kikweli.Huwezi kuwa mtu wa sunna alafu ukawa moga kama kuku aliye nyeshewa na mvua
Nyie mnaopinga mashia na ni krk qaumu ya wanafiki, mmelaaniwa hamtaki umoja, uislam ni shahada tu.
Hivi walani watu wote jamani....tahadhari na onyo la mtume swalallahu alaiy wasalam...wajua kwann wanawake wengi wanaenda motoni?? Mulize sheikh wako akupe jbu kulingana na Hadith ya mtume swalallahu alaiy wasalam
Kwa iyo ukileta shahada hakuna tatizo kuwatukana masahaba au sio?
Nani Kwa kwambia Uislamu ni Shahada Tu? Maimamu ABUU Hanifa (ambaye Mashia walifukua kaburi lake na kuzika mbwa), Shaafi, Ahmad, Malik hawakujua hilo? Mnajiita Mashafi lakini hamuujui Ushafii
@@shmohd11 mtihani mkubwa sana tulionao,,watu wanajiweka pamoja na mashia labda hawajui ukweli kuhusu ushia na ndio maana wanawatetea
Mnacheka cheka tu hapo pumbavu nyie kwani mnaona mko ngomani hapo? mijitu inashida hii sijapata kuona
Maburuk
Huyu ni mtanzania ama??
Ndio huyonimtanzania Allah amuhifadhi
Tofauti ya shia na sunni ni fitna tu ila wote wanatamka shahada 1 na wanaswali kufunga zakkatlmal na kuhiji vp wewe uwabague
Ndugu yangu soma utajua UBAYA wa mashia
Tatizo mnashirikiana namashia sjapenda hicho kitu
Wependa Quran tu
Sema ulichopenda kwanza kisha ndo mengine yafuate kuwa na inswaaf
❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwaio mashia wakitoa swadaqa sie tusitoe au
Sasa wewe unawafuata mashia
Kwakweli ww niwakiduniya
Tunakuona wewe uko akhera
Manshaalllah
Mashaallah
Mashallah