Mbarikiwa TENZI NO 20 (Ninaye rafiki) live video kutoka studio
Вставка
- Опубліковано 21 сер 2024
- Baada ya channel ya Mbarikiwa mwakipesile ya youtube kufungwa, sasa unaweza kuzipata video zake za zamani kwa kupitia channel zifuatazo.
1. Alex Tewele ... / @pastorstz
2. Zawadi blandine ... / @zawadiblandine
3. Helbeth Mlelwa ... / @helbethmlelwa
Mahubiri ya sasa ya Mbarikiwa Mwakipesile yanarushwa kupitia channel ya Kikosi kazi cha injili ... / @mbarikiwa_mwakipesile
Pia ibada zinarushwa live (mubashara) katika mtandao wa facebook. Ingia facebook na tafuta mbarikiwa mwakipesile au bonyeza maandishi haya / salome.mwampeta.5
KWA KILA CHANNEL ILIYOANDIKWA HAPO JUU. NI VYEMA KAMA UTASUBSCRIBE ILI UWEZE KUPATA TAARIFA ZAIDI.
NEEMA YA KRISTO YESU, IWE PAMOJA NAWE. AMEN
Amina nabarikiwa sana na nyimbo zako mchungaji mungu aendelee kukuinua viwango vya juu zaidi.mungu naomba nisaidie na Mimi nisimame nikujue wewe.
Uimbaji wake ni wa pekee kwani una mvuto mkubwa sana huleta utukufu wa Bwana Mungu wetu. 7:51
Nabarikiwa sana na nyimbo za mbarikiwa mwakipesile mungu akubariki sana.
Kwa Yesu kuna laha yake kalibu tena mtumishi songea
Mimi pia nabarikiwa sana nikiwa hapa Samburu -Kenya.Mungu azidi kukubariki Mchungaji.
Ubarkiwe sana mtumishi wa mungu, bwana akutie nguvu siku Moja tukuone sonngea.
🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉very nice song 🎵
hakika kaka japo unaimba tenzi ila uimbaji wako ni wa kipekee sana. sauti yako ina utukufu wa mungu sana na ina mvuto wa kipekee ninapendaga sana kusikiliza nyimbo zako asa za tenzi unaziimba kwa mtukufu mwingi sana MUNGU AKUBALIKI SANA MCHUNGAJI
Umeona ,hata na wewe umejaliwa kuona mbali sana, glory glory
Kazi iliyotukuka❤❤❤🎉🎉🎉
Moja ya nyimbo makini yenye kuvuta wingu kwa maombi
Baba mbalikiwa mungu akubaliki sana
mimi nikija kuamua kufanya ibada nitafanya nikiwa chini ya huyu bwana amenyoka kwenye mambo mengi
Uimbaji huu ni mkubwa sana, tumeona na kusikia waimbaji wa Tenzi lakini wewe Kaka Mbarikiwe Mwakipesile upo juu.
Ameen
You are truly a man of God because Everytime I listen to your song's I feel the presence of God. God bless you and your family
Barikiwa sana
God bless you and your generation as well🙏.
Mungu akubariki. Nakushukuru kwa kazi yako. Akuinue mwokozi.Amen
Mungu aongezeke kwako man of God akutetea na kuilinda imani yako daima
Be blessed
Ameen baba mubarikiwa napedaga sana nyimbo hihi
Thank you and be blessed! Truly, I appreciate your song, very unique.
Kwake nimetia nanga, Ndimi wake milele, Amen 🙏
Yesuuuuuuuuuuuu e kweli we nirafiki umeziba mapengo yooote
Nabarikiwa sana na huduma hii!
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai
Ninaye Yesu
I love you it songs.huwa zinanivaa nguvu yesu kristo akubariki pamoja na kikosi kizima.
Mbarikiwa babangu Mungu akutunze huko ulipo😢
Ameeeen
❤️🙏❤️🙏🌹🙏✝️✝️✝️✝️🇮🇱🇮🇱🇮🇱
Ubarikiwe rohoni kumejaaa .Mungu Ni Neno na Neno ni Sheria lakini Sheria yake Ni njema na takatifu sana . Hakuna masharti. Magumu hayo Ni maisha ya ufalme wa Mungu kwake tumetia nanga hata waseme walemaa ooo kwake tumetia nanga
Amina!! Amina!! I Love yr songs!!! They r so encouraging!!!
Hahaha mpaka Raha,,utazani wimbo umetoka Jana Mungu awabariki sana
Thank you My brother God bless you , you try to build most disciplined church of Jesus Christ the king.
I like your song be strong for God,s job
Amen Amen MUNGU atukuzwe milele tuko pamoja
Hakika wewe ni mbarikiwa. YESU awe nawe
Ninabarikiwa sana mtumishi
Jina la mbarikiwa (Nsajigwa) limekufaa umebarikiwa sana .pole sana kwa kupotelewa na mtoto wa peke mungu awafunge mkanda wake wa faraja .natamani kupata CD ZA UWIMBAJI WAKO TUPE NAMBA YA MWASILIANO AMENI
Amina ndugu. Kwasasa DVD zinapatikana mbeya tu kwa kuwa soko lake lilipungua sana.
Namba za mawasiliano, kambi kuu mbeya ni 0769 015 164
Mtumishi tumengoja video ya wimbo wa tenzi ninaye rafiki ninaye
Nabarikiwa sana Kwa huduma Yako ya uimbaji na mahuburi Yako ubariwe sana mtumishi was mungu
Kwake nimetia nanga...
Amina, Amina
Hakika ni Mwema ,Mwana wa Adamu, Yesu Kristo Rafiki Mwema!!!
Hakika mbarikiwa umebarikiwa nyimb Zak zinanibariki sana
Ninarikiwa Mungu akubariki
Amen amen 🙏🏿
Amen 🙏 “Thank you
tupo pamoja japo hutuon
Amina sana
We ni mfano was kuigwa jaribu morogoro
Mungu akubariki sanaaaaa
Nice
Amen
Enjoying from Lusaka Zambia I love your music it's comfort me in prayers
Amen, have you joined the WhatsApp group, GROUP LA WAGUMU, leaded by Past, Mbarikiwa Mwakipesile
@@HelbethMlelwa no
Add me please I will appreciate brother in Christ
@@langsontembo7274 send me a whatsapp message through +255620671231
@@HelbethMlelwa okay
Good song to listen...it encourage more more more in this journey and it emphasize us more to still walking with God
Kweli Dr. Nafahamu hii tenzi yako
Halélujah
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤
Hakuna rafik kama yesu
Mbarikiwa Unanibariki Sana!!!
Tafadhali naomba wimbo wa tufani inapovuma...
t.me/kikosikazichainjili
Hata nikiwa navyo Tena vyoote ni Amana .Haleluy ubarikiwe baba
Ubarkiwe sana mtumishi wa mungu, bwana akutie nguvu siku Moja tukuone sonngea.
Ameeeen