@kyeliamametumba5260 ushasema ww na hatukujui yy ni mtu anaelimisha jamii tunamuona anatakiwa kuishi uhalisia awe kitofauti na mambo yanavyotakiwa kwenda sio baada ya miaka 5 mtu yuko vilevile kichwani mh
@@mgetamussa heeeee we ni mwanaume au mwanamke tuanzie hapo kwanza!kama una kaka yako au ndugu yako wa kiume unaruhusu au na mwanamke aina kama ya huyo Zendaya?au umeamka usingizini sasa hv hujui nn kinaendelea?
Ila othmani ulisema subscriber wakifika 10k umatoa ep 2 wakifika 20k unatoa tatu mbona unatuongopea sasa unaachia moja tu kwanini unatuonea🥹🥹 tunasubiri week nzima af unatuachia kipande kimoja tu🥹
Kama unaikubali hii series nione like ako🔥
If kanumba was still alive he would be very proud of you 😢
III movie kueni fair basi movie inachelewa kutoka afu mnaweka dakika 10 tuu jaman wekeni basi hata dk 40 kwa kipande kimoja ❤️🥺 🙏🏾
😂😂mapenzi ya heka heka kama ya Devi na Tima...mara washagombana mara washapatana mapenzi motomoto ndo haya sasa ya Othman na Zendaya😂😂
Dakika chache afu kitu ni 🔥🔥🔥🔥
Ongea dakk bsi jmniio🙏🙏
Movie Kali kwelii❤
Love this series so much ,,, inawaka kweli
Mama mkweee shikamoo, nampenda sana mwanao Othuman ❤❤❤
Nasubiri iyo next episode, team othman🔥🔥🔥
Mwez ujao
Ongeza dakika broh hii series ni kali sana utanishukuru baadae
Wapendanao hugombamba ❤❤
❤inafundisha sana hasa wanadoa
Today episode is more fire and very interesting l appreciate it good. Work
Othuman ni nn ss ama si kwa jicho hilo😂😂😂😂bdo unataka tu ungomvi uendelee mmm ebu ombaneni msamaha yaishe
Daah! Nzuri sana inavutia
😪🤣🤣🤣🤣yaaan ilinoga penzi kilo 150 jamn 🙌🙌🙌apoo sasa kutegean nan ataanz kujishusha 😂😂
I ❤❤❤❤ This Series too much,ur the Great 👌🙏
Nzur🎉
Twende Kazi 😊😊❤
I like it❤
Sa ndo nn mnatufanyia jamani so vzr kabsaa 😂😢😢😢
Msamaha ndio kamzozo kenyewe sasa
Munanichekesha kwa kwel duuuh mapenzi shikamo mala mugombane nala muelewane htl ila mwanzo mapenzi ndo yalivo mukizoeana basi mapenzi kwisha 😅😅😅
Jamaniiii ninakuja na haraka😂😂😂😂😂
Usinikanyagi tu 😂😂😂
@افلينافلين-ي9ك 😂😂😂🔥🔥
Kusikia kuomba msamahaa furaha ikapotea gafla😂😂😂😂
🎉🎉🎉❤
Kaliii mnooo❤
Haya sawa
🎉🎉🎉
Mbona imeisha pa zuri season2 lin??
Othman looking like a proud man aliposema sijawah kufanyiwa kitu kama kile😅
Uliona kama mimi 😂😂😂😂
Imebidi nirudie hiko kipande ckuona vizur
Amazing
Bombooooclaaaat🎉😂😂
Yaani ni short and clear mmeuwa
Piaoling
Inamafunzo mengi sana hii movie marafiki siwakuambia kila kitu❤❤
Kabisaa
Sem kigauni chekundu kvaa sn zindaya
Nice jobs❤❤❤ but don't take time
hii movie ni my relationship kbs😂😂
Cyo ww tu😂
@khadijaakida1175 noma😂😂
Hiv ni kwel zendaya hujawahi kufanyiwa alivyokufanyia Othman 😂😂😂au bac
Wow amazing Othman
I don't know what to say but The movie is owesome
Nimeipnd bureee❤
Iz dakika hatujaridhia kbx wallah😢😢
Chuma iko😢😢😢
mambo ni moto
Sas brother Othman kwann utuekee dakk kumi jmn🥺🥺😩
It’s was about time they changed clothes frl 😂
Noma 🔥
Hmna mke wa kuoa hapo othman 😂
Othman 🔥🔥🔥🔥🔥
Nice
nice epsisod
Mashallah 🔥❤️❤️😂😂😂
Nyie mnao omba like kweny comment zinasaidia nn 😅😂
Muongeze dakika chache sanaa
🎉
Asante kwa muendelezo
Good job 👏
Nkajua therapist ataomba ajue kwann Othman alipendwa vzur baada ya iyoo sku ya kwanza😂😂
😂😂😂😂
Hiii movie Hatarii
Mbonaa vipand vifupi sanaa bhn
Kwahiyo nywele ni hizo kila siku makubwa 😂😂😂
Mimi Kuna nywele nimesuka Miaka 5 mfululizo,Yani nikifumua nakaa mwezi nasuka Tena
@kyeliamametumba5260 ushasema ww na hatukujui yy ni mtu anaelimisha jamii tunamuona anatakiwa kuishi uhalisia awe kitofauti na mambo yanavyotakiwa kwenda sio baada ya miaka 5 mtu yuko vilevile kichwani mh
Nywele toka wanatongozana mpk wanagombana
Wanawake kama Zendaya nawasihi sana wanaume waepukeni maaa hawafai kabisa😉😉😉
sijui kimekukuta nn binti yetu ila polee maana umeandika kwa uchungu sana😂
@@mgetamussa😂😂😂 ila watu
@@mgetamussa heeeee we ni mwanaume au mwanamke tuanzie hapo kwanza!kama una kaka yako au ndugu yako wa kiume unaruhusu au na mwanamke aina kama ya huyo Zendaya?au umeamka usingizini sasa hv hujui nn kinaendelea?
😂😂😂😂😂😂@@mgetamussa
❤❤❤❤❤
❤
😂😂😂yan hawa n kama tom na jerry kupatana dakika 1 kugombana dakika 1😂
😂😂😂😂😂umeona eeeee😂😂😂😂😂❤
😂😂😂😂ni Devi na Tima😅😅
Team Othman
Jamani au mnafurahia tunapokua tunaboeka kwa kuisubiri
Tunaomba isiwe inachukua mda mrefu
🙏🙏🙏 Please
Achia Tusepe Nayo hiyo
Next pleaseee😥
Y hamtak kuombana msamaha??
🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Week zim epsode moj khaa😢
Tena dakika 10😢
Mnaboa bhan
Hii move or ctory 😂😂
Zentaya anapenda nguo black 😢😅
Kwaio Leo ni mmoja tu jmni. ,😢
Leo fanyeni mbili jmni
Jamani episode fupi sana alafu mnachelewesha sana
Your have to do this more OJ
Zendaya kaniach mdom waz l mean unamweleza rafiki yako mahusiano yenu ii imekaaje mh mimi.siwezi😊😊😊😊
Othiman ongeza muda jamani
Othman ulituahidi two episodes every week jamani mbona ivooo😢
Wait
wee zendaya😂😂😂😢😢
Othman run away,,
Inachukua mda gani hadi itoke
Ila othmani ulisema subscriber wakifika 10k umatoa ep 2 wakifika 20k unatoa tatu mbona unatuongopea sasa unaachia moja tu kwanini unatuonea🥹🥹 tunasubiri week nzima af unatuachia kipande kimoja tu🥹
Mnaboa jmn asa kwanini mnachelewesha
Mnazingua yani movie kila jumapili afu dakika 10 sasa ndo nn😅😅😅😅😅
@@hatari60 tunatoa alhamis
Ndo uweke dak 10😢
Si muwe mnatueka 2 series jaman😢
Yaaaaan huu ni upumbavu mm toka wiki nasubiria itoke tyu .....si mtoe vyote bn
Kuwa na subira jameni😮
Dakika chache jamn😢
@@MarianaFadhily-dc5lx week hii tubatoa mapema Alhamis
Tuekee nyongeza leo ya 9 basii😂@@Othamannjaidi
Niliogaa na kufanya Kaz haraka nitulie niangalie ep 8😢😢😢
Mpaka lini sasa
jumapil tena😂😂😂
@@ShukraniJoshuakasema alhamis ataachia tena
@@Womanking-09 itakuwa poa sanaa
Shida ya waigizaji w bongo mnakaa kimy san bila kutoa
Yan hii series ni nzuri, tatzo inachelewa,Ina dakika chache, what the fuck is this😢
Don't trust anybody only God can be trusted
Unachelewesha alaf ukipost unapost ep 1 tena ep yenyew fupi ivyo unatukata san aisee