MAMA wa MAREHEMU MWANAMVUA AFICHUA SIRI NZITO ya SAFARI ya MWANAYE OMANI HADI KIFO...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 112

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  18 днів тому

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @Far-hatMohd
    @Far-hatMohd 18 днів тому +7

    Allah amraham mwanamvua na ampe nguvu mama pamoj na watt nasisi Allah atutie nguvu na atupe subr tueze kumaliza salam mkataba turud makwetu inshaallah

    • @YasmeenKhalifa-zq1zk
      @YasmeenKhalifa-zq1zk 17 днів тому

      Inshaallah yarab mm nataman hata leo nirud leo kila nikiskia hili tukio

    • @MariamZingizi
      @MariamZingizi 17 днів тому

      Inalillah wainaih ilahi rajiun mungu amlaze pema peponi 🇴🇲🇴🇲😭😭

  • @faridafaridaa4618
    @faridafaridaa4618 18 днів тому +10

    Mama walee wajukuu zako na mungu atakusaidia safar yetu sote

  • @HappyHiker-nz9vg
    @HappyHiker-nz9vg 18 днів тому +9

    Pole sana mama etu kwa msiba Allah akupe subra inshallah 😢

  • @leylam2121
    @leylam2121 18 днів тому +10

    Allah ampe subra uyu mama mana anaumia sana kwenye moyo

  • @فيصلالبادي-ح1غ
    @فيصلالبادي-ح1غ 18 днів тому +8

    Watoto wameniliza jamani 😭😭😭niwadogo mno naombane mnipatie namba ya huyu mama jamani 😢😢

  • @MinahShaban-jj9rd
    @MinahShaban-jj9rd 18 днів тому +8

    Allah atie Nuru kaburi lake Inshallah 😢

  • @rukiamashaka7577
    @rukiamashaka7577 15 днів тому

    Pole mmayetu,,,,Allah ampe kauli thabit akapokee kitabu chake kwa mkono wa kulia ameen

  • @Bahati47
    @Bahati47 18 днів тому +1

    Masikini 😢😢 ALLAH akupe subra katika kipindi hiki kigumu ALLAH atalipa kwa njia yake inshaAllah

  • @AishaMohamedhaidari
    @AishaMohamedhaidari 17 днів тому +2

    Daah Hao watt jaman wanalia mpk Huruma 😢 Allaah ampe kauli thabiti

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 17 днів тому

      Wanatia huruma bado wadogo sana

  • @MeryCute-e3j
    @MeryCute-e3j 17 днів тому

    Pole sana Bi Egy ,Mungu akutunze Bibi angu Kipenz Dada ametangulia tumuombee Mungu ampokee

  • @UmmukulthumMussa
    @UmmukulthumMussa 12 днів тому

    Allah akurehem mwanamvua km siamn ivi had leo namba yko nashindwa kuifuta 😢😢 ilikua ni rafk usieringa hata kdg

  • @YasmeenKhalifa-zq1zk
    @YasmeenKhalifa-zq1zk 17 днів тому

    Pole sana mama yetu kwa mtihan ulio kukuta na ss tupo tunapambana 😢 Allah akujalie nguvu kwa kipindi hiki kigum

  • @KhamisiAbuu
    @KhamisiAbuu 18 днів тому +1

    Pole sana mama mungu akutie nguv daah inauma sana jamna

  • @ZulehaAyubu
    @ZulehaAyubu 18 днів тому +1

    Mama pole sana kwakumpoteza mtto wako lakin hajapolea kabisa kaachawajukuu haondioyo kiyoo chako mama watuzebwata kusaidia baadae kama mama Yao alivo kua anakupenda inalilahi wainalilahi rajiuna 💔💔😭😭😭😭 nakupenda sana mama pole mama

  • @MwaidiJuma-t5d
    @MwaidiJuma-t5d 18 днів тому +5

    Poleni sana mbele yake nyuma yetu

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 17 днів тому

    Kifo ni kimoja tu ila sababu ni tofauti, Allah( sw) amlaze mahali pema na amsamehe dhambi zake

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 18 днів тому +4

    Allah amguhufirie dhambi zake

  • @PrincessReen-n8t
    @PrincessReen-n8t 14 днів тому

    Pole mamaangu

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 18 днів тому +3

    Mola mpe subra mama yetu

  • @nurucinemax
    @nurucinemax 13 днів тому

    Allah akurehmu dda yetu😭😭😭😭

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 17 днів тому

    pole sana mama

  • @AshuuJumbe
    @AshuuJumbe 14 днів тому

    😢😢😢daah nashindwa kusema mie😭😭😭naumia mwenzenu

  • @Zainab-u6v5d
    @Zainab-u6v5d 7 днів тому

    Allah ampe kauli thabiti 😊

  • @monirangerera7155
    @monirangerera7155 14 днів тому

    Kama wamemuwa asilale kaburini spirit yake ikawanga mize walio muuwa kama kifo chake cha kawaida Mungu ampoke kwa aman ampe kauli thabit

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji91 18 днів тому +1

    Pole mama watoto wamenitoa machozi

  • @JasmineJoely
    @JasmineJoely 17 днів тому

    In the Name of Allah, nakataa kurudi nikiwa kwenye jeneza😭🙏 Na kama Kuna lolote lililofanyika kwa dada mwanamvua, basi Allah ashughulike nalo😭, tunakuja huku gulf countries tukiwa Hai,, why turudi tukiwa wafu⁉️Allah, tunakuachia wewe ,maana wewe ndiye msemahi wa Mwisho 🙏

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 17 днів тому +1

    Warabu wa oman mungu anawaona ipo siku mtalipa tuu inallahu maswabirna

    • @mamialsawafi8020
      @mamialsawafi8020 17 днів тому

      @@MishiPapalan Oman tu ndio kuna izraili mtowa roho za waafrika kwengine hakuna nawala hamfi nakm walikusudia walotenda Allah atawahukumu naww pia mwenye kusema warabu wa Oman unamaanisha ni wote haya njoo utunyonge maana ww utaishi mpaka siku yamwisho maana mlivyoshempelea hata family ya marehem hawajayakuza km nyinyi wengine uchungu wakinafik tu muhimu muonekane kwenye comment

  • @MarthaZephania
    @MarthaZephania 18 днів тому +1

    Mungu wape faraja watoto Hawa 😭😭😭😭 jaman

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y 18 днів тому +1

    Pole sana mama mshukuru mungu

  • @TatoIssa-w3q
    @TatoIssa-w3q 18 днів тому

    Mama.pole..sana

  • @monirangerera7155
    @monirangerera7155 14 днів тому

    Mungu amwangazie kabuli lake

  • @AshuraHassan-w3s
    @AshuraHassan-w3s 18 днів тому

    Pole sana mama

  • @Tariqxxtenations
    @Tariqxxtenations 18 днів тому

    Pole mama😢😢😢

  • @ngomamohamedi8178
    @ngomamohamedi8178 17 днів тому

    Pole sana mama angu kipenz kwani kufa ni ahadi yetu sote amini hii ndiyo ilikuwa ahidi ya mwanao kufa maana hakuna atakae dumu katk huu ulimwengu

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 17 днів тому

    Allah akupe subra mama yetu

  • @AminaJuma-g2f
    @AminaJuma-g2f 4 дні тому

    Inalilh wainalilh rajiun 😢😢😢

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 18 днів тому

    Pole sana Baba na Mama na watoto na family

  • @MareeshMipasho
    @MareeshMipasho 18 днів тому +2

    Duuuh inauma sana poleni

  • @SheySharifahamady
    @SheySharifahamady 15 днів тому

    Siku zote changamoto za kazi huwa hatuwambii wazazi wetu kama mimi mamaangu ana roho nyepesi sana ukimwambia too nateseka anaanza kupiga mayowe so % kubwa hatutaki kuwatia presha wazazi

  • @jokha431
    @jokha431 18 днів тому +4

    Innalillah wainaillah rojiun

  • @SakinaJuma-n8u
    @SakinaJuma-n8u 18 днів тому

    Allah akutue nguvu mama katika kipindi hiki kigumu ulee wajukuu wako

  • @NajmaAlly-gt6nw
    @NajmaAlly-gt6nw 18 днів тому

    Anllah akupe subra mama yetu

  • @faudhiaayubu2463
    @faudhiaayubu2463 15 днів тому

    Watoto wameniliza Jaman 😢😢😢

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 18 днів тому +1

    Jaman watoto😢😢

  • @hpmobilephone9951
    @hpmobilephone9951 17 днів тому

    Inalilahi rajau emwenyi mungu uampe kauli sabiti 😢😢

  • @صالحالاسماعيلي-غ3ب

    Allah awape subra wafiwa

  • @Aisha-t2q
    @Aisha-t2q 18 днів тому +5

    Lile shimo Nila kuchomea shwaaa jaman. Mliopo Oman mnajua Ile nyama Yao warab wanayo choma kwenye mashimo

    • @fatmaOmmy
      @fatmaOmmy 18 днів тому +2

      Ndio jamani hile shimo la nyama mtu hawezi kufa hapo, wallah siamini hata kidg😢😢

    • @Kutaila99
      @Kutaila99 18 днів тому

      Mashimo yakuchomea nyama hayapo ivo bhn achen hizo

    • @Aisha-t2q
      @Aisha-t2q 17 днів тому

      @Kutaila99 wewe mashimo ya choo na maji taka Oman yapo hivyo au hujawah kushuhudia ujenz wa Oman wanavyo jenga kaa kimya kama huelew

  • @SalmaNguzo-h6h
    @SalmaNguzo-h6h 13 днів тому

    Innalilah wainnailah rajihun

  • @ZaynabAlly-n8d
    @ZaynabAlly-n8d 18 днів тому +2

    Dah watoto wananiuma mm jmn 😭😭

  • @MomyMany
    @MomyMany 18 днів тому

    Masikini mamaangu Allah ampe subra zaid 😢😢

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu 18 днів тому

    Poleni sana watt wameniuma jmn😢😢😢

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi 17 днів тому

    Kuna mtoto analia 😢😢😢😢

  • @OMBENIBANDURA
    @OMBENIBANDURA 18 днів тому

    Poleni sana, inauma sana😢

  • @NajmaAlly-gt6nw
    @NajmaAlly-gt6nw 18 днів тому +1

    Sisi tunaofanya kazi nchi za kiarabu kuna muda tunapitia changamoto ila tukiongea na wazazi wetu tunaficha ili kutokuwapa wasiwasi tukijipa moyo kuwa yataisha tutarudi😢😢

    • @YasmeenKhalifa-zq1zk
      @YasmeenKhalifa-zq1zk 17 днів тому

      Nikweli kipenz hata mm huwa simwambii mama magum nnayopitia😢

    • @NajmaAlly-gt6nw
      @NajmaAlly-gt6nw 17 днів тому

      @@YasmeenKhalifa-zq1zk but kwa sasa inabidi tujufunze kuongea tu ukweli kabla hayajatukuta matatizo kama unahofia kumpa mama maumivu tafuta msiri wako dada au kaka au rafiki yako yyte wa kalibu ajue maisha yako anllah atujaalie tumalize salama inshaanllah

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 17 днів тому

      nikweli ata dadangu alikua ivyo amerudi nikichaa adi leo ana miaka mi4 😢

    • @NajmaAlly-gt6nw
      @NajmaAlly-gt6nw 17 днів тому

      @@khamisswalehe anllah amfanyie wepesi inshaanllah pole dear inauma sana wanllah shida zetu zinatupeleka kwenye matatizo makubwa sana

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 17 днів тому

      @@NajmaAlly-gt6nw sahihi kabisa asante

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f 18 днів тому

    Awape subura

  • @sasamama7934
    @sasamama7934 18 днів тому

    Ina laillah waina ileyh rajiun

  • @AshaMwamba-m5x
    @AshaMwamba-m5x 18 днів тому

    Polee mama inaumiza

  • @leladege1500
    @leladege1500 18 днів тому

    Inalillah waina lilah rajuni 😢😢😢😢

  • @fatmambarouk-m1c
    @fatmambarouk-m1c 18 днів тому

    😔

  • @TatuMkeso
    @TatuMkeso 18 днів тому

    Polen sana mungu awatie nguvu

  • @sherryx.7897
    @sherryx.7897 18 днів тому +1

    Wanatilisha huruma watoto wake.. tuonesheni copy ya death certificate inayosema amekufa kwa moyo ..na hilo shimo sio la karo ni shimo dogo sana na fupi..vipi Litauwa mtu?
    Pia fatilieni zaidi na zaidi mujue exactly kitu kilichomuuwa..

  • @LucyPhilemon-vu4lu
    @LucyPhilemon-vu4lu 18 днів тому

    😢😢😢😢😢😢

  • @AsiaAsi-s3u
    @AsiaAsi-s3u 17 днів тому

    Mwarabu kwanini kaua,kwanini ripoti iwe maradhi ya moyo? Allah atalipa mda mfupituu hatakama alifanya kosa siyo kwa kuua

  • @ElizabethNyabu-q1x
    @ElizabethNyabu-q1x 18 днів тому +1

    Awo watoto ndy wananiliza kabisa dah

  • @TabletTurbonet
    @TabletTurbonet 14 днів тому

    Jmn mnamchosha mama

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 18 днів тому +1

    Maashimo ya uku niimara. Mnoo

  • @AishaAmin-b2k
    @AishaAmin-b2k 18 днів тому

    Mwanamke wa oman huwa hawasemi kutokana kuweka mawazo ndugu

  • @AishaAmin-b2k
    @AishaAmin-b2k 18 днів тому

    Mama angu asisikie maana mmh

  • @neemamdami7466
    @neemamdami7466 18 днів тому

    Kumbe Da Egy ndio mama wa Marehemu

  • @aishadakio7237
    @aishadakio7237 17 днів тому

    Sisi hatuwambii wazazi tunahofia kuwapa mawazo ndomana tunanyamaza

  • @KhadijaSallum-b7l
    @KhadijaSallum-b7l 18 днів тому

    𝕀𝕟𝕟𝕒𝕝𝕚𝕝𝕒𝕙 𝕨𝕒𝕚𝕟𝕟𝕒𝕙𝕚𝕝𝕒𝕚𝕙 𝕣𝕒𝕛𝕚𝕦𝕟😢😢

  • @AbdulswamadAbdallah-z5i
    @AbdulswamadAbdallah-z5i 8 днів тому

    Umauti ukikufikia lazima uanguke

  • @FatmaMusaifa
    @FatmaMusaifa 18 днів тому

    Kifo cha mwamvua kina umiza sana

  • @dynachriss5126
    @dynachriss5126 18 днів тому

    Tulieni nchini🇹🇿mwenu jmn mungu akiamua kukupa anakupa popote ulipo watu hawa rangi nyeupe ni asilimia kumi kati ya mia wanaotupenda sisi weusi📌

    • @ZeynuuFaqih
      @ZeynuuFaqih 18 днів тому +4

      Acha ujinga tukishatulia ww utahudumia familia zetu? Vp ww kw vile upo nyumbn hutokufa au unajua kifo chako kitakuaj? Sis bado tupo M.mungu nd tegemeo letu alotupangia hatuna njia y kuliepuka kw namn yyt.. Ubaya hauna rangi nyeupe wala zambarau..

    • @MzeeKigogo_
      @MzeeKigogo_ 18 днів тому

      Hawajifunzi hawa watu. Mwarabu hajawahi kumthamini mtu mweusi. Wanatuona kama watumwa

    • @AhmadRibaat
      @AhmadRibaat 7 днів тому

      Kweli kabisa الأعراب أشد كفرا ونفاقا

    • @AhmadRibaat
      @AhmadRibaat 7 днів тому

      ​@@ZeynuuFaqih لا تقول هكذا يا أخي

  • @aishadakio7237
    @aishadakio7237 17 днів тому

    Changamoto

  • @LeylaAbdul-t2h
    @LeylaAbdul-t2h 18 днів тому +2

    Warab mmh ila Mungu anawaona poleni sana😢😢😢😢

    • @ShekhaSalim-o5e
      @ShekhaSalim-o5e 18 днів тому

      Hivi matukio yanao tokea huku kwetu wanao uwa pia warabu au ? Akili zako duni sana mwehu mkubwa . Uso muombea mwenzio dua ww akili yako mwarabu

    • @AbdulswamadAbdallah-z5i
      @AbdulswamadAbdallah-z5i 8 днів тому

      Nani alishuhudia kama kauliwa?

  • @DamarisDuuTausi
    @DamarisDuuTausi 18 днів тому +2

    Hiyo shimo aliingia shimo gani hilojamani mbona hata kuona mashimo huku ningumu jamani😢😢😢😢😢pole sana mamaaa

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo 18 днів тому

      Ndio nimeshangaa

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 18 днів тому

      ​@@ShukranMwakyamboww unakaa bladi bladi kumejaa visima na mashimo

    • @MahmoodAlghefeili
      @MahmoodAlghefeili 18 днів тому

      Ss yy ni uku niliko mm rustag hakuna mashimo​@@RitbayRitbay

    • @mamialsawafi8020
      @mamialsawafi8020 18 днів тому

      wanajitoa ufaham kile ni kisima na blad mvua kila mara kwani wale watoto wa shule walidumbukia kwenye shimo siku ya mvua mbona walitolewa wamefariki wote wawili sasa hilo shimo wameona ajabu pengine alitereza bahati mbaya ila watu wanaunda story kila kukicha

    • @صالحالاسماعيلي-غ3ب
      @صالحالاسماعيلي-غ3ب 17 днів тому

      Ndio njia yetu imefika siku yake

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 17 днів тому

    Waandishi maswali ya kijinga sana

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 18 днів тому

    😢😢😢😢