Wewe jamaa unaongea upuuzi! Ionekana wewe hata ushoga unausaport 100%, uhuru wa kujieleza uhuru upi huo unaoutaka wewe, watu kama nyinyi hamtufai unaua kizazi cha mtu mweusi
Cha kujiuliza ni kwa nini iwe kwa X na sio mitandao mingine? Ungeeleza kwamba sio kweli kwamba wanaweka hizo content ungeeleweka but tusiwe watu wa kutetea tu hata kama kitu kina athari kwa jamii, kuna nchi kubwa zilizoendelea lakini kuna mitandao maarufu huwezi ikuta nchini mwao kwa sabababu maalum. Sisi kila mtakacholetewa sawa kwa kivuli cha uhuru wa habari tutajipoteza bila kujijua.
fungia magari yanaua watu? fungieni facebook, fungieni internet kbs ili turudi kwy SLP na kuandikiana barua!! watu wa ajabu sana hawa kujaribu kuua mende kwa kuchoma nyumba nzima motto ili kujipendekeza kwa Samia
Huyu kijana ndo alijiteka! Siasa zina mambo. Mtu anapotafuta kick anabuni mambo ya hovyo yanayopelekea hata nchi kupata kashfa. Kwa hiyo dogo anashabikia ushoga? Acha upuuzi wako dogo maana uahoga ni janga la dunia
Nakuomba ufaamu uyo mkurugenz wa kampuni ya x sahv anatengeneza midori kwa ajili ya kufanya mapenz,amna kutafuta mwannamke na yule mdori siyo kwamba anashika ujauzito ni wqkuburudisha tu je unako ambiwa dunian wanadakiwa wapungue mpaka apo uwelewii,akifanya icho kitu ndan ya miaka 50 unategemea nini ,ACHA KUWA NA MAWAZO MAFINYU PANUWA FIKIRA ZAKO
CCM ni vichwa vitupu kiasi hicho? Hebu washughulikie matatizo ya wananchi wasikae tu madarakani na kueneza propaganda zisizo na maana.
Wewe jamaa unaongea upuuzi! Ionekana wewe hata ushoga unausaport 100%, uhuru wa kujieleza uhuru upi huo unaoutaka wewe, watu kama nyinyi hamtufai unaua kizazi cha mtu mweusi
Labda Mange kusema kweli, wanataka kuifunga Kwa sababu yake
Najiuliza huyu jamaa anajielewa ama sababu anajikuta anajua kuongea sana , anatetea ujinga
Cha kujiuliza ni kwa nini iwe kwa X na sio mitandao mingine? Ungeeleza kwamba sio kweli kwamba wanaweka hizo content ungeeleweka but tusiwe watu wa kutetea tu hata kama kitu kina athari kwa jamii, kuna nchi kubwa zilizoendelea lakini kuna mitandao maarufu huwezi ikuta nchini mwao kwa sabababu maalum. Sisi kila mtakacholetewa sawa kwa kivuli cha uhuru wa habari tutajipoteza bila kujijua.
Umesema.kweli.wanamasha.na.mambo.wanayoyafanya.kinyume.sheria.ya.nchi.au.katiba
Sikubaliani nawe
We jamaa ni smart sana ni watz wachache kama wewe
Jamn mawakala wa shetani, wanaongezeka siku had siku,yaa rabi niepushe mimi,kizazichangu,nawale wenye kuamini 🤲🤲
fungia magari yanaua watu? fungieni facebook, fungieni internet kbs ili turudi kwy SLP na kuandikiana barua!! watu wa ajabu sana hawa kujaribu kuua mende kwa kuchoma nyumba nzima motto ili kujipendekeza kwa Samia
Well said, Twitter wanamkimbia Mange, Wanaamini anambomoa mama kuelekea uchaguzi mkuu..WAPO TAYARI KUCHOMA NYUMBA SABABU YA UTITIRI😅😅😅😅😅
Kwahyo wewe unakubaliana na huo upuuzi ww ni kiongozi wa aina gani
Kwahiyo Twitter ni upuuzi ? Daaa kweli bado hii nchi tuna matahila wengi
Fungia tu huo mtandao jamani sio mzuri
Nyie mme tumwa sabab ccm ina wajinga wengi
Dah! Kumbe kweli elimu bila akili ni kazi bure! Na kama wasomi wote wapo kama wewe hamna aja ya kumpeleka mtoto shule
kwani we nondo ni mpenzi wa ushoga?
mitandao michafu ifungwe!!acha kutetea uchafu?!!
Huyu kijana ndo alijiteka! Siasa zina mambo. Mtu anapotafuta kick anabuni mambo ya hovyo yanayopelekea hata nchi kupata kashfa. Kwa hiyo dogo anashabikia ushoga? Acha upuuzi wako dogo maana uahoga ni janga la dunia
Hiyu jamaa ana maoni maziri ila akimaliza afikishwe home asije akajiteka
Huyu chizy nini watu sio kama hawana Akili.
Mchicha mwiba
Siyo kila unayemuona ni mtu wengine siyo watu
Libadilishwe jina kutokana mazoea ya jamii
Hawabadilishi jina la kampuni kwa kufuata akili mbovu za maccm
Mbona uwa nakukubali sahv umeanza kupotoka
Wewe unaamini ukiend Google huwezi Pata maudlin hayo? Tiktok napo hakuna? Kwahiyo. Mmeona X tu au?
Huna jipyAaa
Nakuomba ufaamu uyo mkurugenz wa kampuni ya x sahv anatengeneza midori kwa ajili ya kufanya mapenz,amna kutafuta mwannamke na yule mdori siyo kwamba anashika ujauzito ni wqkuburudisha tu je unako ambiwa dunian wanadakiwa wapungue mpaka apo uwelewii,akifanya icho kitu ndan ya miaka 50 unategemea nini ,ACHA KUWA NA MAWAZO MAFINYU PANUWA FIKIRA ZAKO
Acheni kudanganya umma.mtandao unaitwa X halafu Bado unatetea think big
Kwani neno kwako ni alage? mbona kama uzinzi una fanya tu hata bila kuingia huko mtandaoni?