Taifa letu nchi yetu ibarikiwe milele Mwenyezi Mungu wakumbuke viongozi wetu wawe na maono yaa kufikisha nchi yetu mbali ili tuwe mfano wa kuigwa na mataifa mengine zaidi... SIASA SAFI NA SIO UDIKTETA tutafika mbali R. I. P babaa
Sawa awasemee na wale wanaohukumiwa kifo mitaanii na watu wasiojulikana , mfano Tundu lissu alihukumiwa kifo bila kusikilizwa, nimuombe achukue hatua kulaani vitendo hivyo.
Yaaan ukihukumiwa kwenda gerezan hiz zama za magufur aisee utatamani ujiuwee🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Nahao waliohukumiwa kunyongwa wakiona magufuli anasamehe wafungwa huku uraian wanafanya matukio makubwa mno tena mno hayasikilizik hayatizamik, wakisha hukumiwa ukimkuta gerezan anatumikia kiungo wallah utamuonea huruma nakumuhis huyu alionewa ,Tazama jins watu walivyokazana kuuwa yaan wanaona kitu chakawaida sana kama anauwa kuku anajua nikifungwa nitasamehewa, hiv yule bb alie muuwa mkewe nakumuweka kwenye kiroba kisha akachimba shimo nyumba ni kwake akamtia mule hara akamimina gunia mbili za mkaa akamchoma hadi akahakikisha imebak mifupa akaichukua wakaenda zika shamban kwake mkulanga juu ya shimo aliloweka mifupa akapanda mgomba kupoteza ushahid, huku yy na marehemu wanakitoto kimoja chenye umri wa miaka isiopungua5, mtu wa aina hiyo ukimkuta ananyongwa utamuonea huruma? Harafu lijeuri kamann likiletwa mahakaman linataka kupiga waandish, kes za mauwaji wanaume kuuwa wake zao wenyewe tunaziona nawauwaji wanakusaidia makosa nahuku uraiyan wameacha watt wakiwa wanahitaji malez ya mama na wakiwauwa mama zao wanawauwa kinyama mno🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Leo wasamehewe kunyongwa watu wanamna hiyo ? Hata mungu anasema alieua na auwawe ili iwefundisho kwa wengine kukatiza uhai wa mwenzio kirahis rahis tu si kitu chakawaida tena unaua bila hata huruma🙌🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭😭😭😭Muheshimiwa wanyongwe tu bila huruma kama ambavyo walivyouwa wao👌👌👌👌wasijitilishe huruma hao.Mtu unaua kitoto kichanga kimalaika kisichojua hata kuomba maji🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭leo usamehewe et by mistak kirahis rahis tu🙌🙌🙌🙌🙌
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa na Mungu ,uongozi bora si bora uongozi Afrika nzima wangeiga mfumo wa JPM wa Tanzania Africa ngekuwa pepo ya dunia hata world super powers watatamani.Ewe Mungu tusaidie
Ha ha haaaaa eti mpaka nikaogopa hivi huyu hajanyonga kweli... maana sio kwa kuelezea huku.. jamani nimechekaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 nusu nigonge Gari.. mungu wangu rahisi nampenda huyuuu
Sio kweli rais wetu .. Eti wameshafanya mauaji tiari 78.. Kesi zinachelewa uliowaamehe walikuwa wamehukumiwa .. Baada tu ya msamaha wako .. Ilichofanya mahakamani ni kuwahukumu wengine waliokuwa mahabusu tena wa miaka mingi waliokuwepo gerezani ... Hawapendi kunyongwa mkuu wetu .. Same he bure Mungu atakutendea makuu.
Makufuli president ni raisi mzuriiii saaana sijawahi kusifu raisi wa Tanzania ila Mueshimiwa makufi ni mtu mzuri saaana ni Raisi mwenye akili nyingi na anapenda watu wakeee mashaallah 🤲🤲🤲🤲
Sasa unataka mfungwa alale tu ndani mpaka muda wake uishe? Anakula analala tu?? Sisi watu wa nje ndio tulime wao wale tu? Kuna wilaya zina njaa wao wafe wafungwa wanenepe?? Ikija issue ya kunyonga ndio maana wanakaa mpaka miaka 30 bila kunyongwa mpaka uhakiki upite Hujui kitu wewe
i know Im asking the wrong place but does anybody know a way to get back into an instagram account..? I somehow lost the password. I would appreciate any help you can offer me
@@terrellbyron6593 was she or he registered the account only by using the account of Instagram or they did the same thing to register it by using Facebook,if the did so ,the ur friend suppose to enter through Facebook,I also lost ( forgot) my Instagram password so enter their through Facebook.I don't think so if there's any other an alternative way.Thank you.
Baada ya Mwalimu JK NYERERE kutangazwa mwenyekheri na hata utakatifu anayefuata siku si nyingi ni Magufuli atatangazwa kuwa mtumishi wa MUNGU tayari kuelekea ukheri na hata utakatifu. Mungu ndiye anayejua uliko langu ni kumuomba akuepishe na ubaya wote wa mauti na upate rehema upumzike kwa amani, Amina.
Pumzika kwa amani baba magufuli ulikua mkombozi kwa raia mnyonge..lakini.nduli wakandamizaji wasio penda haki wakakuangamiza...ila ulikua rais wakipekee sio tanzani wala africa bali dunia mzima..haija tokea kupata kiongozi kama wewe..malipo yako utapata kwa mungu siku hio teule r.i.p..mzee magufuli...
God am sorry to say this, you punished us by taking HE Magufuli to soon. This is a heavy punishment God. But anyways we have to respect your decision, you needed him more because i know on earth Human beings are ungreatful, despite of what he has done and what he was yet to do, man wouldn't appreciate, they would still demand for change, impose jealousy and oppose his deeds. In conclusion HE Magufuli will remain a great Hero to Africans, he's left a legacy. MHSRIP
sasa hapo si watu watakuwa wanaona kufanya makosa maana mambo mazuri Gerezani?unajua maana ya kifungo Wewe? watu wengine mnapenda kulalamika kwa kila kitu
C sawa kwa hili kunyonga c haki kwa binadamu mungu mwenyewe ndio anatowa roho c binadamu lkn hapo gerezani ni chuo cha mafunzo ss wafungwA wanapowajibika hukumu yaoo basi wawekewe amana yaoo wakihukumiwa hata wakitoka wapate hata cha kujiendeleza kwa maoni yangu me kama nimekosea mutanisamehe
Muheshimiwa rais ww ni mtu ambae umesoma n pia allah amekujalia ww akili yakujiendesha katk maisha yko hivo bc km nimwanachama wako n nimshaur kwako elewa kwamb mfungwa nibinadam n anastahili apewe hki za kibinadamu na pia unatakiwa uchunguze huyu mtu amefika sehem hiii kwa lengo gni au kosa gni muheshimiwa rais nihivyo
Taifa letu nchi yetu ibarikiwe milele Mwenyezi Mungu wakumbuke viongozi wetu wawe na maono yaa kufikisha nchi yetu mbali ili tuwe mfano wa kuigwa na mataifa mengine zaidi... SIASA SAFI NA SIO UDIKTETA tutafika mbali
R. I. P babaa
Aliyesikia nguvu za kubaka ziishie kwenye jembe gonga like hapa
😁
😂😂😂
Tanzania muna bahati kweli .........long live Dr JPM Mungu akupe maisha marefu
Kwel huyu mzee anaofu ya mungu sana mungu akubariki sana baba yetu
Sawa awasemee na wale wanaohukumiwa kifo mitaanii na watu wasiojulikana , mfano Tundu lissu alihukumiwa kifo bila kusikilizwa, nimuombe achukue hatua kulaani vitendo hivyo.
Yaaan ukihukumiwa kwenda gerezan hiz zama za magufur aisee utatamani ujiuwee🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Nahao waliohukumiwa kunyongwa wakiona magufuli anasamehe wafungwa huku uraian wanafanya matukio makubwa mno tena mno hayasikilizik hayatizamik, wakisha hukumiwa ukimkuta gerezan anatumikia kiungo wallah utamuonea huruma nakumuhis huyu alionewa ,Tazama jins watu walivyokazana kuuwa yaan wanaona kitu chakawaida sana kama anauwa kuku anajua nikifungwa nitasamehewa, hiv yule bb alie muuwa mkewe nakumuweka kwenye kiroba kisha akachimba shimo nyumba ni kwake akamtia mule hara akamimina gunia mbili za mkaa akamchoma hadi akahakikisha imebak mifupa akaichukua wakaenda zika shamban kwake mkulanga juu ya shimo aliloweka mifupa akapanda mgomba kupoteza ushahid, huku yy na marehemu wanakitoto kimoja chenye umri wa miaka isiopungua5, mtu wa aina hiyo ukimkuta ananyongwa utamuonea huruma? Harafu lijeuri kamann likiletwa mahakaman linataka kupiga waandish, kes za mauwaji wanaume kuuwa wake zao wenyewe tunaziona nawauwaji wanakusaidia makosa nahuku uraiyan wameacha watt wakiwa wanahitaji malez ya mama na wakiwauwa mama zao wanawauwa kinyama mno🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Leo wasamehewe kunyongwa watu wanamna hiyo ? Hata mungu anasema alieua na auwawe ili iwefundisho kwa wengine kukatiza uhai wa mwenzio kirahis rahis tu si kitu chakawaida tena unaua bila hata huruma🙌🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭😭😭😭Muheshimiwa wanyongwe tu bila huruma kama ambavyo walivyouwa wao👌👌👌👌wasijitilishe huruma hao.Mtu unaua kitoto kichanga kimalaika kisichojua hata kuomba maji🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭leo usamehewe et by mistak kirahis rahis tu🙌🙌🙌🙌🙌
Mwenyez Mungu akupe moyo wa upendo na uvumilivu Baba yetu.
Namimi nasapoti hilo
Ameeen
Am rwandaise I love president wa tanzania ukweli you people you are blessed
Mh.Rais nikwel wafungwa wengi wanaukumiwa kunyogwa ila syo wote wanamakosa wengine wamesingiziwa tu Mungu akupe moyo wakuendelea kusamehe bure
Kama wale wazee wa njombe walivyo achiwa na kutoa historia yao unalia
@@user-je1id1tx1udahh kwel kizur hakikosi kasoro 🤔
Kweli kifo hauna huruma, hatutamuona Baba tena😢😢🙏
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa na Mungu ,uongozi bora si bora uongozi Afrika nzima wangeiga mfumo wa JPM wa Tanzania Africa ngekuwa pepo ya dunia hata world super powers watatamani.Ewe Mungu tusaidie
Ha ha haaaaa eti mpaka nikaogopa hivi huyu hajanyonga kweli... maana sio kwa kuelezea huku.. jamani nimechekaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 nusu nigonge Gari.. mungu wangu rahisi nampenda huyuuu
mutupori
Mtupor
Dhu
Najivunia Kuwa na kiongozi Kama Mh.Rais JPM...
Nakuheshimu sana kwa usauli wako mzuri Raisi
Tuwe pole kwa sote
R,i,p jpm mungu Akulaze pahala pema peponi 😭😭
TUNAKUPENDA SANA RAIS WETU.Kweli makosa yao yaweza kukuza uchumi wetu kwa kasi.
Sio kweli rais wetu .. Eti wameshafanya mauaji tiari 78.. Kesi zinachelewa uliowaamehe walikuwa wamehukumiwa .. Baada tu ya msamaha wako .. Ilichofanya mahakamani ni kuwahukumu wengine waliokuwa mahabusu tena wa miaka mingi waliokuwepo gerezani ... Hawapendi kunyongwa mkuu wetu .. Same he bure Mungu atakutendea makuu.
Makufuli president ni raisi mzuriiii saaana sijawahi kusifu raisi wa Tanzania ila Mueshimiwa makufi ni mtu mzuri saaana ni Raisi mwenye akili nyingi na anapenda watu wakeee mashaallah 🤲🤲🤲🤲
Jaman Rais wetu Mungu akubariki sana una Moyo wa huruma mno na ni kweli uongozi ni msalaba barikiwa Sana
Sna cha kusema bana ila naomba mungu akupe maisha marefu
Buriani ameaga magufuli😫😭😭
Nikweli kabisa uongosi nimt2hani mudamwingine mungu akulinde
Bishop elibariki sumbe
Tunakupenda Rais una moyo WA iman bora ulivoamua kutowanyonga
MUNGU akubariki mzee
Hongela mangufuri mungu akupumzishe kwaamani magufuli wetu 🙏🙏
Nikweli kabisaa lala salama magufuli
Rais wetu Magufuli hata uku kwetu Congo DRC tuna endelesha kuku liliya kwani tumekupenda saana zaidi mimi Isaac mwenye naandika.
Hapa kwenye mfungwa ni trecta hapana mzee wetu iyo aipo sawa mfungwa ni binadamu na sio wote walioko majera wamefanya makosa wengine wamesingiziwa tuu
Sasa unataka mfungwa alale tu ndani mpaka muda wake uishe? Anakula analala tu??
Sisi watu wa nje ndio tulime wao wale tu? Kuna wilaya zina njaa wao wafe wafungwa wanenepe??
Ikija issue ya kunyonga ndio maana wanakaa mpaka miaka 30 bila kunyongwa mpaka uhakiki upite
Hujui kitu wewe
We nduguyangu boya nini,ww umebaka unataka uitwe mheshimiwa!? Si wote atatushawish kubaka.
Nampongeza sana Rais Magufuli, anastahili sana kwa mawazo yake
May his soul rest in peace
I will miss the great leader, our African President
Najivunia kiongozi mzuri mtiifu namwenye Ahadi kamilifu, barikiwa Sana Baba yetu wataifa letu tukufu la Tanzania,🇹🇿🇹🇿🙏🙏
Kwa kweli walime kwa kwenda mbele wakitoka jela watakuwa wakulima wazuri
Mungu akulaze mahali pema peponi kipenzi chetu amakwa hakika hutasahaulika maishani mwangu
Nakupenda baba💟
umeongea vnzr sana muheshimiwa ila usiongeze miaka tutakufa maisha magum sana
Said uko vizuri
🤣🤣🤣 eti wanapenda kunyongwa pole baba Mungu akulaze pahali pema tuta kukumbuka daima 😔😭😏🙏
Mwenyezi mungu akulinde uwe na moyo huo huo wengine wafuate
Rest in power Baba. Mungu akupe pumziko la milele
i know Im asking the wrong place but does anybody know a way to get back into an instagram account..?
I somehow lost the password. I would appreciate any help you can offer me
@@terrellbyron6593 was she or he registered the account only by using the account of Instagram or they did the same thing to register it by using Facebook,if the did so ,the ur friend suppose to enter through Facebook,I also lost ( forgot) my Instagram password so enter their through Facebook.I don't think so if there's any other an alternative way.Thank you.
Harmonize katika show ya ckibra boy jijni dodom
Anabaka mtoto alaf badae akifungwa unamlisha
Baada ya Mwalimu JK NYERERE kutangazwa mwenyekheri na hata utakatifu anayefuata siku si nyingi ni Magufuli atatangazwa kuwa mtumishi wa MUNGU tayari kuelekea ukheri na hata utakatifu.
Mungu ndiye anayejua uliko langu ni kumuomba akuepishe na ubaya wote wa mauti na upate rehema upumzike kwa amani, Amina.
Uko sawa mkuu
The only president in Africa who is serving his nation.
Longer live my prsdnt
r.i.p mr President
Mimi ni mkongomini kweli tanzania mume barikiwa kupewa raïs mcha mungu mhongozi wa kweli kwenyenye Bara la Afrika hakuna kama yeye
Siyo kila mfungwa aliyeko gerezani amefanya kosa wengine wamesingiziwa tu.
sana sana
Of koz!!
Tutajuaje sasa wakati mahakama inakuwa imesibitisha kuwa anahatia.
Hii haiwezi kuwa sababu ya kutofanya kazi. Kama ushahidi hata ukiwa wa uongo hauhalalishi kulishwa bure
watu wanadhulumiwa2
Kweli mungu yupo mbele yako baba unahofu hata kunyonga
Maerezo ya munyongaji yanaenda vizuri hajanyonga kwer
Mi nilizani azabu ya kunyongwa ilifutwa kumbe ipo?😢😢
Duh hata mm
Jamani makosa mengine ni makubwa mno
US should adopt his concept, I’m sick of my taxes paying for criminals.
Upo Sawa Mheshimiwa Rais Wangu Unaipambania Nchi.
Pumzika kwa amani baba magufuli ulikua mkombozi kwa raia mnyonge..lakini.nduli wakandamizaji wasio penda haki wakakuangamiza...ila ulikua rais wakipekee sio tanzani wala africa bali dunia mzima..haija tokea kupata kiongozi kama wewe..malipo yako utapata kwa mungu siku hio teule r.i.p..mzee magufuli...
Huyu kweli alikuwa BABA WA TAIFA
I see a blessed president from God my daddy john long life
Lakini huyu mtu si aongezewe 20 years after jamani? Sina mengi napita tuu
Vizuri havidumu jamani😭😭😭
Ndo basii tena mungu kaamua
God am sorry to say this, you punished us by taking HE Magufuli to soon. This is a heavy punishment God. But anyways we have to respect your decision, you needed him more because i know on earth Human beings are ungreatful, despite of what he has done and what he was yet to do, man wouldn't appreciate, they would still demand for change, impose jealousy and oppose his deeds. In conclusion HE Magufuli will remain a great Hero to Africans, he's left a legacy. MHSRIP
Ni kweli tunawalisha kwa Kodi zetu
Till you loose it what agreat leader RIP BABA
Rip John pombe makufuli 😭😭😭
Pola Sana pole san
Rais unachemka hapo, mfungwa Naye ni binadamu kama ww, nchi zilizoendelea wafungwa wanafanyakazi na kulipwa ili wakitoka waweze kuendeleza maisha yao
sasa hapo si watu watakuwa wanaona kufanya makosa maana mambo mazuri Gerezani?unajua maana ya kifungo Wewe? watu wengine mnapenda kulalamika kwa kila kitu
Nawenijambazituu ,unajua mda wowote kitanuka
Nchi gani hiyo mzee
Acha ujinga wew Siangetumia kipaji chake kabla hajaenda huko gelezani
Kama ni hivyo basi itakuwa ni ajira, vijana wote wataishia jela sasa.
Huyo ndiye alikuwa rais wa kweli nchini Tanzania.
Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia wengine wanasingiziwa
Munguuu Akulindee san uko uliko
You are the best president
Someone to surmise for me pls i don't understand this good language
Mtrecta
Mh John P Magufuli Baba mdogo wataifa
Sii kila mfungwa nimkosaji
Mungu akuweke mahali pema peponi mzee
Baba we ninguzo ya Tanzania
Kifungu no 196 sura ya 16 kinampa mamlaka jaji kutoa adhabu ya kunyongwa hadi kufa. Kuliko kuwahukumu hii adhabu wapeni maisha
C sawa kwa hili kunyonga c haki kwa binadamu mungu mwenyewe ndio anatowa roho c binadamu lkn hapo gerezani ni chuo cha mafunzo ss wafungwA wanapowajibika hukumu yaoo basi wawekewe amana yaoo wakihukumiwa hata wakitoka wapate hata cha kujiendeleza kwa maoni yangu me kama nimekosea mutanisamehe
Jpm mungu akulinde milele 5:54
Ukweli mtupu unao sema mweshimiwa
Mmh
Umelala yoo baba umelala kweli siamin vizuri havidum
Tanzania mna rais mzuri kweli
😭😭😭
Boss Magufuli 📌
Mungu akulinde baba etu..sisi wananchi wako tunakupenda sana
Sas hayup jaman😭😭😭
@@dianapatrick1915 Baba ametuacha Yatima wakati bado tunampenda jamani sijui nikalilie wapi mwenzenu ..naumia mno
SANAAA COMMANDO WANGU JPM
Kuzaakwawende
Mungu
Akutangulie
If all leaders could there fore have the same good behavior, such this of Gods fear, our nation couldn't become in deep pain
🤣🤣🤣...."wanafurahia kunyongwa!" Magufuli is funny
Utalifa ya asubuhi
Kama ww uwezi 2022 anaweza
Muheshimiwa rais ww ni mtu ambae umesoma n pia allah amekujalia ww akili yakujiendesha katk maisha yko hivo bc km nimwanachama wako n nimshaur kwako elewa kwamb mfungwa nibinadam n anastahili apewe hki za kibinadamu na pia unatakiwa uchunguze huyu mtu amefika sehem hiii kwa lengo gni au kosa gni muheshimiwa rais nihivyo
Natamani ni comment kwa vois😆yani mtu akika jela zaidi yamyaka2 akitoka hua aokopi kutenda zambi kubwa sijui kwanini🙄
Kweli wafanyekazii taifa lifaidii
Mheshimiwa rais
😉😄😄😄😁.. rip president magufuli.. I wish ungetawala hapa kenya angalau miaka miwili tu😪😪😭
Hawezi tawala Mang'aa hupigia wakora wa Jubilee kura na Ukabila yao.
R.I.P our beloved President 😢
Pumzika baba nilikupenda rais wangu
Mungu akulaze mahali pema.
Ukweli MUNGU ANASEMA NA WW AKIKA
My bresident rais wangu kipenzi changu...🙏 Long live uncle magu
Wawasambaze mtaani wajengee nyumba za masikini za wazee na watoto yatima
Una akili sana ase ✊✊
Ulikuwa sahihi Baba
❤❤❤
Mahubiri ya neno LA mungu
Sain wetuishi milele
May God bless u maghufuli .
Katika hili tumuombe Mungu . Embu tuwaige wenzetu wa netherland kule hakuna wafungwa kama uku kwetu
Nao wanafuata sheria za nchi, wetu wanazivunja kama nazi ndiyo maana wamejaa humo.
Uongo
Mwenyesikio ameckia matractor yaliyofanya makosa yalime kuzalisha chakula Hadi chaasikali (😂😂 matractor yaliyofanya makosa🤜🤛)
pumzika kwa amani magufuli.🇹🇿
Hatakuwepo tena kama wewe tunakukumbuka ,
Jaman
Nice
Daaah hakika tutakukumbuk pumzika salama baba etu