HAJI MANARA: AMVAA AHMED ALLY, "MTU KASHIBA MAGIMBI ANASEMA HATUNUNUI TIKETI" | ALLY KAMWE ATIA NENO
Вставка
- Опубліковано 20 жов 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
MBONA MAJIMBI CHAKULA SAFI SANA ZAIDI YA CHIPS KAKA WEWE KULA CHIPS ZAKO TUACHIE MAJIMBI YETU
Ewaaaaaa!!!!❤❤❤❤❤
Ktk michezo hakuna kama wewe Bugat❤❤❤❤❤
Kama ni shabiki wa Yanga huwezi kumkosoa Manara inatakiwa tuwaunge mkono pamoja na Kamwe kwani wote wanafanya kazi kwa malengo sawa... Vishabiki vya simba ndo vinampopoa Manara kisa vinamuogopa
Hao ni simba ndugu hawataki kuachika😂😂😂
Haji anatakiwa akosolewe kwa madhaifu anayoweza onesha yatayodhoofisha umoja wao yeye na Kamwe. Hiyo ni muhimu ili ajirekebishe na kurahisisha kazi ya Yanga kama timu! Unless otherwise Haji ni resource muhimu kwa Yanga!
@@checkchannel3876 punguzaaa kiherehere...... Wanafanya kazi kwa miongozo ya kazi zao
( job descriptions zao ) Manara sio mbugila mbugila anajua majukum yake na Ali Kamwe sio nzala nzala anatambua majukumu yake .... Wapo kwaajili ya kuisogeza yanga mbele
Wakereeeeee, manara mmj tu hapa
Huna mvuto brother ni Bora ukakaa kimya tu
Kwani Kuna shido
MMEKOSA UBUNIFU.....
Mnatafuta kuteleza kupitia WASANII....?
HAMJIWEZI...
AHMED ALLY IS THE BEST
Manara ushazeeka
Jamaa limezeeka alina ishu limeanza kua jekundu
Ubaguzi uwoo😂😂
Miaka 54 bado unashindana kwenye mitandao 😂
Huyu mzee manara hana issue amesha expire
Lopo
Wasanii muwe makini na mademu zenu 😂😂
Eti kuna mtu ana sema kuna mtu ana.... mdomoni jamanieeeeehhhh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
👊👊👊👊
Muachie Ally Kamwe usemaji wewe nenda kugombania mademu na dula makabila
HUNA JIPYA WEWE ,TOKA KWENYE TIMU YETU YA YANGA
Kweli simba mnashida ya akili
Very stupid, fata mambo yako
Wakati ahmedi Ali pekeake duh aibu ya mwaka mnatakiwa mjifuze kwake
Utumie akili .... Hiv taasisi kubwa kama Simba kitengo Cha habari na mawasiliano kiwe na afisa mmoja kweli ?? M najua duka la mangi pekee yake ndo linakua na muuzaji mmoja tu 😅😅😅 .... Ndo maana club yenu inafanya kazi zake kwenye frame pale ..... Mkiambiwa mmeachwa mbali kwenye uendeshaji hakuna ubinafsi huk kwa wananchiiiii,,,,
Kwan unaumia na nn?
Kwenye Habari hakuwezi kuwa na mtu mmoja... umefeli..
Na anafanya nini c comedy tu naona
@@saidrajab3808 ni Bora wangekuwa wanaumia ila ni uzezeta tu .... Club shughuli zake inafanyia kwenye frame 🤣🤣 wapo kimya
Club Haina hata karani wa wanachama sio mkurugenzi wapo kimya 🤣🤣.. AGM hakuna mwaka huu wapo kimya 🤣🤣 ... Magungu ndo mshindi kwenye hili 😁🤣🤣.... Halaf unakaa una kurupuka kitengo kina mtu mmoja 🤣🤣 sasa itakua kitengo cha taasisi kubwa au Duka la mangi lenye muuzaji mmoja 🤣🤣🤣
Huna mpya tena
Acha makasiriko hujaitwa hapa
We hovyo unajipya
Eti nikweli una vidonda mdomoni😢
Hapana kaka apo umekosea tupo Yanga transit good Whatsapp
Kanyaga twende Bugatti makolo hawana amani na furaha tangu urudi 😂😂😂
Supu tayari
Jamani tuambizane ukweli huyu si msemaji mropokaji halafu mjomba tatizo lako una roho mbaya etiy mie ndo namueza ahmed ali kwa usemaji unamueza kweli ila kwa roho mbaya maana mwenzako roho yake nyeupeee
Mnatafta pesa kwa wasanii
Wanachama Hewaa kununu ticket elf 60 majangaaa wnajaa 2 kwenye supu za vibudu
Hauna jipya
Kibayakipi hapo
Kanyaga twende Bugati tulichelewa sana😂
Umelazimishwa Nan kumskilize nenda ukamskili kolo mwenzio
Manara hatukutaki yanga
auna baya mkuu
Nyie utopolo bila supu ya mapupu ngumu sana kuitikia wito pumbazu zenu
hana mvuto tena asilazimishe amuachie Ally kamwe
Mwamba amerudi kwa kas Sana Yuko vzuri Haji + Ali kamwe Kuna Mambo mazuri yanakuja mbele.
Wewe ni mjinga
Manara hakuna asie kujua kuwa wewe ni ndumilakuwili unatafuta ulaji tu wenye akili kama zako ndo watakuelewa
manara hamnazo yanga wenye akili watu wawili tu. sande manara na jakaya wengene wote wamechoteka hamnazo kichwani
Kwani hamjalipa LUKU?
UMESHAZEEKA KAKA WAACHIE VIJANA HIYO KAZI
Mavi ww mnafiki
AHMED ALLY HAWEZEKANIIIII.......dunduka wewe
Aliy kamwe fanya kazi maana hata pesa ya ugali unamtegemea manara
Hana jipya?ok wait you will see
Unatumia nguvu kuilazimisha furaha unajipya
Hivi Makolo na wananchi upande upi unafuraha! 😅
Wewe mwamba kaka wengi wanakuchukia kwa kuxema ukweli
Umeshachoka we mzee kafanye kaz zingne
Manara tunakuelewa Mtaalam WA mpira wanaokupinda ni maadaui zako ambao hawaipendi Yanga
Uzee umeingia
Huyu zeruzeru akili zake zipo matakoni ndo maana hata wanawake wanamkimbia
Allah akusehm ndugu
Niko pale 👉 tunawajua sana jumapili ni kufungulia mageti
Wameishiwa wazee wa bure ao
Kawekeee kufuli kwenye mageti yako kesho usifungueee
Acha chuki wewe
Yaliwashinda zamani iachie Simba itambe katika eneo Hilo
Mpango wenu tumeushtukia mnataka watu kuwaingiza kwa fungulia dog
Muachie dogo kamwe ww umesha zeek bhna huna mvuto
Huyu mzeee mbona hajiheshimu kwenye ufalume kashatoka atulie akaangalie nin anazidiwa na semaji la caf
Ata wasemaji wakiwa 10 yanga bado Ahmed ally anamsha mpra wa bongo
@@AmaniLinda-j4g Endeleani kufurahia huduma ya mangungu 🤣😂 ( mangungu 's services) ... Mwaka Jana kalaeta Manzoki 🤣🤣 mwaka huu kaja na SANDA 🤣🤣🤣 mwakan mtavaa shanga kike - kiume .....kama shughuli zinafanyika kwenye frame 🤣🤣🤣 mtawez kuajiri watendaji wa kutosha Kwenye kitengo Cha habari na mawasiliano? Watakaa wapi 🤣? ... Mwaka huu hakuna dunduka yeyote anaweza kusema habari za AGM 😜😜😜😜
Unafosii kulud lakin jua lishazama tafuta mambo mengne ya kufanya
Haji ni yuleyule hiyo ni chuki tu
Subri tuone hatukurupuk sis wnayanga utakja kubadilish mawazo yko
Huuu mdomoo
MTU mzima tena pumzika wewe manara huna hata mvuto waachie vijana wewe uzee huutani Bali ushakuwa Mzee hupendezi kujifanya kijana na mambo ya upuuzi Acha upuuzi huo
@@AllyHassan-e2m punguza hasira 🤣🤣🤣🤣
Wewe usemaji ungemwachia alikamwe tu ! umesha zeekeane na huna mvuto saiv , sasa hamasa za clab zinafanyajwe na wasanii tuwaache wasanii waitumikie jamii kwa ujumla sio kuwagawa tena kwa itikadi za vilabu vyetu , kuwatumia kwrnye matamasha kunatosha acha kutumia pua kufikilia wewe mzee
Uwezo wake kufikilia umeishia apo .bora usaaf
Hilo ni Bomu na leo nampoteza Rasmi katika ramani ya wasemaji Tanzania hatokaa asikike tena na atapotea kabisaa asave hii comment
Manara ana force lkn kwakweli amepoteza mvuto
Mm simba ila uwepo wake hafla tu tiket zimenunuliwa tuache chuki broo
Sasa nyie makolo mnafuata nini umu wazee wa sold out mnaumia sana
Wewe huna lolote mwachie Aliy kamwe na Ahmed ally domo kaya wewe
@@LeaMgaya punguzaaa kiherehere dunduka mkubwaaaa
Komaaa kuisemea simba ndo ujue simba ni wajanja wanamwajali msemaji yanga anae wasemea simba hongere mzee