Duh! Roma ni noma. Lisaa limoja watu wamealikana. Mi nimefurumushwa twitter mpaka UA-cam. Yani huu wimbo kesho # 1 kwenye trending hutaamini. Gonga like kama na wewe umeibuliwa kuja kusikiliza huu wimbo.
Huu wimbo nimeusikiliza zaidi ya mara 20 lakini sijaumaliza. Kila nikifika verse ya pili naanza mwanzo tena yaani kwa jinsi ulivyo mzuri. Haya mashairi ni hatari. This is what we call rap and hip hop.
Licha ya Media kuubania wimbo huu bado unaendelea kufanya vizuri mtandoani, leo ikiwa siku ya nne unashika namba 1 UA-cam.... Pongezi nyingi wa waTZ wote mliofanilisha ili...
Yuda usimwaribie Dani kumfurahisha mtukufu, sisi wote wanao kwanini unampenda sana Yusuph... aisee🙌🏽 kama umesikia na kuelewa hapa acha like tu.. UONGOZI NI KUACHA ALAMA❤️ #vivaroma🗣 Naaaaaniiih wakumnyamazisha🔥🔥🔥🔥... aisee dude kali sana hili🔥
Unastahili kupewa pongezi sana Roma;Mtetezi wa ukombozi wa kweli wa Tanzania. Wewe ni Mtanzania halisi na ndio Roma halisi anayechukia mambo ya ovyo... Viva Roma viva....!!!
Brother you a man of vision thats why they can't stop you. I think this is the kind of music our generations need to hear. Keep it up mr ROMA MKATOLIKI.
"yudo, usimuharibie danny, ili umfurahishe mtukufu, sisi sote wanao kwanini, wampenda sana Yusuph" Aliyesikia hii kitu inamuhusu rais wa dar, like hapa.
@@sebajosephat1861 huyu bear ni mtu mbad hii sound na beat mnaiyonaje wazee wangu na enjoy huu mziki niko na mkatoriki begakwabega tunakaba man to man toka mathematics !!
Leo ndio Nimekuelewa vizuri sana, Tokea 2015, Sasa ndio Roma ninaekufahamu. Mimi sio MPENZI wa nyimbo za bongo lakin Rostam? Nawaelewa kuliko mtu mwingine yeyote
👏👏👏👏👏👏 Siwachukii wasukuma Najua atanuna najua ya nyuma yatamtia huruma 🤔🤔 gonga like kama umeelewa hilo verse
Duh! Roma ni noma. Lisaa limoja watu wamealikana. Mi nimefurumushwa twitter mpaka UA-cam. Yani huu wimbo kesho # 1 kwenye trending hutaamini. Gonga like kama na wewe umeibuliwa kuja kusikiliza huu wimbo.
Bado roma ft Kigogo
tokea nikufaham sijawai kuchoka kukusikiliza Roma Mzee wa halakati💪💪
Ukiyakubali haya maneno ya roma nakuamba like yako from USA.
Hii ni nomaaaa
💪💪❤🔥
Viva ROMA
VIVA ROMA
BIMA YA AFYA NI BORA KULIKO NDEGE 🙏🙏🙏🇹🇿
Drop Your like
Romaaaa heshima kwako kaka
Safi sana ngoma iko poa
Kama una mkubali Roma mwana harakati gongo like hapo ching
R0MA unatetea xana "wafanyakz na wananchi" mungu akubariki sana
Huu wimbo nimeusikiliza zaidi ya mara 20 lakini sijaumaliza. Kila nikifika verse ya pili naanza mwanzo tena yaani kwa jinsi ulivyo mzuri. Haya mashairi ni hatari. This is what we call rap and hip hop.
BABA MWITA ndo ivo mzee baba
BABA MWITA ni hatari 2pac wabongo viva Roma
Good xanaaa
Uzuri wa sanaa ukiwa umesoma hakuna unafiki wala uswahili
that Real rap na mix ya Hiphop
Oyo ndio migoma yakusikiliza
... Sio uno ... Mala baba lao ....
...gonga doleee...wagumu
Tufikishe m1
Nimecheka sio uno
Bless Saimon waelewa pia
@@gracekaniki789 sio baba lao
1st to hear from Canada 🇨🇦
Gonga like kama uli miss kusikiliza michano yake Roma💪🏾
Du ujawah niangusha wangap wanaikubar hii ngoma
Hi
Kiboko kimewafika dadeki tunangoja wajifute, mwamba roma umeipaza sauti tulokuwa tunahisi imepotea,saruti kwako
Tuishi umo💪
Listening from Ottawa
Huyu ndio ROMA MKATOLIKI tulie mzoea👏👏👏
Roma 2020 ugombee uraisi tutakupa maana ww unayajua yao mengi
No 1 on trending mamaeeeeeeee.....Huyu ndo baba lao sasa sio huyo yusuph anaependwa na yuda wakati sisi wote watoto wa yuda na tumekubali😀😀😀😀.....
Chegarito _ 😀😀😀😀😀
@Abdoully Yahaya . Khamissy mkimind mnamjua
Amemaanixha nan
Sijawah kuona mpiga kinanda wa kanisa akitoa sadaka jmn we Roma kweli hakuna wa kukunyamazisha kama umeielewa hii ngoma gonga like kwa wingiiii
Huu ndio wimbo wa Taifa kwa sasa💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Munga Mziray kabisa
Broo
dah! nimekuwa wa mwisho kuitazama hii nyimbo, ila kutangulia siyo kufika... naitaji like za roma, awezi kuwachukia wasukuma
Trust me ur my hero bongo mzima yupo pa1 milele yan.. WatanzaniA bado tumelala na wanafikii
Roma hujakoxea viongozi hawataki kukoxelewa wanafanya kaz kwa xifa 👊👊 2023
Hii nyimbo ukikaa vizuri inabonge la ujumbe kama umeelewa hii nyimbo like za kutosha
VP korosho zamtwala
@@barthlomeohaule7156 hatari
Daah bonge la ujumbe
No 1 trending kama umeona gonga like tuende sawa
Tungo ngumu Sana inahitaji ujasir kuandika Na kuachia hewani
VIVA ROMA
VIVA ROMA
VIVA ROMA
asante mungu kwa kuteletea msemaji wetu, wengine tunavipaji vya kulia tu... yanatukaba rohon hatuna pa kuyasemea
Brother Roma shikamooo ww ni mfalme wa hip Hop Africa nzima
Timu Roma twende sawa ,
Dakika tano za hii ngoma zina contents zaidi ya taharifa ya habari za TBC za mwaka mzima
Tufikishe m1
Kwl kabisa
shakur kimboka kwelk
Miss buzaa
😅😅😅😅
Roma umetisha broo wachane maana nchi yetu itaangamia
see I told to you like kama unaamini ngoma itafika No 1 trending ndani ya masaa 24
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
COSMAS MKINGA. Nilitabili.
Na imefika
Ishafikaaaa ....
ipo pale juu inakimbiza
WANACHI, Kwetu bima ya afya ni bora kuliko ndeeeege
😂😂😂😂ROMA, atafanya yote tumuombee na tuimbe Yesu nibebeeeeeee. ROMA ROMA ROMAAAA GENIUS
nomaaa sana hio ndo ngoma yangu ya mwaka kama umeludia kama mm hiii ngoma naomba like yako tujuane
htr sna hii
kawashaa mtooo
Hivi nyimbo ndio imemfanya brother akae mbali na familia yake.... Daaah Roma 🔥
Mungu akulinde brother 🙏
👍
R - Rhymes
O - Of
M - Magic
A - Attraction
Kweli ih nmeikubal
I like
umetisha sana💪💪💪
Umeuaaaaaaaaaa 😈😈
Polycarp Mdemu fayaa
Sasa huyu ndo Roma ninayemjua na si mwingine,,,wapi likes za Roma
Hata mm ndo namtaka huyu sio vibamia mara kaolewa
Yule sio Roma
@@KingKing-uy9hq kabisa uyu ndio mkatoriki mwenyew
From Zimbabwe to USA ROMA Mkatoliki ongea kweli kabisa
Licha ya Media kuubania wimbo huu bado unaendelea kufanya vizuri mtandoani, leo ikiwa siku ya nne unashika namba 1 UA-cam.... Pongezi nyingi wa waTZ wote mliofanilisha ili...
Yuda usimwaribie Dani kumfurahisha mtukufu, sisi wote wanao kwanini unampenda sana Yusuph... aisee🙌🏽 kama umesikia na kuelewa hapa acha like tu.. UONGOZI NI KUACHA ALAMA❤️
#vivaroma🗣
Naaaaaniiih wakumnyamazisha🔥🔥🔥🔥... aisee dude kali sana hili🔥
Wanapiga bomu moturi wanajisifu wameuwa.hahaahaaaa Roma Viva
Roma hizi ndonyimbo ambazo tunakuelewaga 🇹🇿🇨🇦🇹🇿🇨🇦 VIVA ROMA 🙏
HUYU NDIO ROMA TULIO MMISS FOR SO LONG TOKA ZIMBABWE SAUTI YA WANYONGE VIZIWI NA MA BUBU
Unapiga bomu mochwari dah nishida roma
Umenikumbusha wimbo wako wa Tanzania, huu ndiyo mziki wako.. Viva Roma Viva Roma.
#1 on trending 😋😎 Katikat ya Mondi na Kiba na Konde boy😂 Kweli utajua Watanzia wanatak ksikia nin nin🤭🤒
Serious watz wanahitaji kusikiliza ukomboz
Kuachia tu wimbo wakati huu ambao hao jamaa watatu wameweka ngoma mtandaoni unakuwa umegamble kweli
Dah salute kwako brooh nmekkubal
@@graphixmaster6146 true
mungu akulinde bro umejitoa mhanga koz inchi yetu yenyewe mamafia
ua-cam.com/video/C9cmzYPI5UY/v-deo.html subscribe my chanel 🙏🙏support music
Roma mkatiliki.
The best hiphop.unajua mzeee.love from Zanzibar nungwi.
I love Roma's work ...Bear is equally an excellent producer for hip-hop ...Love from Kenya🇰🇪
Love from Kenya.. Pongezi Roma wapi likes za team Roma kenya
Mkatoliki
Kwetu bima ya afya ni Bora kuliko ndege.
MB zetu haziendagi kwa hasara kwa uyu jamaa 💪🏼
Mnavunja dole lamwisho mnaliacha lakat nan kasikia iyo gonga like kwa Roma
The Greatest!!!, umefunika kamanda 💯👏💯👏💯💯💯🍾🤸♀️
Jeshi la mtu mmoja Roma is Back
Km
Nime mzaa mpare ila siwachukii wasukuma . . .ilo jiwe lime mwendea jiwe wallah!.
Anaitwa Roma hakuna wa kumnyamazisha watching from Moro town
NAMKUBALI SANA ROMA WASANII WENGINE WOTE WAMEFYATA HUYO. NDIO ROMA NAMPONGEZA SANA JAMAA ANAJUA SANA
Mwanangu Roma umelud kama umeikubari hii ngoma conga like
Hahahahahahahaaa hapo sawa kama dawa nimekusoma roma
Huyu ndo Roma tunaemjua LIKE KAMA WALISAHAU DOLE LA KATI
Big up bro .ujumbe umefika
Yeah
@@salimuhozza1696 mia
@valentine
Huyu jamaa anajua
Huu ujasiri next level..
Wamevunja dole LA mwisho wameacha dole LA katiiii daaaa kwel kiumbee hichooo
My best is "unapig bomu mochwari afu unajisif umeuwa" 😁😁
This is the Roma i know, This is my classmate. Proud of you dude.
Genius. May God protect you brother. You are a great treasure to our nation.
Kama una amini hakuna wa kumsimamisha Roma weka like
He is indeed
Love from Kenya asante kwa message
Nani mwingine kaona mzigo umetrending no 1? Usiwe mchoyo wa like
Ngoma kali sanaaaaaaa
mtulivu industry Ltd p
ua-cam.com/video/C9cmzYPI5UY/v-deo.html subscribe my chanel 🙏🙏support music
@@derickmponzi6582 ua-cam.com/video/C9cmzYPI5UY/v-deo.html subscribe my chanel 🙏🙏support music
Bong
Yesss uyu ndio Roma big up mi nipo nawe kama nawe upo na mkatoriki like zako zinatakiwa apa
Mnapiga boom mortuary mnajidai mmeua... Kali sana 💣💥🔥 imba Roma imba no.1 fan pia *Rostam*
Huu wimbo!!!!
Unastahili kupewa pongezi sana Roma;Mtetezi wa ukombozi wa kweli wa Tanzania. Wewe ni Mtanzania halisi na ndio Roma halisi anayechukia mambo ya ovyo... Viva Roma viva....!!!
Kutekana kuuwana sio sifa ya mtanganyika
Bonge moja la ngoma
ANAYE MUOMBEA MABAYA ROMA YAMRUDIE MWENYEWE QUMAMAEEE👊👊
"Walivunja dole la mwisho wakaliacha dole la kati....mmmh,,,,,eeeh hii si nchi ya demokrasi mkimind bas mnamjua sas mbna hamuwakamati" 😂😂🙌🏽
Dole la kati linachoma
Yan mitambo inatesitiwa na inaonesha iko fiti sana haina hata kutu " viva Roma
Et unalipua bomo mochwar hahahah
Uyu mwamba ninoma sana siasa unaiweza ingia mzigoni ukatutee asee
Unapiga bomu mochwari unajisifu umeua 💪💪
Hapo naona mtu mfupi kakaa pembeni maana hiyo migoma haiwezi😂😂😂 stamina
AMKENI AMKENI AMKENIIIIIIII ROMA TULIEMTAKA KAJAAAA WOYOOOOO MI SIOMBI LIKE ILA NAMUOMBEA ROMA
kwel mwambaaaaaaa
Hahahahaha unamuombea romaaa
Abou msouth wew jamaa bna😁😁
Ha ha
Yap ndio yet kabixa xio mwingne
Mungu akusimamie ndugi yangu ww msema kweli huna shobo na pesa z zulma baba tutetee mung atakulipa inshallah
Dah bro nilikuwa nakusubiri the true Roma unastahili shahada ya heshima mana visanii vingine vioga. Knm
We ndo mnyamaaa
😂😂
Tufikishe m1
Tanga boy wakimuuwa tutawauwa na hao watakao muuwa
Brother you a man of vision thats why they can't stop you. I think this is the kind of music our generations need to hear. Keep it up mr ROMA MKATOLIKI.
huyu ndio Roma tunaye mfahamu kama upo pamoja na mm bas gonga like
Roma hizi tungo ni zaidi ya warakah wa waebrania 🤣🤣
Mwanajeshi kamili sio mgambo nakukubali sana jeshi
ROMA PAN AFRIKAN...MOB LOVE FROM +254 🇰🇪 🇰🇪
Dah roma wew ninoma mpka umemtoa diamond One trendng
Bray Tz duh
Akuna nyimbo inayo gusa apa kwa 2019 anaiungana na mim liki kama zote
ngoma kali,, flow safiii,, ujumbe xaxa ndo.. wooiii ,,mxii
Yani roma nakuombea sana maana umekubari kujitoa sadaka kwajl ya nchi yetu Nakuelewa roma kama unamuelewa Pia gonga like twende sawa
From Canada 🇨🇦🇹🇿🇨🇦🇨🇦🔥♥️ VIVA ROMA VIVA
Kama umeikubali ngoma hiii naomba like zaidi ya 200
"yudo, usimuharibie danny, ili umfurahishe mtukufu, sisi sote wanao kwanini, wampenda sana Yusuph"
Aliyesikia hii kitu inamuhusu rais wa dar, like hapa.
Noma sana Roma
Mi ni soja niko vitani kama umeilewa hyo like twende pamoja
@@sebajosephat1861 huyu bear ni mtu mbad hii sound na beat mnaiyonaje wazee wangu na enjoy huu mziki niko na mkatoriki begakwabega tunakaba man to man toka mathematics !!
wimbo mtamu kama bao la kwanza aiseee
Hii ngoma imenifanya nirudie zaidi ya mara tatu ndo nimeielewa upo vizurii sanaa mkali wangu🔥🔥💪
What a song bro, you have raised the voices of majority of Tanzanians.
Kumamaeeeeeee😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍Umezaliwa upareni Ila huwachukii wasukumaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mnipe tu nawaambia had kesho ipo 1trending🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪
Hatarii huu ndo wimbo sio nn wala drama hapo amejitoa haswaaa
Daaah iyo ni kifa na kutekwa inauma jmn miungu watu watanzania mpngze roho mbaya kna Mungu
hizi ndo ngoma tunazo taka kuskia'' wanaarakati wote gonga ma like kaa zote tujuanee hapa
Hizi nyimbo ndo znakufanya tukuite roma
Sio nyimbo za ajabu ajabu Mara baba lao sijui nini
Iaaas
ua-cam.com/video/C9cmzYPI5UY/v-deo.html subscribe my chanel 🙏🙏support music
@@munguanaishitv oy kiza
Nilisha sema lazima tuingie #on #trending #no:1 mm alizima ni play mara 100 ili ibaki wiki on trending no:1
Vivaaaa vivaaaaaaa vivaaaaaaaa vivaaaaaa Roma yan ngoma kali nasikiliza hadi mwili unasisimka 🙌🙌🙌 I appreciate you, big up .
😁😁😁😁😁 Roma kunywa peps bariiiid sehemu yoyote ulipo nakuja kulipa
Leo ndio Nimekuelewa vizuri sana, Tokea 2015, Sasa ndio Roma ninaekufahamu. Mimi sio MPENZI wa nyimbo za bongo lakin Rostam? Nawaelewa kuliko mtu mwingine yeyote
Number 1 on trending aisee Allah Karim sana
viva roma ujawai niangusha et wanapiga mabomu mochwari wanajisifu wameuwa dah !!tnx bro roma 🇹🇿🇹🇿
Roma izi tungo ni zaidi ya waraka wa waebrania🔥🔥🔥...unapiga bomu mochwari afu unajisifia umeua🔥🔥
Nimeusikiliza huu wimbo zaidi ya Mara 30😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭inuma Sana eeeh Mwenyezi Mungu
"Huu ni moto unataka kuuzima na petroliiiiii ......!!!!!!"
This is more than song ☺ ,we need more artist of your kind Mr Roma 👍👍
Viva roma Mungu akupe maisha marefuuu....tetea haki ya mnyonge kwan Mungu anamakusudi na ww....
Roma huyu ni zaidi ya mtu genius kweny tasnia ya music, ANAITWA ROMA
Kwamba , unapiga bom mochwali , unajisifu umeua😁😁😁 , Gonga like kama umesikia huu msitari kama mimi
Atariii Sana Kaka
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Rima tishio
nura hamis 👍🙌✍️🙏🙏🙏
zegreat Mkoka
Uyu ndo Roma ninae mjuwa Mimi ,gonga like kama unahamini kuwa Roma kaludu kutoka zimbabwe.
Balaaaaaaaa sanaaaa kaka Viva Roma vivaaaaa
Roma Mungu akupiganie kwa kuwasemea wanyonge,ungepata wenzako Kama watano undava ungepungua bongo