Thank br Davista mata Asante sana kwa kipindi hiki tupo Seattle WA,tunafatilia vipindi kwa ukaribu kabisa Asante sana kwa mafundisho tunajifunza mengi zaidi 🙏🏾
Namkumbuka sana ! Na nilidhani tutapata elim nzito kutoka kwake. Mi ni mfuasi wako davista,Kuna watu hua wanapita hapa na shuhuda nyepesi lakini namna wanavyoelezea kwa kina tunaelimika coz wanaeleweka ila huyu kijana ana shuhuda nzito na kubwa ila anaeleza kwa kifupi then imeisha hiyo. Kwa uzito wa shuhuda za huyu kijana inabidi aeleze kwa kina akieleza kifupi hataeleweka,elim haitawafikia wengi kwa maana ya uelewa
Kimsingi kaka nakuona katika Chanel's tofaut za mitandaoni kiukweli unavitu vingi Vya ziada unafaham nataman siku moja kama unamkasa hebu tukuone hata kupitia Davista tutajifunza vingi kutoka kwako but niseme hongera unavingi mnoo unavitambua salute kwako
@@abbyadams8691 yeye ambaye alikuwa kuzimu mimi ninaye Mungu wa Yesu yeye hunilinda hata kuzimu isinikaribie tokea utotoni hadi sasa INSHALLAH hata mpaka mauti yangu
@@khalidyasinkhalid5944 safi lakini unachobakisha ni kumkubali Yesu tu awe mkombozi wake kwa maana kupitia yeye ndio unao uwezo wa kufika mbinguni kwa huyo babake.
@@heritier5119 mmmmhhhh kwani misukule nimajini misukule ni watu sema wanatumikishwa kichawi na watoto wanaozaliwa wanapitia stage zote za binadamu sema wanapokelewa mikononi mwa wachawi
@@abdimohamed3953 anawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kikaz cha tatu na cha nne but hapo hapo yesu anasema waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa mbingu ni wao
@@kefasonmahenga2917 maana yake usimzuie Mtoto amfuate yesu kwamaana kushika neno la MUNGU,kuhudhuria ibada n.k, ulishawahi fuatilia shuhuda ya Aston Adam mbaya au hata Wa amieli katekela bas utatambua vema kuhusu hayo mzazi ukiwa nje nayesu possibility yamtoto kua nje na yesu nikubwa mnoo
@@lastbornsaadah7632 sio mara yangu ya kwanza ninacho uliza ni kwann ulimi kwny cover ya story hamna pic ingine ya kucover story? Labda kama hujanielewa
Thank br Davista mata Asante sana kwa kipindi hiki tupo Seattle WA,tunafatilia vipindi kwa ukaribu kabisa Asante sana kwa mafundisho tunajifunza mengi zaidi 🙏🏾
Tafadhali muambie azungumzie swala la Subukia shrine Kenya zaidi sisi wakenya twataka kuelewa zaidi. Asante Davista
Me too I wanna know
Kweli....am kenyan and naeza taka kujua mengi
Namkumbuka sana ! Na nilidhani tutapata elim nzito kutoka kwake.
Mi ni mfuasi wako davista,Kuna watu hua wanapita hapa na shuhuda nyepesi lakini namna wanavyoelezea kwa kina tunaelimika coz wanaeleweka ila huyu kijana ana shuhuda nzito na kubwa ila anaeleza kwa kifupi then imeisha hiyo.
Kwa uzito wa shuhuda za huyu kijana inabidi aeleze kwa kina akieleza kifupi hataeleweka,elim haitawafikia wengi kwa maana ya uelewa
Niko hapa mapema sana Mr davistar mata 🙏 thanks brother 🤝I learned a lot
Asante Mwenyezi MUNGU Kwa kutupa siku nyingine tena
Kama sijasahau huyu niyule alipelekwa kuzimu na rafiki ya mamake ambaye alikua akimletea peremende
Right
Ameen
Asante Kwa kumrudisha huyu mtumishi
True ndo maana lengo la shetani ni kuharibu vijana kupitia miziki
Tunaomba maelezo zaidi kuhusu misukule
Pana mwaka shetani alileta duniani makahaba wazuri milioni 30.wakasambazwa duniani pote.
Kimsingi kaka nakuona katika Chanel's tofaut za mitandaoni kiukweli unavitu vingi Vya ziada unafaham nataman siku moja kama unamkasa hebu tukuone hata kupitia Davista tutajifunza vingi kutoka kwako but niseme hongera unavingi mnoo unavitambua salute kwako
Mabinti wengi wazuri ni mawakala. Manesi wa leba wengi ni agent, ukiingia leba washirikishe waombaji wakuombee.
Naupendaga ushuuda wa huyu jamaa hauegemei upande wowote yeye ni maelezo ya kile kilichomtokea tu
Usisahau kwamba baada ya yoote amemkimbilia Yesu na sasa kaokoka. Bado wewe.
@@abbyadams8691 yeye ambaye alikuwa kuzimu mimi ninaye Mungu wa Yesu yeye hunilinda hata kuzimu isinikaribie tokea utotoni hadi sasa INSHALLAH hata mpaka mauti yangu
@@khalidyasinkhalid5944 Km unamkubali Yesu sina nongwa.👏👏
@@abbyadams8691 naam ni nabii aliyetumwa na Mungu
@@khalidyasinkhalid5944 safi lakini unachobakisha ni kumkubali Yesu tu awe mkombozi wake kwa maana kupitia yeye ndio unao uwezo wa kufika mbinguni kwa huyo babake.
Florian amerudi tena, wekeni masikio sawa
Mabinti wengi wa club ni mapepo
Sawa
Chawa Davistar nimefufuka
Ngono ni ibada ya kuzimu
KWA shetani hakuna huruma wala msamaha, kule ni amri sio ombi.
💪💪💪
siku yesu akilud hivi watoto wa msukule mbinguni wataingia na kama hawataingia ni kwanini huku hawana dhambi...
Misukule ni watoto wa shetani wataendaje mbinguni sasa. Hapo ni SAwa na kusema watoto wa majini wataenda wapi.
@@heritier5119 mmmmhhhh kwani misukule nimajini misukule ni watu sema wanatumikishwa kichawi na watoto wanaozaliwa wanapitia stage zote za binadamu sema wanapokelewa mikononi mwa wachawi
@@kefasonmahenga2917 jibu ni jepesi na linapatikana kutoka 20:5
@@abdimohamed3953 anawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kikaz cha tatu na cha nne but hapo hapo yesu anasema waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa mbingu ni wao
@@kefasonmahenga2917 maana yake usimzuie Mtoto amfuate yesu kwamaana kushika neno la MUNGU,kuhudhuria ibada n.k, ulishawahi fuatilia shuhuda ya Aston Adam mbaya au hata Wa amieli katekela bas utatambua vema kuhusu hayo mzazi ukiwa nje nayesu possibility yamtoto kua nje na yesu nikubwa mnoo
Huo ulimi ni wanini kwenye cover ya story kubwa kama hii?
Alichanjwa kuzimu...pengine we malayako yakwanza kuona hii story ila angalia video zilizopita
@@lastbornsaadah7632 sio mara yangu ya kwanza ninacho uliza ni kwann ulimi kwny cover ya story hamna pic ingine ya kucover story? Labda kama hujanielewa
@@geez5076 okay
@@geez5076 mimi nlipoona ulimi nikakumbuka ushuhuda wa huyu kaka nkafungua kujua ni Yeye?? Bila ivyo nisingefungua
Mbona wewe Bwana wavaa miwani nyeusi kama zao..hizo miwani hazileti show
Mara ya pili anarudi tena