Ila aisee we shekhe omary hakika ulikuwa mtu hatari katika ulimwengu ule wa shetani naweza nikasema wewe ulikuwa mkuu Wawa chawi africa mashariki,ninawajua watu wengi waliookoka na walikuwa manguli wa uchawi ila nao wanasema wewe ulikuwa mwalimu wao aisee wewe mtu hatari mno Mungu akuinue hakika Yesu amejipatia Jitu la mbinguni
Sasa na wewe c utoe yako nchi zipo nyingi, hayo yalikua maisha yake yaliopita unabisha .Kwenye ulimwengu wa kiroho kuna mambo mengi unaweza bisha kumbe wenzio wanakufa daraja usiku.
Ila aisee we shekhe omary hakika ulikuwa mtu hatari katika ulimwengu ule wa shetani naweza nikasema wewe ulikuwa mkuu Wawa chawi africa mashariki,ninawajua watu wengi waliookoka na walikuwa manguli wa uchawi ila nao wanasema wewe ulikuwa mwalimu wao aisee wewe mtu hatari mno Mungu akuinue hakika Yesu amejipatia Jitu la mbinguni
Mungu akulinde na homgera sana mtumishi
Niko na Wachina hapa wanacheka kweli kweli
Kwaiyo mwenye ungo mpaka afike ndo aamini amefika 🤣
Mnyeshani😂😂😂
Mnyeshani
wakwanzamo
Muongooo
Sasa na wewe c utoe yako nchi zipo nyingi, hayo yalikua maisha yake yaliopita unabisha .Kwenye ulimwengu wa kiroho kuna mambo mengi unaweza bisha kumbe wenzio wanakufa daraja usiku.
@@andrewmhagama9816 uongo sio kweli usanii huo wanafanyiwa wakristo kila leo ujinga ujinga mara upumbavu,,,,,,kweli ni kondooo
Kama kawaida mkisikia mambo haya mnasemaga mtu muongo instead of learning 😂😂😂😂 huo ndo ukweli sasa
bc tupe wewe huo ukweli ndugu zake na majini
Naamini hayo yote sasa yame - expire baada ya MUNGU wa kweli kuonekana Tanzania. Waombaji tuzidi kuingia magotini ili shetani ashindwe kabisa.
BWEGE MMOJA WEWWE NJAA TU HIYO INAKUSUMBUA HUNA LOLOTE KAFIRI WA MWISHO
Ongeza matusi ,hayo madogo
Udini unakusumbua pole kijana
afadhali kua kafiri na yesu kuliko kuabudu shetani
Kweli unaumaaaaa😂😂😂😂😂 ila ukweli utasemwa tu
@@cyantess8423jibu nzuri sana hilo linamtosha
Niko na Wachina hapa wanacheka kweli kweli