Enzi Zao: Professor George Eshiwani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 сер 2011
  • Ana sifa ya kuhudumu kama naibu wa chansela katika chuo kikuu cha Kenyatta kwa muda wa miaka kumi, na hivyo basi kuibuka kuwa naibu wa chansela aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi katika chuo cha umma katika historia ya kenya. Amekuwa katika taaluma ya elimu kwa muda wa miaka 41 na aliwafunza mawaziri James Orengo na Joseph Nyaga. uhusiano wake mwema na rais mstaafu Daniel Moi vilevile ulipelekea kuanzishwa kwa kipindi cha vichekesho cha Redykulass kilichovuma katika miaka ya hapo awali.ukimuita Profesa George Eshiwani basi hutakuwa umekosea.mwandishi wetu Franklin Macharia anaangazia sifa za Profesa George Eshiwani, katika makala ya wiki hii ya Enzi Zao.

КОМЕНТАРІ • 9

  • @mavalekenneth9287
    @mavalekenneth9287 5 місяців тому +1

    Continue resting in peace Professor Eshiwani. I was privileged to see you transform KU during my time there (1990-1994 and 1997-98). The association with KANU alongside professors Henry Mwanzi and Aseka was something well known to students.

  • @gladwelltailor
    @gladwelltailor 4 роки тому +1

    Professor George Eshiwani was in Njogo house when Igot my letter for admission fromHon Kipkurei to go for teachers training college Highbridge and he also attended our graduation ceremony in 1993 as we were honoured with P1 teachers certificate. Very good motivation speech to go and teach children well as the foundation was in the future generation. Blessings professor. You are the same stature looking healthy too. How times change. Our principal was promoted later. Mrs Nakitare. Thanks for such a program. Beautiful memories

  • @niominiomi3334
    @niominiomi3334 4 роки тому +1

    Professor Eshiwani was always at work before 7am. in KU. Rest in peace Mwalimu.

  • @tanuie
    @tanuie 5 років тому +2

    Rest in peace professor.

  • @tanuie
    @tanuie 3 роки тому +1

    Rest in peace prof.

  • @Utadowot
    @Utadowot 13 років тому +1

    Prof looks humble ama fish farming is a humbling career? ah well at least for a Prof it is.

  • @collinstoret6507
    @collinstoret6507 5 років тому

    Weche Eshiwan pfof jnr