MIMI NILICHOTAMBUA Ni KUWA WANAPOTAFUTA KOCHA WA KIZUNGU HAPO NDIPO WANAJPATIA TENI PASENTI YAANI WANA PATA CHA JUU KWA KUONGEA NA MZUNGU NA NDIPO PENYE ULAJI wao.WAKIMTUMIA MGUNDA CHA JUU HAWAPATI CHA KUWATOSHA ,Huo ni uelewa wangu na KAMA WANASABABU NYINGINE ZAIDI YA HIYO WAISEME WAZI WAZI ila NAFSI ITAWASUTA SANA .
Wewe mwenyewe una negative attitude na kocha endelea tuatakuona . Pamoja na kuwa upande wa msomali tutawapiga 10 na kocha huyu. Wewe ni mlamihogo tu.
WACHEZAJI wenyewe kwanza watamdharau😂😂😂shida ITAANZIA DRESSING ROOM!
Yan simba kuna muda mnatukosea sana washabik zenu
Ten percent hiyo🤣🤣🤣 safari hii Makolo mtatukoma😂 kocha wa kuokoteza, Wachezaji wa kuokoteza...waleteeeee waleteee🤣🤣🤣
as long as ana peppers we should keep him ;time is outhanding
Kwanini hawamuamini mgunda Hawa Viongozi
Mbona kadri ninavyomfatilia huyu coach namuona yeye na mguna mgunda alistahili zaidi.
Mgunda anashida gani,,watuweke wazi...
MIMI NILICHOTAMBUA Ni KUWA WANAPOTAFUTA KOCHA WA KIZUNGU HAPO NDIPO WANAJPATIA TENI PASENTI YAANI WANA PATA CHA JUU KWA KUONGEA NA MZUNGU NA NDIPO PENYE ULAJI wao.WAKIMTUMIA MGUNDA CHA JUU HAWAPATI CHA KUWATOSHA ,Huo ni uelewa wangu na KAMA WANASABABU NYINGINE ZAIDI YA HIYO WAISEME WAZI WAZI ila NAFSI ITAWASUTA SANA .
Ndo ashindane na Gamond? Simba Mmeshavurunda tena
Huyo labda APEWE MIAKA KUMI ndo kidooogo! Ubigwa simba ATM SAHAUNI! HIZI TIMU SIO ZA MAJARIBIO DUDES!!
😢😢😢😢😢😢😅 ndio tabu ya simba hapo makosa kabisa
hapa tumeshapigwa ni bora yule yule mgunda hapa viongoz wetu wameshachemka
Hamna jema nyie wapenzi,mashabiki na wanachama wa simba.
Alikuwepo Benshika na sv kubwa lakini hakufanya lolote.
Huyu mocha mpya anafaa sana,
Sijui huyu kosha au mwanafunzi anakuja kujifundisha kwenye kikosi Cha simba😮😮😮😮