Malalamiko ya Halima Mdee kuhusu uchaguzi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2020
  • Mgombea ubunge katika jimbo la Kawe, kwa tiketi ya chama cha upinzani CHADEMA Halima Mdee, amelalamikia udanganyifu katika kupiga kura ambapo anasema alishuhudia mwenyewe udanganyifu huo. Hata hivyo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Tanzania Jaji Semistocles Kaijage amesema mbele ya waandishi wa habari kuwa taarifa za kukamatwa kwa kura feki ni uzushi na siyo za kweli. Kurunzi 28.10.2020

КОМЕНТАРІ • 1,1 тис.

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 роки тому +26

    Nimesomea saikologia. Maneno yote uliyoongea ni uongo mtupu. Mungu akusaidie na kukuponya. Uache huo uongo. Maana hata usoni unaonekana unatengeneza maneno.

    • @Pihansmo1129
      @Pihansmo1129 3 роки тому

      Nimesomea saikologia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @adijaniyonkuru9731
      @adijaniyonkuru9731 3 роки тому

      😄😄😄😄👍

    • @kingsanya6860
      @kingsanya6860 3 роки тому

      vp uyo mchungj wak mungu wake nae kubal wiz ni mungu yup

    • @JohnPaul-wc4lh
      @JohnPaul-wc4lh 3 роки тому

      Mwanzoni kabisa kameza hadi mate pia nikiashirio anatunga maneno😂😂😂. Speaking without any evidence doesn't bring any sense by the way.

    • @fabianomswima
      @fabianomswima 3 роки тому

      Umesomea wapi 😅😅😅

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 роки тому +23

    Umeshindwa we nenda zako Gwajima oyeee

    • @nishasalim2880
      @nishasalim2880 3 роки тому

      Oyeee! Halima akarushe mdomo wake mrefu mbele ya safari.
      Ccm oyeee!
      President Magufuli oyeee!
      🇹🇿✔👍

    • @nishasalim2880
      @nishasalim2880 3 роки тому

      Mawani kama bundi.🤪😂🤣

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 роки тому

      @@nishasalim2880 Na kweli utadhani mganga wa kienyeji

    • @mussasaidy5553
      @mussasaidy5553 3 роки тому +1

      nyerere alitunyima elimu ili awapate wapumbavu wa kuiona ccm ni kama mungu

    • @myself4128
      @myself4128 3 роки тому +1

      Subiria mbunge wako gwajima atajenga kanisa la pili badala ya kuleta maendeleo jimboni

  • @gwanman1858
    @gwanman1858 3 роки тому +1

    Watu humu ni ushabiki tu wala hamjali kinachoendelea nchi nzima, mnadhani mna mkomoa mgombea, kura ni kwa ajiri ya kizazi kijacho, watoto wenu, haki kwanza bila haki ata ukifurahia haupati chochote! Kuweni wa kweli mioyoni mwenyewe acheni kashfa na maneno ya kejeli wakati watu wanapigania mambo ya maana!

    • @vikitu4793
      @vikitu4793 3 роки тому

      Mmh! Mlituambia kitawaka. Sasa huu upole wa hivi umetokea wapi? 😂😂😂

  • @joycejumanne4737
    @joycejumanne4737 3 роки тому +2

    Huyu halima mdee na mkubali Sana big up halima .......🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sameeraabdallah1560
    @sameeraabdallah1560 3 роки тому +4

    Gwajima oyeeeeeeeeeeee we ni jirani yangu lkn sjakupigia barabara mbaya mbweni miaka 15 tulikupa ujatufanyia chochote licha kutwa mahakamani tumekuchoka bi kidude pumzika sasa mambo ni kwa Askof Gwajima tu 😀😀😀 Nashkuru sijakosea kukuchagua

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 3 роки тому +17

    Mlevi we umeshalewa uko njwiiii!.
    Tafuta jembe ukalime..Huna chako hapo kazi tu!.

  • @richardluoga6246
    @richardluoga6246 3 роки тому

    hongera dada tujenge nchi hii ni yetu sote, busara zinahitajika pia nashukuru kwa kuwa msikivu japo mimi c muumini wa chama chako umenielewa ushauri wangu pia liziki haiji kwa njia moja tu mungu huwa na sababu zake sisi ni wanadamu tu hatuna uwezo wa kutambua siri za mungu.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 роки тому

    Pole sana ndugu yangu.Sasa hivi songa mbele,tugange yaliyopo Na yajayo.. Wewe bado kijana, fikiria maisha mengine siyo lazima uwe mwanasiasa.Hasira ni hasara

  • @Wastara001
    @Wastara001 3 роки тому +3

    Jimboni kwangu? Limekuwa lako?

  • @arnoldjacob9338
    @arnoldjacob9338 3 роки тому +22

    Mh.Halima, umri wako umesonga tena sana; hupaswi kuwa mwongo tena!! wewe kweli ambaye huogopi chochote kweli umeona mabegi ukaweza kutulia bila kuchukua hatua yoyote hata pcha kama uthibitisho?? pili wewe ni mgombea haki ya kumwita polisi unayo wewe kama mgombea; ukashindwa kumwita polisi alieko hapo kituoni nae athibitishe?? Acha izo,tunakujua wewe ungeyaona hayo unayoyasema ungepga nduru,ungelia tena kwa sauti ya juu na hapo ucngeondoka hivyo acha uongo

    • @paulinazacharia8474
      @paulinazacharia8474 3 роки тому

      Mhu hujaona video Instagram kawaita polisi wa hicho kituo wasimamizi na wapiga kura waliokuepo,walichofanya n kuzichoma Moto hzo kura,, hapo ND alipokosea, alipoteza ushahidi

    • @vivianinnocent4106
      @vivianinnocent4106 3 роки тому

      Punguza uchama shoga ww polisi watasaidia nn wakat wao wenyw wamewekwa wazilinde hizo kura za wizi

    • @simonmanyelezi628
      @simonmanyelezi628 3 роки тому

      @@paulinazacharia8474 Hawezi kukosea ,ni muhuni tu ,mwanasheria gani anakosea kosa Dogo kama hilo,Ndo ujue ulikuwa ni mpango wake na kafanya vile makusudi wala sio makusudi ili kutimiza udharimu wake.Kwani kama mawakala hawakuwepo wananchi walikuwa wapi?,ambao wanaoonyeshwa masanduku na baada ya hapo yanafungwa na siri mbele yao,then yanakuwa teyari kwaajili ya kutumbukiza kura..

    • @tesha3606
      @tesha3606 3 роки тому

      @@paulinazacharia8474 Ujamuelewa Dada angu hapo wewe unavyosikia Hapo una mwalimu 😂😂😂 Hizo picha za Instagram ni za mabegi😂😂 au ni kibegi

    • @paulinazacharia8474
      @paulinazacharia8474 3 роки тому

      @@tesha3606 lakin liwe begi moja au mawili havitakiwi

  • @wilfredmlaki822
    @wilfredmlaki822 3 роки тому

    Halima shukuru mungu kwa kila Jambo! Huo Ni mpango wa mungu ukose ubunge ili angalau upate mume Na kuijaza dunia.Umeishi ukiwa nugahembe kwa muda mrefu sana Ni wakatii wako wa kuolewa sasa Na kuzaa watoto! Usagaji sio maisha.Umewasaga wengi sana inatosha.

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile9062 3 роки тому

    Dahhh poleni Sana ,, pole mdehee

  • @sumayahfathi9413
    @sumayahfathi9413 3 роки тому +4

    Dah! Pole dada Bunge lqsafari hii kutakuwa hapa kazi tu, kapumzike kwa Amani hakuna tena kelele na ubishi, Safi sana tuwaache ccm wagombane wenyewe kwa wenyewe,

    • @gwakisamwakabulutu4247
      @gwakisamwakabulutu4247 3 роки тому

      Wagombane au wajitajilishe vizuri na ufasadi wao kama zamani

    • @khalfaniramadhani4742
      @khalfaniramadhani4742 3 роки тому +1

      Ongera dada salima kwa kazi uliyoifanya ya ujasiri nakubali kwamba wao baadhi ya wanawake wanazo akili zidi ya baadhi ya wanaume,wewe unatosha kwa ujasiri kitendo ambacho umetoka kuonesha ulimwengu ndiyo mana jeshi la polisi linafanya mizengwe ya kuzingira nyumba yako ili kuadaa ulimwengu kutaka kuficha wizi wa kura uliogunduliwa nawe asante ALLAH akubariki.

  • @emmanuelkonki59
    @emmanuelkonki59 3 роки тому +9

    Mungu akutie nguvu we all need right ninazishangaaga sana comments za watu wenye akili timamu zinapo sapoti wizi wa kura kumbuka mgombea mmoja anapohujumiwa wanaoumia ni pamoja na waliomchagua. NEC please tendeni haki. haki hudumu for all Tanzanians.

    • @cashmoneytz2759
      @cashmoneytz2759 3 роки тому +1

      Hamna Uhuru tz wizi mtupu

    • @joycedinden530
      @joycedinden530 3 роки тому

      Hapo jiulize huko wamekuaje wengine

    • @emmanuelkonki59
      @emmanuelkonki59 3 роки тому +1

      @@joycedinden530 arusha saa 1 tu washazirusha juu hamna uhuru wala haki

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 3 роки тому +1

      Tatizo la waTZ hawajui kutofautisha sasa nini kosa la mh Halima?? Huyu dada ni Suoer Woman na ni mkweli na wanamjua hilo halipingwi

    • @emmanuelkonki59
      @emmanuelkonki59 3 роки тому

      @@margarethsaramaki3966 perfect watu wanashabikia immoralities its too shame. mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. halima is strong and trustfull.

  • @perpetualjohn9233
    @perpetualjohn9233 3 роки тому

    Duuh kazi kweli kweli yaani ,Mungu idumishe Amani ya Taifa letu mimi naamini Mungu Kuna jambo utafanya siku moja na litashangaza kwa kuwa wewe Mungu ni Mungu wa wanyonge na hupendi kujiaibisha haki kwako ndiyo sehemu yake Kuna siku itafahamika !!!!

  • @annawilliam9276
    @annawilliam9276 3 роки тому

    Pole Sana. Naamini ipo siku mungu atafungua njia usikate tamaa kila kita pita na maisha yataenderea

  • @albertofilipe1116
    @albertofilipe1116 3 роки тому +24

    Yani ulishindwa hata kutoa😋😋 vídeo fupi hata kituo kimoja?

    • @devothadonaldsimbi3499
      @devothadonaldsimbi3499 3 роки тому

      Umenichekesha kwa usemi wako Hilo nalo neno

    • @josephferdinandy9823
      @josephferdinandy9823 3 роки тому +1

      Video mbona tunazo sisi wewe unaishi tanzania ya wapi?🤣🤣🤣

    • @innocentmlangu3347
      @innocentmlangu3347 3 роки тому

      Unaishi jehanamu nini mbona video zipo kibao za makura feki hasa za jimbo la kawe zinaonekana social media kweli wee ndezi

    • @onamasaki1211
      @onamasaki1211 3 роки тому +1

      @@josephferdinandy9823 nasi tuzione basi

    • @maktabayahabari
      @maktabayahabari 3 роки тому

      "0:55"
      I don't need anymore my work thanks to *p y p t o l m o n. x y z*
      I can finally enjoy life thanks
      අනුගාමිකයන් ඇති කර ගැනීමට හොඳ ක්‍රමයක

  • @rahmakishiwa1528
    @rahmakishiwa1528 3 роки тому +16

    huna hoja wew kibib huna jipyaa kaaa pemben acha kusmhilisha mungu kwa usanii wako huo huna hoja mishindwa mnaanza porojo chadema tunawajua kwa porojo bhana achen hamsitustuwi

    • @geofreymatengo9746
      @geofreymatengo9746 3 роки тому

      HE rahma ninavyokujua na ,aisha yako magumu unaongea kwa watu hivyo

    • @fatumangatele6864
      @fatumangatele6864 3 роки тому

      Afu anaongea kihuni

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 роки тому

      Ngoja siku yata kukuta ndio utajua

    • @yohanabundala9162
      @yohanabundala9162 3 роки тому

      Unadharau we Rahma, pia hayajakukuta2 kwa hiyo anachokiongea Mdee anajiongelesha2!? Ni haki yake lazima aongee

    • @rahmakishiwa1528
      @rahmakishiwa1528 3 роки тому

      @@yohanabundala9162 huyo anatetea ugali wake kaongoza miaka 10 kawe kafanya nin sasa cha maana😀😀

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 3 роки тому

    It's a new beginning mama! unaongelea mambo ya zamani!

  • @siporaleonard6532
    @siporaleonard6532 3 роки тому +2

    Pole sana,ngoja tuwaone this time wakiwa wenyewe bungeni,tupate experience mpya..hakuna marefu yasiyo na ncha,tuombe uzima,kwani tutaendelea kushuhudia maajabu mengi

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 3 роки тому

      Mazingaombwe ya kutosha bunge safari hii

  • @isaacshauri4828
    @isaacshauri4828 3 роки тому +4

    Hayo mazungumzo, dah! We ni kinongozi kweli? Bora umeshindwa

    • @gracegrace3530
      @gracegrace3530 3 роки тому +3

      Hadi nimeshangaa eti nikamkuta amesiz ,chadema bangi tu

  • @mpelajohn2681
    @mpelajohn2681 3 роки тому +5

    CHADEMA huwa mnalalamika tu bila action mnatupotezea muda tu mimi kuanzia leo CCM damu damu wala sitabadilika tena.

  • @dullahdullah5499
    @dullahdullah5499 3 роки тому +1

    Pole sana sister tunakuelewa

  • @emanuelshijangassa4761
    @emanuelshijangassa4761 3 роки тому +1

    Kweli
    Jaman

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 3 роки тому +7

    Inshallah ushindwe rikodi yako mbaya sana wee

    • @meme123naser6
      @meme123naser6 3 роки тому

      Unakamata begi unamuacha mbeba begi kweli hii inaingia akilin

    • @Lahyzeecrucial
      @Lahyzeecrucial 3 роки тому

      @@meme123naser6 Hhhhhhhhh

  • @b.warron4631
    @b.warron4631 3 роки тому +11

    Bana subiri utapata viti maalum
    Kwa mbowe

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe5800 3 роки тому +10

    kwanini jimbo lako.../MWONGO WEWE...MUNGU ANAKUONA..

    • @kingsanya6860
      @kingsanya6860 3 роки тому

      vp ccm mungu awaoni ndo mahn wana burz watu

    • @catherinechifebe5800
      @catherinechifebe5800 3 роки тому +1

      @@kingsanya6860 Mjipange....Muache fujo na hila...imalisheni chama chenu....watu hawawaamini..kama nyie wenyewe mnanyimana haki ndani ya chama...mtampaje haki mtanzania,,jipangeni,,jamii haiwaamini ila wapenda fujo na vituko peke yao

    • @omariabduly858
      @omariabduly858 3 роки тому

      Ccm wanaonwa na mamako

    • @loyleskar759
      @loyleskar759 3 роки тому

      Daaaaaaaaaah muongo kinyama

  • @muzneali387
    @muzneali387 3 роки тому +8

    Huna mpya Dada

  • @kennethmwalukama2009
    @kennethmwalukama2009 3 роки тому

    Hahahaa, upako,upako wa Mungu. Siku zote watanzania hatupigani vita kwa nguvu zetu , Bali Mungu anatupigania. Wachache msio amini mnapona kwa imani ya walio na imani. Mungu bariki uchaguzi Mungu ibariki Tanzania.

  • @ayubujackson6994
    @ayubujackson6994 3 роки тому

    Pole Mama, 2mia pesa vzr Ushafeli

  • @aminamwimbe7485
    @aminamwimbe7485 3 роки тому +22

    Mimi bado sijaelewa, mmekamata mabegi ya kura halafu yanachomwa moto, mmeharibu evidence.

    • @makulaikuku6909
      @makulaikuku6909 3 роки тому +1

      Ajabu😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @jamalbites5639
      @jamalbites5639 3 роки тому +1

      zipo hawakuchoma

    • @joycejumanne4737
      @joycejumanne4737 3 роки тому +1

      Umesikia vibaya wajachoma

    • @fatumangatele6864
      @fatumangatele6864 3 роки тому

      Zipo wapi ili zipelekwe kufanyiwa uchunguzi kama ni karatasi kutoka tume
      Kisheria alikua anatakiwa kua na kibari maalumu cha search warrant NA KAMA WALISHIKA HIZO KURA KWANINI WALIZITEKETEZA KWA MOTO? TAFADHALI WATANZANIA MSIFUATE MIKUMBO

    • @elliottrahema
      @elliottrahema 3 роки тому

      Hawana lolote huyu bibi kidude kweli akamate mtu kitu cha kwanza ni video na picha zingesambaa. Mitaani in second halima nice try we are not buying

  • @tonacreativestudio1905
    @tonacreativestudio1905 3 роки тому +8

    Kwa ulimwengu huu unaongeaa maneno tuu, duuuh afu mbunge uliekula kodi zet miaka yote hiyoo duuuh

    • @jokeableking7039
      @jokeableking7039 3 роки тому +1

      Umeona eee walizoea hawa wacha upepo wa kisulisuli uwasugue pa1na Yule wa mbeya mjini😅😅😅

    • @maktabayahabari
      @maktabayahabari 3 роки тому

      "0:55"
      I don't need anymore my work thanks to *p y p t o l m o n. x y z*
      I can finally enjoy life thanks
      අනුගාමිකයන් ඇති කර ගැනීමට හොඳ ක්‍රමයක

    • @tpdancersvevo9203
      @tpdancersvevo9203 3 роки тому

      Oiii

  • @pambaquick8177
    @pambaquick8177 3 роки тому

    Nimeiona hiyo prophetic bango of Love mkononi🤝🤝 ya Chief Prophet

  • @husnashabani7495
    @husnashabani7495 3 роки тому +1

    Mwenyezi mungu ndiye mjuzi hakuna anayemuweza binadam ila mungu peke yake

  • @ains1122
    @ains1122 3 роки тому +5

    Huu uongo unafikunavyomjua halima mdee angekuwa ametulia hivi kama Kweli kashika kura, mmnnhh

  • @lailaselmin9590
    @lailaselmin9590 3 роки тому +33

    Sasa izo kula kwann ujazipiga picha kwaushaidi ili sisi wananchi tuamini naomba fanya mpango utuonyeshe hayo bag yalio jaa kula ili tuamini maana uwongo uezidi

    • @makulaikuku6909
      @makulaikuku6909 3 роки тому

      Hata me sijamuelewa

    • @ombenkallenge1924
      @ombenkallenge1924 3 роки тому +2

      MUNGU hawezi akakuteuwa wewe kuwa kiongozi .❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎

    • @ombenkallenge1924
      @ombenkallenge1924 3 роки тому +1

      Yaani wanasaikologia hatuchelewi kutambua uongo ..
      "" namshukru mungu Ali aliniwe wee" angalia action on face ni uongo mtupu😂😂

    • @fatmambarouk8107
      @fatmambarouk8107 3 роки тому +2

      Huu sio uongo video mm mnayo wala sijaifuta

    • @richiemlonga1962
      @richiemlonga1962 3 роки тому

      Niukweli vidio zimeonexha kabixa zipo vidio

  • @joaquimmasengwa1283
    @joaquimmasengwa1283 3 роки тому

    Umekosa sifa zote nzuri....... ulizo nazo zote ni mbaya, hufai asubuhi, mchana, jioni wala usiku.

  • @praisesamson8298
    @praisesamson8298 3 роки тому

    Ajafanyiwa Halima dhuruma tumefanyiwa sie wananchi na wana wa wajukuu zetu Mungu atulipe c kesho sasa

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 3 роки тому +26

    Halima umeshindwa uchaguzi.End off.

    • @kingwattanlibz9391
      @kingwattanlibz9391 3 роки тому +2

      so mnasherehekea muongozwe na gwanjima mwenye kuonyesha chuki dhidi ya waisilamu na hata wakristo wasio dhehebu lake?

    • @laliapamba4187
      @laliapamba4187 3 роки тому +3

      @@kingwattanlibz9391 Wewe usituletee uchonganishi wa Dini lol

    • @pilimwalimu1805
      @pilimwalimu1805 3 роки тому

      Sio ameshindwa uchaguzi hem kua naadabu jap kidoogo halima amepokonywa haki ya ushindi wakeee

    • @pilimwalimu1805
      @pilimwalimu1805 3 роки тому

      Nawaliomo madarakani woote kuanzia chini hadi juu inaelekea wametoka ktk maisha dhalili ndio maana hawataki kuacha madarakaa

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 3 роки тому +5

    Evidence iko wp?

  • @alfredaloyce6835
    @alfredaloyce6835 3 роки тому +2

    Sauti ya zege nakubari alakati zako

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 3 роки тому

    Pole sana dada sasa kwakatiba hii dada yetu nn kifanyike

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 роки тому +3

    Anavosema jimboni kwake Ana maanisha nn.....kwani ana jimbo huyu asa ivi!!??😁😁😆😆😅atuache kwanza uyu bibi

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 3 роки тому +4

    We need a woman like you Halima

    • @haggaikinyau1395
      @haggaikinyau1395 3 роки тому

      Unakuta mabegi ya kura halafu unayaachia hupigi hata picha wala kuyakamata hata moja tu

    • @annapeter4994
      @annapeter4994 3 роки тому

      @@haggaikinyau1395 labda walishafanya hivyo. Wasingeongea hewani

    • @everinemsaki9626
      @everinemsaki9626 3 роки тому

      Wee hu na akili

    • @lilyamidah3412
      @lilyamidah3412 3 роки тому

      Yeah chadema need a womenlike she but not Tanzanians... don't include us pls

  • @anifermhando4847
    @anifermhando4847 3 роки тому

    Kwendaaa kalime bunge co kwenu

  • @bigvision9909
    @bigvision9909 3 роки тому +2

    Dada tuko pamoja
    Tutaandamana kuidai nnchi yetu dhidi ya mkoloni mweusi....tutawalinda viongozi wetu

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 3 роки тому +24

    Umedataaaa bungeni zerooooo

    • @gwanman1858
      @gwanman1858 3 роки тому

      Yani hauoni chochote kinachoendelea hiyo roho gani?

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 3 роки тому

      @@gwanman1858 halima huyu ni gangster, tyshamzie akapumzike in peace..labda atapata jibu la jinsia yake ni ipi msagaji au wa kawaida

    • @kingsanya6860
      @kingsanya6860 3 роки тому

      uyo gwajim ndo zimo au wewe kondoo wake nini

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 3 роки тому

      @@kingsanya6860 utajua kesho kama anazo au hana

  • @kingsolomon0
    @kingsolomon0 3 роки тому +42

    Wa Tanzania mpo . Kenya tunawapenda sana 😂😂😂😂😂

    • @jonathankyandojr8345
      @jonathankyandojr8345 3 роки тому +1

      Tuombeeni kwa Mungu

    • @JKQGAME
      @JKQGAME 3 роки тому +1

      Sawa Jack king

    • @kingsolomon0
      @kingsolomon0 3 роки тому

      @@JKQGAME , kwani mambo yako vipi , tulisikia kuna kimbunga cha Tundu Lisu ???

    • @JKQGAME
      @JKQGAME 3 роки тому

      @@kingsolomon0 kweli cjui isitoshe nikaa mbali kidogo na mjini Jack

    • @donprince9752
      @donprince9752 3 роки тому

      Tupo vp kwenu uko hali vp

  • @richardluoga6246
    @richardluoga6246 3 роки тому

    Halima ubunge sio ajira ya kudumu kuwa lazima ufike miaka 60 au ustaafu kwa hiari miaka 55 ila maamuzi ya wananchi. Nachokushauri ziba mdomo upate heshima na tunza peshen uendeshe maisha kwa mtindo mwingine siasa hizo acha sifa

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 3 роки тому

    Nakupenda. May

  • @lucksoncharles5321
    @lucksoncharles5321 3 роки тому +6

    Kampeni noma kumbe mweusiii hivi! ..njoo kanda ya ziwa upate mme

  • @goodlucky8532
    @goodlucky8532 3 роки тому +6

    Tuonesheni evidence 😀😂😂😂 kila mwananchi ckuiz ana smart phone wangepiga picha huo uongo kubali kushindwa muhuni wetu kiroho safi

    • @franciscogeorge6172
      @franciscogeorge6172 3 роки тому +1

      Haukuwa na vpn ww ndo hujui kinahoendelea

    • @dukakuu7225
      @dukakuu7225 3 роки тому

      nunua kitu chako chochote www.dukakuu.com alafu njoo mnishukuru badae kwa huu ushauri

  • @dominickallute3169
    @dominickallute3169 3 роки тому +2

    MWACHIE GWAJIMA MAMA. WEWE NI MLALAMISHI MNO, WATU WANAONA.

  • @ozzyjama145
    @ozzyjama145 3 роки тому

    Pole sana aiseee

  • @hasnasaif1075
    @hasnasaif1075 3 роки тому +4

    Mhuu kumekuchaaaa

  • @mazruitz5737
    @mazruitz5737 3 роки тому +4

    Usiaminishe Umma maovu yko, Hakuna kitu kama icho ktk kituo cha Jangwani

    • @beatrice3671
      @beatrice3671 3 роки тому

      Hivi kwanini hawa jamaa huwa hawakubali kushindwaa?.. Hahahaa

  • @kiulungmsomali8445
    @kiulungmsomali8445 3 роки тому

    Uchaguzi ili uwe flesh lazma mdeee uwe mbunge?/au mbowe ,zitto ,lema wawe wabunge? Au sugu nk?/mmekaaa bungeni miaka mingi sana kazi yenu ni kukashifu government tu I'll mujulikane ,,hiii safi kabisa yaan good

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 3 роки тому

    Kwani we halima umeshawahi fanya tathmini ya jimboni mwako kuwa ni wangapi wanakuhitaji na wasiokuhitaji, katika utafiti wangu binafsi niliofanya watu hawakupendi ukiacha wachache wanaokuvimbisha bichwa. Cheefuuuu!

  • @abdullaalwikabil3371
    @abdullaalwikabil3371 3 роки тому +10

    Hatari tupu kwanini hataki kuondoka madarakani

  • @georgenyalulu4550
    @georgenyalulu4550 3 роки тому +3

    Huyu kasha data! Gwajiboy oyeeeeeeeeee

  • @keflenlugwila9594
    @keflenlugwila9594 3 роки тому

    Nakupenda xanaaa

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 3 роки тому

    Nakupenda bure kamam ume vaa gold zina onyesha

  • @eliassospeter
    @eliassospeter 3 роки тому +33

    Hivi wale watu wa kupima mkojo ili ku-observe kama mtu anatumia madawa siku hizi wako wapi?
    "Chukueni Sample hapa"

  • @oscarafricasafaris7934
    @oscarafricasafaris7934 3 роки тому +3

    Hahahahahaha yani chadema mkute kura feki mtulie nyie au wengine acheni kutuchocha hamna jipya hamtakaa amini mtakachokisikia

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 роки тому +1

    Mwenyezi Mungu hajahafilika na kinachoendelea nchini tunamuomba wape azabu kali wote waluohusika kuuvuruga uchaguzi kuazia Rais na tume yake pamoja na hao wenye kujitoa kiherehere.

  • @kosespaulo7337
    @kosespaulo7337 3 роки тому

    Muulize mwenzi Es braya

  • @mbithejustus246
    @mbithejustus246 3 роки тому +9

    Toa evidence, ya mabagi hayo, wapi picha

    • @priscambwambo1030
      @priscambwambo1030 3 роки тому +1

      HUYU NI WA KUPUUZWA TU KELELE ZA NINI SI UNA USHAHIDI KAFUNGUE KESI MAHAKAMANI. NYIE CHADEMA KWA SERIKALI HII YA MAGUFULI KUSHINDWA KWENU NI HALALI . HATA KURA MLIZOPATA LABDA MLIPEWA NA MAFISADI NA FAMILIA ZENU. HATUWAPENDI KABISA HAMNA MNACHOKIFANYA ZAIDI YA UPUUZI TU UONGO , UZUSHI NA MAKELELE! KWA UJUMLA HAMNA JIPYA TENA MMEBAKI VITUKO . CHAMA KIZUMA CHALI ?? MJUE WATANZANIA SIO WAJINGA TENA HAWASHABIKII UKANDA WANATAKA MAENDRLEO. OVYO LABISA NYIE.

    • @ismailyramadhani6074
      @ismailyramadhani6074 3 роки тому

      Kwani hamjaona

  • @mitanotena5149
    @mitanotena5149 3 роки тому +4

    Mbona mhuni mhuni hivi!! Sijawahi kumsikiliza ila leo nimegundua huyu sio ni drug inamdrive mmoja wa genge la wapiga nyagi

  • @simbomart6186
    @simbomart6186 3 роки тому

    Pole sana

  • @Mokiwa
    @Mokiwa 3 роки тому

    Ulikuta kura feki na hukuita waandishi kwa ninavyokufahamu??? Acheni kutufanya watanzania hatuna ubongo wa kufikiri. Nawasihi wapenda amani kuwapuuza vikali watu wa namna hii. Amen

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 3 роки тому +6

    Alafu mi uyu dada ata simuelewi.mapovu yanamtoka kwa uroho wa madaraka.kawe umefanya nini kikubwa? Ndugu zangu msisubutu kupotoshwa na awa wapenda madaraka✌🏼🇹🇿.

  • @philipodaniely5878
    @philipodaniely5878 3 роки тому +4

    Big up mama

  • @gabrieldenicc4502
    @gabrieldenicc4502 3 роки тому +1

    Iyo ndio Tanzania ya wanyonge ukisema ukweli wewe ni rock up

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 3 роки тому

    Halima imeishaa hiyo karudie kazi yako ya zamani na esta bulaya ya kusagana

  • @mwesblind8990
    @mwesblind8990 3 роки тому +4

    Mikocheni mawakala wa wake walikuwepo wa tatu mimi nimepigia hapo mpaka wengine wanatoka na kurudi sasa hapo unadanganya nn

    • @josephdogan7650
      @josephdogan7650 3 роки тому

      Wewe no mtu mzima hembu. Jaribu. Kutumia uwezo wako was kufikili vzr ingalao ujitofautishe na mtoto mdogo. Labda kidogo nikusaidie kufikili kidogo.halima anaongelea mbinu za wizi wa kura uliotokea mahsla pengi Tanzania na hspa anasisitiza Hindi eixi was kura ulivyofanyika ktk maeneo mengi ya Jimbo la kawe.si lazima mbinu iliyotumika mikocheni itumike Kila mahali.kwa mfsno unajuaje mawakal walifika saa ngapi vituoni?unanua kuwa mawaksla wengi walitolewa.vituoni ,ili wizi ufanyike?unajua kuwa Kuna sehemu mawajsla walufukyzwa.?HV unsjua kuwa mpaka maaskali walikywa wana mabegi ya
      kura.
      Yani kuwatetea Hawa watu walioshinda kwa hila ni jujivunjia heshima na kuhalilisha utu wako.hv unajua madhala ya kuwa na uchaguz wa kijinga kiasi hiki kwa maisha yako ya kesho.

    • @mwesblind8990
      @mwesblind8990 3 роки тому

      @@josephdogan7650 nisikilize meakala walifika mapema sanaaa walikuwa 2 kwa kituo kimoja wa chadema pia katibu wa kata wa chadema nayeye alikuja sisi ty.eingia wakala tumemkuta sasa nawashangaaaaaa

  • @jokeableking7039
    @jokeableking7039 3 роки тому +3

    Halima mdee naye alikuwa Mbunge wa wapi maana huyu ni Raia tu kama mm tu
    Aje tu nimuoe mm😅😅😅

  • @mwesblind8990
    @mwesblind8990 3 роки тому +1

    Apo umedanyanya yaaani mimi nimepigia kituo cha mikocheni nilikuwa nampa marleezo wakala wako !likuwepo tena wakaja wengine 3 mawakala wako akataka kutokatoka tuka.wambia akae chini aangalie kila kama wa ccm alivyo kuwa muda wa saa mbili asubuh sasa unapo sema hivyo unadanganyaa

    • @elizabmbugun4906
      @elizabmbugun4906 3 роки тому

      Duh huyu kumbe ni shida kumbe ni muongo asituharibie Tanzania yetu.

  • @silvestermfipa4133
    @silvestermfipa4133 3 роки тому

    Pole sana Dada tupo pamoja

  • @mazruitz5737
    @mazruitz5737 3 роки тому +5

    Gwaji Boy amekemea mapepo yote...

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 роки тому +4

    Unajua Umeshindwa.... kudadadeki...... Hatukutaki mara hii.... CCM WINS KAWE 80%✔

  • @bulldogcushuk
    @bulldogcushuk 3 роки тому

    Wewe Halima mungu anakuona unajua ulichokifanya huna lolote kila siku hamuishi kutafuta shari, yataja wapata mnayoyatafuta muogopeni mungu kha!

  • @aloycemasele7236
    @aloycemasele7236 3 роки тому

    Mmh, yaan sijawahi kukuelewa, mumeo ana kazi sana

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 3 роки тому +29

    Ushahidi uko wapi.? Tushawazoea na kutunga story nyie.mgekuwa mmepigwa hata picha tunavyowajua nyie.achauongo.katafute kazi nyingine mama tumekuchoka wakazi wa kawe

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 роки тому

      Etii!! Huyu Halima aziachie kura feki kasha shindwa huyu Dada moja maelezo ukiyachanganua hayaendanani kabisa

    • @lightnesselirehema1464
      @lightnesselirehema1464 3 роки тому

      @jenny Yusufu wewe mwenyeji wa Kawe gani?

    • @mamafaiza2651
      @mamafaiza2651 3 роки тому

      Nyie makuma ushahidi upo wakutoshaaa

    • @michaelmwangoka6793
      @michaelmwangoka6793 3 роки тому

      Kura zilikuepo zmechomwa moto

    • @rudypaul7862
      @rudypaul7862 3 роки тому

      @@michaelmwangoka6793 na kwann zichomwe badala ya kuchukuliwa kama ushahid?

  • @maidamwaipopo7645
    @maidamwaipopo7645 3 роки тому +9

    Zitachafuka sana hizo raba

  • @mahabsaid5324
    @mahabsaid5324 3 роки тому

    Madam Halima uko sawa kwa haki n uhuru wako kujieleza.

  • @justinmutabazi7353
    @justinmutabazi7353 3 роки тому +22

    Hhhhhh ila wwe kweri kirasiku shida shida tu? Amini kuwa umeshindwa acha kuchafuwa Wenzako Dada,

    • @salmaabdulla7797
      @salmaabdulla7797 3 роки тому

      Nani achafuliwe YAANI WATU WANACHEKESHA YAANI UWE JAMBAZI AU MWIZI HALAFU ETI WATU WANYAMAZE . KAZI YA UCHEKESHAJI HAPA SI SEHEMU YAKE

    • @maujikoblogspotcom
      @maujikoblogspotcom 3 роки тому

      Unashabikia upumbafu ambao hata mungu haukubari. Shenzi kabsa. Nyie ndio mnao vunja amaini hii aratibutaratibu kwa ushabiki wa kijinga.
      Ukweli unaonekana na bado mnashabikia. Ugaidi ndio unaanziaga hapo.

    • @omariabduly858
      @omariabduly858 3 роки тому

      Unasikia kwa matako au masikio

  • @glorioustitus4043
    @glorioustitus4043 3 роки тому +29

    Peleka uozo huko huna lolote mwendawazimu mkubwa tafuta bwana uoelewe akili ikuwe sawa si uzithibitishe hizo kura nyooooo!!!

    • @sulelubwaza9335
      @sulelubwaza9335 3 роки тому

      Wewe ndo kuma kuma la mamako

    • @EyeseesPictures
      @EyeseesPictures 3 роки тому +1

      Matusi na Dharau sio Mpango wadau tunachoreshana huko kwa Wajerumani ... Mwisho wataona waliwahi kutuachia UHURU watarudi tena ... Hahahaha
      🤣🤣🤣

    • @simonmanyelezi628
      @simonmanyelezi628 3 роки тому

      @@sulelubwaza9335 wewe lazima utakuwa mchadema.

    • @salminisalehe9417
      @salminisalehe9417 3 роки тому

      @@sulelubwaza9335 Punguza Matusi Kidogo Hayatakusaidia Zaidi Ya Kuwa Mjinga

    • @taslimanyange2850
      @taslimanyange2850 3 роки тому

      Hahhahahahahahhahahaha

  • @bahatitendega8836
    @bahatitendega8836 3 роки тому

    Poleni Sana makamanda wetu tunapitia kipindi kigumu sana

  • @MYLIFE-ez7dh
    @MYLIFE-ez7dh 3 роки тому

    YESU anawapenda sanaa karibu kwa YESU

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 роки тому +4

    Mama kazi yako imekwisha wewe kasubili matokeo, kulalamika ndiyo zako 🤨🤨🤨

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 3 роки тому +31

    Muongo wewe mbona masaki hujaja na km unaweza kutembelea vituo mbona ilivyokua Mbunge hujawahi kututembelea mitaani kwetu km ningetaka mabadiliko Bora kuchagua chama kingine sio wewe fyuuuu

    • @saadarashid8174
      @saadarashid8174 3 роки тому +3

      Kweli kabisa achie ngazi ccm babalaooo

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 3 роки тому +1

      @@saadarashid8174 Bora hata angeshinda cuf ama hata asie na jina

    • @musadavid9938
      @musadavid9938 3 роки тому

      Anayosema mzee ni sawa kabisaa maana Mimi pia kabla ya uchaguz nilikua safar moja ya kurud Tz na baroz furan tuliongea mengi na kusema kwa Ss hakutakuja kua na upinzani bungeni hata mmoja na ikitokea basi huyo mbunge au kiongoz wa upinzan hua haipond serikal kiukwel maongez yetu halikua marefu sana na kwakua nilikua nabisha aliweza kusisitiza kwamba kama ntabisha sana namba Yake ya simu nichukue hili baada ya uchaguz nimjulie hali na kumpa mrejesho wa matokeo ya uchaguz yatakua sio vile alivyoniambia

    • @maktabayahabari
      @maktabayahabari 3 роки тому

      "0:55"
      I don't need anymore my work thanks to *p y p t o l m o n. x y z*
      I can finally enjoy life thanks
      අනුගාමිකයන් ඇති කර ගැනීමට හොඳ ක්‍රමයක

    • @jullykebeni6438
      @jullykebeni6438 3 роки тому

      Roho inakuuma kutorudi bungeni

  • @paulmadeba9224
    @paulmadeba9224 3 роки тому

    MH! Wanasiasa mnajua kujitekenya

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 3 роки тому

    Karembo huyu😘😘😘😘

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 роки тому +7

    Finally I opened my UA-cam 😄

    • @dukakuu7225
      @dukakuu7225 3 роки тому

      nunua kitu chako chochote www.dukakuu.com alafu njoo mnishukuru badae kwa huu ushauri

  • @irenejohn8194
    @irenejohn8194 3 роки тому +4

    Huyu nae ni mvuta bangi tu ona minywele yake 😉😉😉😉safari hii mpaka urudi kwenu kijijini mbwa wewe

  • @latifaibrahim4611
    @latifaibrahim4611 3 роки тому

    Tumeishakuchoka kelele zako Bunju Gwajima anatosha

  • @evamvungi4860
    @evamvungi4860 3 роки тому

    Asiekubali kushindwa c mshindani

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 3 роки тому +10

    Acha uongo dada

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 3 роки тому +11

    😂😂😂😂 wa Tanzania awapangiwi now wa najua kitu kizuri na kibaya so pambana na haliyako.

  • @francojohn8488
    @francojohn8488 3 роки тому

    Poleee,mwisho wa enzi hakuna chenye mwanzo kisichokua na mwisho my czy labda mjipange tena 2025 km uzima upo