Malalamiko ya Halima Mdee kuhusu uchaguzi
Вставка
- Опубліковано 27 жов 2020
- Mgombea ubunge katika jimbo la Kawe, kwa tiketi ya chama cha upinzani CHADEMA Halima Mdee, amelalamikia udanganyifu katika kupiga kura ambapo anasema alishuhudia mwenyewe udanganyifu huo. Hata hivyo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Tanzania Jaji Semistocles Kaijage amesema mbele ya waandishi wa habari kuwa taarifa za kukamatwa kwa kura feki ni uzushi na siyo za kweli. Kurunzi 28.10.2020
Nimesomea saikologia. Maneno yote uliyoongea ni uongo mtupu. Mungu akusaidie na kukuponya. Uache huo uongo. Maana hata usoni unaonekana unatengeneza maneno.
Nimesomea saikologia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄😄😄👍
vp uyo mchungj wak mungu wake nae kubal wiz ni mungu yup
Mwanzoni kabisa kameza hadi mate pia nikiashirio anatunga maneno😂😂😂. Speaking without any evidence doesn't bring any sense by the way.
Umesomea wapi 😅😅😅
Umeshindwa we nenda zako Gwajima oyeee
Oyeee! Halima akarushe mdomo wake mrefu mbele ya safari.
Ccm oyeee!
President Magufuli oyeee!
🇹🇿✔👍
Mawani kama bundi.🤪😂🤣
@@nishasalim2880 Na kweli utadhani mganga wa kienyeji
nyerere alitunyima elimu ili awapate wapumbavu wa kuiona ccm ni kama mungu
Subiria mbunge wako gwajima atajenga kanisa la pili badala ya kuleta maendeleo jimboni
Watu humu ni ushabiki tu wala hamjali kinachoendelea nchi nzima, mnadhani mna mkomoa mgombea, kura ni kwa ajiri ya kizazi kijacho, watoto wenu, haki kwanza bila haki ata ukifurahia haupati chochote! Kuweni wa kweli mioyoni mwenyewe acheni kashfa na maneno ya kejeli wakati watu wanapigania mambo ya maana!
Mmh! Mlituambia kitawaka. Sasa huu upole wa hivi umetokea wapi? 😂😂😂
Huyu halima mdee na mkubali Sana big up halima .......🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Gwajima oyeeeeeeeeeeee we ni jirani yangu lkn sjakupigia barabara mbaya mbweni miaka 15 tulikupa ujatufanyia chochote licha kutwa mahakamani tumekuchoka bi kidude pumzika sasa mambo ni kwa Askof Gwajima tu 😀😀😀 Nashkuru sijakosea kukuchagua
😁😁😁😁
Mlevi we umeshalewa uko njwiiii!.
Tafuta jembe ukalime..Huna chako hapo kazi tu!.
hongera dada tujenge nchi hii ni yetu sote, busara zinahitajika pia nashukuru kwa kuwa msikivu japo mimi c muumini wa chama chako umenielewa ushauri wangu pia liziki haiji kwa njia moja tu mungu huwa na sababu zake sisi ni wanadamu tu hatuna uwezo wa kutambua siri za mungu.
Pole sana ndugu yangu.Sasa hivi songa mbele,tugange yaliyopo Na yajayo.. Wewe bado kijana, fikiria maisha mengine siyo lazima uwe mwanasiasa.Hasira ni hasara
Jimboni kwangu? Limekuwa lako?
Mh.Halima, umri wako umesonga tena sana; hupaswi kuwa mwongo tena!! wewe kweli ambaye huogopi chochote kweli umeona mabegi ukaweza kutulia bila kuchukua hatua yoyote hata pcha kama uthibitisho?? pili wewe ni mgombea haki ya kumwita polisi unayo wewe kama mgombea; ukashindwa kumwita polisi alieko hapo kituoni nae athibitishe?? Acha izo,tunakujua wewe ungeyaona hayo unayoyasema ungepga nduru,ungelia tena kwa sauti ya juu na hapo ucngeondoka hivyo acha uongo
Mhu hujaona video Instagram kawaita polisi wa hicho kituo wasimamizi na wapiga kura waliokuepo,walichofanya n kuzichoma Moto hzo kura,, hapo ND alipokosea, alipoteza ushahidi
Punguza uchama shoga ww polisi watasaidia nn wakat wao wenyw wamewekwa wazilinde hizo kura za wizi
@@paulinazacharia8474 Hawezi kukosea ,ni muhuni tu ,mwanasheria gani anakosea kosa Dogo kama hilo,Ndo ujue ulikuwa ni mpango wake na kafanya vile makusudi wala sio makusudi ili kutimiza udharimu wake.Kwani kama mawakala hawakuwepo wananchi walikuwa wapi?,ambao wanaoonyeshwa masanduku na baada ya hapo yanafungwa na siri mbele yao,then yanakuwa teyari kwaajili ya kutumbukiza kura..
@@paulinazacharia8474 Ujamuelewa Dada angu hapo wewe unavyosikia Hapo una mwalimu 😂😂😂 Hizo picha za Instagram ni za mabegi😂😂 au ni kibegi
@@tesha3606 lakin liwe begi moja au mawili havitakiwi
Halima shukuru mungu kwa kila Jambo! Huo Ni mpango wa mungu ukose ubunge ili angalau upate mume Na kuijaza dunia.Umeishi ukiwa nugahembe kwa muda mrefu sana Ni wakatii wako wa kuolewa sasa Na kuzaa watoto! Usagaji sio maisha.Umewasaga wengi sana inatosha.
Dahhh poleni Sana ,, pole mdehee
Dah! Pole dada Bunge lqsafari hii kutakuwa hapa kazi tu, kapumzike kwa Amani hakuna tena kelele na ubishi, Safi sana tuwaache ccm wagombane wenyewe kwa wenyewe,
Wagombane au wajitajilishe vizuri na ufasadi wao kama zamani
Ongera dada salima kwa kazi uliyoifanya ya ujasiri nakubali kwamba wao baadhi ya wanawake wanazo akili zidi ya baadhi ya wanaume,wewe unatosha kwa ujasiri kitendo ambacho umetoka kuonesha ulimwengu ndiyo mana jeshi la polisi linafanya mizengwe ya kuzingira nyumba yako ili kuadaa ulimwengu kutaka kuficha wizi wa kura uliogunduliwa nawe asante ALLAH akubariki.
Mungu akutie nguvu we all need right ninazishangaaga sana comments za watu wenye akili timamu zinapo sapoti wizi wa kura kumbuka mgombea mmoja anapohujumiwa wanaoumia ni pamoja na waliomchagua. NEC please tendeni haki. haki hudumu for all Tanzanians.
Hamna Uhuru tz wizi mtupu
Hapo jiulize huko wamekuaje wengine
@@joycedinden530 arusha saa 1 tu washazirusha juu hamna uhuru wala haki
Tatizo la waTZ hawajui kutofautisha sasa nini kosa la mh Halima?? Huyu dada ni Suoer Woman na ni mkweli na wanamjua hilo halipingwi
@@margarethsaramaki3966 perfect watu wanashabikia immoralities its too shame. mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. halima is strong and trustfull.
Duuh kazi kweli kweli yaani ,Mungu idumishe Amani ya Taifa letu mimi naamini Mungu Kuna jambo utafanya siku moja na litashangaza kwa kuwa wewe Mungu ni Mungu wa wanyonge na hupendi kujiaibisha haki kwako ndiyo sehemu yake Kuna siku itafahamika !!!!
Pole Sana. Naamini ipo siku mungu atafungua njia usikate tamaa kila kita pita na maisha yataenderea
Yani ulishindwa hata kutoa😋😋 vídeo fupi hata kituo kimoja?
Umenichekesha kwa usemi wako Hilo nalo neno
Video mbona tunazo sisi wewe unaishi tanzania ya wapi?🤣🤣🤣
Unaishi jehanamu nini mbona video zipo kibao za makura feki hasa za jimbo la kawe zinaonekana social media kweli wee ndezi
@@josephferdinandy9823 nasi tuzione basi
"0:55"
I don't need anymore my work thanks to *p y p t o l m o n. x y z*
I can finally enjoy life thanks
අනුගාමිකයන් ඇති කර ගැනීමට හොඳ ක්රමයක
huna hoja wew kibib huna jipyaa kaaa pemben acha kusmhilisha mungu kwa usanii wako huo huna hoja mishindwa mnaanza porojo chadema tunawajua kwa porojo bhana achen hamsitustuwi
HE rahma ninavyokujua na ,aisha yako magumu unaongea kwa watu hivyo
Afu anaongea kihuni
Ngoja siku yata kukuta ndio utajua
Unadharau we Rahma, pia hayajakukuta2 kwa hiyo anachokiongea Mdee anajiongelesha2!? Ni haki yake lazima aongee
@@yohanabundala9162 huyo anatetea ugali wake kaongoza miaka 10 kawe kafanya nin sasa cha maana😀😀
It's a new beginning mama! unaongelea mambo ya zamani!
Pole sana,ngoja tuwaone this time wakiwa wenyewe bungeni,tupate experience mpya..hakuna marefu yasiyo na ncha,tuombe uzima,kwani tutaendelea kushuhudia maajabu mengi
Mazingaombwe ya kutosha bunge safari hii
Hayo mazungumzo, dah! We ni kinongozi kweli? Bora umeshindwa
Hadi nimeshangaa eti nikamkuta amesiz ,chadema bangi tu
CHADEMA huwa mnalalamika tu bila action mnatupotezea muda tu mimi kuanzia leo CCM damu damu wala sitabadilika tena.
Pole sana sister tunakuelewa
Kweli
Jaman
Inshallah ushindwe rikodi yako mbaya sana wee
Unakamata begi unamuacha mbeba begi kweli hii inaingia akilin
@@meme123naser6 Hhhhhhhhh
Bana subiri utapata viti maalum
Kwa mbowe
🙄🙄🙄
😁😁😁😁😁
kwanini jimbo lako.../MWONGO WEWE...MUNGU ANAKUONA..
vp ccm mungu awaoni ndo mahn wana burz watu
@@kingsanya6860 Mjipange....Muache fujo na hila...imalisheni chama chenu....watu hawawaamini..kama nyie wenyewe mnanyimana haki ndani ya chama...mtampaje haki mtanzania,,jipangeni,,jamii haiwaamini ila wapenda fujo na vituko peke yao
Ccm wanaonwa na mamako
Daaaaaaaaaah muongo kinyama
Huna mpya Dada
Hahahaa, upako,upako wa Mungu. Siku zote watanzania hatupigani vita kwa nguvu zetu , Bali Mungu anatupigania. Wachache msio amini mnapona kwa imani ya walio na imani. Mungu bariki uchaguzi Mungu ibariki Tanzania.
Pole Mama, 2mia pesa vzr Ushafeli
Mimi bado sijaelewa, mmekamata mabegi ya kura halafu yanachomwa moto, mmeharibu evidence.
Ajabu😂😂😂😂😂😂😂😂
zipo hawakuchoma
Umesikia vibaya wajachoma
Zipo wapi ili zipelekwe kufanyiwa uchunguzi kama ni karatasi kutoka tume
Kisheria alikua anatakiwa kua na kibari maalumu cha search warrant NA KAMA WALISHIKA HIZO KURA KWANINI WALIZITEKETEZA KWA MOTO? TAFADHALI WATANZANIA MSIFUATE MIKUMBO
Hawana lolote huyu bibi kidude kweli akamate mtu kitu cha kwanza ni video na picha zingesambaa. Mitaani in second halima nice try we are not buying
Kwa ulimwengu huu unaongeaa maneno tuu, duuuh afu mbunge uliekula kodi zet miaka yote hiyoo duuuh
Umeona eee walizoea hawa wacha upepo wa kisulisuli uwasugue pa1na Yule wa mbeya mjini😅😅😅
"0:55"
I don't need anymore my work thanks to *p y p t o l m o n. x y z*
I can finally enjoy life thanks
අනුගාමිකයන් ඇති කර ගැනීමට හොඳ ක්රමයක
Oiii
Nimeiona hiyo prophetic bango of Love mkononi🤝🤝 ya Chief Prophet
Mwenyezi mungu ndiye mjuzi hakuna anayemuweza binadam ila mungu peke yake
Huu uongo unafikunavyomjua halima mdee angekuwa ametulia hivi kama Kweli kashika kura, mmnnhh
Sasa izo kula kwann ujazipiga picha kwaushaidi ili sisi wananchi tuamini naomba fanya mpango utuonyeshe hayo bag yalio jaa kula ili tuamini maana uwongo uezidi
Hata me sijamuelewa
MUNGU hawezi akakuteuwa wewe kuwa kiongozi .❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎❎
Yaani wanasaikologia hatuchelewi kutambua uongo ..
"" namshukru mungu Ali aliniwe wee" angalia action on face ni uongo mtupu😂😂
Huu sio uongo video mm mnayo wala sijaifuta
Niukweli vidio zimeonexha kabixa zipo vidio
Umekosa sifa zote nzuri....... ulizo nazo zote ni mbaya, hufai asubuhi, mchana, jioni wala usiku.
Ajafanyiwa Halima dhuruma tumefanyiwa sie wananchi na wana wa wajukuu zetu Mungu atulipe c kesho sasa
Halima umeshindwa uchaguzi.End off.
so mnasherehekea muongozwe na gwanjima mwenye kuonyesha chuki dhidi ya waisilamu na hata wakristo wasio dhehebu lake?
@@kingwattanlibz9391 Wewe usituletee uchonganishi wa Dini lol
Sio ameshindwa uchaguzi hem kua naadabu jap kidoogo halima amepokonywa haki ya ushindi wakeee
Nawaliomo madarakani woote kuanzia chini hadi juu inaelekea wametoka ktk maisha dhalili ndio maana hawataki kuacha madarakaa
Evidence iko wp?
Sauti ya zege nakubari alakati zako
Pole sana dada sasa kwakatiba hii dada yetu nn kifanyike
Anavosema jimboni kwake Ana maanisha nn.....kwani ana jimbo huyu asa ivi!!??😁😁😆😆😅atuache kwanza uyu bibi
We need a woman like you Halima
Unakuta mabegi ya kura halafu unayaachia hupigi hata picha wala kuyakamata hata moja tu
@@haggaikinyau1395 labda walishafanya hivyo. Wasingeongea hewani
Wee hu na akili
Yeah chadema need a womenlike she but not Tanzanians... don't include us pls
Kwendaaa kalime bunge co kwenu
Dada tuko pamoja
Tutaandamana kuidai nnchi yetu dhidi ya mkoloni mweusi....tutawalinda viongozi wetu
Umedataaaa bungeni zerooooo
Yani hauoni chochote kinachoendelea hiyo roho gani?
@@gwanman1858 halima huyu ni gangster, tyshamzie akapumzike in peace..labda atapata jibu la jinsia yake ni ipi msagaji au wa kawaida
uyo gwajim ndo zimo au wewe kondoo wake nini
@@kingsanya6860 utajua kesho kama anazo au hana
Wa Tanzania mpo . Kenya tunawapenda sana 😂😂😂😂😂
Tuombeeni kwa Mungu
Sawa Jack king
@@JKQGAME , kwani mambo yako vipi , tulisikia kuna kimbunga cha Tundu Lisu ???
@@kingsolomon0 kweli cjui isitoshe nikaa mbali kidogo na mjini Jack
Tupo vp kwenu uko hali vp
Halima ubunge sio ajira ya kudumu kuwa lazima ufike miaka 60 au ustaafu kwa hiari miaka 55 ila maamuzi ya wananchi. Nachokushauri ziba mdomo upate heshima na tunza peshen uendeshe maisha kwa mtindo mwingine siasa hizo acha sifa
Nakupenda. May
Kampeni noma kumbe mweusiii hivi! ..njoo kanda ya ziwa upate mme
Tuonesheni evidence 😀😂😂😂 kila mwananchi ckuiz ana smart phone wangepiga picha huo uongo kubali kushindwa muhuni wetu kiroho safi
Haukuwa na vpn ww ndo hujui kinahoendelea
nunua kitu chako chochote www.dukakuu.com alafu njoo mnishukuru badae kwa huu ushauri
MWACHIE GWAJIMA MAMA. WEWE NI MLALAMISHI MNO, WATU WANAONA.
Pole sana aiseee
Mhuu kumekuchaaaa
Usiaminishe Umma maovu yko, Hakuna kitu kama icho ktk kituo cha Jangwani
Hivi kwanini hawa jamaa huwa hawakubali kushindwaa?.. Hahahaa
Uchaguzi ili uwe flesh lazma mdeee uwe mbunge?/au mbowe ,zitto ,lema wawe wabunge? Au sugu nk?/mmekaaa bungeni miaka mingi sana kazi yenu ni kukashifu government tu I'll mujulikane ,,hiii safi kabisa yaan good
Kwani we halima umeshawahi fanya tathmini ya jimboni mwako kuwa ni wangapi wanakuhitaji na wasiokuhitaji, katika utafiti wangu binafsi niliofanya watu hawakupendi ukiacha wachache wanaokuvimbisha bichwa. Cheefuuuu!
Hatari tupu kwanini hataki kuondoka madarakani
Hatari fire
Shoga la ccm abdulla kauze mkundu
Njaa kali
@@adenwarsame7357 njoo utolewe malinda
Nduguu madaraka rahaaaaa😁😁😁😁😁
Huyu kasha data! Gwajiboy oyeeeeeeeeee
Nakupenda xanaaa
Nakupenda bure kamam ume vaa gold zina onyesha
Hivi wale watu wa kupima mkojo ili ku-observe kama mtu anatumia madawa siku hizi wako wapi?
"Chukueni Sample hapa"
🤣🤣🤣🤣🤣
sample itachanganywa na ya kwako
😃😃😃
Kabisaa maana kulalamika kwake ndiyo anaona maendeleo ya wananchi UMESHINDWAA kubali matokeo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahahaha yani chadema mkute kura feki mtulie nyie au wengine acheni kutuchocha hamna jipya hamtakaa amini mtakachokisikia
Mwenyezi Mungu hajahafilika na kinachoendelea nchini tunamuomba wape azabu kali wote waluohusika kuuvuruga uchaguzi kuazia Rais na tume yake pamoja na hao wenye kujitoa kiherehere.
Muulize mwenzi Es braya
Toa evidence, ya mabagi hayo, wapi picha
HUYU NI WA KUPUUZWA TU KELELE ZA NINI SI UNA USHAHIDI KAFUNGUE KESI MAHAKAMANI. NYIE CHADEMA KWA SERIKALI HII YA MAGUFULI KUSHINDWA KWENU NI HALALI . HATA KURA MLIZOPATA LABDA MLIPEWA NA MAFISADI NA FAMILIA ZENU. HATUWAPENDI KABISA HAMNA MNACHOKIFANYA ZAIDI YA UPUUZI TU UONGO , UZUSHI NA MAKELELE! KWA UJUMLA HAMNA JIPYA TENA MMEBAKI VITUKO . CHAMA KIZUMA CHALI ?? MJUE WATANZANIA SIO WAJINGA TENA HAWASHABIKII UKANDA WANATAKA MAENDRLEO. OVYO LABISA NYIE.
Kwani hamjaona
Mbona mhuni mhuni hivi!! Sijawahi kumsikiliza ila leo nimegundua huyu sio ni drug inamdrive mmoja wa genge la wapiga nyagi
😁😁😁😁😁
Pole sana
Ulikuta kura feki na hukuita waandishi kwa ninavyokufahamu??? Acheni kutufanya watanzania hatuna ubongo wa kufikiri. Nawasihi wapenda amani kuwapuuza vikali watu wa namna hii. Amen
Alafu mi uyu dada ata simuelewi.mapovu yanamtoka kwa uroho wa madaraka.kawe umefanya nini kikubwa? Ndugu zangu msisubutu kupotoshwa na awa wapenda madaraka✌🏼🇹🇿.
Big up mama
Iyo ndio Tanzania ya wanyonge ukisema ukweli wewe ni rock up
Halima imeishaa hiyo karudie kazi yako ya zamani na esta bulaya ya kusagana
Mikocheni mawakala wa wake walikuwepo wa tatu mimi nimepigia hapo mpaka wengine wanatoka na kurudi sasa hapo unadanganya nn
Wewe no mtu mzima hembu. Jaribu. Kutumia uwezo wako was kufikili vzr ingalao ujitofautishe na mtoto mdogo. Labda kidogo nikusaidie kufikili kidogo.halima anaongelea mbinu za wizi wa kura uliotokea mahsla pengi Tanzania na hspa anasisitiza Hindi eixi was kura ulivyofanyika ktk maeneo mengi ya Jimbo la kawe.si lazima mbinu iliyotumika mikocheni itumike Kila mahali.kwa mfsno unajuaje mawakal walifika saa ngapi vituoni?unanua kuwa mawaksla wengi walitolewa.vituoni ,ili wizi ufanyike?unajua kuwa Kuna sehemu mawajsla walufukyzwa.?HV unsjua kuwa mpaka maaskali walikywa wana mabegi ya
kura.
Yani kuwatetea Hawa watu walioshinda kwa hila ni jujivunjia heshima na kuhalilisha utu wako.hv unajua madhala ya kuwa na uchaguz wa kijinga kiasi hiki kwa maisha yako ya kesho.
@@josephdogan7650 nisikilize meakala walifika mapema sanaaa walikuwa 2 kwa kituo kimoja wa chadema pia katibu wa kata wa chadema nayeye alikuja sisi ty.eingia wakala tumemkuta sasa nawashangaaaaaa
Halima mdee naye alikuwa Mbunge wa wapi maana huyu ni Raia tu kama mm tu
Aje tu nimuoe mm😅😅😅
hahahaaaaa
Apo umedanyanya yaaani mimi nimepigia kituo cha mikocheni nilikuwa nampa marleezo wakala wako !likuwepo tena wakaja wengine 3 mawakala wako akataka kutokatoka tuka.wambia akae chini aangalie kila kama wa ccm alivyo kuwa muda wa saa mbili asubuh sasa unapo sema hivyo unadanganyaa
Duh huyu kumbe ni shida kumbe ni muongo asituharibie Tanzania yetu.
Pole sana Dada tupo pamoja
Gwaji Boy amekemea mapepo yote...
Unajua Umeshindwa.... kudadadeki...... Hatukutaki mara hii.... CCM WINS KAWE 80%✔
Wewe Halima mungu anakuona unajua ulichokifanya huna lolote kila siku hamuishi kutafuta shari, yataja wapata mnayoyatafuta muogopeni mungu kha!
Mmh, yaan sijawahi kukuelewa, mumeo ana kazi sana
Ushahidi uko wapi.? Tushawazoea na kutunga story nyie.mgekuwa mmepigwa hata picha tunavyowajua nyie.achauongo.katafute kazi nyingine mama tumekuchoka wakazi wa kawe
Etii!! Huyu Halima aziachie kura feki kasha shindwa huyu Dada moja maelezo ukiyachanganua hayaendanani kabisa
@jenny Yusufu wewe mwenyeji wa Kawe gani?
Nyie makuma ushahidi upo wakutoshaaa
Kura zilikuepo zmechomwa moto
@@michaelmwangoka6793 na kwann zichomwe badala ya kuchukuliwa kama ushahid?
Zitachafuka sana hizo raba
Madam Halima uko sawa kwa haki n uhuru wako kujieleza.
Hhhhhh ila wwe kweri kirasiku shida shida tu? Amini kuwa umeshindwa acha kuchafuwa Wenzako Dada,
Nani achafuliwe YAANI WATU WANACHEKESHA YAANI UWE JAMBAZI AU MWIZI HALAFU ETI WATU WANYAMAZE . KAZI YA UCHEKESHAJI HAPA SI SEHEMU YAKE
Unashabikia upumbafu ambao hata mungu haukubari. Shenzi kabsa. Nyie ndio mnao vunja amaini hii aratibutaratibu kwa ushabiki wa kijinga.
Ukweli unaonekana na bado mnashabikia. Ugaidi ndio unaanziaga hapo.
Unasikia kwa matako au masikio
Peleka uozo huko huna lolote mwendawazimu mkubwa tafuta bwana uoelewe akili ikuwe sawa si uzithibitishe hizo kura nyooooo!!!
Wewe ndo kuma kuma la mamako
Matusi na Dharau sio Mpango wadau tunachoreshana huko kwa Wajerumani ... Mwisho wataona waliwahi kutuachia UHURU watarudi tena ... Hahahaha
🤣🤣🤣
@@sulelubwaza9335 wewe lazima utakuwa mchadema.
@@sulelubwaza9335 Punguza Matusi Kidogo Hayatakusaidia Zaidi Ya Kuwa Mjinga
Hahhahahahahahhahahaha
Poleni Sana makamanda wetu tunapitia kipindi kigumu sana
YESU anawapenda sanaa karibu kwa YESU
Mama kazi yako imekwisha wewe kasubili matokeo, kulalamika ndiyo zako 🤨🤨🤨
Muongo wewe mbona masaki hujaja na km unaweza kutembelea vituo mbona ilivyokua Mbunge hujawahi kututembelea mitaani kwetu km ningetaka mabadiliko Bora kuchagua chama kingine sio wewe fyuuuu
Kweli kabisa achie ngazi ccm babalaooo
@@saadarashid8174 Bora hata angeshinda cuf ama hata asie na jina
Anayosema mzee ni sawa kabisaa maana Mimi pia kabla ya uchaguz nilikua safar moja ya kurud Tz na baroz furan tuliongea mengi na kusema kwa Ss hakutakuja kua na upinzani bungeni hata mmoja na ikitokea basi huyo mbunge au kiongoz wa upinzan hua haipond serikal kiukwel maongez yetu halikua marefu sana na kwakua nilikua nabisha aliweza kusisitiza kwamba kama ntabisha sana namba Yake ya simu nichukue hili baada ya uchaguz nimjulie hali na kumpa mrejesho wa matokeo ya uchaguz yatakua sio vile alivyoniambia
"0:55"
I don't need anymore my work thanks to *p y p t o l m o n. x y z*
I can finally enjoy life thanks
අනුගාමිකයන් ඇති කර ගැනීමට හොඳ ක්රමයක
Roho inakuuma kutorudi bungeni
MH! Wanasiasa mnajua kujitekenya
Karembo huyu😘😘😘😘
Finally I opened my UA-cam 😄
nunua kitu chako chochote www.dukakuu.com alafu njoo mnishukuru badae kwa huu ushauri
Huyu nae ni mvuta bangi tu ona minywele yake 😉😉😉😉safari hii mpaka urudi kwenu kijijini mbwa wewe
Tumeishakuchoka kelele zako Bunju Gwajima anatosha
Asiekubali kushindwa c mshindani
Acha uongo dada
😂😂😂😂 wa Tanzania awapangiwi now wa najua kitu kizuri na kibaya so pambana na haliyako.
Poleee,mwisho wa enzi hakuna chenye mwanzo kisichokua na mwisho my czy labda mjipange tena 2025 km uzima upo