Jaman inatia huruma Kuna kijana aliletwa pale maunt Mer usiku wamegongana na mwenzake analalamika anasema Mimi Ni maskin ninafamilia inanitegemea mguu wangu unaenda kukatwa
Mm sina Chama na wala sitakua na Chama ila huyu Jamaa ni mjanja sana. Alikua kwenye bunge 10yrs hakuna kitu cha maana Amefanya ni sweet mouth.anayeka kisaikolojoa taraaatib dawa inawaingia 😂
Sikubaliani na huyo dereva wa bodaboda mmejipanga bw.sasa mnasemaje bodaboda waonddolewe ?sidhani kama ni jambo zuri.navyojua simu na bodaboda zimechangia maendeleo sana.ajali ni kitu cha kawaida lakini pia nyingi wanajitakia maana hawatii sheri,kuhusu agirà hata ulaya wadomi wanajtafutia
Jamani , wasipofanya bodaboda watalisha nini familia, na tuachane na boda kuwa maskini…. Ila inatakiwa ziwe za clean energy, less pollution boda zote zinazotumia petrol zifutwe zije electric boda wafubdishwe safety measures …. Serikali haiwezi ajiri kila mtanzania… kumbukeni population ni 61 million Tupo wengi mnooo… boda pia wanaendesha bila precautions….tuache vyama tucheki solution ni nini
Sasa si mwanachama ndo analiongelea wewe unalijua mbona upo kimyatu,shida sio petrol ni madahali mengine hatarishi after miaka kama upepo,,Kwani isipotumia petrol hawo boda hawataathirika kwa upepo?
Yeye ana utajiri gani wa kuwasaidia watu wa Bodaboda, Halafu anajifanya eti chakula ni ghali Tanzania, hebu muulizeni sahani moja ya Chakula Canada ni kiasi gani kama hamjampiga Mawe. Mbapoteza muda Wenu kwenda kumsikiliza Lema ambaye hawezi kutattua matatizo yenu. Pumbavu kabisa.
Sasa Arusha kuna mnaosema kwamba Lema hapendwi saizi hatumtaki! Ndo mniambie kwenye mkutano wake mnafuata nini? Baki magetoni kwenu kama lema hana hoja!
Wote mnaomsifu lema mnadanganya hakuna lolote madhaifu mengi jukwaani hakuna tja yoyote kulaumu na kutafuta huruma ya wananchi mtu mwenyewe akili hawezi kusimama na kuendelea kujaza mapochi ya wengine, Chama kimejaa ubinafsi
Kile chama kinachotawala ni lini kimeacha kufanya kampeni? Hawa hawjakutana na wananchi tangu uchaguzi ulipokwisha. Walizuiwa hata kwenda majimboni kushukuru wapiga kura wao. Miaka sita hivi wamezuiwa kufanya mikutano! Haki iko wapi? Vyombo vya habari hususan TV ya taifa inanadi na kusifia upande mmoja tu! Ndo sababu watu wanadai Haki sawa na kuandikwa kwa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!
Mm naendesha pkpk binafsi ni kweli viungo vinaniuma hasa mgongo godoro laini halinifai na macho yanawashaga balaa anayosema ni kweli ili tujipange na tutakayokutana baadae na hizii pkpk
mwwheshimiwa bowe amini alusha umepata mtu saii kabisa lema mtu saii sana
The still Iron from Northern Tanzania, Godbless Lema. Jah Blessing Sir.
Mhe Lema karibu sana ngorongoro
KING LEMA
Namkubali sana huyu mnyama wangu wa M4C
Swala la boda boda Ni kweli kifua kinauma mgongo mbeleni Kuna atar kubwa mungu atusaidie
Aliyemsikia mwamba aliyesema sawa mtabiri tujuane
Huyu jamaa ni unstoppable Gambo hamumez kabisa huyu mwamba anatisha kama njaa 🤓🤓
Kweli
Kabisa
Jaman inatia huruma Kuna kijana aliletwa pale maunt Mer usiku wamegongana na mwenzake analalamika anasema Mimi Ni maskin ninafamilia inanitegemea mguu wangu unaenda kukatwa
Gambo sio size ya Kiumbe huyu Mkuu. Na wala gambo sio mchaguliwa na Wana Arusha, bali ni mteuliwa wa mwendazake kama wenzake na bunge zima lilivyo.
Hiki Chuma cha kazi
Safi sana kamanda
Wod maalumu kwa jili ya bodaboda washajua si ni wa majanga kila siku😭😭😭
Dah! Umeonaee
lema uko vizuri njoo Zanzibar tutakusikiliza vjana
Usitumie maneno machafu iliuweze kuelewekana kila mtu..tunapenda ustarabu.eleza sera zako Watu watanaelewa.
"ANGALIENI MIAKA ISHIRINI MBELE"
Una akili Lema
Lema nakupenda sanaaaaaaaa Kaka yangu....
Daaa sema huyu mwamba 🔥🔥🔥
Duh, hongera. Mh. Lema, una watu kwa kweli
Huyu jamaa anajaza
Nchi inanoga sasa yan inshort ccm haiwez kuwa bora kama hakuna chadema na hakuna chadema bila ccm🔥🔥🔥🔥
Mimi ni chadema naunga mkono hoja 🔥🔥
Kamanda LEMA washa babaaaa 💥💥💥💥
Uyu jamaa anafaa kuwa kiongozi wa ngazi za juu
Huo ndo ukweli bodaboda ni huzuni tu mixer vifo daily
Tunakupenda lema❤
Wa kwanza leo like zangu
Lema kama lema.
Ukwelii una wauma mpka wananchi wasiojielewa mwenye Arusha yake amekuja tulie .
KWANI HAWA HUWA WANASEMEA UPINZANI UPI?MAKELELE MENGI,,,MAGUFULI NDO ALIKUWAGA MWANAUME WAO,,
SIASA TAKA ZA MAJIMBO
KWANI SI KILA MTU ATAKULA KWA JASHO LAKE AU
Bodaboda ipo Dunia nzima lkn kwakua wavuta bangi umewakusanya hapo lkn Arusha hushind tena
Ccm 2025 wajiangalie,c kwa mtiti uo, Maana watanzania walivyo wachoka, labda wafanye ile janja ya nyani, kama kawaida yao
Ila jamaa ana watu
Lema huna akiri Wala hoja zakuisaidia Arusha na Jimbo la Arusha ccm hawawez kuliachia tena kwenye upinzan
Arusha sasa imerudi mikononi mwa ✌ , kijani mjiandae
huko Arusha hakuna muda wa kupumzika😂😂
ppppppp
umeona eeee hahaaaahaahaaahaaahaaaahaaaaahaaaa kazikazii😂
Ubunge Unatafutwa kwa Fujo sana.
Mimi mwenyewe nimelala nasijui nitapona lini kwa sababu ya bodobodo
Kwani kinachowaua Bodaboda ni ajali zinazosababishwa na kutofuata sheria za barabarani au research yako inasemaje mh. Lema??
Huyu king anaongea ukwel but Tanzania hakuna ushirikiano mkiambiwa ukwel mna mind
Hawa raia wanafki sana, akija gambo nao utawaskia ni kweli, kweli baba
Wabongo awajielewi
Wakipewa kila mtu jelo la mbege yanabaki yanashangilia tu hadi upuuzi🤣🤣🤣
Nchi ngumu hiii
Ongea baba ccm ni upuuzi
Mpuuzi wewe acha uongo sehemu gani serikali imesema bodaboda wawekewe ward maalum wakatwe miguu? Pumbavu mwenyewe
huyu jamaa ni noma ndo maana walimhamisha ccm naona Sasa hawana amani
Sema kweli ndugu yangu
Ahsante lema
Mm sina Chama na wala sitakua na Chama ila huyu Jamaa ni mjanja sana. Alikua kwenye bunge 10yrs hakuna kitu cha maana Amefanya ni sweet mouth.anayeka kisaikolojoa taraaatib dawa inawaingia 😂
Africa wanaho fanya kazi niwale walihopo madarakani ndugu wegine wanasidikiza tu swali lagu kwako wana ccm waliko kwasasa wanafanya nini?
Mwamba umetishaa Kama njaaa✌️
Unajua Kazi za mbunge?
Hlo jimbo la Gambo tu haliwez kuongozwa na kichaa lema
Unakoroga matope fanya Jambo huo umaskini unaouimba hapo uondoke ndipo tukuamini acha propoganda siasa zauchuro hizo,
Acheni ujinga kwahiyo wote tunafanana wengine tunalilia ata bodaboda kila mtu anapa.mbana na Mambo yake
Maneno ya kweli kabisa. Ridhiwani Kikwete akipeleka bodaboda ndio itakua biashara halisi
Hahaha macho fumba mjinga
Mbona kama lema nae sauti kama bodaboda au kifua kimeoza naupepo 🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Mtu anaumwa watu wanashangilia,daaaaah!😂
Sasahapa ndipo tutafika SAMIA kwahili uposawa kuruhusu mikutano hiindio TZ iliyo changamka🤣🤣 ushauri SAMIA chukua yaliyo mema yatekeleze ukweli boda boda sio AJIRA naunga mkono😂😂
Lema achakelele toa suluisho uwasaidie vijana wa bodaboda uko njiani kurudi Canada wewe ni nabii wa uongo na kura hauna tena.
Watu wanataka majibu sio maneno matupu ww miaka 10 ulokaa bungeni umefanya nn ??
Safi kamanda nchi ya q
Ukweli mchungu
Mmeanza zile mboyoyo zenu au tuwafungie Tena kufanya mikutano
Sikubaliani na huyo dereva wa bodaboda mmejipanga bw.sasa mnasemaje bodaboda waonddolewe ?sidhani kama ni jambo zuri.navyojua simu na bodaboda zimechangia maendeleo sana.ajali ni kitu cha kawaida lakini pia nyingi wanajitakia maana hawatii sheri,kuhusu agirà hata ulaya wadomi wanajtafutia
Eti baada ya kutoka Nje ndy anajua ku a vituo vingi vya bodaboda🤣🤣
hivi unaitwa kusa au kunza?
Na we ni chawa etiiii???
LEMA KWA SERA ZA BODABODA SIDHANI KAMA UTATOBOA, WATU WAMEJENGA NYUMBA KWA KAZI YA BODABODA, KILA MTU ATAKULA UREFU WA KAMBA YAKE.
Uyo dad heee akilala Sauti ana Mahan sio kwa mahaba hayo
Ndugai aliwahi kukataza wabunge wasipande boda alijua sio usafiri au?
Fact
Jamani , wasipofanya bodaboda watalisha nini familia, na tuachane na boda kuwa maskini…. Ila inatakiwa ziwe za clean energy, less pollution boda zote zinazotumia petrol zifutwe zije electric boda wafubdishwe safety measures …. Serikali haiwezi ajiri kila mtanzania… kumbukeni population ni 61 million Tupo wengi mnooo… boda pia wanaendesha bila precautions….tuache vyama tucheki solution ni nini
Sasa si mwanachama ndo analiongelea wewe unalijua mbona upo kimyatu,shida sio petrol ni madahali mengine hatarishi after miaka kama upepo,,Kwani isipotumia petrol hawo boda hawataathirika kwa upepo?
Kwan kaz ni moja tu
Safi kamandaaa
Mh unatuachaje?? “Kama nlivyowakuta”😂😂
Sasa kaka lema ukiwatoa boda boda wake zetu watabebwa na nani jmn
Hajasema bodaboda watoke! Rai yake ni kwa serkali ije na mipango mizuri ya ajira zinazoeleweka kwa vijana!
✌️✌️✌️✌️💯
King
Hakuna kitu hapa
Muwamba Ngoma huyu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapana unabii hapana zungumzia siasa tu
Jamaa kampanga😂😂😂😂
Naaamini ipo cku chadema itashika nch
Siyasa za majitaka wewe ulikuwa mmbunge miaka 15 nini ulichokifanya Yani mtuu anaakaa nakupoteza muda wake kwa kusikiliza siasa za chadema
Unajua kazi ya mbunge wew. Au unafikiri mbunge ni serikali
Watanzania wengi hawaelewi umasikini nautajili wao wakipata musositumaisha yananoga
Mmoja wapo ni wewe
Yeye ana utajiri gani wa kuwasaidia watu wa Bodaboda, Halafu anajifanya eti chakula ni ghali Tanzania, hebu muulizeni sahani moja ya Chakula Canada ni kiasi gani kama hamjampiga Mawe. Mbapoteza muda Wenu kwenda kumsikiliza Lema ambaye hawezi kutattua matatizo yenu. Pumbavu kabisa.
Very nice
Siyo lasima waendeshe ama ukawape ajira
Sio lasima yaani kiswahili chako tu nimekusoma nchii kuwakomboawatu wakiswahili chako ningumu sana
Semaaaa
👏👏👏
Mmmmh lema upo spead sana punguza plesha utaludishwa ulikotoka haki
Sasa Arusha kuna mnaosema kwamba Lema hapendwi saizi hatumtaki! Ndo mniambie kwenye mkutano wake mnafuata nini? Baki magetoni kwenu kama lema hana hoja!
Elimu nusu shida
Hapo sio kwamba watu wanaelewa wanashangilia kwa sababu ya michambo.
Wape mbadala.Bodaboda la kuambiwa ongeza na yako.
Wape mtaji mzee
Serikali ndyo anatakiwa kutoa mtaji shee,lema anawasemea,wanaochukua tozo
Hivi watu hawana kazi za kufanya, Wanapoteza muda wao for nothing
Wewe unayo ukapata mda wa ku comment!
Shida nin kwan
@@musaisandeko8352 umempata kweli muda wa ku chat ndiyo anauona ni ushujaa
Yeye kujua neno "for nothing" basi ana jikweeza awatangazie nafasi za kaz sasa
Wote mnaomsifu lema mnadanganya hakuna lolote madhaifu mengi jukwaani hakuna tja yoyote kulaumu na kutafuta huruma ya wananchi mtu mwenyewe akili hawezi kusimama na kuendelea kujaza mapochi ya wengine,
Chama kimejaa ubinafsi
Lema km lema
ULIKUA MBUNGE MIAKA KUMI ULIFANYA NINI?
Na ukija kukosa kura usilalamike nyau ww..
😢😢😢
Mmmmh hizi kampn za mapma hii ...hebu tuone
Kile chama kinachotawala ni lini kimeacha kufanya kampeni? Hawa hawjakutana na wananchi tangu uchaguzi ulipokwisha. Walizuiwa hata kwenda majimboni kushukuru wapiga kura wao. Miaka sita hivi wamezuiwa kufanya mikutano! Haki iko wapi? Vyombo vya habari hususan TV ya taifa inanadi na kusifia upande mmoja tu! Ndo sababu watu wanadai Haki sawa na kuandikwa kwa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!
ila kweli boda boda ni umasikini sana serikali ipunguze kodi watu waingize mitambo ndani
Bingo bahati mbaya,mheshimiwa unatuachaje?? Kama nilivyowakuta..😂.
Ana njaa huyo.!!! Hana lolote hata akipewa nchi. Hatabadili lolote. Mazwazwa ndo wanamwamini.
hata anavyo ongea hapa ni hayo hayo anayo ongea mitandaoni anarejea hayo hayo kila siku
Naomba tofauti ya mtu anayepanda boda boda kama abiria na mtu anayetumia pikipiki kama usafir binafsi pengine tunatukanwa wengi
Mm naendesha pkpk binafsi ni kweli viungo vinaniuma hasa mgongo godoro laini halinifai na macho yanawashaga balaa anayosema ni kweli ili tujipange na tutakayokutana baadae na hizii pkpk
@@geraldlyimo2859 ni nchi gani ambayo pikipiki hazitumiki au ndo tunaanza tanzania
Kamanda Lema
🥰🥰
Du shaz
Huyu. Anataka bodaboda zipigwe marufuku ili waseme vijana hawana ajira tulio soma Cuba tushaelewa