BULAYA: MDEE ALINIVUNJIA LAPTOP/ NINA NGUVU NJE YA CHADEMA/ NITAJIUZULU UBUNGE/ NILIMTEMBELEA MBOWE
Вставка
- Опубліковано 10 чер 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Hongera saaana Ester . Wewe ni kamanda na utabaki kuwa kamanda Big up sana
Bulaya nimekukubali sana!!!
Kwa kauli zake .
Yaan huna chakutushawishi kbs wewe na hao wenzio 19 maana mmeingia kimazabe bila chama leo ukionekana unapiga vita lushwa na ubadhilifu wa mali za uma haingii akili kbs
Bulaya na Halima na wengine kiukweli mko vizuri kimsimamo na tumewa- mis sana mungu awasimamie katika madhila yaliyowatokea
Esta unaposema taasisi lazima iieshimiwe imekuaje Sasa mpo bungeni nawakati taasisi imewataka mtoke bungeni nanyinnyi hamtaki kutoka.
Acha hiyo
MNATAFUTA KURA MBONA. HAKUJIUZULU KABLA YA UCHAGUZI UNAOTAKA KUFANYIKA MNGELIKATAA KUTUSALITI NA MMSAINI. DPW
Big up Ester Bulaya
Msema kweli Ni mpenzi wa mungu ❤
Tupo wengi tu tunaowaunga mkono wanachama la wana insh allaah mtarudi
Umekula umeshiba
Bulaya uko vizuri..hivi jimbo lako liko wazi au kuna mtu anammiliki
EASTER BULAYA NI MWANAMKE SHUPAVU NA MWENYE MISIMAMO ASIYEYUMBISHWA , ANA FOCUS MBELE NA NDOTO YAKE IKITIMIA ATASHUHUDIA ULIMWENGU, AMETETEA WANAWAKE WANYONGE HATA BILA KUJITANGAZA MITANDAONI. MWANDISHI UNAMUULIZA MASWALI YENYE NGUVU YA KUMFAHAMU EASTER BULAYA NA MWANDISHI MWENZAKO PIA. BUG UP.
Esta nakukubali sana,ilanachóona hampewi nafasi nzuri ya kujenga hoja bungeni nakufuatilia sana wewe na Halima mdee mnapoanza kujenga hoja kunaibuka mambo ya taarifa,nikama mnapotezewapotezewa kinamnafumani hivi.Ila nachofurahi hamkasiriki Wala kususa.Mnajuamnachofanya.keep it up
VIPI WAPEWE NAASI YAHOJA,NAWAO WALIWEKWA BUNGENI KWA KUWASAIDIA MA ccm MUULIZAJI UNASAHAU WALIPO INIKWA MKAA MWEUSI HADI KUJIFUNIKA SANDA ZAMAITI KULEEE ULE WAKATI WANAELEKEYA MAGEREEZA ???
Na wewe uko vizuri ila ingia kwenye siasa safi
Strong woman ❤
❤ na kuku Bali jembe
Unawakilisha kwa chama gani ?
My favourite mtangazaji
1
Sana Sana mama chendema juu
Huyo ni ccm ndugai
Mzee baba lambart upo vzr kaka, una kitu utafika mbari 😂😂
Mwandishi acha unafiki hao sio wabunge wa chadema
Unakuhusu nini. A heni atusaidie wanyonge
Dar 24 huyo sio Mbunge wa Chadema acha kutuletea mikosi wewe
ATAWEZAAAA, KUJIUZULU SI KAZI NINI?. 😅😅😅
Dada bulaya songa mbele dadaa
upuuz mtupu
Wabunge waccm wanafanya maigizo bungeni kwatuaminisha eti wanatupambania, huuniupumbavu zaidi yakiwango, kwanini hawataki katibampya yenyemisingirafiki naraia kwahiyo wasituchezee tunataka katibampya basi mengine yatajinyokea yenyewe,
Atukutaki msaliti, umefata ahuahu
Sorridarity=Solidarity
Cku nyingin bc begi la mheshimiwa mliweke vzr aseee hapo hapo knamuhoji public figure tena MBUNGE haswa kitu pembn kuna mkoba wake kwel😂😂😂 too local
Huna jipya wwe kumbali imeisha hiyo
Bulaya nimempenda bure
Hana shukurani huyo, leo angekuwa hana UBUNGE wa kupewa angekuwa kisha zimika, chadema ulisha fukuzwa
Sawa,lkn anatutetea. Inajisikiaje?
Watu wanadai hela zao zimekaliwa kwenye mifuko yao wahuni sana hawa jamaa
Dada hogeleni saana wewe pamoja na mdee kazeni mioyo
Na muulize amesha acha kusagana Na Mdee visimi vyao
Unaushahidi,na hata kama unaushahidi sisi Wtz hoja yako hiyo inatusaidia nini na faida yako nini?
Wabunge wamaccm hawaminiki wanatabia yaubinafusi hawana akili yakufikilia maisha yavizazi vijavyo wakopale kwamasilahibinafusi hojazamaccm nizakishenzi wanafanyamaigizo tu , tubadrishe mfumo unaoajibisha kuanzia raisi hapondipo tutakuwa salama
Wanatwaminisha wananchi kutusemea kwenye mfumo mbovu usiyoajibisha mafisadi wanchihii, maanayake wanafiki, kwanini wameshindwa kubadirisha katibahiimbovu hapo tutaona ukamilifu
Nyinyi wasaliti
Wasaliyi lkn wanatutetea wanyonge
Makamu was Rais asichukue nafasi ya Urais Rais anapofariki au jujiuzuru. Nafasi hiyo itangazwe uchaguzi ufanyike naye Makamu wa Rais agombee na Watu wengine .Faida ya Jambo hili ni kuepuka Makamu wa Rais kumhujumu Rais wake akijua kuwa akitoka,. yeye atakuwa Rais wa nchi.
Makamu wa rais Hana ubavu wa kumhujumu rais aliyepo madarakani kwanza ukumbuke makamu huaga mgombea mwenza wakati wa uchaguzi na huteuliwa na huyo rais mtarajiwa, pili huo ulinzi anaokua nao rais aliyemadarakani hakuna awezaye kumgusa ispokua MUNGU tuu na tatu utaratibu huo wa makamu kuchukua nafasi umewekwa kwa kuwa kifo kipo wakati wote na kuendesha uchaguzi ni jambo kubwa lenye gharama kubwa mno. Hakuna makamu anayeweza kumhujumu rais bila rais mwenyewe kujua na kuchukua hatua stahiki
Esta hebu tueleze ukweli sisi mashabiki wako hivi ilikuaje mpaka mkaapshwa kuwa wabunge waviti maalumu wakati chama chenu hakikuyatambua Wala kuyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu na kwamba hakitapeleka wabunge wake kushiriki bunge la jamhuri ya muungano? Nini hasa kilitokea dada Esta?
Lakini chama chao hicho kina mbunge wa Jimbo hakihojiwi kinapokea ruzuku ya matokeo ya uchaguzi huohuo na hakihojiwi ila hawa? It is not fair
@@ladislausriwa7768 Wacha swali lijibiwe usilete unafiki kwanza huna ushahidi wa hayo unayoyasema mwache esta anijibu swali langu!!!!!