BULAYA: MDEE ALINIVUNJIA LAPTOP/ NINA NGUVU NJE YA CHADEMA/ NITAJIUZULU UBUNGE/ NILIMTEMBELEA MBOWE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 чер 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

КОМЕНТАРІ • 52

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 11 годин тому

    Hongera saaana Ester . Wewe ni kamanda na utabaki kuwa kamanda Big up sana

  • @jacksonsulle6673
    @jacksonsulle6673 Рік тому +2

    Bulaya nimekukubali sana!!!
    Kwa kauli zake .

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Рік тому +5

    Yaan huna chakutushawishi kbs wewe na hao wenzio 19 maana mmeingia kimazabe bila chama leo ukionekana unapiga vita lushwa na ubadhilifu wa mali za uma haingii akili kbs

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 7 місяців тому

    Bulaya na Halima na wengine kiukweli mko vizuri kimsimamo na tumewa- mis sana mungu awasimamie katika madhila yaliyowatokea

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga1335 Рік тому +4

    Esta unaposema taasisi lazima iieshimiwe imekuaje Sasa mpo bungeni nawakati taasisi imewataka mtoke bungeni nanyinnyi hamtaki kutoka.

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 8 місяців тому +1

    MNATAFUTA KURA MBONA. HAKUJIUZULU KABLA YA UCHAGUZI UNAOTAKA KUFANYIKA MNGELIKATAA KUTUSALITI NA MMSAINI. DPW

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j Рік тому +1

    Big up Ester Bulaya

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 Рік тому

    Msema kweli Ni mpenzi wa mungu ❤

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 7 місяців тому

    Tupo wengi tu tunaowaunga mkono wanachama la wana insh allaah mtarudi

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 Рік тому +1

    Umekula umeshiba

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Рік тому

    Bulaya uko vizuri..hivi jimbo lako liko wazi au kuna mtu anammiliki

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Рік тому

    EASTER BULAYA NI MWANAMKE SHUPAVU NA MWENYE MISIMAMO ASIYEYUMBISHWA , ANA FOCUS MBELE NA NDOTO YAKE IKITIMIA ATASHUHUDIA ULIMWENGU, AMETETEA WANAWAKE WANYONGE HATA BILA KUJITANGAZA MITANDAONI. MWANDISHI UNAMUULIZA MASWALI YENYE NGUVU YA KUMFAHAMU EASTER BULAYA NA MWANDISHI MWENZAKO PIA. BUG UP.

  • @MESHACKMAYENGA-qt4ip
    @MESHACKMAYENGA-qt4ip Рік тому +2

    Esta nakukubali sana,ilanachóona hampewi nafasi nzuri ya kujenga hoja bungeni nakufuatilia sana wewe na Halima mdee mnapoanza kujenga hoja kunaibuka mambo ya taarifa,nikama mnapotezewapotezewa kinamnafumani hivi.Ila nachofurahi hamkasiriki Wala kususa.Mnajuamnachofanya.keep it up

    • @mchagagaspar6649
      @mchagagaspar6649 Рік тому

      VIPI WAPEWE NAASI YAHOJA,NAWAO WALIWEKWA BUNGENI KWA KUWASAIDIA MA ccm MUULIZAJI UNASAHAU WALIPO INIKWA MKAA MWEUSI HADI KUJIFUNIKA SANDA ZAMAITI KULEEE ULE WAKATI WANAELEKEYA MAGEREEZA ???

  • @haroldshangali1486
    @haroldshangali1486 8 місяців тому

    Na wewe uko vizuri ila ingia kwenye siasa safi

  • @ResticiousMallya-bg5wd
    @ResticiousMallya-bg5wd Рік тому

    Strong woman ❤

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 Рік тому

    ❤ na kuku Bali jembe

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Рік тому +1

    Unawakilisha kwa chama gani ?

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Рік тому

    My favourite mtangazaji

  • @OscarBethel
    @OscarBethel 8 місяців тому

    1

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 Рік тому

    Sana Sana mama chendema juu

  • @thomaskabungo2211
    @thomaskabungo2211 Рік тому

    Huyo ni ccm ndugai

  • @fredrickbaltazar819
    @fredrickbaltazar819 Рік тому

    Mzee baba lambart upo vzr kaka, una kitu utafika mbari 😂😂

  • @YekoniaKusiluka-jt2ju
    @YekoniaKusiluka-jt2ju Рік тому +1

    Mwandishi acha unafiki hao sio wabunge wa chadema

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 7 місяців тому

    Dar 24 huyo sio Mbunge wa Chadema acha kutuletea mikosi wewe

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Рік тому

    ATAWEZAAAA, KUJIUZULU SI KAZI NINI?. 😅😅😅

  • @ngenzaprimaryschool9508
    @ngenzaprimaryschool9508 Рік тому

    Dada bulaya songa mbele dadaa

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 Рік тому +2

    upuuz mtupu

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 8 місяців тому

    Wabunge waccm wanafanya maigizo bungeni kwatuaminisha eti wanatupambania, huuniupumbavu zaidi yakiwango, kwanini hawataki katibampya yenyemisingirafiki naraia kwahiyo wasituchezee tunataka katibampya basi mengine yatajinyokea yenyewe,

  • @user-ns2yo1fj9x
    @user-ns2yo1fj9x Рік тому +1

    Atukutaki msaliti, umefata ahuahu

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 Рік тому

    Sorridarity=Solidarity

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql Рік тому

    Cku nyingin bc begi la mheshimiwa mliweke vzr aseee hapo hapo knamuhoji public figure tena MBUNGE haswa kitu pembn kuna mkoba wake kwel😂😂😂 too local

  • @georgelukas1272
    @georgelukas1272 Рік тому

    Huna jipya wwe kumbali imeisha hiyo

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Рік тому

    Bulaya nimempenda bure

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Рік тому

    Hana shukurani huyo, leo angekuwa hana UBUNGE wa kupewa angekuwa kisha zimika, chadema ulisha fukuzwa

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 Рік тому

    Watu wanadai hela zao zimekaliwa kwenye mifuko yao wahuni sana hawa jamaa

  • @benjaminyakobo7792
    @benjaminyakobo7792 Рік тому

    Dada hogeleni saana wewe pamoja na mdee kazeni mioyo

  • @maspro6294
    @maspro6294 Рік тому +3

    Na muulize amesha acha kusagana Na Mdee visimi vyao

    • @halidnaamo6156
      @halidnaamo6156 Рік тому

      Unaushahidi,na hata kama unaushahidi sisi Wtz hoja yako hiyo inatusaidia nini na faida yako nini?

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 8 місяців тому

    Wabunge wamaccm hawaminiki wanatabia yaubinafusi hawana akili yakufikilia maisha yavizazi vijavyo wakopale kwamasilahibinafusi hojazamaccm nizakishenzi wanafanyamaigizo tu , tubadrishe mfumo unaoajibisha kuanzia raisi hapondipo tutakuwa salama

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 8 місяців тому

      Wanatwaminisha wananchi kutusemea kwenye mfumo mbovu usiyoajibisha mafisadi wanchihii, maanayake wanafiki, kwanini wameshindwa kubadirisha katibahiimbovu hapo tutaona ukamilifu

  • @SeifuNassoro-po6rb
    @SeifuNassoro-po6rb Рік тому +3

    Nyinyi wasaliti

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Рік тому

    Makamu was Rais asichukue nafasi ya Urais Rais anapofariki au jujiuzuru. Nafasi hiyo itangazwe uchaguzi ufanyike naye Makamu wa Rais agombee na Watu wengine .Faida ya Jambo hili ni kuepuka Makamu wa Rais kumhujumu Rais wake akijua kuwa akitoka,. yeye atakuwa Rais wa nchi.

    • @user-sz7jx1jd6h
      @user-sz7jx1jd6h Рік тому

      Makamu wa rais Hana ubavu wa kumhujumu rais aliyepo madarakani kwanza ukumbuke makamu huaga mgombea mwenza wakati wa uchaguzi na huteuliwa na huyo rais mtarajiwa, pili huo ulinzi anaokua nao rais aliyemadarakani hakuna awezaye kumgusa ispokua MUNGU tuu na tatu utaratibu huo wa makamu kuchukua nafasi umewekwa kwa kuwa kifo kipo wakati wote na kuendesha uchaguzi ni jambo kubwa lenye gharama kubwa mno. Hakuna makamu anayeweza kumhujumu rais bila rais mwenyewe kujua na kuchukua hatua stahiki

  • @user-sz7jx1jd6h
    @user-sz7jx1jd6h Рік тому

    Esta hebu tueleze ukweli sisi mashabiki wako hivi ilikuaje mpaka mkaapshwa kuwa wabunge waviti maalumu wakati chama chenu hakikuyatambua Wala kuyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu na kwamba hakitapeleka wabunge wake kushiriki bunge la jamhuri ya muungano? Nini hasa kilitokea dada Esta?

    • @ladislausriwa7768
      @ladislausriwa7768 Рік тому

      Lakini chama chao hicho kina mbunge wa Jimbo hakihojiwi kinapokea ruzuku ya matokeo ya uchaguzi huohuo na hakihojiwi ila hawa? It is not fair

    • @user-sz7jx1jd6h
      @user-sz7jx1jd6h Рік тому

      @@ladislausriwa7768 Wacha swali lijibiwe usilete unafiki kwanza huna ushahidi wa hayo unayoyasema mwache esta anijibu swali langu!!!!!