WAFANYABIASHARA ARUSHA WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA, KISA CHEMBA INAYOTOA KINYESI, DC AWATULIZA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 34

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 6 днів тому

    WATU WA ARUSHA NAWAKUBALI SANA 🙌🙌🙌. HUKU DAR KUNACHEMBA ZINAMWAGA MAVI HADI KWENYE MBOGA MBOGA NA WATU HAWAANDAMANI WANACHEKELEA TU 😢😢😢

  • @engshayo9232
    @engshayo9232 7 днів тому +3

    Kwa jinsi tunavyoletewa migambo saa 12 kama tunaunza bangi😂😂. Arusha nchi yangu

  • @EDNEEBAKER
    @EDNEEBAKER 6 днів тому

    mmmh kwa hiyo hali had nmesikia haruf kwa picha 🤣🤣🤣🤣

  • @Yana_queen1
    @Yana_queen1 7 днів тому +3

    Is this what we call GENEVA OF AFRICA…omg what a shame😢Arusha pachafu jmn maeneo ya masoko yote sio samunge sio Kilombero ptuuuu

  • @AgnesEphraim-jw6dv
    @AgnesEphraim-jw6dv 7 днів тому +2

    Yani Tanzania amna amani ata huku Dar ni hivyohivyo tuta mkumbuka sana Marehemu Magufuli mtetezi wawanyonge

    • @MillitaryMind-IP
      @MillitaryMind-IP 6 днів тому

      Acha ujinga wewe. Mkumbuke baba akon. Ila u sound kama mzee ajaacha kitu like most african parents. Sasa jipambanie wewe na uzao ako chalii angu. Acha mentality ya kulaumu serikali utzeeka na lawama zako Agnes au tangaza dau tumbua iyo utapata wateja. Mteja Wa kwanza mimi

  • @Mahonda8080
    @Mahonda8080 7 днів тому

    Hapo ni lissu 🥳🥳

  • @AbdillahSalimu
    @AbdillahSalimu 7 днів тому +1

    Uwongozi ukibadilishwa atakuja kuongoza nabii..godfrey Tomas umeshindwa kujibu wali 😂😂😂

  • @peterkissiri9821
    @peterkissiri9821 6 днів тому

    Hii ndio shida ya kutuletea wananchi viongozi ambao hatukuwachagua hawana uchungu na sisi wanaishia kutekeleza maslahi ya aliowachagua na sio wananchi wa sehemu husika.

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 6 днів тому

    😂😂😂😂unasemaaa kwaiyo akibadiliswa Atakuja Nabii😂😂😂

  • @FatumaMwage
    @FatumaMwage 7 днів тому +2

    maisha magumu jaman halafu mtu anakuja kukuvuluga

  • @storytownTv
    @storytownTv 6 днів тому

    Iv mikutano ya ccm wanasemaga tumeboresha uchumi na mbwanzinashangilia ..huwa naumia sana maana hualisia huku mtaan watu tunateaeka sana

  • @DudddyWhyCant
    @DudddyWhyCant 7 днів тому

    Arusha... 😭😭😭🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @TumainiMbati
    @TumainiMbati 7 днів тому +1

    Kwa Hali hii tutaweza kukjitegemea kweli ?

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 7 днів тому

    Mmmmh alfu wanatoa ushuru wa manispar aisee

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 7 днів тому

    Aibu sana uongozi wa tanzania umekuwa mmbovu sana 😢

  • @ShukuruSanga-rq1lt
    @ShukuruSanga-rq1lt 7 днів тому

    Jiji la wataliii tanzania

  • @GREENFARMTZ25
    @GREENFARMTZ25 4 дні тому

    Mwandishi hajui kuhoji kabisa huyo mkiti anasema kilichotokea ni opereshen ilifanyika ya pt af mwandishi alitakiwa kuhoji why wafanye ivo???

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD 7 днів тому

    Kwani pesa zinaendaga wapi kwann masoko yasijengwe ni ma mbaaooo tu 😮

  • @davidmdee3796
    @davidmdee3796 7 днів тому

    Hatuna uongozi japo sio wote

  • @NoeliMawole
    @NoeliMawole 7 днів тому

    Shida ni uongozi mbovu wanatakiwa waweke mazingira ya hawa wamachinga ndio wawafukuze hapa Arusha kuna uchafu mitaani sana especial mabomba mabomba ya maji taka

  • @MikidadiMkonyoka
    @MikidadiMkonyoka 7 днів тому +1

    Viongozi hamna bali kuna watawala tu.

  • @AzizaMussa-f8y
    @AzizaMussa-f8y 7 днів тому

    Huyo mwenyekit ni mlaku atollewe

  • @lulusmith524
    @lulusmith524 7 днів тому

    Sikuiz atuna uwongozi kbsa

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 6 днів тому

    Makonda uko wapi sikutegenea haya

  • @Muddymzungu_15
    @Muddymzungu_15 7 днів тому +3

    Nawapenda sana shabiki wa sanaaa twende kwenye page yangu Kuna movie mpya ❤❤❤❤

  • @Jackson-n2c
    @Jackson-n2c 7 днів тому

    Karne ya 21 hali ndo kama hivi.... Africa tunatia aibu sana

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 7 днів тому +2

    Aibu aibu eti jiji la utaliiii😢

  • @prettygirl8325
    @prettygirl8325 7 днів тому

    Hatukutaki wewe mwenyekit...kwanza mtu akija na shida yke bila rushwa humsaidii

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 7 днів тому

    Washughulikie bangi waache kushigulika na wamachnga wanaotafuta rizk.Na nyie mwuache kudanganyika na vitu vidogo vinawatesa san.

  • @mgombayekarahma6484
    @mgombayekarahma6484 7 днів тому

    😂raption disease