HAWA HAPA WACHEZAJI WATATU HATARI ZAIDI KATIKA KIKOSI CHA SIMBA KWASASA
Вставка
- Опубліковано 8 лип 2024
- Simba imefanya usajili wa wachezaji wengi wa kigeni na kwa kulitambua hilo Simba Pro tumefanya tathmini ya wachezaji watatu hatari zaidi ambao Simba wamefanikiwa kuwasajili katika dirisha hili la usajili
Kama unahitaji kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 ili tukupe utaratibu wa jinsi ya kujiunga - Спорт
Asante kwa usajiri bora mungu atupe nguvu na afya ya akili dhidi ya msimu mpya 2024/25
Mungu ibariki simba mungu bariki wa hezaji wa simba mungu bariki wapenzi na mashabiki wote wa simba mungu wwpige laana wambea na mamruki wote wanao itakia mabaya timu yetu ya simba sport
Mungu ainatiki Simba yetu na Mimi naomba mniunge kwenye group la Simba nguvu moja
Watateseka sana sisi atusajli Tim tunasajili mchezaji moo amesha Sema ad watubu
SIMBA FOR LIFE ❤
🎉mungu tusaidie wanasimba tufikie malengo yetu kwny mpira
Damu ya YESU iwafunike Wachezaji na Bench lote la ufundi
Simba itengenezwe na viongozi kwa nguvu ya mungu
MUNGU atusaidie wanasimba yanga wasituroge tuwe na msimu mzuri
Hawalogi tena hao
Hawa yangaaa hawa tutaonana mwaka huu wametuzalilisha sana
MUNGU aeñdelee kuwa nasi
Maana kweli ynga wachawi mno,,tusiwasifu sna,,wakae wakijua wameajiriwa ,,tusiwasifu sna tusije aibika..mungu atusaidie.
Amina
Mimi nahitaji kujiunga na gruop la simba
Mungu awe pamoja nanyi
Simba tuliamini simba bila chama bila inonga bila manula siyo simba sasa wale waliamini hivyo walikosea tuombe uzima mtaiona simba mpya mpaka mtasahau kama tulikua na hao wasaliti simba nguvu moja
Msimu huu ni wa simba
Safii bana niungeni kwenye group lá simbaa
Mwenyenzi Mungu akawalinde wachezaji wetyu na utimamu wao ukawe na mwendelezo bora
Dula nakuelewa kinyama wwe ni noma sana aisee
Watu wa Mungu hawarogi wala hawarogwi hivyo tumuombe Mungu awe upande wetu
Niunge kwenye group ya simba
Naomba nijiunge😅
Naitwa jonas zabron naomba na mm mniunge kwenye hilo grop la simba yetu
mutuletee azizik na fei toto basi goma inatembea
🎉 na wewe pia
Kikubwa tuwaombee wachezaji wetu dua
Haw wachezaj ni bor lakin yang wachaw san watashindw kwa jin la yes
Nilikuwa napita tu
safi sana
Naomba kujiunga na group
Watuletee aziz
Zouzou na mzize wasajiriwa kolo, ni kweli?
Mungu yup nas
Simba mpya tunaitumaini Dana mola tusaidie
Nahitaji kuunganishwa kwenye group la Simba
niue gulupu simba
Mm ni mnyama Nina kupongeza Kwa kutoa ufafanuzi
hatari mliwaona wapi acha tuwaone
Group lenu la whatsapp mbona ukituma sms hamjibu
Mziki mnene wenye kijan mjiandae
najuwa Kijiji bala kichaa bado siyo Kijiji namabo ambayo ayakuusu ya nin utafatilie fata yako awa jamaa wanaizugumziya Simba siyo timu nyengine
Wasiongee kusema Simba wamechukuwa wachesaji ambae wametoka kwenye timu ambae zimekuwa kwenye nafasi ya chini,mbona Simba amekuwa nafasi ya 3 lakin wamemchukuwa chama,
Niunge
Niunge