Hongera Mkuu wa Wilaya kwa maana umepata wasaaa wa kumwambia huyo binadamu ambaye ni kiongozi wa watu. HAKIKA ANAMTENDEA HAKI MTU ALIYEMTEUA. Busara zake ni za hali ya juu.
Heri yako mkuu wewee unawatetea wanyonge wakuu wengine wanapambana kumkabili mnyonge mfano makala na gondwe wanajua ni wapi na mbunge wetu kashindwa kututetea wapiga kura wake tutakutana mbele ya safari.
Mh waziri upo vuzuri ila magodani kuna iyo shida tangia 2017 na magufuli alsema wapewe ardhi yao akipo kufa tu wamepora kwakweli ukawasaidie washauliwa watu wengi na wengine ni wakemavu sasa kuna muekezaji ndo amewazulumu ivo
DP World is owned by emanates, it controls many ports including Yemen, Bosaso & Berbera, Djibouti etc, their biggest objective is to undermine their growth so that they don't take business away from Dubai, Dar is lucky because in other countries they corrupt officials and at times use violence, in Yemen and Somalia they have formed mercenary armies made up of Chadians, Colombians etc
Mungu alinde waziri wetu
God bless Jerry slaa
Ipo siku hawa wanao lalamika na nyinyi MTA walalamikia gem litageuka hamta amini
Ccm ndio Wana uza harafu wanajifanya Wana suruhisha
Bunge Lina KAZI gani mbona hamueleweki Kuna bunge kweli mtakosa NCHI harafu mtajuti tutakosa wooote
Ma shaa Allah anajitahidi sana.
Viongozi wangefanya kama afanyavyo huyu Wazir tungekuwa vizuri sana.
Allah ajalie asibadilishwe
Hongera Mkuu wa Wilaya kwa maana umepata wasaaa wa kumwambia huyo binadamu ambaye ni kiongozi wa watu. HAKIKA ANAMTENDEA HAKI MTU ALIYEMTEUA. Busara zake ni za hali ya juu.
Waziliwangu slaa uko vizur sana na unapendeza kua rahisi WA taifa na Kuna sifa ya Kila kitu nakwambaaaali kama mwalimu nyelele
Waziri Jerry Mungu akuepushe na wabaya umeheshimisha serikali na aliyekuteua
waziri wangu.....Mungu asikuache..... Kuna mengi najifunza kwako....kesho Yako ni njema.....iwe heri hata uwe Rais
Jelly? Ni nani huyo 😢
@@Tutsi-b8sjery😅😅😅😅😅 sio jelly😅😅😅😅😅
After mama Samia kustaaf huyu jamaa anafaa kuwa president wetu
Kabisa akachukue form kura atapata na waziri mkuu awe bashungwa.hawa mawaziri wanajituma sana
Uraisi sio lele mama
Nduguyangu mh waziri sijutii kupoteza bando langu kwenye hutuba zako Mungu akulinde zidi ya mijitu yenye roho mbaya
Silaaa kweli 😂 big up ❤
Watu wanaonewa Sana,,sisi tulivunjiwa mbogo Yani nchi hii Kuna watu hawamuogopi Mungu
Jamani maguful amerudi Jerry slaa.. anafanya kazi nzuri sana
Jamani jery slaa atakuja kua rais was nchi tumuunge mkono hana janja janja ananyooka vizuri
Nakuombea dua miaka ijayo Uwe Rais wetu 🙏♥️
Watu wa Alizi majambazi wa mueza Hutashangaha walibifu wezi baada ya kufukuzwa Watabadiliswa mkoa kuedelea na wizi na Ujambazi 😂😂😂
Slaa mauwa yote Tanzania yakatwe apewe.....kama mtu anabisha anyooshe kidole
kazi nzuri Jerry mwanasheria ninaye mwamini kasema uko sawa,good job sir keep it up,I
Jamani nchi hii Kila mahala kilio Cha arithi tatizo ni nn
tatizo ardhi
@@Amageneousmedia😂😂😂
Tatizo tamaa uchoyo na ubinafsi.
TATIZO DHULMA WANAONA SIFA.
Huyu dada ni kiongozi mzuri.Anaonekana ana hofu ya Mungu.
Hongera sana msemaji munayo haki ya kuishi mnavyotaka nyingi ni Watanzania
Huyu jamaa tuache siasa ni mzalendo kweli
Tatizo laviongozi kama hawa mawaziri wakishaapishwa wanaanza vizury baadae huaoni
Heri yako mkuu wewee unawatetea wanyonge wakuu wengine wanapambana kumkabili mnyonge mfano makala na gondwe wanajua ni wapi na mbunge wetu kashindwa kututetea wapiga kura wake tutakutana mbele ya safari.
Hata lukuvi alifanya sana akiwa na magufuli
Mh waziri upo vuzuri ila magodani kuna iyo shida tangia 2017 na magufuli alsema wapewe ardhi yao akipo kufa tu wamepora kwakweli ukawasaidie washauliwa watu wengi na wengine ni wakemavu sasa kuna muekezaji ndo amewazulumu ivo
Bwana Jerr slaa huku kwenye aridhi upo vizuri ila nakuomba ukafute utetezi wako wa uuzwaji wa bandari zetu kwa Dp Word
Pimbi wewr
DP World is owned by emanates, it controls many ports including Yemen, Bosaso & Berbera, Djibouti etc, their biggest objective is to undermine their growth so that they don't take business away from Dubai, Dar is lucky because in other countries they corrupt officials and at times use violence, in Yemen and Somalia they have formed mercenary armies made up of Chadians, Colombians etc
😂😂
@@salehesalehe2967. Na wewe pimbi
Piga kaz kaka
je Lukuvi haya alikuwa hayaoni kweli ?
Hajayaona😂
Hahahahah
Yule bora alivyotumbuliwa
Jpm.wapili.j.silahaoye