MC PILIPILI ASHINDWA KUJIZUIA AMLILIA MAMA YAKE 'BADO SINA UJASIRI WA KUMUITA MAREHEMU/MAMA AMKA'

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 гру 2020

КОМЕНТАРІ • 593

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 3 роки тому +7

    Mungu akutie nguvu. Hii njia haijawahi kuwa rahisi wala kuzoeleka. Mungu amlaze mahala pazuri.

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 3 роки тому +6

    Pole ni saana jamani imeniuma saana mpaka tumelia hapa ujeruman mungu ampumzishe kwa amani na nyinyi watoto mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi

  • @momobakari9588
    @momobakari9588 3 роки тому +2

    Pumzika kwa amani mama, mungu akupe subra mc pili pili na familia yako katika kipindi hiki kigumu,pole sana pilipili

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 3 роки тому +4

    Poleni sana wafiwa! Polen sana wanafamilia! Allah Awape subra katika kipind hiki kigumu kwenu. Tunamuomba Mola Awarehemu mama zetu wote huko walipo akhera_Amiin. Inauma sana ila kazi ya Mungu huwa haina makosa siku zote.

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 роки тому +23

    Pole mc pilipili, kwa msiba ,mungu amuweke mama Pema penye waja wake wema 😭😭

  • @dianamkita6571
    @dianamkita6571 3 роки тому +13

    Pole sana MC Pilipili na familia,,,Jipeni moyo mkuu..Mungu atawashindia.

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 3 роки тому +10

    I can't imagine loosing my mom 😢😢😢😢 sorry MC pilipili . Receive Divine healing From our Lord Jesus Christ 🙏🏼

    • @afrigrowers
      @afrigrowers 3 роки тому

      kwakweli its tooooo painful haki vile yaani ni kulia milele na wala sitaacha kulia mm 7 years bado naliaga tu kila nikikutwa na huzuni au furaha

  • @marynyerere919
    @marynyerere919 3 роки тому +4

    Pole sana mwanangu, Mungu akupe ujasiri. Ameondoka ni mapema lakini kumbuka Mungu ni Baba wa Yatima. Be strong.🙏🏾

  • @benjaminmushi2780
    @benjaminmushi2780 3 роки тому +1

    Pole saana kakayetu kwa msiba mzito,Ila Ni Kama wazo tu ifike muda video Kama hizi zikae kwa muda was kipindi Fulani mtandaon na zifutwe maana kwa mtazamo wangu naona Kama zinakuwa zikii umiza watu kwa kukumbuka kumbukumbu mbaya kifo sikitu kizuri!!!

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 3 роки тому +7

    Mwenyezi MUNGU awape nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu 🙏

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 3 роки тому +15

    Isee pole sana mc pilipili,ningumu sana ,Mungu awape faraja familia yote daa!!!!

  • @beatricemapembe2595
    @beatricemapembe2595 3 роки тому +4

    Dah! Poleni sana wapendwa. Mungu awape faraja ya kweli

  • @winfridapeter969
    @winfridapeter969 3 роки тому +4

    Nimejikuta naungana nae kilio,nimemkumbuka MAMA yangu kipenzi😓😓😓,pumzikeni MAMA zetu na nuru ya bwana MUNGU itawale 🙏

  • @namsifumihungo86
    @namsifumihungo86 3 роки тому +5

    Pole Kaka,lkn Mungu ni mwema uliandaa safar ya mama kwa Mapenzi ya Mungu..Jipe moyo kaka,Mungu amekupa nafasi na mama yetu

  • @magejosia9026
    @magejosia9026 3 роки тому +6

    Daaaah mungu akupe moyo wa uvumilivu inauma sio kidogo jmn pole saana mc

  • @christinanickison1363
    @christinanickison1363 3 роки тому +1

    Hakika umenikumbusha siku mama yangu alipofariki ni kama vile wewe yaani sikuyaamin masikio yangu wala macho yangu. Hakika inauma sana. Pole sana kwa wafiwa wote.

  • @gracenjeri2035
    @gracenjeri2035 3 роки тому

    You made me shed a tear...may God strengthen you Mc Pilipili...pole Sana kea msiba.RIP Mama Pilipili

  • @mariamsingo9910
    @mariamsingo9910 3 роки тому +4

    Pole Kaka, maisha ya mwanadam yana Siri nzito sana hakuna aijuae kesho yake. Pole kwa familia yote kwa ujumla hakika umejua kuniliza

    • @jamilajamila4572
      @jamilajamila4572 3 роки тому

      😭😭😭😭😭Jamani pole sana ms pilipili haki nimejiskia vby mno

  • @vero57
    @vero57 3 роки тому +10

    Poleni sana, mimi pia nimepoteza my family member,miezi 2 uliyo pita kwa ajali ya boda boda, RIP mama mc pili pili

  • @pancraskazimoto3028
    @pancraskazimoto3028 3 роки тому +1

    Inaumiza mnoooo. Pole sanaa ndugu no one like Mama kwenye hii Dunia. Akapumzika Mahala pema peponi Mama.

  • @AnnKk-sj8ij
    @AnnKk-sj8ij 3 роки тому +11

    Mc PiliPili pole sana take heart .R.I.P. Mum.🇦🇪🇦🇪+254

  • @danfordjackline9426
    @danfordjackline9426 3 роки тому +11

    Pole bro,mungu akakupe moyo wa ujasiri ktk kipindi hiki kigumu

  • @monicameela3796
    @monicameela3796 3 роки тому +4

    Pole sana Mc 😭😭😭😭😭😭 Mwenyezi Mungu awakumbatie na kuwafariji

  • @fautz9778
    @fautz9778 3 роки тому +1

    Nimelia Mimi jmn huyu mama kaniuma sana hanijui simjui ila nilikuwa nikimpenda tu kupitia mc pili pili pole sana kaka mungu akupe amani ya moyo 😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @minsharley3926
    @minsharley3926 3 роки тому +6

    Daah,poleni sana,hadi nmeshindwa kujizuia kutoa machozi😭😭😭😭😭😭

  • @shakila3982
    @shakila3982 3 роки тому +7

    Kumpoteza mama ni maumivu ambayo hayaishi kamwe, pole kakangu, Mwenyezi Mungu ameweke maali pema peponi

    • @shumbusho8579
      @shumbusho8579 3 роки тому

      Kweli kabisa! Wa kwangu amekwenda miezi 3 iliyopita lakini kila siku ni msiba! Nani kama mama

    • @ummuqaasim5227
      @ummuqaasim5227 3 роки тому

      Miezi ? Mie Nina miaka Ila bado

    • @wemapanga1547
      @wemapanga1547 3 роки тому

      Dah jamani mama anauma kuliko kitu chochote, natamani nipige hata cm kumbe hayupo tena

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 3 роки тому +2

    Pole mingi kutoka kenya🇰🇪🇰🇪 mc pili pili

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 3 роки тому

    Pole sana bro,mama anabeba nafasi kubwa ktk maisha ya mtoto,mama ni mtu pekee anaeweza kukupokea wakati jamii imekuchoka,mama ndio mtu pekee anaethamini na kujali maumivu na mazuri yako,mama ndie mtu alieweza kutunza ukuaji wako wakati ukiwa mwilini mwake hadi unapata umri wa kuacha ziwa lake na wakati mwengine hadi unapoweza kujitegemea au maisha yako yote

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 3 роки тому +21

    Inauma kwa kweli, pole sana kaka!

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 3 роки тому +28

    Poleni sana akiamungu nimeshindwa kuzuia machozi 😭😭😭😭😭🙆‍♂️

    • @frankdngoma1174
      @frankdngoma1174 3 роки тому +1

      Daah pory ndugu yangu mc pilipili kazi yamungu hainaga makosa mungu airaze roho pema peponi amina

    • @pendondossy4181
      @pendondossy4181 3 роки тому +1

      Pole mc

    • @pienicolaus2952
      @pienicolaus2952 3 роки тому +1

      Hat mm nimeshindwa inauma sana

  • @chantalnizigama5012
    @chantalnizigama5012 3 роки тому +3

    😭😭😭😭poleni sana.lnauma saana hata mama yangu alifariki ghafula tarehe 19/12/18. Naelewa maumivu yenu. Pole 😪😔😔😭😭😭🙏

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 роки тому +1

    😭😭😭daaa jamani pole sana mc pilipili Mungu akufute machozi yako unayomlilia mama yako mpendwa Mungu wa mbinguni aendelee kukutia nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P mama mbele yako nyuma yako pumzika kwa amani.

  • @numpemwansasu4492
    @numpemwansasu4492 3 роки тому +23

    Pole sn, ngumu kuipokea lkn hatuna namna, mapenz yake yatimizwe

  • @rosemarykuni6596
    @rosemarykuni6596 3 роки тому +13

    Pole Sana brother, jina la bwana lihimidiwe milele.

    • @fromenahamisi8467
      @fromenahamisi8467 3 роки тому

      pole sana mc pilipli kwa kuondokewa na mama yako kipenzi

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 3 роки тому

    Poleni mc pilipili na nduguzo. Uchungu wa mama ni wa kipekee. Hatakuwepo mwanamke mwingine mwenye thamani ya mama.

  • @theresialumato2442
    @theresialumato2442 3 роки тому +1

    Pole sana mc pilipil, Mungu akutie nguvu

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 3 роки тому +3

    Mwendo wameumaliza salama ,,,sisi je Ee mwenyezi mungu tupo mwisho mwema,,poleni sana wafiwa ,,ni ngumu sana kuamini ila Kazi yake haina makosa

  • @pienicolaus2952
    @pienicolaus2952 3 роки тому

    Nmeishia kulia tu ,Mungu pekee maan hii huwa ni tofauti kabsa,Mungu awatie nguvu

  • @annamashiri3921
    @annamashiri3921 3 роки тому

    pole mc pilipli najuwa maumivu yakuondokewa na mzazi. umeni bugujisha machozi kwa maneno hayo. pole sana endelea kum ombea mama tutakutana kwamungu.

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 3 роки тому +4

    Pole sana mc pili pili namuomba mwenyezi mungu amlaze mahala pema

  • @hajimajaliwa6452
    @hajimajaliwa6452 3 роки тому +1

    Pole sana,M/mungu awasaidie

  • @crepinakatundu1831
    @crepinakatundu1831 3 роки тому

    Pole sana kwa msiba mzito Mc Pilipili.Mwenyezi Mungu akutie nguvu kwa kipindi hiki kizito.

  • @hadijayusuf3888
    @hadijayusuf3888 3 роки тому +5

    Imeniumaaa Poleni Sana Yehova Mungu awape uvumilivu

  • @credentialegidy5959
    @credentialegidy5959 3 роки тому +7

    Daaa hadi machozi yamenitoka. 😢 pole sana.... Mbele yetu nyuma yake

    • @stellakigomba7648
      @stellakigomba7648 3 роки тому

      Poleee ninalia mm pole sanaaa mama mama anaumaaa jamaniii

  • @stacyjames6676
    @stacyjames6676 3 роки тому +2

    Jamn 😭😭😭😭😭pole Sana brother mungu akutie nguvu katika hiki kipind kigum

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 3 роки тому

    Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe, pole sana mc pilipili maumivu ya msiba hayajawahi kuwa mepesi mungu amutie nguvu MC pilipili na family yake

  • @Styner356
    @Styner356 3 роки тому +16

    So sad!!! Pole sana kaka Mungu awatie nguvu jamani

    • @pilikhamis2924
      @pilikhamis2924 3 роки тому

      Pole sana kaka yangu ina uma sana mungu amuondoshe azabu ya kabri innalilahiwanlarajinn

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 роки тому +4

    Innalillah wainnaillah rajiun allah amsamehe maovu yake amina yarabi pole kaka allah akupe nguvu ktk kipind hiki kigum kwako jmn nimekumbuka ck alonitoka mama yng ni maumiv kaka achen

    • @mariajohn123john5
      @mariajohn123john5 3 роки тому

      Daaahh polen sana wafiwa nimejikuta nalia kwa kweli msiba usikie hivyo Kwa mwenzio

    • @angelgerald7562
      @angelgerald7562 3 роки тому

      Pole sana

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 3 роки тому

      @@angelgerald7562 ndio mwisho wa mwanadam ndg yng njia yetu wote japo wametangulia

  • @hakikahoman615
    @hakikahoman615 3 роки тому +3

    pole sana mc pilipili

  • @samwelntevi9620
    @samwelntevi9620 3 роки тому

    Pole Bro Mungu akutie Nguvu kwenye kipindi kigumu Kama hichi Cha Majonzi tupopamoja sanaaa bro

  • @veronicakieguro8032
    @veronicakieguro8032 3 роки тому +2

    Nimajonzi makubwa, pole xn mc pilipili na familia kwaujumla, tumuombee mama apumzike kwa amani 🙏🙏

  • @segolinamkojers8437
    @segolinamkojers8437 3 роки тому

    Duh pole sana mc pilipili inauma sana mwenyezi Mungu akufanyie wepesi

  • @yvonnevictoriabenedict4501
    @yvonnevictoriabenedict4501 3 роки тому +3

    May God give you strength in this difficult time

  • @asteriajohn4755
    @asteriajohn4755 3 роки тому

    Daaaaah...pole sana mc pilipili Mungu akutie nguvu ktk kipind hiki kigumu.

  • @margareosoro1875
    @margareosoro1875 3 роки тому +11

    Pole sana ndugu May God give you strength and comfort

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 3 роки тому +7

    Pole nmesoma heading tu nywele zikasimama Ee Mungu tupe mwisho mwema

  • @glorykalunga4849
    @glorykalunga4849 3 роки тому

    Pole sana kaka Mungu akutie nguvu katika wakati mungum unayo pitia pole sana

  • @ziadasalim1459
    @ziadasalim1459 3 роки тому

    Dah pole Sana Kaka kazi ya Mungu haina makosa jikaze inauma jamani

  • @jasmine.mayala7597
    @jasmine.mayala7597 3 роки тому +29

    Pole mwaya yaan hd nimejickia vibaya 😣😣😣😣pole mc pilipil mzazi anauma jaman

  • @aminaathumani6161
    @aminaathumani6161 3 роки тому +5

    Inna Lilah wainna illah rajiun 😭😭😭😭, pole Sana brz

  • @josephjudith8599
    @josephjudith8599 3 роки тому

    Pole sana ndugu wote Nawaombea Mungu awape faraja katika mioyo yenu

  • @vanesaalberto8479
    @vanesaalberto8479 3 роки тому

    Pole sana mc pilipili. Kazi ya mungu aina makosa

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 роки тому

    Pole Sana kaka Mungu akutie Nguvu poleni wafiwa wote Mungu awape faraja

  • @pqolai7740
    @pqolai7740 3 роки тому +1

    Pole sana ndugu mwenyezi Mungu ampe makao mema huko anakoenda 😭😭😭😭

  • @elicemwagala8935
    @elicemwagala8935 3 роки тому

    Pole Sana Mc pilipili. Mungu akutie nguvu

  • @nelvicstivin9220
    @nelvicstivin9220 3 роки тому +5

    Jmn dah polen wafiwa Mungu awatie nguvu

  • @ashamikidadi6749
    @ashamikidadi6749 3 роки тому

    Pole sana pili pili hayo ni maisha ambae tunayoipita ote kwa pamoja

  • @nkambajohn2048
    @nkambajohn2048 3 роки тому

    Pole sana MC pilipili sote ni wa Mungu na kwake tutarejea!!Mungu akutie nguvu!!

  • @priscamasanga7038
    @priscamasanga7038 3 роки тому +1

    Pole sana classmet wangu kwa kuondokewa na mama

  • @ramaamiri7964
    @ramaamiri7964 3 роки тому +2

    Daaah machoz yamenitoka kwakwel pole san san san kaka hii nimoja ua safar tutakayo isafiri watu wote pole kaka 😢😢😢

  • @lizymsuta4594
    @lizymsuta4594 3 роки тому

    Pole Sana mgogo mwenzetu kwa kuondokewa na mama

  • @amnewarji1707
    @amnewarji1707 3 роки тому +8

    Mc pilipili umenitoa machozi jamani,mama mwendo umeumaliza pumzika kwa amani.poleni sana wanafamilia.

  • @piusjackson7265
    @piusjackson7265 3 роки тому +2

    Pole Sana Kaka pole Sana Kaka,mungu akupe wepesi katika kipindi hiki kigumu kwako,inauma Sana Sana.

  • @aminasalum8815
    @aminasalum8815 3 роки тому +1

    Ina lilallhi wa inaleihum raajeoon rip - Amina Salem from Abu Dhabi

  • @ashaaaron6038
    @ashaaaron6038 3 роки тому

    Pole sana Kaka kwa kuwapoteza watu mhim sana kwenye maisha

  • @najma3268
    @najma3268 3 роки тому

    Pole sana kaka mc pilipili kwa kuondokewa kwa mamayako mpendwa

  • @julianakarani3134
    @julianakarani3134 3 роки тому

    Pole sana kaka kwa kweli hicho kiatu ni kizito sana,bwana Yesu akawe mfariji wako.

  • @saidelsheeday2010
    @saidelsheeday2010 3 роки тому

    Pole sana bro...mungu akutie nguvu

  • @evainnocent9520
    @evainnocent9520 3 роки тому +8

    Da! Hii kitu uisikie Kwa wengine jamn. Uwiiii nimaimivu mnoooo

    • @happynessmolla1781
      @happynessmolla1781 3 роки тому +1

      Acha kabisa nililiaga mno😭😭😭

    • @evainnocent9520
      @evainnocent9520 3 роки тому +1

      Ni Mungu tu nikumkumbusha Wema wake Mungu wakat wamagumu

  • @jamilaezekiel6174
    @jamilaezekiel6174 3 роки тому

    Pole sana kaka yangu mungu akwinue akufute machozi ya uchungu inauma sana Bora hata angeumwa jmn mama anauma sana ,pole pole sana wanafamilia😭😭😭🙏🙏🙏

  • @veronicaoman8764
    @veronicaoman8764 3 роки тому

    Daaa pole sana mc pilipili umeniliza sana Mungu amtangulize mbele ya hani mama ako kipenzi pole sana

  • @abubakaryalmas7673
    @abubakaryalmas7673 3 роки тому

    Pole sana kaka kwa msiba mzito, Mungu akawe mfariji wenu

  • @monicahjared2412
    @monicahjared2412 3 роки тому

    Pole sana mc pili pili,Mungu akupe nguvu kipindi hiki kingumu

  • @mwasotefamily6036
    @mwasotefamily6036 3 роки тому

    Polee sanaaa kaka mungu ampumzishe kwa amani

  • @asheilla
    @asheilla 3 роки тому

    Pole sana kwa msiba mc mzuri

  • @ramaaisha887
    @ramaaisha887 3 роки тому

    This ez so emotional😢😢😢
    may God strengthen you

  • @evangunge8348
    @evangunge8348 3 роки тому +1

    Aisee inauma jaman kufiwa na mama😥😥 kila nikikumbuka machozi yananitoka....polen sana

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo1983 3 роки тому

    Pole Sana Kaka mungu tu akawe mfariji wenu

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 роки тому +1

    Inauma sana. inalillah waiina irayhi rajioun pole pilipili

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 3 роки тому +3

    Mc pilipili pole sana MUNGU akutie nguvu kaka maana umejua kuniuliza mpaka nimemkumbuka mama angu😭

  • @mapenzisorotanizimbazimba8742
    @mapenzisorotanizimbazimba8742 3 роки тому +1

    Poleni Sana familia MUNGU awatie nguvu Kwa wakati Huu mgumu

  • @dianangailo9878
    @dianangailo9878 3 роки тому

    Poleni Sana wanafamilia Mungu awape nguvu wanafamilia wote, pole Sana pilipili

  • @elizabetbaraka6036
    @elizabetbaraka6036 3 роки тому

    Pole Sana. Mungu akutie nguvu

  • @neemakaranje3823
    @neemakaranje3823 3 роки тому

    Inauma sana kaka poleni wafiwa kweli msiba unaumaa sanaa Mungu awafariji maana faraja yake yapita faraja ya wanadamu Mungu awatie nguvu.

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 роки тому +9

    MWENYEZIMUNG awafariji amempenda zaidi.

  • @christophermwikwabe3164
    @christophermwikwabe3164 3 роки тому

    Pole sana mc Mungu akupe ujasili wa kuyapita haya magumu

  • @elizabethjoseph8357
    @elizabethjoseph8357 3 роки тому

    Pole sana MC Pilipili nimeshindwa kujizuwiya jamanii nimelia saaana saaana Mungu amuweke mahali pema peponi 😭😭😭😭😭😢😢😢😢😢😢

  • @hjhj6230
    @hjhj6230 3 роки тому +1

    Innalilah wainna ilah rajiuun. Poleni saana kwa mcba mzito

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 3 роки тому

    Pole saana baba. Mungu ampokee kwa amani.

  • @jafarijumanne2404
    @jafarijumanne2404 3 роки тому

    Poleni sana Kwa kipindi hichi kigumu MC pilipili