Pole ni saana jamani imeniuma saana mpaka tumelia hapa ujeruman mungu ampumzishe kwa amani na nyinyi watoto mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi
Poleni sana wafiwa! Polen sana wanafamilia! Allah Awape subra katika kipind hiki kigumu kwenu. Tunamuomba Mola Awarehemu mama zetu wote huko walipo akhera_Amiin. Inauma sana ila kazi ya Mungu huwa haina makosa siku zote.
Pole saana kakayetu kwa msiba mzito,Ila Ni Kama wazo tu ifike muda video Kama hizi zikae kwa muda was kipindi Fulani mtandaon na zifutwe maana kwa mtazamo wangu naona Kama zinakuwa zikii umiza watu kwa kukumbuka kumbukumbu mbaya kifo sikitu kizuri!!!
Hakika umenikumbusha siku mama yangu alipofariki ni kama vile wewe yaani sikuyaamin masikio yangu wala macho yangu. Hakika inauma sana. Pole sana kwa wafiwa wote.
Nimelia Mimi jmn huyu mama kaniuma sana hanijui simjui ila nilikuwa nikimpenda tu kupitia mc pili pili pole sana kaka mungu akupe amani ya moyo 😭😭😭😭😭💔💔💔💔
Pole sana bro,mama anabeba nafasi kubwa ktk maisha ya mtoto,mama ni mtu pekee anaeweza kukupokea wakati jamii imekuchoka,mama ndio mtu pekee anaethamini na kujali maumivu na mazuri yako,mama ndie mtu alieweza kutunza ukuaji wako wakati ukiwa mwilini mwake hadi unapata umri wa kuacha ziwa lake na wakati mwengine hadi unapoweza kujitegemea au maisha yako yote
😭😭😭daaa jamani pole sana mc pilipili Mungu akufute machozi yako unayomlilia mama yako mpendwa Mungu wa mbinguni aendelee kukutia nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P mama mbele yako nyuma yako pumzika kwa amani.
Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe, pole sana mc pilipili maumivu ya msiba hayajawahi kuwa mepesi mungu amutie nguvu MC pilipili na family yake
Innalillah wainnaillah rajiun allah amsamehe maovu yake amina yarabi pole kaka allah akupe nguvu ktk kipind hiki kigum kwako jmn nimekumbuka ck alonitoka mama yng ni maumiv kaka achen
Mungu akutie nguvu. Hii njia haijawahi kuwa rahisi wala kuzoeleka. Mungu amlaze mahala pazuri.
Pole ni saana jamani imeniuma saana mpaka tumelia hapa ujeruman mungu ampumzishe kwa amani na nyinyi watoto mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi
Pumzika kwa amani mama, mungu akupe subra mc pili pili na familia yako katika kipindi hiki kigumu,pole sana pilipili
Poleni sana wafiwa! Polen sana wanafamilia! Allah Awape subra katika kipind hiki kigumu kwenu. Tunamuomba Mola Awarehemu mama zetu wote huko walipo akhera_Amiin. Inauma sana ila kazi ya Mungu huwa haina makosa siku zote.
Pole mc pilipili, kwa msiba ,mungu amuweke mama Pema penye waja wake wema 😭😭
Pole Sana kweli nimejisikia machozi yananitoka MUNGU awe faraja kwako ndugu yangu
Pole sana
Pole sana MC Pilipili na familia,,,Jipeni moyo mkuu..Mungu atawashindia.
I can't imagine loosing my mom 😢😢😢😢 sorry MC pilipili . Receive Divine healing From our Lord Jesus Christ 🙏🏼
kwakweli its tooooo painful haki vile yaani ni kulia milele na wala sitaacha kulia mm 7 years bado naliaga tu kila nikikutwa na huzuni au furaha
Pole sana mwanangu, Mungu akupe ujasiri. Ameondoka ni mapema lakini kumbuka Mungu ni Baba wa Yatima. Be strong.🙏🏾
Pole saana kakayetu kwa msiba mzito,Ila Ni Kama wazo tu ifike muda video Kama hizi zikae kwa muda was kipindi Fulani mtandaon na zifutwe maana kwa mtazamo wangu naona Kama zinakuwa zikii umiza watu kwa kukumbuka kumbukumbu mbaya kifo sikitu kizuri!!!
Mwenyezi MUNGU awape nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu 🙏
Isee pole sana mc pilipili,ningumu sana ,Mungu awape faraja familia yote daa!!!!
Dah! Poleni sana wapendwa. Mungu awape faraja ya kweli
Nimejikuta naungana nae kilio,nimemkumbuka MAMA yangu kipenzi😓😓😓,pumzikeni MAMA zetu na nuru ya bwana MUNGU itawale 🙏
😭😭😭😭
Pole Kaka,lkn Mungu ni mwema uliandaa safar ya mama kwa Mapenzi ya Mungu..Jipe moyo kaka,Mungu amekupa nafasi na mama yetu
Daaaah mungu akupe moyo wa uvumilivu inauma sio kidogo jmn pole saana mc
Hakika umenikumbusha siku mama yangu alipofariki ni kama vile wewe yaani sikuyaamin masikio yangu wala macho yangu. Hakika inauma sana. Pole sana kwa wafiwa wote.
You made me shed a tear...may God strengthen you Mc Pilipili...pole Sana kea msiba.RIP Mama Pilipili
Pole Kaka, maisha ya mwanadam yana Siri nzito sana hakuna aijuae kesho yake. Pole kwa familia yote kwa ujumla hakika umejua kuniliza
😭😭😭😭😭Jamani pole sana ms pilipili haki nimejiskia vby mno
Poleni sana, mimi pia nimepoteza my family member,miezi 2 uliyo pita kwa ajali ya boda boda, RIP mama mc pili pili
Poleee Sana dear
Pole jmnn.
Pole sana
Polee Vero
Inaumiza mnoooo. Pole sanaa ndugu no one like Mama kwenye hii Dunia. Akapumzika Mahala pema peponi Mama.
Pole kaka
Mc PiliPili pole sana take heart .R.I.P. Mum.🇦🇪🇦🇪+254
Pole saana M.Mungu awatie nguvu
Pole sanaaaaa kama Mungu pekee ndo faraja yako
Pole bro,mungu akakupe moyo wa ujasiri ktk kipindi hiki kigumu
Pole kaka
Pole sana Mc 😭😭😭😭😭😭 Mwenyezi Mungu awakumbatie na kuwafariji
Nimelia Mimi jmn huyu mama kaniuma sana hanijui simjui ila nilikuwa nikimpenda tu kupitia mc pili pili pole sana kaka mungu akupe amani ya moyo 😭😭😭😭😭💔💔💔💔
Daah,poleni sana,hadi nmeshindwa kujizuia kutoa machozi😭😭😭😭😭😭
Kumpoteza mama ni maumivu ambayo hayaishi kamwe, pole kakangu, Mwenyezi Mungu ameweke maali pema peponi
Kweli kabisa! Wa kwangu amekwenda miezi 3 iliyopita lakini kila siku ni msiba! Nani kama mama
Miezi ? Mie Nina miaka Ila bado
Dah jamani mama anauma kuliko kitu chochote, natamani nipige hata cm kumbe hayupo tena
Pole mingi kutoka kenya🇰🇪🇰🇪 mc pili pili
Pole sana bro,mama anabeba nafasi kubwa ktk maisha ya mtoto,mama ni mtu pekee anaeweza kukupokea wakati jamii imekuchoka,mama ndio mtu pekee anaethamini na kujali maumivu na mazuri yako,mama ndie mtu alieweza kutunza ukuaji wako wakati ukiwa mwilini mwake hadi unapata umri wa kuacha ziwa lake na wakati mwengine hadi unapoweza kujitegemea au maisha yako yote
Inauma kwa kweli, pole sana kaka!
R.I.P....mama
Poleni sana akiamungu nimeshindwa kuzuia machozi 😭😭😭😭😭🙆♂️
Daah pory ndugu yangu mc pilipili kazi yamungu hainaga makosa mungu airaze roho pema peponi amina
Pole mc
Hat mm nimeshindwa inauma sana
😭😭😭😭poleni sana.lnauma saana hata mama yangu alifariki ghafula tarehe 19/12/18. Naelewa maumivu yenu. Pole 😪😔😔😭😭😭🙏
😭😭😭daaa jamani pole sana mc pilipili Mungu akufute machozi yako unayomlilia mama yako mpendwa Mungu wa mbinguni aendelee kukutia nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P mama mbele yako nyuma yako pumzika kwa amani.
Pole sn, ngumu kuipokea lkn hatuna namna, mapenz yake yatimizwe
Amina
KAKA NA DADA WAFUNGA NDOA BILA KUJUANA
👇👇👇
ua-cam.com/video/-jcQDn_0m-Y/v-deo.html
Pole Sana brother, jina la bwana lihimidiwe milele.
pole sana mc pilipli kwa kuondokewa na mama yako kipenzi
Poleni mc pilipili na nduguzo. Uchungu wa mama ni wa kipekee. Hatakuwepo mwanamke mwingine mwenye thamani ya mama.
Pole sana mc pilipil, Mungu akutie nguvu
Mwendo wameumaliza salama ,,,sisi je Ee mwenyezi mungu tupo mwisho mwema,,poleni sana wafiwa ,,ni ngumu sana kuamini ila Kazi yake haina makosa
Nmeishia kulia tu ,Mungu pekee maan hii huwa ni tofauti kabsa,Mungu awatie nguvu
pole mc pilipli najuwa maumivu yakuondokewa na mzazi. umeni bugujisha machozi kwa maneno hayo. pole sana endelea kum ombea mama tutakutana kwamungu.
Pole sana mc pili pili namuomba mwenyezi mungu amlaze mahala pema
Pole san 😭😭😭
Pole sana,M/mungu awasaidie
Pole sana kwa msiba mzito Mc Pilipili.Mwenyezi Mungu akutie nguvu kwa kipindi hiki kizito.
Imeniumaaa Poleni Sana Yehova Mungu awape uvumilivu
Daaa hadi machozi yamenitoka. 😢 pole sana.... Mbele yetu nyuma yake
Poleee ninalia mm pole sanaaa mama mama anaumaaa jamaniii
Jamn 😭😭😭😭😭pole Sana brother mungu akutie nguvu katika hiki kipind kigum
Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe, pole sana mc pilipili maumivu ya msiba hayajawahi kuwa mepesi mungu amutie nguvu MC pilipili na family yake
So sad!!! Pole sana kaka Mungu awatie nguvu jamani
Pole sana kaka yangu ina uma sana mungu amuondoshe azabu ya kabri innalilahiwanlarajinn
Innalillah wainnaillah rajiun allah amsamehe maovu yake amina yarabi pole kaka allah akupe nguvu ktk kipind hiki kigum kwako jmn nimekumbuka ck alonitoka mama yng ni maumiv kaka achen
Daaahh polen sana wafiwa nimejikuta nalia kwa kweli msiba usikie hivyo Kwa mwenzio
Pole sana
@@angelgerald7562 ndio mwisho wa mwanadam ndg yng njia yetu wote japo wametangulia
pole sana mc pilipili
Pole Bro Mungu akutie Nguvu kwenye kipindi kigumu Kama hichi Cha Majonzi tupopamoja sanaaa bro
Nimajonzi makubwa, pole xn mc pilipili na familia kwaujumla, tumuombee mama apumzike kwa amani 🙏🙏
Duh pole sana mc pilipili inauma sana mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
May God give you strength in this difficult time
Daaaaah...pole sana mc pilipili Mungu akutie nguvu ktk kipind hiki kigumu.
Pole sana ndugu May God give you strength and comfort
Pole sana mungu akutie nguvu
Pole sana inauma
Pole nmesoma heading tu nywele zikasimama Ee Mungu tupe mwisho mwema
Pole sana kaka Mungu akutie nguvu katika wakati mungum unayo pitia pole sana
Dah pole Sana Kaka kazi ya Mungu haina makosa jikaze inauma jamani
Pole mwaya yaan hd nimejickia vibaya 😣😣😣😣pole mc pilipil mzazi anauma jaman
Sanaaa
Inna Lilah wainna illah rajiun 😭😭😭😭, pole Sana brz
Pole sana ndugu wote Nawaombea Mungu awape faraja katika mioyo yenu
Pole sana mc pilipili. Kazi ya mungu aina makosa
Pole Sana kaka Mungu akutie Nguvu poleni wafiwa wote Mungu awape faraja
Pole sana ndugu mwenyezi Mungu ampe makao mema huko anakoenda 😭😭😭😭
Pole Sana Mc pilipili. Mungu akutie nguvu
Jmn dah polen wafiwa Mungu awatie nguvu
Pole sana pili pili hayo ni maisha ambae tunayoipita ote kwa pamoja
Pole sana MC pilipili sote ni wa Mungu na kwake tutarejea!!Mungu akutie nguvu!!
Pole sana classmet wangu kwa kuondokewa na mama
Daaah machoz yamenitoka kwakwel pole san san san kaka hii nimoja ua safar tutakayo isafiri watu wote pole kaka 😢😢😢
Pole Sana mgogo mwenzetu kwa kuondokewa na mama
Mc pilipili umenitoa machozi jamani,mama mwendo umeumaliza pumzika kwa amani.poleni sana wanafamilia.
Pole Sana Kaka pole Sana Kaka,mungu akupe wepesi katika kipindi hiki kigumu kwako,inauma Sana Sana.
Pole sana brother
Ina lilallhi wa inaleihum raajeoon rip - Amina Salem from Abu Dhabi
Pole sana Kaka kwa kuwapoteza watu mhim sana kwenye maisha
Pole sana kaka mc pilipili kwa kuondokewa kwa mamayako mpendwa
Pole sana kaka kwa kweli hicho kiatu ni kizito sana,bwana Yesu akawe mfariji wako.
Pole sana bro...mungu akutie nguvu
Da! Hii kitu uisikie Kwa wengine jamn. Uwiiii nimaimivu mnoooo
Acha kabisa nililiaga mno😭😭😭
Ni Mungu tu nikumkumbusha Wema wake Mungu wakat wamagumu
Pole sana kaka yangu mungu akwinue akufute machozi ya uchungu inauma sana Bora hata angeumwa jmn mama anauma sana ,pole pole sana wanafamilia😭😭😭🙏🙏🙏
Daaa pole sana mc pilipili umeniliza sana Mungu amtangulize mbele ya hani mama ako kipenzi pole sana
Pole sana kaka kwa msiba mzito, Mungu akawe mfariji wenu
Pole sana mc pili pili,Mungu akupe nguvu kipindi hiki kingumu
Polee sanaaa kaka mungu ampumzishe kwa amani
Pole sana kwa msiba mc mzuri
This ez so emotional😢😢😢
may God strengthen you
Aisee inauma jaman kufiwa na mama😥😥 kila nikikumbuka machozi yananitoka....polen sana
Pole Sana Kaka mungu tu akawe mfariji wenu
Inauma sana. inalillah waiina irayhi rajioun pole pilipili
Mc pilipili pole sana MUNGU akutie nguvu kaka maana umejua kuniuliza mpaka nimemkumbuka mama angu😭
Poleni Sana familia MUNGU awatie nguvu Kwa wakati Huu mgumu
Poleni Sana wanafamilia Mungu awape nguvu wanafamilia wote, pole Sana pilipili
Pole Sana. Mungu akutie nguvu
Inauma sana kaka poleni wafiwa kweli msiba unaumaa sanaa Mungu awafariji maana faraja yake yapita faraja ya wanadamu Mungu awatie nguvu.
MWENYEZIMUNG awafariji amempenda zaidi.
Pole sana mc Mungu akupe ujasili wa kuyapita haya magumu
Pole sana MC Pilipili nimeshindwa kujizuwiya jamanii nimelia saaana saaana Mungu amuweke mahali pema peponi 😭😭😭😭😭😢😢😢😢😢😢
Innalilah wainna ilah rajiuun. Poleni saana kwa mcba mzito
Pole saana baba. Mungu ampokee kwa amani.
Poleni sana Kwa kipindi hichi kigumu MC pilipili