Jamani poleni sana. Hii ni wakati mgumu sana, ila katika yote tunamshukuru Mungu. Yaani, Mc Pilipili, umenikumbusha mbali, nimewahi kukubwa na tukio kama hilo kufiwa wakati tuko kwenye tukio la furaha, kulilia chooni, na kurudi kuwapa moyo wengine ili mambo yasiharibike zaidi. Duh, it was so painful. Zaidi, Mc umetupa funzo moja muhimu kuwa "TUJITAHIDI KUWATENDEA MEMA NA KUWAFURAHISHA WAPENDWA WETU SASA KABLA WAKATI WA KUFANYA HIVYO HAUJAPITA" Mungu ailaze roho ya marehemu Mama yetu mpendwa Mama Mc Pili². AMEN!
Duh kwakweli mwanaume ni mwanaume tu pole sana kaka angu, mungu akipanga lake hayupo wa kupangua mlipenda mama ila mungu amempenda zaidi, mungu zipumzishe roho za wapendwa wetu mahali pema peponi Amen
Kitu chema ni "amefariki nadhiri yake ikiwa imetimia", ameiona ndoa ya kijana wake kama alivyoomba. Sidhani kama ameenda na kinyongo, R.I.P mama. Somo kuu "MANENO YANA NGUVU" au "MANENO YANAUMBA", ndio maana tunaambiwa usimnenee vibaya (hasa) mtoto wako au usiweke nadhiri kwa Mungu bila kuitimiza.
Poleni sana , ila mungu ansema , kamwe usije kusema kwamba hili jambo nitalifanya kesho, ila utanguoize na neno inshallah, akipenda mwenyezi mungu, na pia haifai kulipania jambo, mfano usije ukasema yaan kwa njaa hii niliyonayo basi nikifika nyumban tu lazima nimalize ule ugali kilo 3 yaan lazima nimalize, haifai kupania jambo, maana unaweza umwa tumbo na huo ugali usiule kabisa wakala wenzio, kila kitu tutangulize neno akipenda mwenyez mungu, Asante
Rest in peace kiukwel wazaz wangu bado wapo hai, ila nikiona watu wanaumia hivi najiulizaa masual mengi sana 😭😭 but yote ni mipango ya mungu, na ambao wazaz wetu wapo hai hakika tuwatumie kwa kher kwani ni pepo yetu ya dunia na ambao wazaz wao wametangulia wazidi kuwaombea wazaz wao
Pole sna jamn familia kwa misiba mikubwa , mungu awape nguvu na subra.japo inaniuma sna kweli huyu mama ndoo bas tena mchanga unatumaliza mweee, 😭😭😭😭😭😭😭 polen sna .
Pole sana mc pilipili kwa kumpoteza mama yako mpendwa Mungu wa mbinguni awe tulizo la huzuni yako na pia aendelee kuwatia nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P
😭😭😭😭😭😭😭 sina la kusema zaidi ya kusema poleni sana kwa kumpoteza pacha wenu mama yenu kipenzi chenu tulimpenda sana ila mungu kampenda zaidi tumuombee apumzike kwa amani
Jamani poleni sana. Hii ni wakati mgumu sana, ila katika yote tunamshukuru Mungu.
Yaani, Mc Pilipili, umenikumbusha mbali, nimewahi kukubwa na tukio kama hilo kufiwa wakati tuko kwenye tukio la furaha, kulilia chooni, na kurudi kuwapa moyo wengine ili mambo yasiharibike zaidi. Duh, it was so painful.
Zaidi, Mc umetupa funzo moja muhimu kuwa "TUJITAHIDI KUWATENDEA MEMA NA KUWAFURAHISHA WAPENDWA WETU SASA KABLA WAKATI WA KUFANYA HIVYO HAUJAPITA"
Mungu ailaze roho ya marehemu Mama yetu mpendwa Mama Mc Pili². AMEN!
Duh kwakweli mwanaume ni mwanaume tu pole sana kaka angu, mungu akipanga lake hayupo wa kupangua mlipenda mama ila mungu amempenda zaidi, mungu zipumzishe roho za wapendwa wetu mahali pema peponi Amen
Kiukwel pole san mc pili pili but umetufunza sana wanaumme 👊thanks brother 💪💪
Pole sana Mc..Mungu baba wa mbinguni awalaze mahala pema peponi. Amina!!
😥😥😥😥😥😥 Umejikaza kiume sana. Pole sana kwa Msiba ndugu. Inaumiza kweli.
Poleni sana Mola awajalie nguvu na utulivu katika kipindi hiki kigumu
Polen sana wafiwa! Pole sana Mr Pilipili. Mungu Awafanyie wepesi katika hili.Amiin!
Mungu wetu NI mwema 🙏 tunaiman atawapumzisha mahala pema pepon Amen 🙏
Pole sana Kaka Tomy ambaye Hilo tukio limetokea mikoni mwako jipe moyo Mungu akupe wepesiii uweze kupokea Msiba huo wa Mama
Kitu chema ni "amefariki nadhiri yake ikiwa imetimia", ameiona ndoa ya kijana wake kama alivyoomba. Sidhani kama ameenda na kinyongo, R.I.P mama. Somo kuu "MANENO YANA NGUVU" au "MANENO YANAUMBA", ndio maana tunaambiwa usimnenee vibaya (hasa) mtoto wako au usiweke nadhiri kwa Mungu bila kuitimiza.
Poleni sana! Mungu awalaze hao wa mama mahali pema!
Poleni sana kwa familia nzima Mungu wa mbinguni akawe faraja yenu.
😭😭😭😭ni huzuni kwakweli. Mungu awarehemu👏
Pole sana Mc Pilipili kwa kupotewa na mama mzazi..
R. I. P
Aki nimeumia Sana mungu ampumzishe mama yetu kipenz mama ni mama wa wote pole sana mc pilipili pengo kubwa Sana jmn dah
Pole sana jamani mungu akupe uvumilivu du
Poleni sana kwa family nzima Mungu wa akawe faraja kwenu 🙏
Kuacha Mungu. Mama ni mtu muhimu sana. Pole sana Mc Pilipili
Polen sana familia ya mc pilipili bwana Yesu awatie nguvu
Watu wanatakiwa kujua kila mtu ana grieve tofauti. Pole sana . Mungu ndiye mfariji wenu mkuu
Polee saana mbele yake nyuma yaake kwaupendo alouonyesha duniani yawe malipo huko aendako Ameeen
Dah! Aisee pole sana bro, kiatu ulichovaa kikubwa mno, bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihidimiwe. Wapumzike kwa amani.
Aisee pole sana Nduguyangu Mungu akuzidishie uvumikivu
Mwenyezi Mungu akutie nguvu wakati huu mgumu wewe na familia yako yote😢😢😢😢. Mwanga wa milele uwangazie Ee Bwana wapumzike Kwa Amani 🙏🏼
Daah nashindwa la kusema, ila kubwa Kushukuru MUNGU maana haya ni mapenzi yake..pole sn Mc.pilipili RIP Mom yetu
Kwekweli pole Sana ,nashindwa hata kusema Ila mungu akupe nguvu ,na Sisi tuko njiani
Pole sana kaka Mungu Akujalieni Faraja na uvumilivu kwa kipindi hiki kigumu kwenu
Daaah iki kifo kimeniuma mno nakimenigusa sana😭😭pole pacha wangu mc pilipili
Inasikitisha,pole Sana Mc Pilipili mwenyezi Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu.
Poleni sana , ila mungu ansema , kamwe usije kusema kwamba hili jambo nitalifanya kesho, ila utanguoize na neno inshallah, akipenda mwenyezi mungu, na pia haifai kulipania jambo, mfano usije ukasema yaan kwa njaa hii niliyonayo basi nikifika nyumban tu lazima nimalize ule ugali kilo 3 yaan lazima nimalize, haifai kupania jambo, maana unaweza umwa tumbo na huo ugali usiule kabisa wakala wenzio, kila kitu tutangulize neno akipenda mwenyez mungu, Asante
So sad. Pole sana kwa msiba Mungu akutie nguvu
Innalilai wainnajariuni nijia yetu sote poleni family Allah awatie nguvu amiin
Pole Sana Emmanuel
Inalilah wainalilah rajiun mungu awaeke mahali pema peponi
Innalillah wainnaylahirajihuun,,pole sn kaka umepata wakati mgumu sn....
Pole Sana Mungu awarehemu Sana mumepoteza mtumuhimu Sana maisha Kutoka Kenya Mungu awafariji
Yani dah...! 🤦♂️ This is more than pain,brah. Polen sana,brother! Too sad and painful for sure. Take heart,bro! Take heart.🤦♂️🤦♂️
Pole sana mc pilipili jamani mungu awatie nguvu
Pole sana mtumishi
Rest in peace kiukwel wazaz wangu bado wapo hai, ila nikiona watu wanaumia hivi najiulizaa masual mengi sana 😭😭 but yote ni mipango ya mungu, na ambao wazaz wetu wapo hai hakika tuwatumie kwa kher kwani ni pepo yetu ya dunia na ambao wazaz wao wametangulia wazidi kuwaombea wazaz wao
Daah fact kbs
Pole sana Mwenyezi Mungu akupe nguvu ktk kipindi ichi kigumu
Polee Sana the best Mc we taifa mume wa mena
Innaillah wainnailayh rajiun Poleni sana familia mwenyezi mungu awape moyo wa subra
Pole sana mc Pilipili na familia kwa ujumla R.I.P mama yetu
Innalillah wainailayh rajiun. Poleni wafiwa.
Poleni sanaaa....
😪😭😭😭Poleni sana wafiwa Mungu awape nguvu. Mmepoteza wa mama wawili. 🙏😭😭
Innah Lillahy Wa Innah Illayhi Rajioun, Poleni Sana Ndugu,jamaa. Kazi Ya Mungu Haina Makosa.
Duuuh. ! Nilifiwa na mama ninajuwa maumivu mnayopitia poleni sana
Pole sana
Sisi ni wa MwenyeziMungu na kwake Tutarejea. Poleni sana
Pole San kak mwenyezi mungu akutie nguvu
Pole sana my brother mwenyezi MUNGU akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu
Pole sanaaa
Pole sana
Yani hata hyo interview umejikaza kiume...Pole kaka ,pole sana
Pole sna jamn familia kwa misiba mikubwa , mungu awape nguvu na subra.japo inaniuma sna kweli huyu mama ndoo bas tena mchanga unatumaliza mweee, 😭😭😭😭😭😭😭 polen sna .
Pole sana mc pilipil pamoja na familia yako, wapumzike mahar pema na mwanga wa milele uwaangazie.
Pole kaka Mungu awape uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu
Pole sana Kaka mc pilipi mungu akutieguvu
Daaaah inasikitisha Sana aseee.... 😢😢😢
Wapumzike kwa Amani Hawa wamama... 🙏🙏🙏
Pole sana mc pilipili kwa kumpoteza mama yako mpendwa Mungu wa mbinguni awe tulizo la huzuni yako na pia aendelee kuwatia nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P
Polen sana ndg zangu mungu awatie nguvu kwa pito hili ngumu inauma sana 😭😭😭🙏🙏🙏
😭😭poleeee Sana broo kiatu chako n kikubwa mno
polee xan bro angu mung ampumzishe mama yet
😭😭😭😭😭 RIP
Mungu mwenyew awafariji..
M.A.P mama Mc pilipili..!! Mungu akupe nguvu through this, hard situation....!!!!!!!
Pole mc pilipili kazi ya mungu haina makosa
Daah pole sana Mc Pilipili Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mama yako mpendwa
Sema nimepoteza watu muhimu Mc coz hata mama mdogo ni mtu wa muhimu.Pole sana kwa kupoteza wazazi (mama 2).
Poleni sana . Ni ngumu lakini Mungu akawe faraja ya pekee kwenu
Unapitia sana maumivu jamani pole sana Mc pilipili.😭😭😭
Duh! Inauma sana Mungu awe faraja yenu
Pole Sana.
Poleni sn Jamani, kila mtu ana safari yake ya kupita.
Daah pole Sana aisee. Mungu alikupa nguvu ya ajabu kuendelea kukamilisha shughuli ya ndugu zangu
Poleni saana mungu aku penisula subira kwa wakati mgumu kama huu
Duh inauma sanaa jamani. Pole Sana ndugu jamaa na marafiki. Pole Sana MC Pilipili.
Pole sana Broo
Poleni sana. Mungu awape Moyo wa uvumilivu.
Kwake tumetokea na kwake tutalejea mwenyez mungu ampe kauli thabiti amiin.
0
Dah pole sana ,mungu alipangalo akuna anayejuwa
Very good day and sad day at the same time 😔 Anniversary yao itakua ni kilio every year this life eeee only god knows RIP mama
poleni Mungu awatie nguvu
Tuombee sana familia zetu shetani hapendi Upendo.
Pole sana kaka mungu akupe nguvu
Pole sana mkuu kupoza kiungo muhim ktk maisha
Inauma sana, pole sana Mc Pilipili
Pole Sana Mc pilipili,
EE jamani poleni sana
Pole sana😥 wew ni jasiri
Duh poleni sana, jamani mhh, Mungu awe faraja kwenu
Pole sana kaka Mungu awafariji sana.
😭😭😭😭😭😭😭 sina la kusema zaidi ya kusema poleni sana kwa kumpoteza pacha wenu mama yenu kipenzi chenu tulimpenda sana ila mungu kampenda zaidi tumuombee apumzike kwa amani
😭😭😭😭😭😭pole kakangu mungu pekee atakufariji kakangu 🙏
Poleni sana wafiwa wote MUNGU azilaze roho za marehemu mahala pema peponi amina 🙏 pole sana MC pilipili
Pole kaka mungu akupe moyo wa uvumilivu katikat kipind hich kigum
Mwanaume ni mwanaume tu daah umejikaza sana broo
Poleni sana
daa pole sana.
Pole sana Mungu akutie nguvu.
Pole sana kaka choz limenitoka
Jaman pole sna mc pilipili na familia yote kweli inauma sana RIP mama zetu😭😭😭😭
Pole mc pilpil.mungu akupe subra na nguvu.lkn vip mliendelee na shughul jaman.ikiwa mama mahtuti. Ningeacha umc nkakimbia hospital.
Watu wanajaribiwa aise!! So far Pilipili ni kamanda.
Pole sana broo Mungu awapiganie
Pole sanaa kaka