Innallillahi wainnaillaihi rajiun. SubhanaAllah. Kwakweli yote kupenda kwake Mola. Hao waliofiliwa na wanandoa Mola awasimamie kwa hayo. Mungu anasababu yake nasi binaadamu tuna sababu yetu. Mjuzi zaid ni Mola M.Mungu
Huuu ni msuli wa imani hakuna shida yeyote kiimani nimewapenda hawa watu hakuna dhambi zaidi katika hili Mungu akawe nanyi katika ndoa yenu awafadhili na kuwabariki na kuwaangazia nuru ya uso wake
Hakuna maajab jmn, ni makubaliano yao, kila kitu hupanga Mungu why mama atake cku yke ya kuzaliw ndio afange ndoa, na mama Ha kujua kama iyo cku hata kuw hai, kinachotakiw ni kushukur kwa yote tu
Pole sana Mr Mtatiro Mungu akawe mfariji wako ktk haya nakuona kwa mbali unavyoshuhudia kwa utulivu sherehe ya mwisho ya mkeo na sherehe ya pili ya mwanao... Mungu ampe pumziko la milele Mrs Mtatiro Nawatakia wanao kila la kheri ktk ndoa yao.
Subbhana llah......da Geah ata uku kwetu kuna baba alikua ana umwa mda mrefu, sasa mtoto wake wa kike alikua ametolewa mahali na tareh ya ndoa ikapangwa ucku wa ndoa ndo cku yule baba akafari na ndoa...ilifungwa kama kawaida
Kiimani tena kapevuka kwa maana ndoa ni ibada na kidin kukiwa na msiba na ndoa. Ndoa inafungwa then mazishi yanafuta ila sio haruxi mambo ya sherehe hapana
Hii media yako inapenda Sana Jambo kukupeleka negative ..ili swala ukilifatia kwamapana uamuz walochukua Ni sahh Sana coz lip lianze while mama amefia kwenye send off yetu...lazma mama ashiriki nasi angali si hi lakin tunaamin uwepo wamwili wake pamoja nasi nijambo jema kuliko kumwacha mochwari😭😭😭
Ndio maana huwa Nasema watoto wa kiume hawanaga upendo wa moyon,hiv angekuwa ni Mama wa huyo bibi harusi angeweza kweli kusimama na kufunga ndoa? Tusibadilishe uhalisia binadamu siku zote thamani yke hailinganishwi na kitu chochote kile.
Kwa waislam ni kitu ambacho sio cha ajabu Mtu akifa azikwe upesi Mtu akitaka kuoa /kuolewa basi ifanyike upesi Na pia mtu akitaka kuslim aslimishwe upesi Sijaona tatizo ila inataka moyo sana
Katika uislamu mambo matatu hayatakiwi kucheleweshwa 1. Ibada ya Ndoa 2.ibada ya kuzika 2. Kusilimisha (mtu kuingia katika dini). Mi nahisi maharusi wako sahihi kwakua Ndoa na maziko vyote ni vya muhimu
Hakuna Cha ajabu hapo dada hayo yoote ni Mambo ya mungu ...ndoa Jambo la mungu na kufa pia Jambo la mungu .. hzo zoote NI ibada ...hKuna Cha ajabu hapo dada kawaida tuuh ata mungu ameruhusu
Nawashangaa mnaolaumu kwanini anafunga ndoa msibani skilizeni vzr Bwanaharusi alifanya patano namama Yake kuwa aowe siku yakuzaliwa mama Yake nandio siku aliyokufa so ametimiza makubaliano acheni lawama.
Iyo ina ni kumbusha mengi kwakweli na mimi ile nikuta baba yangu kafariki mtoto wa mama yangu mudogo mudogo wa mama yangu waukweli alidi funga doa siku baba yangu ame fariki nili mushukuru Mungu tu kwakweli yote ni mapenzi ya Mungu sote ndo njiya yetu akuna kitacho baki ni ku homba Mungu atupe mwisho mwema tu
Nasikia eti mama alikuwa amemwamuru mwanawe afunge doa tarehe iyo kwani ilikuwa birthday yake kwa hivyo huyu jamaa alikuwa anatimiza agizo la mama yake ajiepushe maybe na laana kutoka kwa mama.
Watoto wa kiume wanaweza!! Lkn so wote!! kwani baadhi yao ni marafiki wakubwa kwa mama zao, lkn hats ivo hiyo nguvu unaipata wapi?mama anaumaaaa... Poleni sanaa wapendwa
Sio mbaya kama wameweza kujikaza maana hata ss waislamu ikitokea ndoa na msiba Allah katutaka tuanze na ndoa kwasababu aliye kufa kasha funga hesabu zake.kwakuepusha zinaa inakua ni bora ndoa ipite ili waziifazi nafsi zao🤲🤲Hongereni napoleni kwa msiba
Yan wewe dada nilikuwa nakupenda sana kwa kipindi chako cha heka heka, ila kwa ulivyoiweka hii story nimeona kuna uwezekano story nyingi zinapikwa kuvutia watu tu ila ukweli hautafutwi,
Dada gea, niwatu wa dini hao... Mama alikuwa ni wa furaha na amanii ndio maana walimshukuru Mungu na kuendelea na ratiba.....kwahiyo kwa Mungu yote yanawezekana
Hapo hapo alizaliwa asubuhi wamsitiri mama ktk nyumba yake ya maisha.kisha jioni wafunge ndoa ktk uislam tumerusiwa .Na huko nyuma iliisha tokea sana.acheni kukuua vitu
Kikristo msiba nisherehe tena kubwa hutakiwi ata kudondosha chozi ila unatakiwa kufurahi na kuimba na kucheza kwa sababu tunaamini karudi nyumbani ila kiubinadam hatuwezi kuvumilia na kuelewa na kikawaida binadam anasherehe tatu kuzaliwa,ndoa,kufa so apo kunasherehe mbili someni Bible jmn
Kama wataishia kanisani bila sherehe ukumbini akuna mbaya lakini kama wakimalizia ukumbini watakua wamemkosea mungu maana kwenyemsiba hakuna furaha maana ukumbini ni sehem ya sherehe na sherehe ni furaha ila nawapa pole Sana mungu awape nguvu maharusi
Hata asingefunga ndoa sikuhiyo mamake asingefufuka. Na sherehe muhimu katika maisha ya mwanadam Ni 3 tu. Siku Ya kuzaliwa. Siku Ya kuoa au kuolewa. Na siku Ya kufa. Kwahiyo msiba na harusi viote ni sheree. Na MUNGU amewapa kubali. Ss Ni Nani hata tutunge stori zingine??
Nilivyosikia. Siku ya send off. Marehemu alikuwa na furaha kupindukia. Sasa wakati wakiwa ukumbini mama akapika vigeregere sana mpaka umauti umemkuta. Kwa hiyo mtoto kaona kwa vile mamaye alikufa akiwa akishangilia. Basi azikwe siku wakiwa wanamuaga. Ilaa pooo sina moyo huo mie
Haya ni mauzauxa neno kifo ni jambo haluna mazowea, ni zito wallah hii ni laana tu badala ya kuomboleza mnasherekea kweli!!? Yadunia yamekua mengi sijaelewa siamini
Hao washenga uliwaona wapi geah? Maana waliovaa sare ni ndugu wa mume tu, jaribu kufuatilia mambo pande,zote, lakini pia unasema bwana harusi alikuwa anaongea kwa furaha kabisa, mbona mimi nilikaa mbele na nilimuona alikuwa analia?, mwanzo mwisho pale mbele bibi harusi na bwana harusi walikuwa wanalia wewe hiyo furaha mwanzo mwisho sijui uliiona wapi, alafu matendo ya huzuni yote naona umeyatoa, Ongera dada, ila jua tu hawa watu wameumia sana, na wamefanya hivyo kwa nia njema kabisa, wewe ndo unalifanya lionekane negative
@@happypa2027 usishangae pia lkni... Kma mwenye katangulia kujitambulisha mbeaa nawajua wambea wanaongea yaliyomo na hayakuwepo ilmradi kufanikisha mambo Kwa anavyo taka yy
unasema hujui alaf bado unaendelea kuongea vibaya...walichofanya ni sahihi kabisaa wala hmna ubaya..kwanza hujui tu mtu akifa the same date alozaliwa ni direct kwa Mungu...Binadamu ana sherehe 3 tu dunian kuzaliwa kuoa/kuolew na kufaa acha kupotesh umma
Jmn hata wao hawakupenda itokee hvyo" Ila marehem alisema ndoa ifungwe siku yake y kuzaliwa" lait angeumwa hapo sawa wangeongea n marehem atengue kauli yake kwanza wamuuguze lkn ndoa z kikristo tar ikipangwa imepangwa" mm nakumbuka nilifunga ndoa yangu tumezika leo kesho kanisan tr ilishapangwa bd tunamaumivu makali y wifi yangu" nae alitoka iringa alikuja kwenye ndoa yetu morogoro 😭
Hakuna laa ajabu hâta waislaam wanafunika kwanza maiti harusi inapita kwanza alafu mnaenda kuzika ,vyote ni mipango ya Mungu ,labda mnastaajabu kwasababu biharusi kavaa shela,🤔Lakini ndio mambo Ya Mungu
Ni ngumu ila hakuma maajabu mana ameumaliza mwendo salama alishasema afunge siku yake ya kuzaliwa so huwa haijirudii mpaka mwakani.Ila.wanaume pia wapo tofauti na sisi.Mi ningezimia hapo
Niambieni tu jamani hawa watu baada ya ibada walielekea ukumbini au makaburini na mapumziko yao wamefurahia lipi ktk maisha yao ya baadae kumpoteza mama au kuowana jibuni chapuchapu aisee nimeumia sana
Mimi nimefiwa na mama angu najaribu kukumbuka ile cku nilivoipokea wakat tupo kanisani tukifanya ibada MTU angenambia na harus ni siku hiyo nahisi hata mchumba ningemwambia Mch simuoni naefunga nae ndoa
Zote ni sherehe . Maana mwanadamu Ana serehe tatu . Sema hiyo ya mwisho watu husherehekea kwa kilio maana hawataiona Tena hiyo nafsi., Segerea Dar es salaam,mama mmoja alialika matarumbeta na watu walishangila n avigelegele kwenye msiba wa binti yake.
Its an act of respect🙏...wametimiza hamu na furaha ya mama yao,hata kama amelala.Mungu awe mfariji wao mkuu..
Innallillahi wainnaillaihi rajiun. SubhanaAllah. Kwakweli yote kupenda kwake Mola. Hao waliofiliwa na wanandoa Mola awasimamie kwa hayo. Mungu anasababu yake nasi binaadamu tuna sababu yetu. Mjuzi zaid ni Mola M.Mungu
Huuu ni msuli wa imani hakuna shida yeyote kiimani nimewapenda hawa watu hakuna dhambi zaidi katika hili Mungu akawe nanyi katika ndoa yenu awafadhili na kuwabariki na kuwaangazia nuru ya uso wake
Kwa Mungu zote ni sherehe Imani .Imani ni kuwa na hakika.ila ni ngumu kuvumilia
Mama anauma jamani tumwachie mungu yote
Poleni.hongera wewe.kaka kwa kujikaza.ingekuwa mke km unavyojua isigewezekana .ingekuwa kulia mpk kupoteza fahamu.yy kajikaza kutimiza husia wa mama yake.bila hivyo wangesogeza mbele.wengine wanafichaga siri.tofauti wao.hakuficha tu.walikuwa wanalia rohoni.
Hakuna maajab jmn, ni makubaliano yao, kila kitu hupanga Mungu why mama atake cku yke ya kuzaliw ndio afange ndoa, na mama Ha kujua kama iyo cku hata kuw hai, kinachotakiw ni kushukur kwa yote tu
wewe kuweza?
Sio makubaliano mama anauma 😭😭😭😭😭😭😭
Wew kuweza? Mama kitu kingne
Pole sana Mr Mtatiro Mungu akawe mfariji wako ktk haya nakuona kwa mbali unavyoshuhudia kwa utulivu sherehe ya mwisho ya mkeo na sherehe ya pili ya mwanao... Mungu ampe pumziko la milele Mrs Mtatiro Nawatakia wanao kila la kheri ktk ndoa yao.
Subbhana llah......da Geah ata uku kwetu kuna baba alikua ana umwa mda mrefu, sasa mtoto wake wa kike alikua ametolewa mahali na tareh ya ndoa ikapangwa ucku wa ndoa ndo cku yule baba akafari na ndoa...ilifungwa kama kawaida
mh
Hii inafaa uliyoina wewe dini inaruhusu
ilahuyukaka kakoseakidogo
Inafaa
Kiimani tena kapevuka kwa maana ndoa ni ibada na kidin kukiwa na msiba na ndoa. Ndoa inafungwa then mazishi yanafuta ila sio haruxi mambo ya sherehe hapana
Hasna Kimaro upo ryt
Hongera sana, na mama yako kafurahi sana na anako kwenda huko ndio atafurahi sana, zaidi wanajua ma'askofu wao na familia yao.
Hii media yako inapenda Sana Jambo kukupeleka negative ..ili swala ukilifatia kwamapana uamuz walochukua Ni sahh Sana coz lip lianze while mama amefia kwenye send off yetu...lazma mama ashiriki nasi angali si hi lakin tunaamin uwepo wamwili wake pamoja nasi nijambo jema kuliko kumwacha mochwari😭😭😭
Ndio maana huwa Nasema watoto wa kiume hawanaga upendo wa moyon,hiv angekuwa ni Mama wa huyo bibi harusi angeweza kweli kusimama na kufunga ndoa? Tusibadilishe uhalisia binadamu siku zote thamani yke hailinganishwi na kitu chochote kile.
Hakika wako sahihi kabisaa
Kweli alipenda mama ake ashuudie😭
Ndy poleni sanaa
Yote heri kwani mama pia alimuhusia mwanawe aowe tarehe aliozaliwa yeye, na mama siku hiyo hiyo akafariki basi bora wafanye vyote ndoa na mazishi 🙏🏼🙏🏼
Kwa waislam ni kitu ambacho sio cha ajabu
Mtu akifa azikwe upesi
Mtu akitaka kuoa /kuolewa basi ifanyike upesi
Na pia mtu akitaka kuslim aslimishwe upesi
Sijaona tatizo ila inataka moyo sana
🤝🤝🤝
Aaah
Ndio kwawaisilam mahit haicheleweshi ila awajawai
Very true
Nikweli yataka moyo, ila tukumbuke maamrisho ya Allah hayana mushkila, kwani yeye Allah ndo mjuzi zaidi!
Kama mama ndoalisemaa hakuna shidaa hiyo imepenyaaaa🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Katika uislamu mambo matatu hayatakiwi kucheleweshwa 1. Ibada ya Ndoa 2.ibada ya kuzika 2. Kusilimisha (mtu kuingia katika dini). Mi nahisi maharusi wako sahihi kwakua Ndoa na maziko vyote ni vya muhimu
Hakuna Cha ajabu hapo dada hayo yoote ni Mambo ya mungu ...ndoa Jambo la mungu na kufa pia Jambo la mungu .. hzo zoote NI ibada ...hKuna Cha ajabu hapo dada kawaida tuuh ata mungu ameruhusu
Hiyo sio dariri nzuri kabisa
Mungu Saidia ivi Vituko visije Tokea kwa Familiy yetu .Dunia ina Zidi kuwa na Vituko vya Ajabu
Nawashangaa mnaolaumu kwanini anafunga ndoa msibani skilizeni vzr Bwanaharusi alifanya patano namama Yake kuwa aowe siku yakuzaliwa mama Yake nandio siku aliyokufa so ametimiza makubaliano acheni lawama.
Iyo ina ni kumbusha mengi kwakweli na mimi ile nikuta baba yangu kafariki mtoto wa mama yangu mudogo mudogo wa mama yangu waukweli alidi funga doa siku baba yangu ame fariki nili mushukuru Mungu tu kwakweli yote ni mapenzi ya Mungu sote ndo njiya yetu akuna kitacho baki ni ku homba Mungu atupe mwisho mwema tu
Aaaaaa, kakaangu hiyo yako ni kali, ungemzika mama kwanza badae mufunge ndoa maana mzazi ni MUNGU wako wa pili😚😚😚🇰🇪
Nasikia eti mama alikuwa amemwamuru mwanawe afunge doa tarehe iyo kwani ilikuwa birthday yake kwa hivyo huyu jamaa alikuwa anatimiza agizo la mama yake ajiepushe maybe na laana kutoka kwa mama.
Uongo hebu pafirie hapo,huyu jamaa alikua hampendi mamake ingawaje alimzaa.😏😏😏
Alitaka mamake ashuhudie kabla hajafukiwa
Kweli kabisa
Mimi nisingewe kwa kweli Mama anauma sana R.I.P Mama pumzika kwa amani tupo nyuma
Wew ni mimi kabisa siwez et uwiii
Jaman nilijuwa Uwongo wa mitandao
Watoto wa kiume wanaweza!! Lkn so wote!! kwani baadhi yao ni marafiki wakubwa kwa mama zao, lkn hats ivo hiyo nguvu unaipata wapi?mama anaumaaaa...
Poleni sanaa wapendwa
yote kheri mungu anawaongeze kwenye harusi yao pia mungu ampe kauli sabit mama
Duuh! Pole kwa msiba wapendwa
Sijaona Cha Ajabu ..Umetimiza Kile Mama Yako Alichokuambia
Kubwa ni kumshukuru mungu mungu kwa kila Jambo maana Jambo lolote likitokea liwe zuri au baya ni mungu karuhusu kwa kusudi mungu aibariki ndoa yao
Katimiza ahadi , Mbingu pia zimemsikia ,pole kwa msiba ,Mungu akulinde kila uendapo nawatakia maisha mema ya ndoa yenu Mpya.
Poleni sana maharusi. Mungu awaimarishe na roho ya mama ipumzike kwa amani
Mtoto wa kiume!! Ukweli ki binadamu ni ngumu mnooo!!
Lkn kila mtu ana jinsi ya kulipokea jambo! Dunia hii!!
Sio mbaya kama wameweza kujikaza maana hata ss waislamu ikitokea ndoa na msiba Allah katutaka tuanze na ndoa kwasababu aliye kufa kasha funga hesabu zake.kwakuepusha zinaa inakua ni bora ndoa ipite ili waziifazi nafsi zao🤲🤲Hongereni napoleni kwa msiba
Hili jambo kwangu ni gumu kwakweli naomba Mungu lisitokee kea wanangu niwe mkweli kwakweli nimeumia sana harsi kwa wakati mmojai na msiba
Ushauri wangu" Bibi harusi ukawe mtiifu kwa mme wako umuheshimu na ujitadi uilinde ndoa yako idumu
Wow hii kali hiyo nguvu unatoa wapi Mungu wangu🙆♂️
Mmmm
Nashangaa
Watu wanalia au wanacheka
Ndohapo mwenzangu
Child Of God nguvu ya nini mungu akishapanga lake,
Hongera sana pumzika kwa amani mama.
Yale maswali anayouliza Mch ningemchanganyia adi angekoma uwiiii MNA ujacri ndg zanguni hongeren
Wapo sahihi ata dini ya kiislam inaruusu wazike mukirudi mufunge ndoa ila inataka moyo maana mama mchungu
Yan wewe dada nilikuwa nakupenda sana kwa kipindi chako cha heka heka, ila kwa ulivyoiweka hii story nimeona kuna uwezekano story nyingi zinapikwa kuvutia watu tu ila ukweli hautafutwi,
Hiyo tokeo inastahili iyandikwe kwenye Kitabu cha Guinness World of records ama Galileo big picture 🤗👍👍🌹
That is true
Dada gea, niwatu wa dini hao... Mama alikuwa ni wa furaha na amanii ndio maana walimshukuru Mungu na kuendelea na ratiba.....kwahiyo kwa Mungu yote yanawezekana
Polen sana maharus na hongeren kwa ujasir wenu
Hapo hapo alizaliwa asubuhi wamsitiri mama ktk nyumba yake ya maisha.kisha jioni wafunge ndoa ktk uislam tumerusiwa .Na huko nyuma iliisha tokea sana.acheni kukuua vitu
Walifanya kitendo cha kiungwana sana. Mungu awatie nguvu hakika wamempa heshima kubwa sana mama yao. Ninyi mmeangalia upande hasi...
Lakini huyo mwanamke angekuwa mama yake mzazi angekuwa na ujasiri ?twende mbele na kurudi nyuma
Mmmmh wee mama muchungu Sana R.I.P mama😭😭
Kwann wasisubili wazike kwanza utafanyaje msiba na Arusi we una machungu unaweza kufunga Arusi kwa raha gani
Kikristo msiba nisherehe tena kubwa hutakiwi ata kudondosha chozi ila unatakiwa kufurahi na kuimba na kucheza kwa sababu tunaamini karudi nyumbani ila kiubinadam hatuwezi kuvumilia na kuelewa na kikawaida binadam anasherehe tatu kuzaliwa,ndoa,kufa so apo kunasherehe mbili someni Bible jmn
kumbe unajuwa vizuri duniani raha ya mtu iko katika mambo matatu ahsante ila kifo ndicho marafiki hulia maadui wakisherehekea
Poleni kwa msiba hongereni kwa arusi
Kama wataishia kanisani bila sherehe ukumbini akuna mbaya lakini kama wakimalizia ukumbini watakua wamemkosea mungu maana kwenyemsiba hakuna furaha maana ukumbini ni sehem ya sherehe na sherehe ni furaha ila nawapa pole Sana mungu awape nguvu maharusi
Mungu pia amefurahi🙏 hayo ndio mambo ya haraka yanayotakiwa kuwaishwa ndoa na mtu akifa vifanyike kwa haraka
Kweli kabisa iyo
Mmmh maaskofu jamani MBNA ivo
Mrs dulah au zena kihondo. Lakn mama atafarjka kazkwa akiwa na aman nayenye furaha ndan yake akaishi maali pema pepon amen no. Kulya apa faraja tuuuu.
Hata asingefunga ndoa sikuhiyo mamake asingefufuka. Na sherehe muhimu katika maisha ya mwanadam Ni 3 tu. Siku Ya kuzaliwa. Siku Ya kuoa au kuolewa. Na siku Ya kufa. Kwahiyo msiba na harusi viote ni sheree. Na MUNGU amewapa kubali. Ss Ni Nani hata tutunge stori zingine??
Mmh ila mtoto wakiume wakiume tu sidhan kuwa huyo dada ndo angekuwa amefiwa mamaake asingevaa shela 😭😭😭😭😭
Zote ni shere ndowa ni furaha poa kifo ni fuhara
hatari sana
@@jeniphajeremiah8008 furaha kwasababu si mama yako 😂
Nilivyosikia. Siku ya send off. Marehemu alikuwa na furaha kupindukia. Sasa wakati wakiwa ukumbini mama akapika vigeregere sana mpaka umauti umemkuta. Kwa hiyo mtoto kaona kwa vile mamaye alikufa akiwa akishangilia. Basi azikwe siku wakiwa wanamuaga. Ilaa pooo sina moyo huo mie
Yahitaji moyo kweli kweli
Ni sawa tuu wa kwenda kaenda wa kuoa kaoa yote Heri naona
Wamefanya kitu cha kishujaa sana hongera bwana harusi
Sure
Rip mama. Hongera maharusi naikubuka sikuhiyo
Mama amelala katika Bwana..Hongera sana bwana harusi...
Haya ni mauzauxa neno kifo ni jambo haluna mazowea, ni zito wallah hii ni laana tu badala ya kuomboleza mnasherekea kweli!!? Yadunia yamekua mengi sijaelewa siamini
Jamani ata ofu ya mungu haipo kwasasa
Wakristo tunasemaga Kuna sherehe kuzaliwa kufanya ndoa na msiba zote Ni sherehe
Mungu ampokee jaman alitaman kuona mwanae kaoa
Huyo biharusi angekuwa mama yake mzazi angekubali narudi iendelee??? Mama wa mwenzio ni WA mwenzio😅😅😅😅😅😆
Silaaju sana ila inahitaji moyo kwn hata kwan mtu akifaa hatupaswi kuwa wanyonge Bali tufurahie n'a kumuombea
Huu mwaka 2020 umekuwa na matukio mengi magumu, Corona, wanaume kuua wake,na hili dah hatari mi sijawahi kuona ila mhh siwezi kujua maamuzi
Hao washenga uliwaona wapi geah? Maana waliovaa sare ni ndugu wa mume tu, jaribu kufuatilia mambo pande,zote, lakini pia unasema bwana harusi alikuwa anaongea kwa furaha kabisa, mbona mimi nilikaa mbele na nilimuona alikuwa analia?, mwanzo mwisho pale mbele bibi harusi na bwana harusi walikuwa wanalia wewe hiyo furaha mwanzo mwisho sijui uliiona wapi, alafu matendo ya huzuni yote naona umeyatoa, Ongera dada, ila jua tu hawa watu wameumia sana, na wamefanya hivyo kwa nia njema kabisa, wewe ndo unalifanya lionekane negative
Nilazima waumiye sema uyo mutangazaj ametaka kubifanya kama yaajabu
@@happypa2027 usishangae pia lkni... Kma mwenye katangulia kujitambulisha mbeaa nawajua wambea wanaongea yaliyomo na hayakuwepo ilmradi kufanikisha mambo Kwa anavyo taka yy
Kwani umemsahau geah alvyo muongo
Watu wapo kazin ukumbuke nae ndo liziki yake apo
Mmmmmh mengine ni magimu saa harusi na msiba
Wedding special. Sad and happy 🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😫😫😫😫subuhanallah 2020 inakuja kinamna yake.
Mh jamn....Wanaume wanajitahid ila sio sisi wasichana hatuwez kuvumilia Jamn😥😥😥
Wameeshim kauri ya mama wala jamii hisiwanukuu vibay
unasema hujui alaf bado unaendelea kuongea vibaya...walichofanya ni sahihi kabisaa wala hmna ubaya..kwanza hujui tu mtu akifa the same date alozaliwa ni direct kwa Mungu...Binadamu ana sherehe 3 tu dunian kuzaliwa kuoa/kuolew na kufaa acha kupotesh umma
MUNGU atunze ndoa yao R. I. P momy
Jmn hata wao hawakupenda itokee hvyo" Ila marehem alisema ndoa ifungwe siku yake y kuzaliwa" lait angeumwa hapo sawa wangeongea n marehem atengue kauli yake kwanza wamuuguze lkn ndoa z kikristo tar ikipangwa imepangwa" mm nakumbuka nilifunga ndoa yangu tumezika leo kesho kanisan tr ilishapangwa bd tunamaumivu makali y wifi yangu" nae alitoka iringa alikuja kwenye ndoa yetu morogoro 😭
Kwani lazima lazima wachanganye mazishi na harusi?
Mm naona watuwengi T unafanya polojo tuchukuwe uhalisia kama ww NDIO mama yako utaweza
Siwezi
Hakuna laa ajabu hâta waislaam wanafunika kwanza maiti harusi inapita kwanza alafu mnaenda kuzika ,vyote ni mipango ya Mungu ,labda mnastaajabu kwasababu biharusi kavaa shela,🤔Lakini ndio mambo Ya Mungu
Faten maandiko ndicho walichofuata hawa
Huo nimpango mungu tuu iwe hivyo maana yeye anajua rstiba zetu
Mimi siwezi fulstop
Ni ngumu ila hakuma maajabu mana ameumaliza mwendo salama alishasema afunge siku yake ya kuzaliwa so huwa haijirudii mpaka mwakani.Ila.wanaume pia wapo tofauti na sisi.Mi ningezimia hapo
Tamaa ni mbaya
Lkn apo wanaumia jmn walipo beba jeneza Kaka ongera kwa kujikaza duuuuh anamoyo kwa kweli daaaah
Mbona kawaida iyo jaman mama yangu mkubwa alifaliki siku yalusi arusi iliyendeleya badaye tuliyenda kuzika mbona kawaida2
Hii mpya kwakweli,,khaa,napata wapi ujasiri huo mie,,watu nyie mna moyo sana aisee,siwezii
Kwanza mm nawpongeza wamejawa na imani xa
xana...
Niambieni tu jamani hawa watu baada ya ibada walielekea ukumbini au makaburini na mapumziko yao wamefurahia lipi ktk maisha yao ya baadae kumpoteza mama au kuowana jibuni chapuchapu aisee nimeumia sana
Kwani wao ndo wamemuuwa mama yao?
wanaosema hamjui kifo n Sherehe ya mwisho y maisha n Sawa tuu km nguvu zipo, kwani walienda ukumbin
Yote yanawezekana kwa MUNGU ! Kikubwa tumuombee. Na MUNGU awatangulie kwenye ndoa yenu. Mzae matunda mema
Nuujingaaa angempumzishaa mama yakee kipenzii then ifuatee ndoa huo siii upendoo hapoo nivituu viwilii rofauti
Ole wenu,mvunje hiyo ndoa,marehemu atafufuka
Very true she has witnessed the wedding break it then u will be cursed...
Me naona Kama Watu wamekuja kuwashangaa bwana na Bibi harusi tu hapo hawawaelewi yan
Sio mbaya mbona
Mm siwezi kabisa hatanguvu nitazipata kweli
Moyoni atakuwa amesema acha wafu wamzike wafu🤣🤣🤣🤣 hii dunia Ina vituko Sana hii ,R.I.P MAMA😭😭😭😭
Usiusemee moyo mpenz wangu hapo alipo anaumia nguvu ya Mungu tyu inatembea
Yaskitisha
Kwel sijawah kusikià kwel kilà watu na màmbo,yào duuu hiyo ñi kàl
Wangefunga tu ndoa siku hiyohiyo halafu wamzike mama sherehe wafanye hata siku ya nne!
Mi Naona Ni Sawa tuu walichoamua kukifanya Na familia ikilidhia pia Mambo hayavurugiki
Mungu ni mwema
Yeye ndiye tunayemtegemea
Binadamu hatujui lolote
Zote ni harusi tu
Mhh yataka moyo R,I,P mama sili unayo wew
Mmmmnh mmmmmh balaaaa zito me nicngeweza
Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Yataka Moyo Harusi,Mazishi Kwa Wakati 1,Maajabu.
Mimi nimefiwa na mama angu najaribu kukumbuka ile cku nilivoipokea wakat tupo kanisani tukifanya ibada MTU angenambia na harus ni siku hiyo nahisi hata mchumba ningemwambia Mch simuoni naefunga nae ndoa
Huyoo uchawiii wed
Zote ni sherehe . Maana mwanadamu Ana serehe tatu . Sema hiyo ya mwisho watu husherehekea kwa kilio maana hawataiona Tena hiyo nafsi., Segerea Dar es salaam,mama mmoja alialika matarumbeta na watu walishangila n avigelegele kwenye msiba wa binti yake.